Тёмный

MRISHO MPOTO ATUPA MAIKI AMKIMBILIA RAIS SAMIA - MA-BODYGUARD WATAKA KUMZUIA - APEWA 'MAOKOTO'... 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 84 тыс.
50% 1

MRISHO MPOTO ATUPA MAIKI AMKIMBILIA RAIS SAMIA - MA-BODYGUARD WATAKA KUMZUIA - APEWA 'MAOKOTO'...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

2 фев 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 81   
@globaltv_online
@globaltv_online 5 месяцев назад
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@Maroo6Official
@Maroo6Official 5 месяцев назад
Link yenu iyo Aifunguki ya wathsApp
@mohdsaid8744
@mohdsaid8744 5 месяцев назад
Mama Samia tunakupenda sana wewe ni Raisi bora duniani na kwa vile ni zaidi ya Maraisi wanaume Mungu Akupe maisha marefu na siha nzuri daima kura zote visiwani tunakupa you are the best ever we Love you soo Much
@manning979
@manning979 5 месяцев назад
Nimefurahia kumuona Mkuu wangu wa Mkoa Mh, Balozi Dt Batlida Salha Burian, Tunakupenda sana Tabora❤
@agnesclement6305
@agnesclement6305 5 месяцев назад
😊😊😊😊
@zuwenaabdala7609
@zuwenaabdala7609 6 дней назад
Mama ni msikivu sana Zaid sana hekima aliyonayo ,,Mungu amtunze vema rais wetu Samia ,,mjomba heshima Yako mpoto
@aud548
@aud548 5 месяцев назад
Mjomba mastered the art ya kula per diem ya hii nchi... kajitaftia ka angle anakula keki na yeye😂😂😂😂😂
@mvukiedavid4332
@mvukiedavid4332 5 месяцев назад
Na Kila kwenye function ya Taifa yupo Kila awamu yeye anakula per diem
@aud548
@aud548 5 месяцев назад
@@mvukiedavid4332 😂😂😂😂hatari mzeee
@monicamtei5397
@monicamtei5397 5 месяцев назад
Asante sana Rais Samia kwa kujenga Taifa la Tanzania. MUNGU IBARIKI TANZANIA
@RwegoshoraPatt-os2ik
@RwegoshoraPatt-os2ik 5 месяцев назад
Maisha ni akili
@bonifacegasper9508
@bonifacegasper9508 5 месяцев назад
Machawa hao
@banguha
@banguha 5 месяцев назад
Daaa ila mpoto ana akili kikapu chake kaja nacho msije kusingizia hatuna sehem ya kukutunza kamata flsa twende zetu akili ni nywele bongo bila akili utateseka
@Maroo6Official
@Maroo6Official 5 месяцев назад
Mr.Mpoto👑 🎉🎉 is your next inlevel❤ First 🥇 Comment All like me ❤.
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 5 месяцев назад
Mjomba wa taifa🌹
@XiuKaratu
@XiuKaratu 5 месяцев назад
Bora Mpoto! Ukisikia Msechu ujue kuna mtu amekata kamba
@mvukiedavid4332
@mvukiedavid4332 5 месяцев назад
😂😂😂😂
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 5 месяцев назад
Mpoto usitusifie lakini tutetee nasisi tusemee na hilo kapu likijazwa kwa kusifu tu usitusahau mana tuna njaa mno mwenzetu....!
@MwanahamisSaid-bt1xf
@MwanahamisSaid-bt1xf 4 месяца назад
😂😂😂
@MariamJuma-pe4sy
@MariamJuma-pe4sy 2 месяца назад
😂😂😂😅😅
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 5 месяцев назад
Mama piga kaz nakupenda sana love more mumy
@frankdaudi4444
@frankdaudi4444 4 месяца назад
Baba yetu, Mzee wetu, Na Mpiganaji wetu, Nenda Upumzike kwa Amani, AMINA.
@ReginaldAplonary
@ReginaldAplonary 5 месяцев назад
Love sana Rais wangu mpendwa🎉❤🎉🌹🥰🌲💯
@johngordonwyland
@johngordonwyland 5 месяцев назад
Watching from New Orleans.
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 5 месяцев назад
Brother yanayoendelea uku na uko yapo?
@abuuthauran9933
@abuuthauran9933 5 месяцев назад
Mh Rais maji hatuna Dodoma yaan nimateso 2 umeme unakatika hovyo hovyo ukipiga simu wanakwambia maji hayatoshi.
