Тёмный
No video :(

WAZIRI SILAA ATINGA KARIAKOO KUTATUA MGOGORO wa JENGO LILILOTOLEWA WAQFU - "OCD MADRASA IRUDI LEO".. 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 188 тыс.
50% 1

WAZIRI SILAA ATINGA KARIAKOO KUTATUA MGOGORO wa JENGO LILILOTOLEWA WAQFU - "OCD MADRASA IRUDI LEO"..
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa ameingilia kati mgogoro wa eneo la jengo la ghorofa lilipo Kariakoo jijini Dar es salaam ambalo sehemu ya jengo hilo lilitolewa Waqfu na marehemu Sheikh Mohamed Ardini ambaye aliacha usia.
Waziri Silaa alifika eneo hilo ambalo limekuwa na ugomvi mkubwa wa ndugu ambao ni watoto wa marehemu Ardini waliogawanyika katika pande mbili zinazokinzana kuhusu usia wa kuwekwa Waqfu eneo la Madrasa katika jengo hilo.
Aidha, baada ya kusikilizwa kwa pande mbili za ndugu ambao ni watoto wa marehem Mzee Ardini Waziri Silaa aliamuru kurejeshwa kwa Madrasa ambayo ilikuwa ndio usia wa marehem.
Awali, ndugu wawili wanao pingana na wenzao waliamua kuhamishwa kwa madrasa hiyo nje ya eneo hilo la Kariakoo na kumuuzia mtu mwingine sehemu ya kengo hilo.
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

10 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 687   
@globaltv_online
@globaltv_online 5 месяцев назад
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@BilalShingwa
@BilalShingwa 4 месяца назад
Baadhi ya watoto. Hawajawa tiyari kuuza
@josephmakrina8851
@josephmakrina8851 4 месяца назад
Jamani na Mimi nina kesi ya Shamba naombeni namba ya SILAA NINAMATUMAINI ATANISAIDIA
@saningolenoi8961
@saningolenoi8961 4 месяца назад
​@@BilalShingwa😊😊iijj
@RamaRashid-ym1yz
@RamaRashid-ym1yz Месяц назад
Samahani sana na mm tuna nyumba yetu apoapo gerezani mtaa wasomali nakuomba nisaidie ndug zangu
@mussamtupa
@mussamtupa 5 месяцев назад
Mpaka nitokwa machozi😢 Waziri jinsi anavyo dada vua vizuri sana Allah akulipe
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 2 месяца назад
SLAA IS NEXT PRESIDENT OF TANZANIA, wanafata haki sio maslahi God bless you
@user-pf2mb2ri2d
@user-pf2mb2ri2d 5 месяцев назад
Waziri nimekusikiliza zaidi ya mara moja Mungu akulipe kila la kheri
@justinemcharo1727
@justinemcharo1727 4 месяца назад
Hongera sana mh silaa ukweli kazi unaiweza mama ameteua mtu sahihi
@Mozline1
@Mozline1 5 месяцев назад
Uyu waziri ni mzuri sana, mungu amlinde
@FranciscoKatakwa
@FranciscoKatakwa 3 месяца назад
Sawa lkn n Mungu co mungu
@ricklandennis
@ricklandennis 2 месяца назад
Ww ni mwalimu wa shule gani😂😂​@@FranciscoKatakwa
@elenzianjk5543
@elenzianjk5543 4 месяца назад
Pele limepata Mkunaji. Asante Mbunge wangu Mh. Jerry Silaa, Elimu hii nami nimestafidi si haba. Kila la heri katika majukumu yako. "TUKAMILISHIE BARABARA YA MAJOHE KUWA KIWANGO CHA LAMI TAFADHALI. INAVIGEZO NA SIFA ZOTE KULIKO ILE YA ULONGONI MAMBAYO YENYEWE TAYARI" (Nimechomekea hapo! Kila la heri Mh Waziri)😊
@mulolemary1317
@mulolemary1317 3 месяца назад
Kwakweli Wewe ni Waziri ALLAH azidi kukulipa MashaALLAH ivi marehemu anaendeleya kujipatiya thawabu zaki madrasa yamerudi ALLAH azidi kukupa afya njema
@husseinidd5751
@husseinidd5751 5 месяцев назад
Allah amjaalie afya njema huyu Mh waziri,anasaidia kweli kweli,halafu ni kijana wa mjini,ukija kiujuaji anakuja hivo hivo,na vifungu vya sheria vimelala..
