Тёмный
No video :(

Abdallah Mssika Aeleza namna alivyomkamata Jasusi wa kwanza Mtanzania Juma Thomas Zangira 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 89 тыс.
50% 1

Abdallah Mssika
Aeleza namna alivyomkamata Jasusi wa kwanza Mtanzania Juma Thomas Zangira

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 129   
@andrew29468
@andrew29468 5 месяцев назад
Huyu mzee ni mzalendo,ingekuwa watoto wa sasa wangeingia kolabo,asante sana nimependa uzalendo wako hii ndio inatakiwa.
@gastonmodestkaziri2566
@gastonmodestkaziri2566 Месяц назад
Wonderful Commandant Abdallah Mssika, you really did a very excellent job for the country! And this tells why Tanzania will remain a highly respected country in the intelligence arena! God bless you Commandant Mssika, and God bless the Tanzania security agents!
@didimeandrewngowi
@didimeandrewngowi 7 месяцев назад
Namkumbuka sana kamanda msika, aliwahi kuwa hapa moshi akiwa Inpector wa polisi, nakumbuka alikuwa mwendesha mashtaka katika mahakama hapa moshi alikuwa tinashari aliyekuwa anajipenda na smart,nashukuru sana mpaka sasa yuko vizuri.Hongera sana afande mstaafu, uko vizuri😂😅🎉Didime Andrew Ngowi, Moshi Tanzania.
@USACAUDIOVISUALMATERIALS
@USACAUDIOVISUALMATERIALS 6 месяцев назад
Mzee Msika ulinitendea haki nilipotupwa lumande pale Central, nikiwa Chuo Kikuu DSM. Nakukumbuka sana sana Mzee. Mungu akubariki sana.
@mc-omoro2366
@mc-omoro2366 6 месяцев назад
Namkumbuka Kamanda Msika alipokuwa mkuu wa kituo cha polisi Osterbay alikuwa mtu wa msaada sana asiyependa watu kuwekwa kituoni bila sababu ya msingi. Mweledi na mtu wa kuielewa kazi yake. Mungu ampe umri zaidi.
@kibundapesamadimba6352
@kibundapesamadimba6352 5 месяцев назад
Well trained Police Officer with ethics and integrity, respect hero!!!!!!
@mohammedsaqry3036
@mohammedsaqry3036 6 месяцев назад
Abdallah Msika Allah akuhifadhi sikujuwa kama upo Dar es Salaam Insha Allah nitakutafuta
@mssikaadam6909
@mssikaadam6909 5 месяцев назад
Amiin
@viatorymkama8925
@viatorymkama8925 2 месяца назад
Kwa operation yenye mafanikio nakufananisha na Rafi Eitan aliyeongoza mossad katika operation ya kumkamata Ricardo Clement. Hongera sana kwa utumishi uliotukuka.
@user-py4kv5gk5y
@user-py4kv5gk5y 6 месяцев назад
Huu ndo uzalendo wa nchi👏👏👏
@Kidotii
@Kidotii 6 месяцев назад
Miaka 74 anonekana .muhandsome bado mwili mzur sana. Hongera pia kamanda Msika! Kwa kazi nzur
@akonaayako7185
@akonaayako7185 6 месяцев назад
Huyu ni Mwongo. Thomas Zangira alipigwa risasi.
@Kidotii
@Kidotii 6 месяцев назад
Eti enheee ahajahahha
@user-km1do5lq7c
@user-km1do5lq7c 2 месяца назад
Mwaka 74 anaka awa 45
@Kabeya410
@Kabeya410 2 месяца назад
​@@akonaayako7185wee mtoto wa juzi hujui kitu aliepigwa risasi ni jeneral kombe mkuu wa usalama wa taifa siyo zangira, na mwingine ni yule komando alierukia gari la bia aluoiwatoroka mapolisi na usalama wa taifa pale kinondoni nimemsahau jina na hii ilikua kesi ya kumoindua nyerere kesi ya zanngira ilikua nyingine
@soplisjoachim5884
@soplisjoachim5884 7 месяцев назад
Huyo jamaa is a real champion
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 Месяц назад
Asante mtangazaji kutuelimisha. Tumshukuru Mungu kwa Uzalendo wa Nyerere, ndiyo ulitupatia viongozi mahiri kama Msika.
@Marjeby
@Marjeby 2 месяца назад
Kamanda Msika mtu mwema sana kuwahi kutokea kati jeshi la polisi bila shaka now anaishi kwa furaha sana
@halemmmbarak16
@halemmmbarak16 6 месяцев назад
Very intelligent officer.