@user-fy6ck9di1f
@user-fy6ck9di1f 5 месяцев назад
Hongera Sana brother mrisho mpoto
@user-dc7kf7np3l
@user-dc7kf7np3l 5 месяцев назад
Maashaallah mama Samia hanabaya Apewe MAUA YAKE❤
@knowledgeispower1118
@knowledgeispower1118 5 месяцев назад
Umaskini inawatesa sana waafrika
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 5 месяцев назад
Hata wazungu nao ni masikini
@knowledgeispower1118
@knowledgeispower1118 5 месяцев назад
@@jumakapilima7295 jifaraji na hiyo akili yako nyeusi..unawajua wazungu wewe.
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 5 месяцев назад
TATUENI KERO YA UMEME TUMECHOKA.WENZENU TUNAUMIA WAFANYA BIASHARA WANAPATA TABU MAMBO HAYAENDI
@sophiamsangi9763
@sophiamsangi9763 5 месяцев назад
Hon hata na mimi mama ntilie niliyeko kijijini nafatilia sana mambo mema unayo yafanya mama mwenyezi mungu akubariki
@godwinmsumari8089
@godwinmsumari8089 4 месяца назад
Mjomba nomaa
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 5 месяцев назад
Hongera unacheza na fusa
@ramadhanishabani807
@ramadhanishabani807 5 месяцев назад
Mpoto mii sikuelew bn
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 5 месяцев назад
Ni Sahihi kabisa Mama Apewa Maua yake
@user-jc8es8ut1g
@user-jc8es8ut1g 5 месяцев назад
Basi tu mwanamke mimi sijapata fursa yakuonana nae kwa kweli ningemkimbilia naamini naamini
@julianapatrick7911
@julianapatrick7911 4 месяца назад
@peninashungu6633
@peninashungu6633 5 месяцев назад
Hilo vazi utasikia ni la Milion 30
@andrewandrew1991
@andrewandrew1991 5 месяцев назад
Wanasiasa noma
@daudysanga8492
@daudysanga8492 5 месяцев назад
Huweleweki
@user-jb8bo2qw6r
@user-jb8bo2qw6r 5 месяцев назад
Nakumbuka huyu Mrisho Mpoto alitumia maneno ya masimango dhidi ya Viongozi mbali mbali wakiwemo wa madhehebu ya dini wakati wa tukio la kutia sahihi ya kuuzwa Kwa Bandari ya DSM. Bila shaka analipwa Kwa kufanya hayo!
@abuuthauran9933
@abuuthauran9933 5 месяцев назад
Huku kwetu kisasa ndio shida, juhudi zifanyijke watu wapate maji Dodoma ni Jiji
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 5 месяцев назад
sahihi Na umeme wakaukatika mara kwa mara
@user-jb8bo2qw6r
@user-jb8bo2qw6r 5 месяцев назад
Huyu Mrisho Mpoto aliwasimanga viongozi mbali😅emo
@shamilaalhabsi909
@shamilaalhabsi909 5 месяцев назад
Nakupenda mama samia Allah akupe nguvu kwa kazı unayoifanya İla kuna watanzania wengine hawaoni umuhim wako Ila ww fanya kazi yako Alllah atakupa ushupavu na ulizi wake
@georgekagwebe2461
@georgekagwebe2461 5 месяцев назад
Chawa mzee
@nelsonmgaya1490
@nelsonmgaya1490 5 месяцев назад
Kweli kabisa chawa kama chawa!
@shaddybmc8342
@shaddybmc8342 5 месяцев назад
MRISHO NAOMBA TUGAWANE HIZO HELA
@manchalijob9600
@manchalijob9600 5 месяцев назад
Ujinga huu jpm alikuwa haupendi masherehe kira siku vitendo hakuna UMEME SHIDA MAJI SHIDA KIRA SIKU MASHEREHE YA KIJINGA TU
@bonifacegasper9508
@bonifacegasper9508 5 месяцев назад
Mbele yaasali tena mmnacho kifikisha siiualia wamaisha yawatanzania acheni hizo.
@abubakarally3413
@abubakarally3413 5 месяцев назад
Ila viongozi wakubwa hawakimbiliwi ni hatari kwasababu wanalindwa kwa uangalifu sana
@user-lm6wc8gw3z
@user-lm6wc8gw3z 5 месяцев назад
Usenge tu unawasumbua
@hamadnassor-um2wy
@hamadnassor-um2wy 5 месяцев назад
Ila kma maofisa usalama walichelwa kwenye kumuwahi
@hoseakavubu2844
@hoseakavubu2844 5 месяцев назад
Mpoto. ....