@ullymwaipopo398
@ullymwaipopo398 3 месяца назад
Moja ya Mawaziri mahiri kabisa. Huyu CCM hata wakija kumpa nchi wala hawatakuwa wamekosea. Mwerevu, jasiri, eloquent akiongea! Hawa ndo wanafaa kukaa kwenye uongozi! Mungu akubariki Mh. JS!
@IsihakaAmbar
@IsihakaAmbar 3 месяца назад
Mama Samia hongera sana kuchagua watu sahihi katika uongozi wako!! CCM oyeeeeeeee
@leokamil6284
@leokamil6284 5 месяцев назад
Asante sana Mheshimiwa Slaa Mungu akubariki sana. Mh Raisi Samia nakuomba usimtoe huyu Waziri kwenye hii Wizara asante
@arafatahmed6049
@arafatahmed6049 2 месяца назад
mashAllah I wish huyo waziri tungekuwa nae inchini Kenya mungu akupe moyo huo mwenye kutenda hakiii
@QweAsd-ry7tb
@QweAsd-ry7tb 2 месяца назад
Ukweli mawaziri wetu hawajali wananchi
@user-ws8bc1jn7z
@user-ws8bc1jn7z 5 месяцев назад
Mama usimtoe kwenda sehemu yengine silaa yupo vizuri apo umepata jembe kwa sisi wanyonge
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 4 месяца назад
Mpk natokwa machozi ya furaha kwa huyu kijana.
@maulidimopen1273
@maulidimopen1273 5 месяцев назад
Congratulations Minister SLAA
@mussamabawa2973
@mussamabawa2973 5 месяцев назад
Wazir slaa Mungu akulipe kwa utendaji wenye uadilifu
@NicoNey5
@NicoNey5 4 месяца назад
Kazi nzuri sanaa mungu atu jalie viongoz kama wewe kwenye nchi yetu ya Tanzania..
@fatmasaleh9516
@fatmasaleh9516 4 месяца назад
Masha Allah wazir m.mung axidi kukuongoza kwenye kheri dah kuna watu wahikma humu
@fatmasaleh9516
@fatmasaleh9516 4 месяца назад
Wazir silaa kijana mmbich mwerev shupavu na kajaaliwa hikma pia
@FranciscoKatakwa
@FranciscoKatakwa 3 месяца назад
Ni Mungu sio mungu
@georgekimboka9821
@georgekimboka9821 4 месяца назад
Hakuna waziri Mzuri Mama Samaia amapata kama Huyu Jamaa,ana Akili za kizalendo zaidi Mh Raisi mlinde sana Huyu Waziri ameitendea Haki sana hii nafasi
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 3 месяца назад
Hakika
@richarddavidmk
@richarddavidmk 5 месяцев назад
Huyo waziri Ana Akili sana🎉
@husseinmeena4175
@husseinmeena4175 3 месяца назад
Nikweli anaakili nyingi anakipaji, na anajua kuongea kwa point
@user-hz3jx7wu4p
@user-hz3jx7wu4p 3 месяца назад
Mr . ministry u deserve to be a president ❤
@jamalibaruti7126
@jamalibaruti7126 4 месяца назад
Maashaalah Mh.Waziri Silaa wewe uwe mfano wa kuigwa uko dhahiri ktk kusimamia haki hongera sana Allah azidi kukuongoza ktk kusimamia haki😊
@user-ki3gt6gy1l
@user-ki3gt6gy1l 5 месяцев назад
Mweshimiwa uko vizuri big up piga kazi msaidiye mama kazi kama makonda hongereni
@atugonzalugemalila5142
@atugonzalugemalila5142 3 месяца назад
Mhimili wa mahakama mjitafakari hii kazi sio ya wazir Ila mmeshindwa kusimamia haki sababu ya rushwa
@nikundiweamosi5087
@nikundiweamosi5087 2 месяца назад
Haha sheria mahakamani,tulia shehe haki itendeke mahakama hopeless kwan wako wapi
@rosemery3017
@rosemery3017 29 дней назад
😂🙏​@@nikundiweamosi5087
@chembejohn9605
@chembejohn9605 5 месяцев назад
Shekh...msimamiz umepotoka....unapenda vitu vy duniiaa.inalilah waina rajiun
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 4 месяца назад
Ndio aoao mashehe makanzu wanaswali wanawaza ubaya
@MsAggie5
@MsAggie5 4 месяца назад
Ndo nashangaa, wanaume wazima na makanzu yao hata aibu hawaoni. Ukiona walivyo waongo eti wanamfundisha sheria waziri wakati ni mwanasheria.
