Тёмный

KANUNI MUHIMU ZA MAFANIKIO - JOEL NANAUKA 

Joel Nanauka
Подписаться 280 тыс.
Просмотров 86 тыс.
50% 1

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Опубликовано:

 

4 сен 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 90   
@khamiomar7844
@khamiomar7844 3 дня назад
Mr Joel mm nakupa big up San uko vym .🙏
@marymkamwa3779
@marymkamwa3779 8 месяцев назад
Am 50 yrs old now Nimekufahamu since 2 weeks ago,nakusikiliza speech zako tangu za miaka 3 iliyopita mpaka sasa nahisi sijachelewa na nitaweza kutimiza ndoto. zangu
@fanikiwamaishaonlinetv6827
@fanikiwamaishaonlinetv6827 9 месяцев назад
Mungu akupe maisha marefu yenye kheri na baraka Mr Joel nanauka nakukubali Sana Allah akuzidishie hotuba na speach zako nzuri kuliko kawaida . naitwa issa nassor naishi zenj , karibu Sana.
@user-zc9dp6zx7m
@user-zc9dp6zx7m 2 месяца назад
Umeua kwenye hii elimu unayotupatia bureee Arafati Tz nanyumbu mtwara
@enockiradukunda1174
@enockiradukunda1174 10 месяцев назад
Asante sana Mr Joel , Nina mshukuru Mngu mwenye kutupa mutu kama wewe🙏 (ENOCK from Rwand🇷🇼)
@NickGamba-ft8tl
@NickGamba-ft8tl 7 дней назад
ASANTE MENTOR, MASTER ARTHUR NANAUKA JOEL 🙏🙏🙏
@mahambagislain9618
@mahambagislain9618 10 месяцев назад
Mungu akubariki sana wasema kweli umeniumbia kitu ndani ya maisha ya ngu🇨🇩
@veronicawangari8089
@veronicawangari8089 10 месяцев назад
Ukweli kabisa mungu akubaliki sana . Kupitia mafudisho yako sai najitabua sana .
@filipetoll6112
@filipetoll6112 10 месяцев назад
Maneno ya kiingereza mm cyaelewi, muwe mnajikita kwenye lugha zetu zilizonyooka ili tuwe tunaelewa zaidi.
@neemalyimo9244
@neemalyimo9244 6 месяцев назад
Ahsante sana kaka Joel leo nimejifunza kitu kikubwa sana MUNGU akubariki
@matengamboho5098
@matengamboho5098 10 месяцев назад
Watu watatu kama wewe dunia inakuwa sehemu nzuri yaku ishi 🤝❤️🫴
@wilbertmlyuka5723
@wilbertmlyuka5723 10 месяцев назад
Kiukweli speech zako huwa nazikubali sana. Hasa kwa jinsi unavyotoa mifano
@DoctorEvarist
@DoctorEvarist 10 месяцев назад
You never disappointed daddy 👏🏼👏🏼🙏🏻 be blessed
@user-dp9qx8oe8l
@user-dp9qx8oe8l 3 месяца назад
Ni kweli baba mafundisho yako mazuri sana
@christophermlaki5828
@christophermlaki5828 10 месяцев назад
Nimekuelewa sana kaka
@Nguzofurniture
@Nguzofurniture 10 месяцев назад
Ahsante sana kaka nina jambo langu nitakushirikisha kama unaniruhusu maana umekua mtu muhimu sana kwangu. Ahsante 🙏
@shigongodaniel-uz3vz
@shigongodaniel-uz3vz 8 месяцев назад
Asante kwa mafundisho yako Mr.Joel
@annedaniel4451
@annedaniel4451 10 месяцев назад
Barikiwa sana kaka,na Mungu azidi kukujaza maarifa ili wengine tunufaike❤❤❤
@Makofiatz
@Makofiatz 4 месяца назад
That's what you said ni vizuri ❤
@MaryGodfrey-hd9bn
@MaryGodfrey-hd9bn 10 месяцев назад
Ubarikiwe sana kaka joel umekuwa ni baraka kubwa mno kwetu na kuna watu walikata tamaa lakini baada ya kusikiliza mafundisho yako wameona wana sababu zaid ya elf 10 za kuishi 🙏🙏
@felsonsanga8502
@felsonsanga8502 8 месяцев назад
God bless you servant of God
@zabrongermanus-co1jj
