Wonderful Commandant Abdallah Mssika, you really did a very excellent job for the country! And this tells why Tanzania will remain a highly respected country in the intelligence arena! God bless you Commandant Mssika, and God bless the Tanzania security agents!
Namkumbuka sana kamanda msika, aliwahi kuwa hapa moshi akiwa Inpector wa polisi, nakumbuka alikuwa mwendesha mashtaka katika mahakama hapa moshi alikuwa tinashari aliyekuwa anajipenda na smart,nashukuru sana mpaka sasa yuko vizuri.Hongera sana afande mstaafu, uko vizuri😂😅🎉Didime Andrew Ngowi, Moshi Tanzania.
Namkumbuka Kamanda Msika alipokuwa mkuu wa kituo cha polisi Osterbay alikuwa mtu wa msaada sana asiyependa watu kuwekwa kituoni bila sababu ya msingi. Mweledi na mtu wa kuielewa kazi yake. Mungu ampe umri zaidi.
Kwa operation yenye mafanikio nakufananisha na Rafi Eitan aliyeongoza mossad katika operation ya kumkamata Ricardo Clement. Hongera sana kwa utumishi uliotukuka.
@@akonaayako7185wee mtoto wa juzi hujui kitu aliepigwa risasi ni jeneral kombe mkuu wa usalama wa taifa siyo zangira, na mwingine ni yule komando alierukia gari la bia aluoiwatoroka mapolisi na usalama wa taifa pale kinondoni nimemsahau jina na hii ilikua kesi ya kumoindua nyerere kesi ya zanngira ilikua nyingine
Hili tukio nalikumbuka la helicopter kuanguka lilitokea tukiwa darasan tulisikia kishindo tulikimbilia kwenda kuangalia uwanja wa polis 1996 nikiwa darasa la sita.
Msalimiie sana mama Tunu tuliikuwa NH za Arusha roads Moshi 1990.unanipa lift kwenye gari lako mpaka Mwenge s/msingi nikiwa mwl pale.Mungu azidi kukubariki.
Tukio la Thomas Zangira ilikuwa wakati wa Utawala wa Nyerere. Nashangaa huyu Msika abazungumza kwamba Bosi wake alikuwa Adadi Rajabu na Tibaigana. Hawa ni watu wa juzi. Zangira alipigwa risasi wakati wa jaribio la kupindua serikali mwaka 1982. Mhusika Mkuu alikuwa Mabere Marando
Nilivyomuelewa mimi Adadi Rajabu na Tibaigana walienda kupekua nyumbani kwa Zangira hivyo walikua askari wa chini kivyeo,kama huyu alikua Sajenti.Walikua vijana wadogo wa jeshi la polisi wapelelezi.
@akonaayako7185 Jaribio la mapinduzi la mwaka 1982, halikumuhusisha Thomas Zangira. Hivyo basi, hakuuliwa katika sakata hilo la 1982. 1982 iliwahusisha kina Pius Lugangira, Hatibu Gandhi (McGhee), na wengine 17.
Hiki ndio kizazi cha mwisho cha jeshi la polisi kilichojenga heshima ya taasisi ya usalama na jeshi kwa ujumla.Baada ya kizazi hiki kilichofuata kilikua ni fungu la kukosa........mpaka sasa hivi.
Mzee Abdalah namtafuta mwanao mmoja alisema wwe babake mdogo kama sikosei...anaitwa Mohamed Msika...aliend south Africa...mwenye taarifa zske pls..nilikutana naye Mbeya miaka ya 2000's
Mzee anaonekana ni msafi na yuko well coordinated kwenye mavazi. White shirt, blue suit, soksi, and watch. Black kofia and shoe. Kwenye lugha ya kiswahili and kiingereza na lafudhi zake nzuri. Huwezi kujua ni mzaliwa wa wapi. Anajua kujenga hoja pia. Afya yake kwa nje inaonekana nzuri. Anaonekana ni kijana kuliko mtangazaji. Ambako mtangazaji bila shaka ni mdogo sana kiumri
Hakuna kuconfuse labda kama unachanganya majeshi yako mbalimbali watu wengi wamekalili tu jeshi la wananchi lakini ni zaidi mfano= kuna jeshi la polisi,jeshi la magereza, jeshi la zimamoto na uokoaji
Day, miaka hiyo kumpeleleza/kumfatilia mtu hulali, hunywi, huendi, hurudi. Eeh bwana wee, si Mark Zuckerberg kaja na Facebook, iPhone na Samsung wakaja na spy cam 📷. Upo kitandani mwako na jamaa wanajua maua ya shuka na rangi ya chumba. NSA, FBI, CIA, GCHQ, MI5, MI6 ... shikamooni. Edward Snowden shikamoo.
Asante ila kuna story iliendelea kuhusu hukumu ya Zangira kuna sehemu tuliambiwa alihukumiwa miaka 23 akakata rufaa kapunguziwa mpaka miaka 12 nadhani atakua kisha toka, la pili huyu mtu yupo vizuri kiuongozi alifaa kuwa IGP maana mwanafunzi siro kaja kuwa IGP 😅hongera kwa uvumilivu kamanda Msika
ITUMIKE MARA NYENGINE HELIKOPTER IKIENDA KUTUA UWANJA WA VUMBI WAMWAGE MAJI YA KUTOSHA UWANJA ULOWE NA KUZIPA TABAKA LA VUMBI. HONGERA KAMANDA, KWA UWELEDI