Ushauri wangu kwa dulla mlango mzuri Unarangi nzuri, Mbao nzuri, Tena umekaa vizuri kasoro yake hauna kitasa(kikome)(kifungulio na kifungio)weka kitasa vya ndani vinaonekana.
Tunatafta wanawake kama hawa hatuwapati tunaopata nimazimwitu yani wewe mwanamke mungu angekudondo shea kwangu aise nahisi ninge muomba mungu asinichukue mapema maana madem wakibongo niwachafu watabia sjapata kuona hata wanaume pia wapwani naonimaji yaleyale wanapenda ngono kama chakula hawatulii nammoja ndowalivyo lisishwa naukoo wao mama baba utakuta ndotabia walizokuanazo toka ujana wao hatavizazi vyao hulidhi tabiahizo yani mungu tuone nasisi tumesha choka kutupa pesa zetu kwahawa makahaba wamjini hatauki funga naendoa nikazibule utakua kama umetupa pesazakotu ila mungu akikuelekeza kwangu apahautoki utaenjoi sana maana nikioa nimeoa nokahaba sjaumbwa natabia zafisi uyudula nisawa nafisitu maana fisi mizoga twende mifupa twende kilicho oza twende mavi twende hanaustalabu yeye hulachochote atakacho kiona tu anakula ujanja sioumalaya ukimuona mtu anakwambia mimi nimjanja nabadili madem uyonimjinga tu kama wajinga wengine
Nmecheka hatari nyinyi wanaume unaopenda wanawake hawabasiri kuna siku utamsema kaka yko amwambie duu mm ningekua mm dulla akija na siku hyo simtaki tungeachana
Kusema ukweli ni jambo jema sana, ila ukweli una mipaka yake. Mambo ambayo ni ya kumdhalilisha mke wako au mme wako sio ya kuongea hadharani. Kuna mambo ya public na mengine ya private au personal, mwanamke kama huyu hafai kabisa maana kama anaropoka ambayo si mazuri kwa mme wake publically anamdhalilisha. Hayo mapungufu ya mme wako kaa nayo moyoni mwako naww ndo mwandani wake wa kumfichia siri zake