Am 50 yrs old now Nimekufahamu since 2 weeks ago,nakusikiliza speech zako tangu za miaka 3 iliyopita mpaka sasa nahisi sijachelewa na nitaweza kutimiza ndoto. zangu
Mungu akupe maisha marefu yenye kheri na baraka Mr Joel nanauka nakukubali Sana Allah akuzidishie hotuba na speach zako nzuri kuliko kawaida . naitwa issa nassor naishi zenj , karibu Sana.
Ubarikiwe sana kaka joel umekuwa ni baraka kubwa mno kwetu na kuna watu walikata tamaa lakini baada ya kusikiliza mafundisho yako wameona wana sababu zaid ya elf 10 za kuishi 🙏🙏