Тёмный
No video :(

ALI KARUME: NINAKUNYWA SIO MLEVI/MIMI BADO NI CCM/NINA NAFASI YA KUWA RAISI ZANZIBAR/MAPINDUZI 

ZamaradiTV
Подписаться 247 тыс.
Просмотров 78 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 144   
@skjjsj1889
@skjjsj1889 6 месяцев назад
Ma sha allah huyu Kafanana sn na marehemu bb yake
@hakunamatata8065
@hakunamatata8065 7 месяцев назад
Mtangazaji unastahili kazi kubwa zaidi ya hii kipaji chako ni kikubwa zaidi ya hapo ulipo 👏
@rashidomar2771
@rashidomar2771 7 месяцев назад
Mimi ninakushukuru,,kwa kusema kweli kama CCM hamshindi urais hapa zanzibar,,hongera sana balozi Ali
@hajihassan5433
@hajihassan5433 7 месяцев назад
Hajasema hivyo.
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 7 месяцев назад
Unayaamini maneno ya mkosaji?
@user-gd2xj3xd1b
@user-gd2xj3xd1b 7 месяцев назад
Aliwahi kusema ktk mahojiano take ya nyuma
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 Месяц назад
Haji ni kweli alisema ,wala hamsingizii huyo aliyoyasema.
@user-wb4jm5jl6d
@user-wb4jm5jl6d 7 месяцев назад
Mtangazaji Lambart ur the best. I love the way you present. Ila tu hii zamaradi hama bana
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 7 месяцев назад
Anaende wapi
@solomonadams6337
@solomonadams6337 7 месяцев назад
Wewe mlevi ushafukuzwa chama cha chukua chako mspema sawa.thanks
@thefinalstand2022
@thefinalstand2022 6 месяцев назад
I DO BELIEVE, THIS IS THE BEST MAN OF ZANZIBAR ....Kanywa Pombe, hajaiba, hajatembea na mke wa mtu, hajakwenda kwa waganga, hajaiba, hajasema uongo, hajapokea rushwa! JE WEWE NA YOYOTE ULIYE MUISLAMU, JE PESA ZA WATALII ZINAZOTOKANA NA MAUZO YA POMBE HAPO ZANZIBAR, SI MIONGONI MWA KODI ZINAZOKULIPENI MISHAHARA HAPO ZANZIBAR NA KUJENGA SKULI NA HOSPITALI!
@jitukorofi9517
@jitukorofi9517 6 месяцев назад
Umeandika utumboo mwingi ila pole
@sammarley1413
@sammarley1413 6 месяцев назад
Karume katili
@lugwetunje3896
@lugwetunje3896 6 месяцев назад
Hapo ndipo
@abdallahally842
@abdallahally842 7 месяцев назад
Nina miaka 45 nishaona maraisi 5 Kwa uongozi wao katia Yao Alie Bora Kwa maendeleo ya kuona Tena Kwa mda mfupi wakwanza ni mwinyi wapili mwinyi watatu salmini na wengine abdulwakil amani sheni ni miaka 30 iliopotea Bure
@user-xl4io3or7r
@user-xl4io3or7r 7 месяцев назад
Ni Bora kwa vitendo kuliko wengine Ila tuzingatie kwamba watangulizi wake walitumia Sana mapato ya zenji pekee Ila yeye Ana mfereji unaotoka jamhuri kwenda zenji.
@nelsonlyimo1600
@nelsonlyimo1600 7 месяцев назад
Balozi Karume ana uwezo, akipewa atawaunganisha Wazanzibari, ni masomi wa kimatsifa
@allanngowi7071
@allanngowi7071 6 месяцев назад
Very interesting interview.... 😅
@jacobnorbertchenga9465
@jacobnorbertchenga9465 6 месяцев назад
Balozi utulieeee Dr Hussein Mwinyi anakuletea Treni Zanzibar
@ahmedhamdan8526
@ahmedhamdan8526 7 месяцев назад
❤ safi
@khamisali9845
@khamisali9845 6 месяцев назад
Baadhi ya hoja ni za kufikirika sana . Hatari sana
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 7 месяцев назад
Huyu kafanana na sana na baba yake Sheikh Abeid Aman Karume
@Khalid-mf3iu
@Khalid-mf3iu 7 месяцев назад
Babake dhalimu muuwaji
@iddimasika1173
@iddimasika1173 7 месяцев назад
Zingatia mimi mnywaji tuu na cyo mlevi
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 7 месяцев назад
🤦‍♂️😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@cyrilkessy3032
@cyrilkessy3032 5 месяцев назад
Msema kweli mpenzi wa Mungu 🎉
@habibaramadhani-xv2ed
@habibaramadhani-xv2ed 7 месяцев назад
Hizo habari za kunywa Angalia usije kufuru Kwa dhiraa Moja,tu. Ukashindwa kuingia peponi. Kumbuka. Dini inaelekeza Nini . Ni Hali ya Udini ni vizuri kufikisha Ujumbe.Amiina.
