Тёмный

MSANII WA NANDY YAMMY AMPIGA MIKWALA ZUCHU /SITAKI KUFANANISHWA NAE / ANAJUA 

Duma Tv
Подписаться 234 тыс.
Просмотров 94 тыс.
50% 1

MSANII WA NANDY YAMMY AMPIGA MIKWALA ZUCHU /SITAKI KUFANANISHWA NAE / ANAJUA

Развлечения

Опубликовано:

 

31 янв 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 92   
@priscaphedrick5970
@priscaphedrick5970 Год назад
Katika wanamziki woote wakike bila uongo wala kupepesa macho ni RUBY sema tu wakumshika mkono ndio hakuna
@Mina.15
@Mina.15 Год назад
💯👌🏾 Ruby anasauti bwana wamemroga TU 😂
@kaxoghursantos2696
@kaxoghursantos2696 Год назад
Ruby inaonekana discipline hana yuke
@ZenaMsumagilo
@ZenaMsumagilo 17 дней назад
Nimependa ulivyosema ukweli Ruby ni kifaa anajua
@wahidamaulid9527
@wahidamaulid9527 Год назад
zuchu aachwe juz juz alikuwa anaekwa kwa Nandy zuchu mmja akaekwa kwa angela huyo huyo kwa yami ina mana mkali ❤️💯 but u team haufai umoja ni nguvu wanawake wenyewe wachache kwenye industry
@iddjuma4126
@iddjuma4126 Год назад
Yeah ❤
@damaspius1620
@damaspius1620 Год назад
Zuchu ni zuchu yammi ni yammi ko mcjisheue kumchamba zuchu kisa yammi , kwan zuchu alivyoanza kuimba almtaarfu yammi uo ni unafki jaman wote ni wasanii wetu na wanaitaj support zetu so msifanye k2 kwa kukandamiza upande mmoja mpoo, tena tatizo la watanzania wengi wapo wapo 2 wanafata upepo ko kila m2 ana sauti yake ko mcfananshe fananshe ovyo .. Je yammi asinge kuwa msani mngemfanansha na nani zuchu¿¿¿??? Bt kazen buti cc 2pokwajr ya kuwa suport
@fauziakitenge8061
@fauziakitenge8061 Год назад
Mnagombanisha watu kwa Kichwa Chenu cha habari…Mnataka kumuharibia wakati ni mtoto mdogo anajitafta mfyuuuu shenzy
@kalssambaboo9932
@kalssambaboo9932 Год назад
Hawa waandishi niwachonganishi sana hawa
@nairatomar9389
@nairatomar9389 Год назад
wenye wivu mjinyonge tyuu👌🏼❤️❤️ kw qeut Yammi mambo ni🔥🔥🔥 mjipange sn👌🏼🥳🥳🥳
@damaspius1620
@damaspius1620 Год назад
Siku zote wa2 uanza kwa moto badae upoa , bt ngj 2subr😊
@fadhilamlay407
@fadhilamlay407 Год назад
Kabisa
@fatumamohammed2485
@fatumamohammed2485 Год назад
Nakuona mbali sana dadangu unajua kuimba napenda sana nyimbo zako.
@MussaChristopher
@MussaChristopher Год назад
Nandy huyo mtoto ume mtolea wap man ni fire
@SafiaHabib-ie2se
@SafiaHabib-ie2se 2 дня назад
Yami we kweli umeukoka Moto na utakuunguza kweli maana kutoka kwa Allah kwenda kwa shetani.shetani katuahidi machafu na Allah katuahidi msamaha namuomba Allah akurudushe kwake akutoe kwa shetani. Dunia ni mapito hutokwenda kwa Mola wako na Nandi utkwenda peke yako na uliyoyafana ukiwa Duniani. 13:27
@SafiaHabib-ie2se
@SafiaHabib-ie2se 2 дня назад
Yami maasi yako unafananisha na rehma za Allah huo ni mtihani imeingia kwenye sauti ya shetani kakuita umemfuata na mwisho wa siku anakutaa anakwambia hukumuona hio ndio sifa ya Ibilisi aliyelaaniwa. 13:27
@user-me8vz7fe8o
@user-me8vz7fe8o 15 дней назад
Zuchu kiboko we yammi kaa pembeni asaaa
@yusternyirenda7231
@yusternyirenda7231 Год назад