@suzanambatta1126
@suzanambatta1126 5 месяцев назад
Kwa kweli nimejifunza kitu👏
@kibundapesamadimba6352
@kibundapesamadimba6352 5 месяцев назад
Safi Sana wazalendo ndio hawa,sasa sio hawa wanajitapa majukwaaani.
@emmanuelmambarera141
@emmanuelmambarera141 3 месяца назад
Hongera zako kamanda Msika
@zabibunkya3690
@zabibunkya3690 22 дня назад
Mashallaa bado upo vizuri taifa linakuhitaji Mama Samia amekuona bilashaka hekima na busara zako tunazihitaji.
@ghatichomete74
@ghatichomete74 5 месяцев назад
Mungu akulinde mzee
@justinmichael768
@justinmichael768 5 месяцев назад
Kwanza pongezi nyingi kwa huyu Mzalendo. Jeshi la police linapaswa kujifunza mengi kupitia kwa huyu bwana
@soplisjoachim5884
@soplisjoachim5884 7 месяцев назад
Kwa kipindi kile technology ilikuwa ndogo lakini mwamba uliweza kufanya upelelezi....... Ulijitahidi sana
@hajjsuleiman3317
@hajjsuleiman3317 7 месяцев назад
Namkumbuka kamanda msika alikuwa kamanda anayefanya kazi yake vizuri saana na kwa uhakika kabisa na uweledi wa hali ya juu
@mwasakafyukasamson
@mwasakafyukasamson Месяц назад
ISHI sana kamanda Mssika, tunajivuniakazi zako
@kazikazini1042
@kazikazini1042 Год назад
Mzee yuko vizuri. Jargon zinamtoka pasi na shaka.
@robisonikadogo7371
@robisonikadogo7371 2 месяца назад
Namjuwa vizuri uyo msika akiwa Kagera na shinyanga ,nimtata kweri kweri
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 Месяц назад
Utata wake unatokana na misimamao Yake kiutendani au ulitaka afuate unachokitaka wewe kifanyike? 😂
@abubakarimburu9096
@abubakarimburu9096 6 месяцев назад
Kila aliyewahi kufanyanaye KaziI hawezi kumsahau msika
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 10 месяцев назад
Huyu jamaa ni mtu muhimu sana ktk hili taifa
@ChoroTesla
@ChoroTesla 12 дней назад
Bahati mbaya hatuwathamini hawa tunaona boraakina makonda
@user-jj7mw7fi4q
@user-jj7mw7fi4q 6 месяцев назад
Hili tukio nalikumbuka la helicopter kuanguka lilitokea tukiwa darasan tulisikia kishindo tulikimbilia kwenda kuangalia uwanja wa polis 1996 nikiwa darasa la sita.
@salumhassanallymkurdistan7006
@salumhassanallymkurdistan7006 6 месяцев назад
CHEZEA NCHI ZOTE DUNIANI LAKINI USIICHEZEE TANZANIA KATIKA ULINZI NA USALAMA.
@israelmkaka2807
@israelmkaka2807 6 месяцев назад
Enzi zile....Sikuhizi Siri za Nchi zinavuja hovyo,,Wanaoajiriwa hawana nadhani Vigezo ni Undugu
@amoursalum8266
@amoursalum8266 13 дней назад
zamani sio sasa
@amoursalum8266
@amoursalum8266 13 дней назад
zamani sio sasa
@husseinibnuhassan1272
@husseinibnuhassan1272 6 месяцев назад
Kasaidia wengi sana pale shinyanga
@johndominic7754
@johndominic7754 6 месяцев назад
Hongera sana abdala sasa ndio wajue CCM ni baba wa waafrika wanasiasa msichezee ccm imetoka mbali
@michaelmatonange630
@michaelmatonange630 4 месяца назад
Nimefurahi sana kusikia story hii
@barnabasmwingira7063
@barnabasmwingira7063 Месяц назад
You are the best one of the best 🫡
@user-vp8vc3ko7d
@user-vp8vc3ko7d 2 месяца назад
Anaongea pole pole sana atia uvuvi
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 Месяц назад
Pole
@georgelugwisha8798
@georgelugwisha8798 2 месяца назад
Angetunga kitabu ingekuwa poa sana
@cbegram6161
@cbegram6161 6 месяцев назад
Sasa bongo movie Mbona movie Ndiyo hizi au waandika story ndiyo wanazingua? Maana watu wanaponda sana😂😂 ushauri wa bure
@imamuhamisi4421
@imamuhamisi4421 6 месяцев назад
Bonge la story sema nd ivo apo kunaitaj investment bongo movie wanatak movie zisizo zid milion 2 budget
@justinmichael768
@justinmichael768 5 месяцев назад
Hawana akili hizo boss
@hassannzota7442
@hassannzota7442 2 месяца назад
Liuuuu​@@justinmichael768
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 2 месяца назад
Umenena point sana
@AntidiusFelix11
@AntidiusFelix11 Месяц назад
Shida ni budget na ubunifu.