@zabrongermanus-co1jj 9 месяцев назад
Safi sana okoa jamii n kazi ya Mungu iyo
@UshindiBulambo
@UshindiBulambo 10 месяцев назад
Facts and inspires for really get u from malawi as a refugee in dzaleka dowa
@nassoromussa2423
@nassoromussa2423 10 месяцев назад
I'm speechless!
@GeophreyMwalyolo-hi9vy
@GeophreyMwalyolo-hi9vy 10 месяцев назад
Thanks a lot a man of God
@EmanuelEsopa
@EmanuelEsopa 10 месяцев назад
Neno moja tu kaka Nashua sana
@chegemazuku2623
@chegemazuku2623 9 месяцев назад
Mungu akubaliki sana!
@kwangukazungu8299
@kwangukazungu8299 6 месяцев назад
My MENTOR, God bless you
@aksapeter5181
@aksapeter5181 10 месяцев назад
Mungu akubariki sana sana ki ukweli Huwa unanifanya kupiga hatua kubwa
@pontianrweyongeza6240
@pontianrweyongeza6240 9 месяцев назад
Kaka nakupenda sana unafundisha Mambo mazurió sana
@user-hp5by1cd4n
@user-hp5by1cd4n 10 месяцев назад
Brother Mungu akubariki sana
@ndimyakekapusi8146
@ndimyakekapusi8146 10 месяцев назад
Barikiwa Sana bro unatupa madini imara
@HildaPetro
@HildaPetro 9 месяцев назад
Mi nakukubali sana mungu akubariki
@ShuwenaHajji-zc5hz
@ShuwenaHajji-zc5hz 10 месяцев назад
Asante san umetfunua san mung akuwek maish marefu
@frankkagosso3093
@frankkagosso3093 9 месяцев назад
asante kaka @nanauka ❤
@user-yd1zh4pe7q
@user-yd1zh4pe7q 6 месяцев назад
Unanifungua Sana ubongo na maneno yako na vitabu vyako usichoke kutupa maarifa
@user-lp6ft5bf5j
@user-lp6ft5bf5j 9 месяцев назад
Fact sana bro
@EstherAlphonce-bm2kj
@EstherAlphonce-bm2kj 9 месяцев назад
Uko vzr unafaa kuwa kiongoz wa taifa
@evelynmsoma764
@evelynmsoma764 10 месяцев назад
❤ asante Kwa kweli
@user-fw5jq6bp2t
@user-fw5jq6bp2t 9 месяцев назад
Jamani uko sahihi mmmh penye kusaidia ndugu hapo hakika yakikukuata hata kama uliwasaidia vipi hawakusaidii dah Wacha nichukue hatua binafsi nimeshuhudia
@hakuzwebirinda
@hakuzwebirinda 9 месяцев назад
BE BLESSED.
@aliyukagambo
@aliyukagambo 10 месяцев назад
Noel tunashukuru Tanzania lazima tupambane tuzishinde roho za umasikini 😢
@user-fv6pq9oj1s
@user-fv6pq9oj1s 9 месяцев назад
Kaka Mung anakutumia kushape zone
@omanjalan582
@omanjalan582 10 месяцев назад
Mr joel nmekuelewa
@mwanaomary3034
@mwanaomary3034 7 месяцев назад
Be blessed
@eliamartine4720
@eliamartine4720 10 месяцев назад
Nakuelewa sana
@user-te6ej9mb3l
@user-te6ej9mb3l 9 месяцев назад
Kaka ubarikiwe sana
@DanielMbaka-qw3uf
@DanielMbaka-qw3uf 10 месяцев назад
we jamaa uishi milele najivunia sana kuwa haki kipindi kimoja n wwe
@methuselasamson2611
@methuselasamson2611 6 месяцев назад
Brain Vitamins from this man is such an awesome❤
@user-mi4tu1zs5b
@user-mi4tu1zs5b 10 месяцев назад
Barkiwa sana
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj 10 месяцев назад
Asante sana
@Nicholousmwanyangala
@Nicholousmwanyangala 10 месяцев назад
Brave one day I'll meet with you for more conversation sir brace
@AizackKalenge-ro5rc
@AizackKalenge-ro5rc 10 месяцев назад
Unatakiwa utumie Lugha moja wapo,Kama Kiingereza au kiswahili
@GivenMwakalikene-xb1ww
@GivenMwakalikene-xb1ww 8 месяцев назад
Good advice broh I want to be alike oneday🙏🙏
