Nimependa kimoja kwako ambacho wengi hawana...umetuonesha maisha halisi ya kitanzania...hayo ndo maisha tunayoishi wengi wetu...pia hongera kwa mjengo..ngoja na mimi nikaishi site.......❤
Kabisa Yan, sio kama kina gigy money😂😂😂umber lulu, kujiekti hawana lolote kumbe wanaliwa nyuma nyumba hawana😂😂😂😂Kaz kukosi mi apartment TU akili ya kujenga haipo mwendonikuliwa nyuma TU mtihan😂😂😂
Uyuuu dada jamanii amenifanya Nimpende zaidi maana yuko free na kuonesha mambo ake!! Sema zuwena jua kali alivopigwaaa tekeeee ktk harakati za kudai kodii😅😃😃😃😃😃😃
Siwa nakupenda huekti maisha kama wakina gigy money, kujidai wana hela nyingi kumbe wanazpata hela kwa kuliwa nyuma na kukodi apartment za gharama tu kashfa tupu, lkn wewe dada hongera❤❤ maisha yako normal mashallah❤❤❤❤