Kweli, haya mafundisho yanapaswa kuwa wanafamilia wanaangalia ni mazuri sana sana sana.. Nashangaa kwa miaka mingi hawabadiliki, wanatoa mafunzo mazuri sana kwenye jamii.
MWe wastarabu wakina mama ni baba wtoto wako mchukuliye tararibu atakuwelewa asipo kutimiziya na kukudanganya hapo ndipo utachukuwa ECT shen za kutumiya nguvu ya kimahakama Kuna Baraza la wazee kupatanisha maswala hayo