Hoja nzuri sana Maana watoto wakipata hawakumbuki wazazi wao. Na mzazi Akitalia pesa mpaka aanze kumsalimia na kuwasifia wajukuu mwisho ndio ana piga mzinga wake duh. Vijana tujiongeze. Inabidi uongezewe muda kwa hoja Hii
Yuko vizuri mimi namkubali.... na kwenye mirathi nayo inaumiza asilimali munazijenga mke na mume ikitokea mume anafariki, eti mali zinagawanywa kwanini asibaki nazo mama? Na mama akifariki mali anaachiwa baba na mali azigawanywi labda madera tu hapa sheria iangalie vizuri,
Kweli mzee ametema madini tunaona hali halisi mtaani kulivyo wote waliokuwa wanachekwa wakati wanasoma ndiyo walio fanikiwa huyu mbunge awe anapewa dakika ishilini maana kunawatua wanapona kupitia huyu mzee
Ana point nzuri ila anashindwa kueleza vizuri ni kwamba waliofanikiwa Sana wanakuwa na akili za ubunifu na kuwa ni watu wenye kufanya mambo makubwa kuliko waliokuwa darasani kwa hiyo vijana hawo walindwe vipaji vyao ili taifa kuwa na wabunifu wengi walio endelezwa na Serikali
Huyu mzee mnamuona pumba lakini yuko sahihi anasema jinsi gan ya kuwaendeleza watoro nahajazuia wale ambao wapo tayar kusoma tumewaona weng wameacha shule wakawa juu nawale waliosoma nakufaulu wakizunguka mchana kutwa na mabahasha tu bla mafanikio
Kwa hiyo tufunge shule zote za Sekondari tubaki na msingi tu?? Elimu ni muhimu na haina mbadala..Unaweza kutafuta mifano midogo lakini kikubwa kila kukicha unaona wagonjwa wanafanyiwa operesheni lakini si na watu wa Darasa la Saba..Unaona madege yanaruka lakin i hayarushwi na Darasa la saba ..
Kuwa mtoro ukawe makenika ustake kudanganyana yani ni kupotoshana tu apa mwanafunz gn anaingia darasani saa 4asb kwa sababu ya mchakamchaka,, ata mawazo yako ni ya kidarasa la nne km elimu yako
Vijijini lipo hilo na hata Mimi nimelishuhudia, mzee yupo sahihi kias chake, ukisikiliza hotuba hta za nyerere alisema tutunge sheria tukizingatia na tabia zinazosababisha watu kuto kutii sheria
Kweny aspect ipi kivip,mim ww unaninifahamu uniulize swali hilo au we ndo kishimba, What the fuck hel' U talkin about? mim nimekuja kujilinganisha apa!?