@abdulsataribashiri8300
@abdulsataribashiri8300 3 месяца назад
Kbsaaa
@user-qz7xl1xj7v
@user-qz7xl1xj7v 5 месяцев назад
Ocd ukipewa agizo na kiongoz unatakiwa kupiga salute sio kuitikia kwa kichwa
@mzarendo.com9624
@mzarendo.com9624 5 месяцев назад
Sahihi kabisa !
@shaurimtanda8285
@shaurimtanda8285 4 месяца назад
Zimepigwa sana
@josephtambali9149
@josephtambali9149 4 месяца назад
😂😂😂😂
@collinsstanley6126
@collinsstanley6126 3 месяца назад
Kweli mkuu nimeshangaa pia huyo muite ofisini uumpe elimu
@mathiasmwingira6951
@mathiasmwingira6951 2 месяца назад
Na yeye anashangaa mambo yanavyoenda
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 3 месяца назад
Huyo aliyenunua imekula kwake. Nyumba za urithi kuna utaratibu mpana. Na huyu marehemu alikuwa na akili kubwa sana kwenda kusajili wosia. Big up marehemu. Wewe uliyenunua mdai msimamizi wa miradhi kukutapeli. Tena wewe uliyenunua ukionekana hapo unafukuzwa huna hati miliki😂😂 Duh balaa
@demicratia4071
@demicratia4071 3 месяца назад
fundishoooo kwa wote
@demicratia4071
@demicratia4071 3 месяца назад
FUNDISHO KWA WOOTEE KUMBE URIDHI UNASAJILIWA HATA ARDHI JAMANI ARDHI TUFUNDISHENI MENGIIII ILI KUTATUA WALANGUZU KILAIINI
@IsmailElmazroui
@IsmailElmazroui 3 месяца назад
Atachukua hio ilojengwa ilala ghorofa na mbili na madras na km haitoshi makusanyo ya Kodi atalipwa deni lake
@aminaomary5567
@aminaomary5567 3 месяца назад
Rais wangu Samia umechagua waziri sahihi.Yaan Silaa mtendaji mzuti sana.❤❤❤❤❤🙏🙏👍👍
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 5 месяцев назад
Yaani waziri umetengua kesi ambayo miaka kadhaa hata mahakama imeshindwa, uamuzi wako mzuri mno..!
@onionpeeling5822
@onionpeeling5822 3 месяца назад
KWANI YEYE NI MAHAKAMA! HATUNA NCHI ! YANI WAZIRI KAWA HAKIMU / JURO/ PROSECUTOR / na Hakimu hapo hapo ! / MIFUMO YETU HOVYO NA HII INADHIHIRISHA !
@baloz8974
@baloz8974 3 месяца назад
​@@onionpeeling5822hiyo ndio moja wapo kazi ya waziri kutatua matatizo ya ardhi kama hujui uliza utaambiwa
@swahilifashion2206
@swahilifashion2206 3 месяца назад
Najiukiza hivi kweli rushwa itaisha maana huyu sio hakimu wala wakili lakini anayajua vipi wenye nafasi za hakimu na wakili wameshindwa kudadavua yote hayo miaka yote.😂😂😂😂
@onionpeeling5822
@onionpeeling5822 3 месяца назад
​​@@swahilifashion2206 Eti kisa Waziri tu ndo kaenda kutengua kesi iliyoshindikana MAHAKAMANI ! inamaa yeye ni above the law ! WEZI WATUPU HAWA GENGE LA WAHUNI KUTUIBIA NCHI YETU// HATUNA NCHI / HATUNA MIFUMO / MIFUMO YOTE IMETEKWA NA WAZURUMISHI SO CALLED VIONGOZI
@swahilifashion2206
@swahilifashion2206 3 месяца назад
@@onionpeeling5822 maswali ni mengi mno ndugu yangu kwamba hawakuwaza alivyowaza au sheria hazikueaongoza na je waziri ndio kajua sheria ama
@Hbk206
@Hbk206 5 месяцев назад
I like how he is respectful, teaching and taking charge All the time representing well.