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 7 месяцев назад
Hakika Ukhty
@mosaidi2633
@mosaidi2633 7 месяцев назад
Wanaotoa vibali vipi?
@bennyceaser8796
@bennyceaser8796 7 месяцев назад
😅😅😅
@saturinimushi4746
@saturinimushi4746 6 месяцев назад
Huyu Ameishi America. Hana Unafiki wa Maisha yake. Ameweka Wazi Anakunywa Mkono wa Firaun😂. Swiss Vodka.
@jacksonsilaa415
@jacksonsilaa415 6 месяцев назад
Ile Club ipo Zanzibar na hamtaki konyagi imekaaje hiyo.
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm 7 месяцев назад
Mm mpk sasa hivi namuona huyo mwinyi ndio rais bora ktk visiwa hivi kwa wale waliongoza wakati mm nna akili zangu yani kuanzia aman shein na mwinyi .
@alhajjkassim2648
@alhajjkassim2648 7 месяцев назад
Nakuunga mkono
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 7 месяцев назад
Ni sahihi sana ingawa sie tuwalalamishi na watu wakupinga kila jambo .
@user-gd2xj3xd1b
@user-gd2xj3xd1b 7 месяцев назад
Fanyeni tafiti zakutisha ubora wa RAISI sio majengo au ujezi wa barabara
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 7 месяцев назад
@@user-gd2xj3xd1b tafiti zipi hatuna ujinga huo wakutojua kipi Bora na kipi si Bora we have lived enough tumeenda nchi za watu tumeona ivyo hatuhitaji kuambiwa kipi Bora na kipi si Bora wakati twaweza ona na kujua without being told.
@harizhamad8260
@harizhamad8260 7 месяцев назад
@@user-gd2xj3xd1b Inawezekan na skupingi maana huo ndo uelewa wako unapofikia na kla mtu husema kile anachokifkiria ndan ya akili yake kikiwa sahihi au hata km sio sahihi
@ausonjustinian4673
@ausonjustinian4673 7 месяцев назад
Anamfanana babaake kwelikweli 🎉🎉🎉🎉
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 7 месяцев назад
Kwa sura tu ! Lakini akili 0.0! 🤷‍♂️😂😂
@machaliakulima76
@machaliakulima76 6 месяцев назад
100% Copy© ya baba yake isipokuwa yeye mtoto ni light skin
@user-iy3fx7cl1j
@user-iy3fx7cl1j 7 месяцев назад
Wamestarehe wapi wakat njaa kali
@ayoubpapiy6692
@ayoubpapiy6692 7 месяцев назад
Mtangazaji namuelewa vilivyo questions zake😂😂😂
@iddymshana2059
@iddymshana2059 7 месяцев назад
Jamaa nimependa sana anaongea kitu kitoka kwake moyoni kabisa na sio kupamba anajiamini sana.
@suleimanjokoro
@suleimanjokoro 7 месяцев назад
Hakuna kitu humo^^
@user-gd2xj3xd1b
@user-gd2xj3xd1b 7 месяцев назад
Ni ukweli mtupu hata yupo tayar kupelekwa mahakaman ushahidi anao
@kabwangaselemani5228
@kabwangaselemani5228 6 месяцев назад
Kwani ni lazima Ally Karume awe Rais wa Zanzibar kwa historia ya Mzee wake?
