Byser unanikumbusha kitambo sana utotoni wakati wengine tulikuwa tunapanda kwenye vpanya tunakaa kwenye bansen buner wewe unatupita na ndinga kituoni unaenda shule ( dar sec school)
rav4 kweli ni gari nzur ni 4 wheel driver alafu ni strong pia ukibadilisha filter ata porche haishiki nimeona kwenye macho live rav4 inamwacha porche jamaa kabadilisha filter system tu alafu ikiharibika ukitegeneza inakaa mda mrefu kuharibika kidogo kutegeneza nitaabu kwa ajili ya space pia market ukitakuuza bei nzur sana utapataa ni nzur sana gari
Huyu demu ni waki.. Kipindi kizima unaongelea gari alafu gari zenyewe mnazozizungumzia sio za kistaa wala nini unaongelea stalet na rav4... Hiki kipindi siangalii tena kumbe ni cha magari.
haha rav 4 yazamani hata mm nime kupindua nina mak x na nina miaka 23 kijana wa kiarabu mdogo kwako at k.koo sio ww wakujiita superstar plz man don't call yourself superstar na muna sema tuna majungu ndio coz unatia aibu nchi yk miaka kibao kwenye mziki lkn huna cha maana tena km unabisha km siijui gari yk ni nyekundu Suzuki kibovu kishenzi ww gari yk ya kwanza starlet mm gari yng ya kwanza ni Mazda atenza ya yellow kacheki bei yk na nilikuwa nina miaka 15 , ww Lofa tu kajaribu mipango mingine lkn sio mziki open ur eyes man it's a big world that we live in.