Duh huo mzazi wangu ni mtihani sana hill jambo mungu halipendi kwa hiyo mshauri means no mkweo wajikite Kia Allah sw Kia jurists maamrisho yake na kuacha makatazo take loutish mwenendo sahihi was mime wetu Muhammad saw
nashindwa na ww mama badala umwoneshe njia nzuri wewe ndio una msaport binti yako.mama wakislamu yuwenda kinyume na ALLAH na wewe unona raha. ALLAH awaongoze
khadija A R M inawezekana ni kwel sabab mm oman nshakutana na familia za waarab lkn ukiwaon rang zao hyo mama leila ni mweupe yaan kma ypo tanzania akisema mwarab unawez kataa lkn ndio hvy sabab waarab wa oman asil yao tanzania
Msihadaike Na ukarabati wanyumba nahuduma anazokuhudumieni yule ni mtoto wakike namwanamke stara mpaka sauti yake niuchi kwaiyo kama Mama unafurahia ujuwe nimas uuli mbele ya Allah na majuto makubwa saana tena saana dini hairuhusu tafakari
hakuna awezae kuhukumu Ila kila mchunga ataulizwa alichokichunga tusijihalalishie allah alichokharamisha akhera kuzito tusidanganyane nywele wazi kifuwa wazi wanawake tumeambiwa stara Na nyimbo kharamu tuache kuhalalisha alivyotuharamishia adhabu za allah hatuziwezi sisi nidhaifu
Ummu Samira ni kwel Kabisa lakini kuna ubaya gani kuwasaidia wazazi wako pale wanapohitaji? Je wakifa njaa utajibu nn kwa allah ingali una uwezo? Je kipaji hatujajaaliwa na Allah? tusidanganyane tuombe hekima ya Allah ituongoze tuijue kweli, Tusiamini akili zetu tukafkia kuwaongelea wenzi wetu Maneno ya kumchukiza mwenyezi Mungu na mtumewe (S.A.W) Tutakuwa nacho cha kujibu siku ya Kyamah
Robert Kizito swadkta maneno yako tuseme yahaki tusimuudhi allah namtume wetu nakuwasaidia wazazi ni haki allah katuhimiza baada ya Haki yake kasema tuwafanyie wazazi wema Ila kwapesa zahalali mtoaji riski ni allah kufanya kazi nijitihada nasababu yakupata riski kuna biashara teeeele zahalali nasisi ndio tunaofanya alhamdulilah rabil alamin tukasaidia wazee wetu tusiingie kharamu ili tusimuudhi allah
mwana habari nawe mchokonozi kweli, alafu wewe mmama usifurahiye mwanayo kujishauwa mbele ya wanaume na kupaza sauti ni haramu katika Dini yetu ya kiislamu