@cyrilkessy3032
@cyrilkessy3032 5 месяцев назад
🎉kunywa sana haki yako
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 5 месяцев назад
Huyu mzee anaongea ukwel kabisa ndo maana hawampendi
@solomonadams6337
@solomonadams6337 7 месяцев назад
Wewe katika kisiwa cha Pemba hupati hata kura 1 sawa.thanks
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 6 месяцев назад
Hao hawahitaji kura wala usihangaike. Kura yake moja tu inamtosha
@felixsanga
@felixsanga 5 месяцев назад
Uko sahihi,nitafute Balozi.Kula,kunywa sio dhambi.Hata kuku wanakunywa kupoza kiu!
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 7 месяцев назад
Nakukubali kiongozi unaongea point ccm kweli haidhindi hata wajenge angani ila kwaupande mwengine huyo rais jamaa anajitshid kulinhanisha na wengine kuazia salmin
@yaziduabdallah2836
@yaziduabdallah2836 5 месяцев назад
Siasa
@hassanadam2708
@hassanadam2708 6 месяцев назад
KUNA MTU ANAKUNYWA LAKINI SIO MLEVI, NA MLEVI ATAKUWA MLEVI BILA KUNYWA???????? TUMCHE ALLAH ULEVI NI HARAMU NA UNASHUSHA HADHI YA MTU. ALLAH ATUONGOZE SOTE KTK HAQQ
@hamzaalawy6694
@hamzaalawy6694 7 месяцев назад
Shemegi yangu kumbe hahahaha Nimesoma na nimeridhika Kwa kiasi chakutosha Chechei bwanshemegi?
@jeremialyati6092
@jeremialyati6092 7 месяцев назад
Shalbat - kamnyweso
@justinmashala6944
@justinmashala6944 7 месяцев назад
heheheh
@evarist2112
@evarist2112 7 месяцев назад
Akili hana huyu
@jacksonsilaa415
@jacksonsilaa415 6 месяцев назад
Ana Akili tele
@user-su2iz4yo7e
@user-su2iz4yo7e 6 месяцев назад
Mwinyi hafai watu wa Zanzibar hawamtaki kwanza si mzanzibar pili hakubaliki kule Zanzibar
@AbrahamSekuza
@AbrahamSekuza 6 месяцев назад
Huyo sio mnafiki amefunguka na ndio ukweli lakini CCM kuna mtu maalum anae fitinisha kujizolea mali na kufanya njama kuumiza wenzake hasa imejitokeza awamu ya nne
@machaliakulima76
@machaliakulima76 6 месяцев назад
Kwa kweli huyu Mh Balozi anaenguliwa kwenye michakato kunasemekana kuna kitu kibaya alikifanya ujanani mwake pengine ujana ulipelekeya hayo. Kama si hilo Ali ni mtu mzuri sana ni CCM kindakindaki.
@user-nv7jg6xc8l
@user-nv7jg6xc8l 6 месяцев назад
Kuna comment moja humu humu RU-vid inasema Alivyokua mdogo alimuua mtu kwa kumtupa ghorofani ndio Baba wake akamuamisha akampeleka mawali sasa sijui kweli
@saidrashid5972
@saidrashid5972 7 месяцев назад
Ushauri wangu mzee usikate tamaa ww just Muamini Mungu. Usimuangalie mtu yeyote Allah ndie mpangaji ikiwa leo Allah hakukujaalia leo usikate tamaa kwani hata kesho ni siku ambayo inamilikiwa na Allah
@user-oo4qm6oj7i
@user-oo4qm6oj7i 5 месяцев назад
Huyu Mtu ana akili kubwa sana,maoni yake ni yanaongelea mazingira ya halisi,ana mawazo huru ni kipaji kisichotumika. Mambo binafsi hayana athari za kiutendaji.
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 7 месяцев назад
Km familia yenye heshima kubwa na historia kubwa nisingependa huyu baba afanye mahojiano😢
@salomewandya7257
@salomewandya7257 6 месяцев назад
Usipende wewe nani???
@yaziduabdallah2836
@yaziduabdallah2836 5 месяцев назад
Utajaza mwenyewe
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 7 месяцев назад
👍👊✌️.