Vina muda basi zuchu she is something else wasikudanganye dada mgeni, yammi kuimba anaimba sawa lakini kumfikia zuchu bado mno, hizi comment za walimwengu dada mgeni zisikuvimbishe kichwa ukajiona wewe unajua mno bora uendelee kupambana ili ufike mbali nenda kwenye post za zuchu na interview za zuchu za zamani wakati ametambulishwa kuwa ni msanii mpya uone comment za waja zilivyokuwa nzuri nzuri kama hizi hizi zako lakini sasa ivi nenda kwenye post zake mpya na interview mpya uone comment anazopewa hahaha utafurahia shoo hao ndio vigwegwe wanaopatikana kwenye nchi inayojiita tanzania
@happinessburton7529
@happinessburton7529 Год назад
Hahahahha ashindan na boss wake kwanz
@sarishy0664
@sarishy0664 Год назад
Kwanii amesema anataka kumfikia zuchu😜
@yusternyirenda7231
@yusternyirenda7231 Год назад
@@sarishy0664 muulize huyo kilandage wako ndugu matangazaji aliyetuletea huo upuuzi
@SarahIbrahim-je1oo
@SarahIbrahim-je1oo 14 дней назад
Acha wivu wewe humfiki zuchu
@aminabashirmohamed5752
@aminabashirmohamed5752 Год назад
Usiguse Moto utanguunguzaaa,achana na zuchu namba one
@user-me8vz7fe8o
@user-me8vz7fe8o 15 дней назад
Kwanz huyu yammi hajui ata kuvaa kw kwel😂
@Joylinemakeup
@Joylinemakeup 6 месяцев назад
Kumfikia zuchu bado sana my dear 😊
@ushyentoabdulnunu8044
@ushyentoabdulnunu8044 Год назад
Hahahahahahaha weee Yammi kiboko zuchu ayumo ....Yammi mpole maskin n pia yaonekana life ilikuwa ngumu maskin ila kuwa msiriwa waja wambea dadangu
@user-pw2bl4qd8w
@user-pw2bl4qd8w 4 дня назад
Yammy we mzuri sana ❤❤❤❤
@thedon8467
@thedon8467 10 месяцев назад
HAKIAMUNGU ZUCHU NI MTANZANIA
@SafiaHabib-ie2se
@SafiaHabib-ie2se 2 дня назад
Ikiwa kweli mama ako hakupenda uimbe kwasababu alikueomesha misingi ya dini ya Kiislam na leo anakusapot kwa unachokifanya basi hana msimamo thabit kwa Mola wake na yeye atakwenda jibu kwenye mahakama ya Allah, umetoka kwenye misingi ya Mola wako kisa dunia yakuishi muda mchache tu unakaa uchi mama ako anashangiria na Dua anakuombea uzidi kumkosea Muumba wako sijui Kama hayo ni mapenzi ya mzazi maana Moto wa dunia na wa Akhera haulingani yeye yupo tayari aje mtu aweke Moto mbele yake amwambie mama yako namchoma Yami hapa Leo atakubali? Kama hatokubali basi kwa Nini akubali ukachomwe kwa Moto wa Allah usio na mfano? Kisa pesa tu . Tukumbuke wazazi Lina siku ambayo haitamfa mtu mali yake wala watoto tuiyogope hio siku dunia tumeikuta na tutaiyacha.
@fbr5113
@fbr5113 Год назад
WASANII WANAUME WANAHANGAIKA NA DIAMOND WANAWAKE NA ZUCHU DUH KWELI NDIO UJUE KWAMBA DIAMOND NA ZUCHU NI TISHIO NA NDIO WAKO JUU KULIKO WASANII WOTE TANZANIA NA EAST AFRICA
@hadijachionda5580
@hadijachionda5580 Год назад
Anaweza sana
@mwabiawahadi6247
@mwabiawahadi6247 Год назад
Zuch Humuenz Jipange Zuch Level Nyengine
@aishamagoshi2852
@aishamagoshi2852 Год назад
Amesemaanamweza
@anthonybanda4483
@anthonybanda4483 Год назад
Who said so
@mwanaidibushiri9048
@mwanaidibushiri9048 Год назад
Achen kugombanisha wa2 jamani kama unaon hajui kaimbe wewe all in all wanaweza
@damaspius1620
@damaspius1620 Год назад
Daaah wasanii wanakazi sana cjuh wanaona wanachoongea mashabiki
@lisauroble31
@lisauroble31 17 дней назад
Yami unasauti nzuri weembo umenifrahisha
@ashuu7772
@ashuu7772 Год назад