@user-qt1bi3rr5h
@user-qt1bi3rr5h 6 месяцев назад
KAMANDA UMETISHA SANA HONGERA SANA
@aziza9093
@aziza9093 6 месяцев назад
Mashaallah
@salumjabir813
@salumjabir813 6 месяцев назад
😂😂😂😂...intelligence ya tanzania imekuwa sana..😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jamestaifa3461
@jamestaifa3461 6 месяцев назад
Hii ndo maana ya utumishi uliotukuka
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 2 месяца назад
Juma thomas zangira yuko wapi kwa sasa? Je bado yuko jela? Au alifariki?
@user-md3fh4kg1b
@user-md3fh4kg1b Месяц назад
Msalimiie sana mama Tunu tuliikuwa NH za Arusha roads Moshi 1990.unanipa lift kwenye gari lako mpaka Mwenge s/msingi nikiwa mwl pale.Mungu azidi kukubariki.
@MasuDaniel-h7u
@MasuDaniel-h7u 29 дней назад
NHC Arusha road
@MasuDaniel-h7u
@MasuDaniel-h7u 29 дней назад
Gtulikaana Moshi mjini NHC Arusha road namkumbuka sana
@shedyjr3227
@shedyjr3227 5 месяцев назад
Hyo nyimbo kwa background inaitwajwe!?
@selemanshineni7809
@selemanshineni7809 Год назад
Salute Kamanda
@suratibrahim6417
@suratibrahim6417 6 месяцев назад
❤❤❤🤝🤝🤝madini kabisa.
@simbilomwakipamba6970
@simbilomwakipamba6970 2 месяца назад
MALANGALI💥
@mwabuselectors
@mwabuselectors 2 месяца назад
Aisee hizi hazina za story zinahitajika sana kwa taifa,
@athumanizinga-wi3ze
@athumanizinga-wi3ze Год назад
Akufungwa.maisha.iliukumiwa.miaka.²⁰.akakata.rufaa.akapunguziwa.akafugwa.miaka.¹2
@akonaayako7185
@akonaayako7185 6 месяцев назад
Tukio la Thomas Zangira ilikuwa wakati wa Utawala wa Nyerere. Nashangaa huyu Msika abazungumza kwamba Bosi wake alikuwa Adadi Rajabu na Tibaigana. Hawa ni watu wa juzi. Zangira alipigwa risasi wakati wa jaribio la kupindua serikali mwaka 1982. Mhusika Mkuu alikuwa Mabere Marando
@akonaayako7185
@akonaayako7185 6 месяцев назад
Huyuni Mwongo
@victortemba
@victortemba 5 месяцев назад
Nilivyomuelewa mimi Adadi Rajabu na Tibaigana walienda kupekua nyumbani kwa Zangira hivyo walikua askari wa chini kivyeo,kama huyu alikua Sajenti.Walikua vijana wadogo wa jeshi la polisi wapelelezi.
@halfanitambu525
@halfanitambu525 5 месяцев назад
Msikilize vzr utamuelewa
@jee9473
@jee9473 5 месяцев назад
@akonaayako7185 Jaribio la mapinduzi la mwaka 1982, halikumuhusisha Thomas Zangira. Hivyo basi, hakuuliwa katika sakata hilo la 1982. 1982 iliwahusisha kina Pius Lugangira, Hatibu Gandhi (McGhee), na wengine 17.
@kinanaomar
@kinanaomar 2 месяца назад
Samahani wakati huo kikwete hakuwa raisi bali mkapa ndiye aliye kuwa raisi
@meckcassius3983
@meckcassius3983 6 месяцев назад
Iringa boy
@victoriamazula5592
@victoriamazula5592 6 месяцев назад
Nilimfahamu Zangira. Alikuwa karibu sana na Ikulu. Kwa kweli alikuwa ni mtu muongo sanaaa
@ericktesha7046
@ericktesha7046 6 месяцев назад
Embu tupee Kidogo tips,Alidanganya jambo gani?