@user-wr1iu5re2c
@user-wr1iu5re2c 6 месяцев назад
30:20 tatizo maji umegonga kimaharibi lazima sauti ikwame gonga mkono wa kulia kwa kila unachokila
@hassanadam2708
@hassanadam2708 6 месяцев назад
Mwinyi bora visiwani bhana, hawa wengine washaleta slogan za pombe!!!!!!
@hashimjaku8142
@hashimjaku8142 7 месяцев назад
Kabisa mwinyi kweli anastahiki sifa kubwa kiutendaji kulinganisha na tawala zilizopita,
@machaliakulima76
@machaliakulima76 6 месяцев назад
Ali AA Karume na Aman AA Karume, Ali alikuwa mkorofi lakini Amani alikuwa mpole
@mataypanga5262
@mataypanga5262 7 месяцев назад
Halafu ulinyimwa urais kwa sababu mkubwa wako alikuwa rais mda mchache uliopita,sasa iweje wakupe wewe tena haraka?!.
@comraderashid_nuru_m5260
@comraderashid_nuru_m5260 7 месяцев назад
Utamkuta pale CCM Club anapiga konyagi
@lugwetunje3896
@lugwetunje3896 6 месяцев назад
Sawa sigara pia haramu wangapi wavuta
@ahmedalismaily151
@ahmedalismaily151 6 месяцев назад
Mapinduzi ya Zanzibar yaliiongozwa na ukelo
@sammarley1413
@sammarley1413 6 месяцев назад
Kinacopatikana kwa damu matunda yake ni laana tu
@Jal210
@Jal210 7 месяцев назад
Upewe kazi kwa lazima sijaona mtu mjinga kama huyu eti kwa sababu ulikuwa mtoto wa Rais, hufai kuwa kiongozi wewe
@hajihassan5433
@hajihassan5433 7 месяцев назад
Muelewe alichosema. Kiukweli ana sifa za kupewa nafasi japo kuongoza Bodi, kiumri hawezi kuwa mtumishi.
@Jal210
@Jal210 7 месяцев назад
@@hajihassan5433 Nakuelewa ila huyu anajaribu kulazomisha na pia ni muongo na mlevi
@bonabonala5559
@bonabonala5559 7 месяцев назад
mapinduzi yenu yamekua tabu kwetu wanaichi na pia hamjawai shinda uchaguzi toka mwaka 1995 nawala hamji sahihishi kwa dhuruma ya wapiga kura wenu??? kwani hiyo au huo sio wizi na nizambi kwa mungu au hamjuii wizi ni zambi?? au zambi ni kuiba cm na pesa tuu??
@sulleyally5040
@sulleyally5040 7 месяцев назад
Hili dume sio mchezo linajiamini bwana
@fatmasaid9074
@fatmasaid9074 7 месяцев назад
ilo dumeee na vya kumfanya hawana sasa
@saturinimushi4746
@saturinimushi4746 6 месяцев назад
Ndiyo Faida ya Kuishi katika Nchi Tofauti Tofauti Duniani. Unajihamini Kupitiliza..... Alafu Baba alikuwa Rais. Utamfanya Nini? Mwananchi wa Aina hii.
@user-pf6yw7vh1p
@user-pf6yw7vh1p 7 месяцев назад
Mazungumxo yako yamejaa ubinafsi kaa kwa kutulia babako alikaa kwa mabavu ndugu yako magube matupu weww ndio hufai kabbisa
@hajiharoub8125
@hajiharoub8125 7 месяцев назад
Huyu angepewa uraisi tungeisoma namba
@user-gt4hx9ew5m
@user-gt4hx9ew5m 7 месяцев назад
Huna lako jambo ccm hatutaki wanafki ww ni mnafiki
@lugwetunje3896
@lugwetunje3896 6 месяцев назад
Okello ni nani?
@nassoribrahim2192
@nassoribrahim2192 6 месяцев назад
Mgombea mwenye mvuto na sio mwenye uwezo hapa mimi sijamwelewa, baba yako hakusoma lkn alikuwa na uwezo mkubwa IQ , stay your position achana na tamaa , na unaonekana hata ukila kiapo utatoa siri za serikali.
@samsonmwijage1869
@samsonmwijage1869 7 месяцев назад
Hilo swali la mwisho nani aliongoza mapinduzi 1964 mbona historia ipo wazi kimaandishi aliyekuwa kinara wa kumpindua sultani usiku huo anatajwa na aliyekuwa anaongoza vikao vya baraza anatajwa. Ali Karume hajaeleza vema kuhusu hilo.