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 5 месяцев назад
Mungu ambariki huyo baba huko aliko
@user-cq4bw6xt9j
@user-cq4bw6xt9j 4 месяца назад
Duuuh...! Nimesikiliza kwa makini sana yani anamaliza tatizo kirahisi kabisa nimeona hekima ya suleiman Mungu akupe rehema mh ; Jerry slaa
@gudimbwana8088
@gudimbwana8088 4 месяца назад
Slaaa mwili Mdoogo AKILI kubwaaa busara zimejaa hongera sana
@user-zn9zl4kh1w
@user-zn9zl4kh1w 3 месяца назад
Huyu wazur ni mtt wa doctor Slaa wa Chadema au
@user-rw5jl9qp6y
@user-rw5jl9qp6y 3 месяца назад
Cs Silaa is the Best Minister in Tanzania the Way He Go throughout His Groundwork I Could Adore Him To be Kenyan Cs blessed Silaa Waziri wa Ardhi Tz (Bongo)
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 5 месяцев назад
Mashallah, hongera sana Wazir nimekukubali sana, Warithi wa Maguful bado wapo, Alhamdulilah 🙏Alhamdulilah Allah kareem, haki ya mtu haipotei, nimejifunza kitu hapa, wosia ni muhimu sana 🙏
@hamisimwinzagu6624
@hamisimwinzagu6624 3 месяца назад
Kiukweli bila unafki uyu inabidi apewe nchi kuongoza apa mh,samia kumteuwa uyu kuwa waziri wa ardhi apa nakubari umeupiga mwingi sanaaa ivi hawa wengine wanafanyakazi gani
@neemabright3635
@neemabright3635 4 месяца назад
Jerry slaa mfano wa kuigwa na mawaziri wote wakuu wa mikoa wilaya be responsible he is definitely doing a good Job
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 3 месяца назад
True
@baloz8974
@baloz8974 3 месяца назад
Very smart and intellectual man
@hameesnassoro7158
@hameesnassoro7158 5 месяцев назад
Waqfu sio lazima iandikwe yaani kule kutamka tu hii ni Waqfu yatosha ni kama mfano wa Talaka sio lazima iandikwe kule kutamka tu nimekuacha si mke wng ndo tayari tena hiyo haina utani, ila mzee mwnyewe marhumu Allah amrahamu alifanya hvyo alishawaona watoto wake mwenendo wao.
@chuchufplatnumz4888
@chuchufplatnumz4888 5 месяцев назад
Unachokisema ni Sawa kisheria za dini. Ila Sheria za nchi zinahitaji kisajili hvyo vyote
@faridanurdin9635
@faridanurdin9635 5 месяцев назад
MashaAllah
@OmaryLiku
@OmaryLiku 4 месяца назад
Ameen
@Ins3ctsworld
@Ins3ctsworld 4 месяца назад
Kwamaisha yanavoenda kasi sasaivi itapendeza iandikwe binadamu vigeugeu shk
@user-lk3pz6uq6q
@user-lk3pz6uq6q 3 месяца назад
​@@Ins3ctsworldsisi tumefanyiwa hivihivi na familia Ila tunamuachia Mana alotafta amekufa
@mohamedmtahiyatu9113
@mohamedmtahiyatu9113 4 месяца назад
HUYU WAZIRI ANA AKILI NYINGI ALLAH AMLINDE
@laylayl5166
@laylayl5166 2 месяца назад
Amiin
@saidgawawa8519
@saidgawawa8519 3 месяца назад
Allah amlinde na kumhifadhi huyu waziri jasiri mwenyewe hekma bila kumdhulumu raia yeyote kwa kupata haki yake! Inshalla awe Raisi mtarajiwa siku za usoni ..mhe, marehenu Rais magufuli kweli aliwapa elmu na mafundisho raia wake katika kutekeleza haki kwa raia yeyote yule....
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 4 месяца назад
Huyu jamaa anasifa zote za kuwa Raisi wa nchi yetu, INSHAALLAH siku moja atakuwa Raisi wa nchi yetu 🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@kambamazig02024
@kambamazig02024 5 месяцев назад
Hapa kuna kazi, kumbe Slaa kumbe una busara sana, wewe una weledi sana.