@suratibrahim6417
@suratibrahim6417 6 месяцев назад
😅😅😅😂😂😂
@michaelmulokozi1512
@michaelmulokozi1512 2 месяца назад
Zangira alikua na Kamba nyingi Sana sitamsahau uyu jamaaa 😅
@mataypanga5262
@mataypanga5262 2 месяца назад
😂
@hon.fahadijumalikwena1012
@hon.fahadijumalikwena1012 Год назад
Kama movie vile
@SHEIKHMWAIPOPOTV
@SHEIKHMWAIPOPOTV 8 месяцев назад
Kamanda msika nakupata sana kama wangu nilikuwa na wewe mwanza ongela sana
@EmmmaTembo
@EmmmaTembo 10 месяцев назад
01:30 nimecheka huyu baba mtu mzuri
@user-xf6pg4vf2t
@user-xf6pg4vf2t 6 месяцев назад
Je mna undugu na Abdalah Waziri Msika au ndio we mwenyewe , mwaka 1973 alikuwa CCP Moshi akiwa na lank ya Cpl
@user-ct4vj9gg6w
@user-ct4vj9gg6w 5 месяцев назад
Ndio yy
@Chemba67
@Chemba67 6 месяцев назад
Hiki ndio kizazi cha mwisho cha jeshi la polisi kilichojenga heshima ya taasisi ya usalama na jeshi kwa ujumla.Baada ya kizazi hiki kilichofuata kilikua ni fungu la kukosa........mpaka sasa hivi.
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 Месяц назад
Nimecheka kwa ujumbe wako
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 6 месяцев назад
Mzee Abdalah namtafuta mwanao mmoja alisema wwe babake mdogo kama sikosei...anaitwa Mohamed Msika...aliend south Africa...mwenye taarifa zske pls..nilikutana naye Mbeya miaka ya 2000's
@princematumbo
@princematumbo 6 месяцев назад
Mohammed msika ni mwanae haswa,Sio babake mdogo,na hayupo Africa kusini.
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 6 месяцев назад
@@princematumbo duh...yuko wapi?? nisaidie namba zake...
@user-ct4vj9gg6w
@user-ct4vj9gg6w 5 месяцев назад
Mohamed msika ni mwanae wa kumzaa
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 5 месяцев назад
@@user-ct4vj9gg6w yuko wap?
@abbiecox1
@abbiecox1 6 месяцев назад
muhim mngetuambia yu wapi Thomas Zangila je kama alifungwa gereza gani na yuko wapi sasa! kama alikufa ni mwaka gani na alifia gereza gani na lini!
@publicrelations4600
@publicrelations4600 Месяц назад
Hayo mambo kiusalama huwezi kusimuliwa
@MikiGermany210
@MikiGermany210 6 месяцев назад
Çha kujiuliza sasa hivi je bado yupo ndani au kashatoka maàna mmmh
@mssikan9223
@mssikan9223 5 месяцев назад
Hayupo tena
@mwabuselectors
@mwabuselectors 2 месяца назад
Lazima anakua anatumika
@user-db6gr1gn2d
@user-db6gr1gn2d 6 месяцев назад
Andika Kitabu
@user-rs3zg1wj6q
@user-rs3zg1wj6q 5 месяцев назад
Kama kamanda ulifikia rank gani ktk karate??
@josephlorri431
@josephlorri431 6 месяцев назад
Hapo 19:00 usimwamini mtu aliyemsaliti rafiki yake
@simonnyangusi9973
@simonnyangusi9973 6 месяцев назад
Mzee yuko fit,kweli kustaafu sio mwisho wa maisha.Tutafutie na kamanda mstaafu zpaul chagonja
@hajjsuleiman3317
@hajjsuleiman3317 7 месяцев назад
Hongera saaana mkuu kamanda Abdallah ulikuwa jasiri mno na wewe ni mtu muungwana saana
@jacksonsilaa415
@jacksonsilaa415 6 месяцев назад
Jet Ranger mliiacha Nachingwea Bwana
@mussakingazi8875
@mussakingazi8875 6 месяцев назад
Alitapeliwa na deo mgasa kwamba angempa ua igp,
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 2 месяца назад
Tunaomba Diet yako mzee,mana bado uko fit.Mimi nina 50yrs tu,lkn niko hoi.
