I DO BELIEVE, THIS IS THE BEST MAN OF ZANZIBAR ....Kanywa Pombe, hajaiba, hajatembea na mke wa mtu, hajakwenda kwa waganga, hajaiba, hajasema uongo, hajapokea rushwa! JE WEWE NA YOYOTE ULIYE MUISLAMU, JE PESA ZA WATALII ZINAZOTOKANA NA MAUZO YA POMBE HAPO ZANZIBAR, SI MIONGONI MWA KODI ZINAZOKULIPENI MISHAHARA HAPO ZANZIBAR NA KUJENGA SKULI NA HOSPITALI!
Nina miaka 45 nishaona maraisi 5 Kwa uongozi wao katia Yao Alie Bora Kwa maendeleo ya kuona Tena Kwa mda mfupi wakwanza ni mwinyi wapili mwinyi watatu salmini na wengine abdulwakil amani sheni ni miaka 30 iliopotea Bure
Ni Bora kwa vitendo kuliko wengine Ila tuzingatie kwamba watangulizi wake walitumia Sana mapato ya zenji pekee Ila yeye Ana mfereji unaotoka jamhuri kwenda zenji.
Hizo habari za kunywa Angalia usije kufuru Kwa dhiraa Moja,tu. Ukashindwa kuingia peponi. Kumbuka. Dini inaelekeza Nini . Ni Hali ya Udini ni vizuri kufikisha Ujumbe.Amiina.
@@user-gd2xj3xd1b tafiti zipi hatuna ujinga huo wakutojua kipi Bora na kipi si Bora we have lived enough tumeenda nchi za watu tumeona ivyo hatuhitaji kuambiwa kipi Bora na kipi si Bora wakati twaweza ona na kujua without being told.
@@user-gd2xj3xd1b Inawezekan na skupingi maana huo ndo uelewa wako unapofikia na kla mtu husema kile anachokifkiria ndan ya akili yake kikiwa sahihi au hata km sio sahihi
Nakukubali kiongozi unaongea point ccm kweli haidhindi hata wajenge angani ila kwaupande mwengine huyo rais jamaa anajitshid kulinhanisha na wengine kuazia salmin
KUNA MTU ANAKUNYWA LAKINI SIO MLEVI, NA MLEVI ATAKUWA MLEVI BILA KUNYWA???????? TUMCHE ALLAH ULEVI NI HARAMU NA UNASHUSHA HADHI YA MTU. ALLAH ATUONGOZE SOTE KTK HAQQ
Huyo sio mnafiki amefunguka na ndio ukweli lakini CCM kuna mtu maalum anae fitinisha kujizolea mali na kufanya njama kuumiza wenzake hasa imejitokeza awamu ya nne
Kwa kweli huyu Mh Balozi anaenguliwa kwenye michakato kunasemekana kuna kitu kibaya alikifanya ujanani mwake pengine ujana ulipelekeya hayo. Kama si hilo Ali ni mtu mzuri sana ni CCM kindakindaki.
Kuna comment moja humu humu RU-vid inasema Alivyokua mdogo alimuua mtu kwa kumtupa ghorofani ndio Baba wake akamuamisha akampeleka mawali sasa sijui kweli
Ushauri wangu mzee usikate tamaa ww just Muamini Mungu. Usimuangalie mtu yeyote Allah ndie mpangaji ikiwa leo Allah hakukujaalia leo usikate tamaa kwani hata kesho ni siku ambayo inamilikiwa na Allah
Huyu Mtu ana akili kubwa sana,maoni yake ni yanaongelea mazingira ya halisi,ana mawazo huru ni kipaji kisichotumika. Mambo binafsi hayana athari za kiutendaji.
mapinduzi yenu yamekua tabu kwetu wanaichi na pia hamjawai shinda uchaguzi toka mwaka 1995 nawala hamji sahihishi kwa dhuruma ya wapiga kura wenu??? kwani hiyo au huo sio wizi na nizambi kwa mungu au hamjuii wizi ni zambi?? au zambi ni kuiba cm na pesa tuu??
Mgombea mwenye mvuto na sio mwenye uwezo hapa mimi sijamwelewa, baba yako hakusoma lkn alikuwa na uwezo mkubwa IQ , stay your position achana na tamaa , na unaonekana hata ukila kiapo utatoa siri za serikali.
Hilo swali la mwisho nani aliongoza mapinduzi 1964 mbona historia ipo wazi kimaandishi aliyekuwa kinara wa kumpindua sultani usiku huo anatajwa na aliyekuwa anaongoza vikao vya baraza anatajwa. Ali Karume hajaeleza vema kuhusu hilo.
Sasa kama Zanzibar unasema ccm haijawahi kushinda urais kumbe hata kaka yako Amani hakushinda mbona hukutoka hadharani kumpinga? Wewe shida yako ni urais LAKINI siyo lazima uwe wewe usifikiri eti kwa kuwa baba yako na kaka yako walikuwa rais na wewe uwe rais. Mwache Hussein Mwinyi afanye kazi naye atamaliza muda wake.
Nilicho Kielewa hapo ni kwamba angekuwa mgombea angeli peleka mkewe na watoto kwenye Kilili Pemba ili kuthibitisha kuwa hakuna uunguja na Upemba.🤣 Balozi tungepigwa
😂😂sikupenda iishe hi interview mzee amechangamka mnoo😂naimeona ana wivu kidogo lakini pia mbinafsi kwa mbali 😂na mwenye majigambo ila pia ana elimu kubwa mno kichwani 😂😂mzee wa sharubati 😂😂 mnywaji na sio mlevi😂😂😂🚶😅😅
Humjui wewe kwasababu ni mtoto wa juI halafu umezaliwa shamba mjini umekuja juzi na hukuwa ma mashorokiano ma loloye isipokua kula kulala. Kwahiyo huwezi kumjua kale ukalale
Balozi Karume: Kama chama kimekufukuza, hamia chama kingine mbadala kwani bado una karama ya kuwa rais wa nchi. Ccm si baba wala mama yako unang'ang'ania nini?
Chaguzi zooooooote al MARHUM MALIM SEIF. Ndio alochaguliwa na WAZANZIBAR kwa CHAGUZI zoote zilopitwa. Hapa naona tunaongeya unafik. Subirini mfe. Mtajuwa nini maana ya kula haram mwana wa ndani HUKO.
... kwa busara nafikiri ingependeza ukaachana na Uraisi Zanzibar hasa kwa kuwa Kaka yako alikuwa Raisi sio muda mrefu sana uliopita... kingine ulipewa nyadhifa muhimu sana pia... human beings haturidhiki mmmmh 😢
Gonga Tano kwa Mh. Ali Karume....Vitu viwili tu kama hujui porotocol na alcohol wewe huwezi kuwa timamu kusimamia mambo ya nchi, sasa wajinga tu ndiyo hawataelewa na kubisha falsafa hii...
NAMSIHI NDUGU YANGU MH HUSSEIN ALI. H MWINYI AWE KARIBU KAKA YAKE ALI KARUME UKIONDOA UONGOZI HUYO NINDUGU DAMU NIWATU WA. FAMILIA KWA UPANDE MAMA HAKUCHUKII KAANAE ATATUSAIDIA MAPINDUZI DAIMA