Msahada kwa Wenye Ndoto za Kujenga Nyumba Bora.........
Wawekezaji katika sekta ya ujenzi wameishauri jamii ya Kitanzania kuwa waangalifu na vifaa wanavyotumia katika ujenzi wa nyumba zao kwa kutumia vifaa vinavyotambulika na mashirika yanayokagua viwango na ubora wa vifaa hivyo.
Wakiongea na wadau wa maendeleo watengenezaji wa vifaa vya ndani ya nyumba na majengo makubwa CERA wamesema kutokana na changamoto walizokutana nazo wananchi katika mambo ya ujenzi wameamua kuokoa fedha za watanzania kwa kutumia teknolojia za kisasa zaidi
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER:
/ globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
25 июн 2018