@ChoroTesla
@ChoroTesla 12 дней назад
Punguza wanga
@florencejohn6427
@florencejohn6427 6 месяцев назад
Mzee anaonekana ni msafi na yuko well coordinated kwenye mavazi. White shirt, blue suit, soksi, and watch. Black kofia and shoe. Kwenye lugha ya kiswahili and kiingereza na lafudhi zake nzuri. Huwezi kujua ni mzaliwa wa wapi. Anajua kujenga hoja pia. Afya yake kwa nje inaonekana nzuri. Anaonekana ni kijana kuliko mtangazaji. Ambako mtangazaji bila shaka ni mdogo sana kiumri
@kilamegroup2968
@kilamegroup2968 6 месяцев назад
Ana miaka 74
@AbdalahDudu
@AbdalahDudu 2 месяца назад
Nakumbuka sana tukio ili la ajali ya ndege nachingwea
@edwingideon3606
@edwingideon3606 6 месяцев назад
Mbona shati imeloa na jasho, alikuwa anatembea kuja kwenye kipindi?
@mssikan9223
@mssikan9223 5 месяцев назад
Hilo ni shati la light blur, na hapo ni nyumbani kwake, sebleni kwake na ni full AC... kwahiyo ni aina ya shati na sio jasho 😊
@vayeen
@vayeen 6 месяцев назад
Huyu mwandishi anatakiwa kuwa controlled
@akonaayako7185
@akonaayako7185 6 месяцев назад
Mbona inafahamika Zangira alifariki kwa kupigwa Risasi?
@jee9473
@jee9473 5 месяцев назад
Utakuwa umechanganya na taarifa ya mtu mwingine.
@sicac33
@sicac33 11 дней назад
When the hunter becomes hunted. 🤣
@ahmedameir3302
@ahmedameir3302 Месяц назад
Tanzania ina watu
@jotafungo4622
@jotafungo4622 11 месяцев назад
Usaliti haujaanza leo
@thelistener8357
@thelistener8357 4 месяца назад
Jeshi la polisi ?? Polisi ni polisi jeshi ni jeshi mbona mna-confuse watu
@allymoshi2053
@allymoshi2053 Месяц назад
Hakuna kuconfuse labda kama unachanganya majeshi yako mbalimbali watu wengi wamekalili tu jeshi la wananchi lakini ni zaidi mfano= kuna jeshi la polisi,jeshi la magereza, jeshi la zimamoto na uokoaji
@theteacherchance6750
@theteacherchance6750 Год назад
Day, miaka hiyo kumpeleleza/kumfatilia mtu hulali, hunywi, huendi, hurudi. Eeh bwana wee, si Mark Zuckerberg kaja na Facebook, iPhone na Samsung wakaja na spy cam 📷. Upo kitandani mwako na jamaa wanajua maua ya shuka na rangi ya chumba. NSA, FBI, CIA, GCHQ, MI5, MI6 ... shikamooni. Edward Snowden shikamoo.
@SALEHSALEH-lk5jr
@SALEHSALEH-lk5jr 2 месяца назад
Umewasahau MOSSAD
@cbegram6161
@cbegram6161 6 месяцев назад
Sasa hapo inabidi na Zangira mwenyewe ahojiwe
@ramsojimmykelly3379
@ramsojimmykelly3379 6 месяцев назад
ahojiwe akiwa jela au
@israelmkaka2807
@israelmkaka2807 6 месяцев назад
Tena atafutwe, aelezee..Wenzetu kule Nchi zilizoendelea, Siri za namna hiyo baada ya miaka kadhaa, inakuwa sio siri
@cbegram6161
@cbegram6161 6 месяцев назад
@@ramsojimmykelly3379 waandishi wanajua namna ya kufanya na sharia zinasemaje
@rashidimasoud558
@rashidimasoud558 Месяц назад
Zangira alishafariki Dunia
@Kabeya410
@Kabeya410 2 месяца назад
Asante ila kuna story iliendelea kuhusu hukumu ya Zangira kuna sehemu tuliambiwa alihukumiwa miaka 23 akakata rufaa kapunguziwa mpaka miaka 12 nadhani atakua kisha toka, la pili huyu mtu yupo vizuri kiuongozi alifaa kuwa IGP maana mwanafunzi siro kaja kuwa IGP 😅hongera kwa uvumilivu kamanda Msika
@aliferuzi1537
@aliferuzi1537 6 месяцев назад
ITUMIKE MARA NYENGINE HELIKOPTER IKIENDA KUTUA UWANJA WA VUMBI WAMWAGE MAJI YA KUTOSHA UWANJA ULOWE NA KUZIPA TABAKA LA VUMBI. HONGERA KAMANDA, KWA UWELEDI
Далее
OBLADAET - BARMAN
03:06
Просмотров 222 тыс.
Mkasi - SO7E06 With Masoud
28:46
Просмотров 49 тыс.