@user-ng1po1dh4z
@user-ng1po1dh4z 4 месяца назад
Waziri Slaha, umenena jambo la Ukweli na Busara❤
@richbird.123
@richbird.123 3 месяца назад
Mashallah waziri Allah akuongeze. Apa nimejifunza mambo mengi sana na sai 3:34am sijalal nafatilia silaa❤
@RoseMshana-pm8op
@RoseMshana-pm8op 3 месяца назад
Huyu mwamba wa ccm anajua sanaaa, alafu mtoto wa mjini haswaaa ❤❤❤mungu akulinde,
@IsihakaAlly-fj4qo
@IsihakaAlly-fj4qo 2 месяца назад
Shekhe na devu kapaka rangi lakini kashindwa kuheshimu husia wa marehemu,Mungu azidi kukulinda mheshimiwa Waziri slaaa .
@nuruathumani1590
@nuruathumani1590 3 месяца назад
Daaah ,nimejifunza kwa muda mfupi ,kumbe busara ni tunu ,YAAH ALLAH TUJAALIE TUWE NA BUSARA JUU YA KUTATUA MAJAMBO YETU
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 4 месяца назад
Namuona JPM ndani ya huyu good boy. Dah!!!! Mungu akubariki sana ktk utendaji wako mr. JERRY SLAA. kweli wewe umewiva licha ya umri mdogo uliyonao💯💯💯💯💯💯💯💯
@yusufkisome639
@yusufkisome639 2 месяца назад
JPM alikuwa Hana Maono Kama ya Jerry ndio hakumteua
@MsanyaMrisho
@MsanyaMrisho 3 месяца назад
Mungu akuoneshe njia iliyosahihi wazari umeongea haki umenigusa mno duwa yangu kwako sima hivyohivyo
@ramadhanjuma610
@ramadhanjuma610 4 месяца назад
Safi Sana Mkuu hao walo uza nyumba wana tamah tu nja Zina wasumbua uko vzr Mkuu Mungu akulipe
@UpendopeterPeter-cq8ds
@UpendopeterPeter-cq8ds 4 месяца назад
Mh, Waziri silaa uko vizuri sana.Mungu akubaliki sana katika utendaji wako Nakuomba Mh,Rais wangu Samia usimtoe huyu waziri
@DandasiKundi
@DandasiKundi 25 дней назад
Waziri wangu slaa mwenyezi mungu akulinde wizara yako ni ngumu sana wengi wanatumia nguvu ya pesa kunyanyasa walala hoi. Wazir uko vizuri napenda sana kiongozi mfuatiliaji na anaefuata sheria.namalizia mwenyezi mungu akulinde.
@DaimaNyakunga-jb6do
@DaimaNyakunga-jb6do 5 месяцев назад
Safi sana Tena sana tu
@Ambeniwatano
@Ambeniwatano 5 месяцев назад
Aliegundua pesa kwakweli amejua kutupata Sasa Mali kaacha Mzee na amefarik kaacha wosia mashekh maimamu wameitupa qruan wanashupalia dhuruma Kuna kitu nilicho kigundua Kuna watu wanagombea vyeo misikitini kwa maslahi binafsi
@user-dl2fp8eb7r
@user-dl2fp8eb7r 3 месяца назад
Go go go jerry Mungu yupo na wewe kwa kila hatua utakayoipiga
@linamosha2453
@linamosha2453 4 месяца назад
Jery Mungu akubariki sana
@maimunahemedi6491
@maimunahemedi6491 5 месяцев назад
Huyu waziri yupo vizuri sana, mola amjaalie sana aendelee hvhv
@suleim505
@suleim505 4 месяца назад
MAMA SAMIA, RAISI WETU MPENDWA: HUYU: SLAA ANATOSHA HASSA KATIKA NAFASI ALIYOPO, HANA UBAGUZI NA NI ISHARA YA KUTOKUPENDA RUSHWA.