@machaliakulima76
@machaliakulima76 6 месяцев назад
Tueleze mbona hutupi story tuongeze uelewa!
@azizamri1522
@azizamri1522 7 месяцев назад
Unatupotezea wakati kumleta huyu mlevi. Hana maana senti moja
@arnoldmambali3770
@arnoldmambali3770 6 месяцев назад
sharubati
@samsonmwijage1869
@samsonmwijage1869 7 месяцев назад
Sasa kama Zanzibar unasema ccm haijawahi kushinda urais kumbe hata kaka yako Amani hakushinda mbona hukutoka hadharani kumpinga? Wewe shida yako ni urais LAKINI siyo lazima uwe wewe usifikiri eti kwa kuwa baba yako na kaka yako walikuwa rais na wewe uwe rais. Mwache Hussein Mwinyi afanye kazi naye atamaliza muda wake.
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 7 месяцев назад
Huyu mpumbavu Tu.hana mojo walilofanya wizi Tu yeye na Chai jaba.sasa pesa za wizi na zulma zishamaliza wanatapatapa tu
@jacobnorbertchenga9465
@jacobnorbertchenga9465 6 месяцев назад
Nilicho Kielewa hapo ni kwamba angekuwa mgombea angeli peleka mkewe na watoto kwenye Kilili Pemba ili kuthibitisha kuwa hakuna uunguja na Upemba.🤣 Balozi tungepigwa
@user-kx4wd5vb4j
@user-kx4wd5vb4j 7 месяцев назад
Mimi nipo pamoja na wewe kwenye harakati zote za kisiasa nipo tayari kukusapot mzee.
@abdulhakeem959
@abdulhakeem959 6 месяцев назад
Unajinasibu na pombe
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 7 месяцев назад
Okello mgeni ni lzm alikuwa kwenye uongozi wa Karume
@hajihassan5433
@hajihassan5433 7 месяцев назад
Zanzibar mwenyeji nani, hata Karume ni kutoka Nyasaland sasa Malawi.
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 7 месяцев назад
Waarabu ndo wageni Zanzibar, mwafrika hawi mgeni Africa
@rastapeace9616
@rastapeace9616 7 месяцев назад
Viber kwa mistar
@GoldenchipsChips
@GoldenchipsChips 6 месяцев назад
😂😂sikupenda iishe hi interview mzee amechangamka mnoo😂naimeona ana wivu kidogo lakini pia mbinafsi kwa mbali 😂na mwenye majigambo ila pia ana elimu kubwa mno kichwani 😂😂mzee wa sharubati 😂😂 mnywaji na sio mlevi😂😂😂🚶😅😅
@Vuvuzelaz1
@Vuvuzelaz1 7 месяцев назад
Anakula kiti moto huyu mtu balaa
@michaelmillinga5064
@michaelmillinga5064 6 месяцев назад
Kwani wewe huli?
@tahiyasaeed
@tahiyasaeed 6 месяцев назад
Huyu copy ya marehem baba yake. Ila huyu mkorofi sana 😂😂😂😂😂
@sammarley1413
@sammarley1413 6 месяцев назад
Ndio kawaida yamakatili huzaa watoto wenye copy zao
@user-ff5vk1sn6d
@user-ff5vk1sn6d 6 месяцев назад
Acheni dhulma
@adnanidarous3117
@adnanidarous3117 7 месяцев назад
mbn hueleweki kw vijana wa kileo wa zanzibar
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 5 месяцев назад
Humjui wewe kwasababu ni mtoto wa juI halafu umezaliwa shamba mjini umekuja juzi na hukuwa ma mashorokiano ma loloye isipokua kula kulala. Kwahiyo huwezi kumjua kale ukalale
@user-ds9cn9eu3t
@user-ds9cn9eu3t 7 месяцев назад
Mlevi mkubwa ana uchuu wa urais huyu utausikia jina urais
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 7 месяцев назад
Kabisa!
@user-ff5vk1sn6d
@user-ff5vk1sn6d 6 месяцев назад
Muache dhulma mana mwisho ni kaburuni
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 7 месяцев назад
Urais utausikia tu redioni,,,,!!!