Zuchu ni hela ndio maana anafananishwa na wasanii wengi
@salamalsawaqi1206
@salamalsawaqi1206 16 дней назад
Huyu bado mikojo mtupuuuu
@zena6203
@zena6203 Год назад
Usijisifu unambio wakati hujakimbizwa subiri ukimbizweeee kwanza
@rosejosephat9690
@rosejosephat9690 Год назад
Mbona mtangazaj anaongea na Yammy kama vile amemuelewa? Au nyie mnaonaj duuuuh! Au pengne hyo nmeiona pekeangu 🤷
@user-ep4kd3rv6y
@user-ep4kd3rv6y 10 месяцев назад
haha hatari??
@user-oj4rw2jr7n
@user-oj4rw2jr7n Год назад
Yamy i like your songs❤❤❤❤❤ mungu akuzidishie
@kanyihambamontana5971
@kanyihambamontana5971 Год назад
Uyo ni moto sana,anamzidi zuchu mbaliiii kuimba tena bila wongo
@getrudaFransis-zo7kp
@getrudaFransis-zo7kp 10 дней назад
Nakupend nlikupenda Zaid kweny tiririka
@mwanamisimwangaro8001
@mwanamisimwangaro8001 Год назад
Zuchu apingwi kwakua yuko kwa diamond( wasafi) tu ngoja pekeake kama nandy ama wasanii wengine ....atakua chini sana tu
@antonywilliama2868
@antonywilliama2868 Год назад
hasa huyu yami si ndo anajitafta mmeshaanza kumjaza kichwa
@idayaassumani4102
@idayaassumani4102 Год назад
❤❤
@khadjamhozya
@khadjamhozya Год назад
Wa tz bhana,!!!,🤔 saivi zuchu mumemsahau, mumeisahau, watsubir Sana , mwambie apunguze kampeni, Jimbo rshacukuriwa, my namba one na ley,vanny, na lmiss you , na vanny Yan arisema sere gogo, na kwikwi na sukari nanisamee na, ninamuogesha namnyonyesha,na nyumba ndogo,,,, na kpendwa lahaa zngnezo aloimba na mboso na wasan wengine na wa injee za kngereza zilzofanya vzur , mpaka leo nandy mwenyewe kwa zuchu hagusi iweje huo mwenye mipua Kama ya babalevo anamzidi, labuda zuchu ashindanihwe na sarafina sio huo kijuso🤧🤧🤧🤧zuchu 🤍🤍🤍🤍
@damaspius1620
@damaspius1620 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂 umeamua utaje kbsa na orodha ya nyimbo za zuchu 😂😂😂😂😂😂 we kiboko bac taja naza yammi😋😋
@user-up7lr3fe5j
@user-up7lr3fe5j 10 месяцев назад
Zuchu kama zuch
@aishamohamed9981
@aishamohamed9981 4 месяца назад
Mama alikua sawa kukataa usiimbe... Mbele ya Mungu anamajibu...
@TopTop-vo6pe
@TopTop-vo6pe 19 дней назад
Hujamfikia zuhura dada, nandy ackudanganye, zuhura motor sana, jitahidi sana ukitaka mfikia zuhura
@raphaelbravo8432
@raphaelbravo8432 Год назад
Kuna msemo fulani niliusikiliza kwenye wimbo fulani eti umejifunza ngumi so unataka kupigana na Tyson... Utaweza kweli wewe dada, wewe si level ya Zuchu kwanza anza kushindana na bosi Wako umpiku.
@maalimkicheko8731
@maalimkicheko8731 5 месяцев назад
Kwamfano ukimpiga Alafu Akakaa pembeni Akawa Anaimba lazima utoke chozi kwanini umempiga
@GraceWife-e7r
@GraceWife-e7r 7 дней назад
Saw
@hasaniomary9399
@hasaniomary9399 Год назад
Zuchu sio levo ya nand jaman labda gani na wasanii wengine chipukizi
@user-do9fp4js3q
@user-do9fp4js3q 20 дней назад
Yammmin nakukubar pambana dada angu
@user-ck4cv5rh7i
@user-ck4cv5rh7i 5 дней назад
Yammy anafanana na ruby
@user-hn6vo2sn6e
@user-hn6vo2sn6e 11 месяцев назад
Hata pi a zuchu alianzia chini poa yeye alilia xaa pia kitu chaanziwa chini msaport ni moto sana
@HannanAlly-o8k
@HannanAlly-o8k 6 дней назад
We mtoto was juzi tuuu funga ilo domo lako