@emmanuelnyakunga8320
@emmanuelnyakunga8320 5 месяцев назад
Iyo ni hutuba😂😂
@bonifacegasper9508
@bonifacegasper9508 5 месяцев назад
Ivi mnacho kiimba ndouakisia wawatazania,au mmelambaasali.
@ramadhanishabani807
@ramadhanishabani807 5 месяцев назад
Mpoto mchumia tumbo tu huna lolote
@josegambi7149
@josegambi7149 5 месяцев назад
Mrisho unakaririshwa maneno 😂😂 zingatia maokoto
@nelsonmgaya1490
@nelsonmgaya1490 5 месяцев назад
Hakuna uhalisia wa maneno yako!
@masilingimbilinyi5589
@masilingimbilinyi5589 5 месяцев назад
Huyu Rais samia suluhu Hasan nirais ambae anatumpenda anatujali hapend tugombane wala hapend tukwazane hakika mama samia ndio mana mana watanzania wote tunakuita mama hakika ww nizaid ya mzaz unatupenda sana nasi watanzania tunakupenda sana mungu akulinde uje uongoze zaid inchi imetulia inaumoja matusi yameisha chuki zimepungui ndio mana nakupenda Rais wangu pamoja na chama changu cha ccm
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 5 месяцев назад
Wewe peke yako
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 5 месяцев назад
Mjomba mjanja Sana kaenda. Na kikapu kajiongeza..... maokoto kwanza mengine badae 😂😂😂
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt 5 месяцев назад
Hahaha hahaha hahaha hahaha ametumwa pesa uyo
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 5 месяцев назад
@@HadijaZabroni-pu1lt Kwa kweli😂
@emm279
@emm279 5 месяцев назад
😂😂
@saynabmohammed6263
@saynabmohammed6263 5 месяцев назад
Mama samia samahan sana nilikuwa natopoka tu mwanzo ulipo ingia kumbe upo tofauti na uwelewa wangu Ni mzuri mama na una hekima Ni mama mshllh samahan sana
@shamisahmed4806
@shamisahmed4806 5 месяцев назад
Kwa vile umemuelewa ucjali!!
@RoseKimishabhalemi-oz9bn
@RoseKimishabhalemi-oz9bn 5 месяцев назад
Kima wako naa
@yuahahmad6651
@yuahahmad6651 5 месяцев назад
Nimefurahishwa sana na umakini wa walinzi wa rais ningekuwa na Hela aiseee ningewapa
@highvoltages4169
@highvoltages4169 5 месяцев назад
Wasingepokea hela yako bali wangekuweka chini ya ulinzi
@atupelejohnmwakangale3226
@atupelejohnmwakangale3226 5 месяцев назад
Wamechelewa kidogo,katangulia kufija high table kabla yao😂
@samsonsamwel8782
@samsonsamwel8782 5 месяцев назад
​@@atupelejohnmwakangale3226na asingeweka chin maik alkuw ameshamalz kaz
@user-qy4gb1kn4z
@user-qy4gb1kn4z 5 месяцев назад
mpoto unazidi kupoteza umarufu tangu uwakejili maskofu wakati wa kusaini mkataba.wa bandari umetufanya kuchukia nyimbo zako hiso za kiluga tumejuwa ww mchumia tumbo tu
@philipongenzatv
@philipongenzatv 5 месяцев назад
Huna lolote
@fredymkongwa5557
@fredymkongwa5557 4 месяца назад
Mama kiukweli unaupiga mwingi, siku naambiwa mama anakuwa Rais nikasema tumekwisha,kumbe ilikuwa ni Woga wangu tu,,mama hongera sana umeituliza nchi mama
@user-tk2we7cp5w
@user-tk2we7cp5w 5 месяцев назад
Roma bhana eti wampe maua kumbe maua ya mama
@ramadhanishabani807
@ramadhanishabani807 5 месяцев назад
Mjinga amebeba kakikapu ka hela wala sio kamaua
@user-xq2tw5hq9z
@user-xq2tw5hq9z 5 месяцев назад
Mama unanitoa chadema ujue love u best president ever
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 5 месяцев назад
Hisa 40 mbona bado tumepigwa?
Далее
Citizen TV Live
Просмотров 78 тыс.
HADI RAHA! ALIKIBA APIGIWA SHANGWE AKIIMBA RUN DUNIA
5:01