@iddimasika1173
@iddimasika1173 7 месяцев назад
Tambua neno sharubatiiiii😂😂😂😂
@hashimali9549
@hashimali9549 6 месяцев назад
Sharbat maji🇰🇪😢
@JumaAli-dw3kc
@JumaAli-dw3kc 6 месяцев назад
0
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 7 месяцев назад
Tatizo la huyu Mwamba anaongea sana
@asaomantv8977
@asaomantv8977 7 месяцев назад
Kwaiyo hata DR. AMANI nae alimkataaa au curlews?
@Ahdall
@Ahdall 7 месяцев назад
He sounds too desperate, poor guy
@williamuphilipo2120
@williamuphilipo2120 6 месяцев назад
Bonge la interview
@mustafaismail5622
@mustafaismail5622 7 месяцев назад
Wewe umekosa madaraka ndo unaropokwa.kumbe wewe shida yako madaraka
@user-ht6wt6kt5f
@user-ht6wt6kt5f 7 месяцев назад
Uyu jamaa anafaa kua rais
@bakarimmbaga2344
@bakarimmbaga2344 6 месяцев назад
Balozi Karume: Kama chama kimekufukuza, hamia chama kingine mbadala kwani bado una karama ya kuwa rais wa nchi. Ccm si baba wala mama yako unang'ang'ania nini?
@saidabdala4980
@saidabdala4980 7 месяцев назад
Chaguzi zooooooote al MARHUM MALIM SEIF. Ndio alochaguliwa na WAZANZIBAR kwa CHAGUZI zoote zilopitwa. Hapa naona tunaongeya unafik. Subirini mfe. Mtajuwa nini maana ya kula haram mwana wa ndani HUKO.
@Jal210
@Jal210 7 месяцев назад
Hiyu mlevi mpumbavu Karime hina lolote
@mataypanga5262
@mataypanga5262 7 месяцев назад
Karume wewe ni mkorofi na mtu mmenye kujiamini.Sasa huwezi kukaa na watu wanaosema ndiyo na hapana kwa wakati mmoja 😂
@allanngowi7071
@allanngowi7071 6 месяцев назад
... kwa busara nafikiri ingependeza ukaachana na Uraisi Zanzibar hasa kwa kuwa Kaka yako alikuwa Raisi sio muda mrefu sana uliopita... kingine ulipewa nyadhifa muhimu sana pia... human beings haturidhiki mmmmh 😢
@SurprisedOmbreSky-qg6dk
@SurprisedOmbreSky-qg6dk 7 месяцев назад
Mtu mwenye mvuto Nini wewe
@yazidusaidi8843
@yazidusaidi8843 7 месяцев назад
Gonga Tano kwa Mh. Ali Karume....Vitu viwili tu kama hujui porotocol na alcohol wewe huwezi kuwa timamu kusimamia mambo ya nchi, sasa wajinga tu ndiyo hawataelewa na kubisha falsafa hii...
@saturinimushi4746
@saturinimushi4746 6 месяцев назад
😂😂😂 Mhe. Balozi Amenizima Data hata mimi. Protocal + Alcohol=Balozi wa Nchi. Ama Kweli Upole Siyo Ulemavu. Mtu Mkimya Siyo Dhaifu kama tunavyodhani.
@HASSANMKUYASALUM-wu4ey
@HASSANMKUYASALUM-wu4ey 7 месяцев назад
NAMSIHI NDUGU YANGU MH HUSSEIN ALI. H MWINYI AWE KARIBU KAKA YAKE ALI KARUME UKIONDOA UONGOZI HUYO NINDUGU DAMU NIWATU WA. FAMILIA KWA UPANDE MAMA HAKUCHUKII KAANAE ATATUSAIDIA MAPINDUZI DAIMA
Далее
Средневековый киборг
00:39
Просмотров 532 тыс.
Mansour Himidi asema CCM imeshakufa bado kuzikwa tu
21:21
SHEIKH ALI BIN MUHSIN AL BARWANI NA SIASA ZA ZANZIBAR
2:26:36
Salama Na Shangazi Ep 28 | FIRST BORN Part 1
41:43
Просмотров 125 тыс.