@user-up2kg1wm9p
@user-up2kg1wm9p 5 месяцев назад
Mungu ninusuru na vituvyamiradhi
@ShukranMwakyambo
@ShukranMwakyambo 3 месяца назад
Watu wanauwanaga hivihivi
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 5 месяцев назад
Safiiiiiiiiii madrasa irudi yeeeeeee baba kaburi lako lipo pepon inshallah 🙏
@AinesiKissuda
@AinesiKissuda 3 месяца назад
Katika mawaziri wote wewe ni kichwa mungu akubariki sana akuzidishie hekima busara na maarifa mara mia pia akupe maisha marefu uwatumikie watu wake
@FranciscoKatakwa
@FranciscoKatakwa 3 месяца назад
Sawa lkn n Mungu co mungu 🙏
@hasaabdi7199
@hasaabdi7199 5 месяцев назад
Waziri very smart mungu akubariki
@FranciscoKatakwa
@FranciscoKatakwa 3 месяца назад
🙏,lkn n Mungu co mungu
@careen26mrope76
@careen26mrope76 2 месяца назад
@@FranciscoKatakwa Yaani nachukia mimi kuandika mungu😪😪
@hassanamtunzitv2368
@hassanamtunzitv2368 5 месяцев назад
Asante sana Mh Waziri
@BilalShingwa
@BilalShingwa 4 месяца назад
Silaa mdogo wangu. Umesimama vizuri kusimamia sheria na kuelimisha. Mana nimeelewa leo. Hanisi haruhusiwi kuoa nilikua sielewi Allah Akujalie Afya njema
@user-if6mq3uq4z
@user-if6mq3uq4z 4 месяца назад
MUNGU akubariki Sana
@user-od1xx3tk9y
@user-od1xx3tk9y 4 месяца назад
Tuhitaji kua na mawazir kama hawa maashaallah. Mungu akuongoze kitika kuonahaki inshaallah
@efrahfarahahmed8960
@efrahfarahahmed8960 2 месяца назад
MH Waziri SiLLA MUNGU akubarik umejua dasaka tul jaliya kwa marehem
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 4 месяца назад
Hongera sana waziri na inaonyesha Jengo lina waqfu ila wanataka kuleta janja janja.
@Ericzdeking24
@Ericzdeking24 26 дней назад
UMEWAKOMESHA MATAPELI AIBU YAO
@bagaileshabani3179
@bagaileshabani3179 5 месяцев назад
Haka ka bwana Kako vzr sana kamenyooka mungu akajaalie kafike mbali ( srah )
@user-kz2jk1jf5l
@user-kz2jk1jf5l 4 месяца назад
Asante sana wazili wambie watafute pesa zao hio mali ya malehemu
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 5 месяцев назад
Msishangilie jamani! Yaskie tu kwingine! Ukishatoa pesa zako taslimu! Kununua nyumba kama hio afu kumbe kuna mgogoro usioujua! Unaweza kufa kabla ya sku zako! Stoshe unaambiwa na waziri kuwa nyumba sio yako huku umeshailipia!!
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 4 месяца назад
Kwani hakuwa na wakili wakati anataka kuinunua hiyo nyumba?
@ismailjuma1452
@ismailjuma1452 4 месяца назад
Wakili nae si mpenda hela tuu
@ismailjuma1452
@ismailjuma1452 4 месяца назад
Michael kaambia amfungulie mashitaka msimamizi wa mirathi kazi kweli kweli
@Zainabnoor0087-ze
@Zainabnoor0087-ze 4 месяца назад
Kama kalipa hela kweli adai kwa kina hao waliuza mirathi
@mako331
@mako331 3 месяца назад
Huyu waziri Mungu ambariki saana, nimejifunza mengi hapa
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq Месяц назад
Wewe ndio kiboko yao. Fanya kazi msela wangu. Mungu atakubariki kwa kuwatetea wanyonge wanao dhulumiwa haki zao.
