Tatizo wa Tanzania 🇹🇿 mnasahau mapema @Harmonize mwenyewe alimwambia @DIAMOND_PLATNUMZ kwamba haitakuja kutokea kwamba wawe pamoja sasa mnalalamik @DIAMOND_PLATNUMZ sio fala umesha ambiwa hivyo alafu tena wende..nasio @DIAMOND_PLATNUMZ mbona wakina AliKiba wame alikua hawajafika hamuna kulaumu
Wachaneni na diamond juu munatafuta kiki orodha ya wasanii hawakwenda kwa show ni Marioo,Mobeto,Lavalava,Alikiba,Diamond, S2kezzy,Habah,Stamina,Nay wamitego nawengi tu Sasa mbona Diamon, diamond,diamond wacheni shobo
kadharau sana mwambino uwezi kata mwito wa raisi mbona wakina wanashida mbona wanakilimbilia kwenye sirikali watu wakubwa wasaidiwe alafu anakata mwitiko mbona wasani wengi wamekwenda alafu wote awajaenda
Kwani hao wengine walikuwepo??? Mbona hata Ally Kiba hakuwepo!!! Ina maana Mondi asipokwepo inakuwa shida? Ni wasanii wangapi walikuwepo hapo???? Acha uzwazwa
Mh! Kichekesho kweli pimbi kulilia uwepo wa diamond, lazima ukubali kuwa diamond ni tunu ya taifa! Unapita kufanya interview kumlilia diamond kwan shughuli ilibuma? Afu kumbuka Sugu alifanya show Rais Samia alikwenda 2023 acha kuzusha habari
Bongo24 tafuteni watu wenye alili timamu ili muwahoji kwasababu sisi mashabiki zenu tunahitaji kupata elimu kutoka kwenye blogs zenu....Mnawezajaje kuhoji mijitu anayotoa maoni kwa chuki na roho mbaya..Amkeni
Ondoka pale wewe mjinga kwanini kumlaumu m.mpimpi wewe mjinga imbwa mufu wewe.m.mpimpi usichoke kusema ukweli.diamond nikama pesa ya zamani,MDA wake ulishapita,Ahache kusumbuwa wenzake wasanii,haiko yéyé njo alianzaka muziki ao yéyé sio wa hajabu.harmoniz ni mai ya sika kwa lingala(maji mpya).yeye ni juu zaidi.m.mpimpi wewe sema ukweli kila siku usife moyo endelea.wajinga tena wapumbafu wao.wakosa adabu wenye matusi,hawakubali matokeo.wajinga sana.mimi ni rizik mwedelwai toka Kongo Sud Kivu/mwenga/kibe.
Msaidie huyo mnaemuhoji kumkumbusha kwamba Sugu Mr II alimualika Mh Raisi Mama Samia tena kwenye Tamasha ambalo si la chama na alihudhuria au alimaanisha nini anaposema hakujawahi kutokea Raisi kuhudhuria Onyesho au Tamasha lolote
@@MidaMapunda kajifunze kuxoma huko kwahiyo yy anapoongeaga ujinga hamuoni au umekalia akili tumia akili cyo chuki zikuoongoze kama hichi kimbwa we m2 anaitwa Pimbi unategemea nn c mjinga huyo
Kwa hiyo mtu ambaye hakwenda kwenye hiyo event ya hamonize ni diamond peke yake tu acheni upumbavu fyuu ovyo zako mr pimbi na huyo kistuli wenu mwacheni simba wetu, diamond ni mwanaume na nusu ana akili zake timamu na anajielewa mno sio mjinga na mpumbavu kama nyinyi ndio maana hakuja 😂😂😂😂hilooo aibu yenu 😂😂😂😂
Usitafute tonge kupitia mgongo wa mtu.Tafuta kitu cha maana uongee. Mondi hawezi kuacha kutimiza mkataba eti Konde ana issue. Hivi mnajua mkataba maana yake na gharama zake endapo utashindwa kutimiza? Halafu Konde sio wa kwanza kufanya tukio Samia akafika? Mnasahau nyie? Rudini kwenye maktaba zenu? Hata waandishi uchwara nao wachovu
Hamna mtu hapo, pimbi mfomo tu mziki kaanza kushabikia juzi anatudanganya tu hapa, konde mbona alialikwa wasafi festival na hakufika?ni ishu ya kawaida sana mambo yaende mbele mwambie pimbi mama kasema waache maugomv
Sio lazima kwamba diamond platnumz aje but Ana vitu vingi vya kufanya wengine wanasonga mbele nyie ni majungu vichuki vya kijinga havi fai acheni kiki za kijinga
we kwel pimbi...unamuitaje mtu ambae unajua kabisa uyu haji na mm siendi kwake?? Ulitaka akushtaki kwa kumpost bla ridhaa yake kakukacha...kwanza nenda ukiitwa ndo wenzio waje idiot