@modestaflowin-iz9ok
@modestaflowin-iz9ok 8 месяцев назад
Hakika umenifungua Leo
@khamisomarhassan6483
@khamisomarhassan6483 8 месяцев назад
Nakutakia kila la kher
@NeemaMinga-pl8ty
@NeemaMinga-pl8ty 10 месяцев назад
Kila siku napenda kuchukua point zako, napenda unachokifanya bro. Mungu akubariki sana Ili uzidi na uzidi kutupa hayo madini.
@matengamboho5098
@matengamboho5098 10 месяцев назад
Mwalimu ❤😊
@user-ml6ro6lo6o
@user-ml6ro6lo6o 10 месяцев назад
Asante brother ❤
@user-ne4ks4yy8n
@user-ne4ks4yy8n 6 месяцев назад
Kweli ndugu yangu
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 10 месяцев назад
UBARIKIWE KAKA
@theodosiaramadhan5626
@theodosiaramadhan5626 4 месяца назад
Kweli kabisa
@julianalaly2095
@julianalaly2095 10 месяцев назад
Nimekupata kaka
@user-np6rl5tv7m
@user-np6rl5tv7m 10 месяцев назад
Good bro
@user-bj4vy1wn4t
@user-bj4vy1wn4t 7 месяцев назад
Blessed
@user-ee8xb1tl5n
@user-ee8xb1tl5n 5 месяцев назад
Mm nilikua nataka no Yako kaka
@michaelaloyce2072
@michaelaloyce2072 8 месяцев назад
Sensa ya nchi gani hyo kaka
@user-uy5ue2tz6g
@user-uy5ue2tz6g 5 месяцев назад
😅😅😅😅
@user-cn8zl3ww5r
@user-cn8zl3ww5r 5 месяцев назад
Fact😢😢😢
@AishaOman-qz7tn
@AishaOman-qz7tn 10 месяцев назад
Shukrani somo nzur la kujifunza 🙏🙏
@DenismushiMushi
@DenismushiMushi 6 месяцев назад
Hakika ❤
@abdalahmtimbe5960
@abdalahmtimbe5960 10 месяцев назад
Madini ya kutosha
@user-qh6bq9ex8q
@user-qh6bq9ex8q 9 месяцев назад
naitaji namba zako braza joel
@mozoupcommingartist7779
@mozoupcommingartist7779 10 месяцев назад
Mwalimu wanqu huyu 👨‍🏫
@AmaniKilona-gl8df
@AmaniKilona-gl8df 9 месяцев назад
Great
@AizackKalenge-ro5rc
@AizackKalenge-ro5rc 10 месяцев назад
Tatizo Unachanganya Lugha,
@zabronmarco1430
@zabronmarco1430 10 месяцев назад
💯💯
@faudhiaGombaeka-kf7oe
@faudhiaGombaeka-kf7oe 10 месяцев назад
Asntee
@user-cb4yj6ul2d
@user-cb4yj6ul2d 6 месяцев назад
Vitabu vinapatikana wapi na vinauzwaje
@ZIP255-j6r
@ZIP255-j6r 5 месяцев назад
KAKA WEWE MTU BORA SANA
@mozolijei
@mozolijei 9 месяцев назад
Kaka nilikuwa naomba unisaidie kwa kutoa ushauri kuhusu upambanaji kwa eneo la shule
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi 9 месяцев назад
❤❤❤❤🎉
@emmanuelmashaka1769
@emmanuelmashaka1769 10 месяцев назад
🙏🙏🙏
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 10 месяцев назад
✍️
@Its_Tokyootz
@Its_Tokyootz 10 месяцев назад
🧠🧠🧠🧠
@Its_Tokyootz
@Its_Tokyootz 10 месяцев назад
😆😆😆😆💯💯💯💯💯💯💯💯💯
@Mfungo
@Mfungo 8 месяцев назад
👍👍👍👍👍
@Makofiatz
@Makofiatz 4 месяца назад
That's what you said ni vizuri ❤
@niriacatering172
@niriacatering172 10 месяцев назад
Asante sana
Далее
FAIDA YAA KUANZA - JOEL NANAUKA
5:26
Просмотров 10 тыс.
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
AMUA UNACHOTAKA LEO - JOEL NANAUKA
17:14
Просмотров 96 тыс.
FANYA JAMBO MOJA KWA MUDA MREFU - JOEL NANAUKA
29:30
Просмотров 174 тыс.
Tabia 10 Muhimu za Mafanikio
30:39
Просмотров 378 тыс.
NGUVU YA ZIADA KWENYE KUWEKA MALENGO - JOEL NANAUKA
41:10
DR IPYANA ft JOEL NANAUKA // DAMU YA YESU NA UTAJIRI
18:43