@kanobayirelambert8400
@kanobayirelambert8400 4 месяца назад
Mwenyezi Mungu akupe kila la kheir, Waziri Slaa
@yassirrashid7802
@yassirrashid7802 5 месяцев назад
Safi sana waziri
@elbattawy2864
@elbattawy2864 5 месяцев назад
Yaani yoote yachelewe lakini madrasa irudi, safi sana nimempenda waziri bure bure, Nimejifunza sana kupitia huu mgogoro
@suleimansultan3333
@suleimansultan3333 5 месяцев назад
Huyu alievaa kofia ya kidunia Hana busara kwanza unapo zungumza na muheshimiwa unatakiwa uvue kumpa heshima muheshimiwa hata kama umri wake mdogo
@zaitunirashidi5532
@zaitunirashidi5532 3 месяца назад
😂😂😂😂nkua nataka nicomment nkaona hii comment,,yaan Hana akili kabisa
@chikusangalala7759
@chikusangalala7759 3 месяца назад
Mwenyewe kalala anataka duwa kwa kweli nimempenda huyu baba❤❤❤
@AliBaba-v7v
@AliBaba-v7v Месяц назад
J E R R Y S LAA : Bravo!!!!!
@ibrahimmatola1529
@ibrahimmatola1529 4 месяца назад
Mwenyezi Mungu akulipe kheri mheshimiwa waziri
@suleimankb0210
@suleimankb0210 4 месяца назад
Maa sha Allah
@khadijaseif3897
@khadijaseif3897 4 месяца назад
Sahihi kabisa mashaAllah Alhamdulillah
@soudbako5925
@soudbako5925 5 месяцев назад
Allah akufanyie wepesi muheshimiwa waziri
@HannanSomaiyah-wp7ny
@HannanSomaiyah-wp7ny 4 месяца назад
Tamaa ni Mbaya Sanaa,
@user-zz1sj6sp8z
@user-zz1sj6sp8z 3 месяца назад
Mashaallaah hongera waziri umeongea. Vipi
@ismailjuma1452
@ismailjuma1452 4 месяца назад
Jerry mkuu umetenda haki ubarikiwe sana suala la hela watamalizana wenyewe
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 5 месяцев назад
Hongera sana silaah unatenda haki allah akurinde na shari uyo arienunua mgumu wa kuerewa ubishi unaingia hasara
@Amry-xx4ps
@Amry-xx4ps 4 месяца назад
Professor jerry silaa🔥🔥🔥🔥
@hassanjuamchipua9384
@hassanjuamchipua9384 3 месяца назад
Wallahy umenifurahisha sana waziri
@elizabethkikoti7265
@elizabethkikoti7265 3 месяца назад
Mungu akujalie waziri wangu kwa kutenda haki kwa sisi wanyonge
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 5 месяцев назад
Safi sana mkuu fanya kazi yako wewe sio mtu wa rushwa wewe ni mtu wa watu na haki inshallah 🙏 haki itendeke dada wa watu apewe haki yake
@annaniasbyarugaba5788
@annaniasbyarugaba5788 4 месяца назад
Hapa ninachoona mnunuzi kapigwa ela😂. Ila waziri katoa elimu nzuri sana
@annamussa185
@annamussa185 4 месяца назад
Huyo mwenye kofia nyeusi tapeli kabisa
@HN-ff3hz
@HN-ff3hz 3 месяца назад
😅😅😅
@user-ry2ix2pv4q
@user-ry2ix2pv4q 2 месяца назад
Kumbe nawe umemuona alaf ana mdomo sana!
@leahkabura4271
@leahkabura4271 2 месяца назад
Roho inamtoka sanaa😅😅😅😂
@mokitaa8750
@mokitaa8750 5 месяцев назад
MASHAALLAH
@josiahkulwa34
@josiahkulwa34 5 месяцев назад
Great
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq Месяц назад
Mungu akubari waziri silaa❤
@manikanaseatcover1474
@manikanaseatcover1474 Месяц назад
Respect mbunge wetu Allah akuongoze Mashaallah.
@tinaalbert4065
@tinaalbert4065 Месяц назад
I love u Mr Jerry. Songa mbele mwamba
@husseinomary4466
@husseinomary4466 27 дней назад
Nimelia kwa kwakweli inahuzunisha mtu kaacha swadaka yake linatoka limtu na ndevu kama stili waya linauza
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 4 месяца назад
Namuelewa silaha vizuri .mungu mtunze silaha
@EmeldaMachary
@EmeldaMachary 3 месяца назад
Hongera sana mh Silaa wizara imepata jembe
@tobosha3236
@tobosha3236 5 месяцев назад
Huyu waziri Mungu amtangulia nimemfwatilizia sana jinsi anavo toa maamuzi ya haki bila ubaguzi
Далее
Mwanzo Mwisho Lissu Afunguka Kilichotokea Mbeya
23:21