@patimamadaha9160
@patimamadaha9160 Год назад
Iko kipand3ee nakipenda mno
@ghadaalzuhari2739
@ghadaalzuhari2739 Год назад
Mashallah unajywa❤️
@asiaedward5247
@asiaedward5247 Год назад
Ul
@ashaali7154
@ashaali7154 Год назад
Wanaowapaisha Zuchu na Diamond ni hao hao watangazaji na ndio hao wanawaharibia kwa madongo yao. Wasanii wengine wanahangaika na maisha yao tu hawana muda wa ugomvi.
@SharrifCharo-mi1bn
@SharrifCharo-mi1bn 10 месяцев назад
Sasa huyu unamuigiza zuchu
@user-us7id9hp7p
@user-us7id9hp7p 4 месяца назад
Ucmfananishe zuhura na vitu vya ajabuuu
@aminumlekeni1397
@aminumlekeni1397 Год назад
Oyo mikwala sas
@djjimmyjey7470
@djjimmyjey7470 Год назад
Mfyuuuuuuuu
@maalimkicheko8731
@maalimkicheko8731 5 месяцев назад
Huyu Anaweza duu hii nibayyati maimuna
@watuhuru6128
@watuhuru6128 Год назад
Bila zuchu mambo hovyo
@wahidamaulid9527
@wahidamaulid9527 Год назад
mkali ila zuchu asithubutu kushindana nae asivimbe kichwa kiivo 😂 zuchu level zile
@halidhemed7524
@halidhemed7524 Год назад
Label inambeba... Ila talent n kawaida
@wahidamaulid9527
@wahidamaulid9527 Год назад
@@halidhemed7524 na uyo nae c kabebwa na lebo au zuuuchu achwe jitihada pia anayo
@halidhemed7524
@halidhemed7524 Год назад
@@wahidamaulid9527 ulivyosema asithubutu kushndana nae .... Wote walkuwa hawafahamik.... Ila kiuhalisia bila kuangalia nan kaanza kutoka kwng game.... Mwny talent ya kuimba Yammy sio Zuchu, hii haimaansh kwmb Zuchu hajui kuimba.. lahasha
@wahidamaulid9527
@wahidamaulid9527 Год назад
@@halidhemed7524 zuchu anajitihada na talent yami nyimbo zake hazifikii za Zuchu uwo nd ukweli sema watu Zuchu huangalia makosa sana kama ile performance alosema mic sijui watu tena nd sababu ya kumuona kuwa zuchu hana kipaji mi naona siyo kweli ata iyo lebel ingebeba watu wengi wakafika level za zuchu mbna wameshindwa je una uhakika ata fika level xa zuchu? siamini msanii ukiwa huna jitihada hata lebel mzigo 2 kina angela wamefika wapi ,lavalava au hata mbosoo hana ata tuzo na yupo lebel iyo unosema zuchu hana lolote kabebwa
@wahidamaulid9527
@wahidamaulid9527 Год назад
@@halidhemed7524 tumuangalie mana pia zuchu hakuanza vibaya alianza vizuri zaidi ya yammi na akaendelea na kukua zaidi hii haimaanishi kila msanii anaweza wapo waloanza vizuri ila kumeintein nd mtihani
@rukiaathumanathuman7875
@rukiaathumanathuman7875 6 месяцев назад
Yaamy yuko moto
@watuhuru6128
@watuhuru6128 Год назад
Walikuja kina anjela we uombe mungu
@Amisikashindi.
@Amisikashindi. Год назад
✌️✌️
@user-gu3ft5ym8p
@user-gu3ft5ym8p 8 месяцев назад
Inatisha nakupenda
@salamalsawaqi1206
@salamalsawaqi1206 16 дней назад
Anaibaga taarab
@PriscaCassian-xd6dw
@PriscaCassian-xd6dw 8 месяцев назад
Yami kaza unaweza sana tu
@user-se7oh4xu5r
@user-se7oh4xu5r 3 дня назад
Komwe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Далее
POLI зовет Газана
00:12
Просмотров 572 тыс.
Naja upesi, sehemu ya pili
12:44
Просмотров 19
Yammi - Tulipatana na Nandy Tiktok
12:40
Просмотров 11 тыс.
СКАЗАЛА ЖЕ НЕ ПОЙМАЕШЬ
0:19
Просмотров 1,9 млн
Дед и новая машина😁
1:00
Просмотров 3,1 млн
помолодела получается 🤣
0:12
Просмотров 1,3 млн