Тёмный

MSWAHILI:MKASA WA AJABU MAGOMENI MWEMBECHAI,JINI LAMUUA BINADAMU CHANZO KIKIWA SHILINGI 6000/= 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 92 тыс.
0% 0

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 201   
@allyseif5115
@allyseif5115 2 года назад
Namjua mm huyo dogo alikuwa dereva wangu wa bodaboda kijana mmoja muaminifu sana mungu amlaze mahali pema
@ireneassey753
@ireneassey753 2 года назад
Mungu akiwa upande wetu naamini hata shetan atakaa mbali nas
@thabitiykitwana1271
@thabitiykitwana1271 2 года назад
Jmni msidharau inaweze ikawa kweli. Majini yanauwezo kubadilika katika maumbo tofauti.
@nyokaroadtv5828
@nyokaroadtv5828 2 года назад
Aswaaaaa
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 года назад
We acha tu my love baby!
@liciouscharles3370
@liciouscharles3370 2 года назад
We umejuaje au unaskia story tu...?
@salim02tv24
@salim02tv24 2 года назад
@@liciouscharles3370 ata din zet zimekil kwamba majin yapo na tunaish nayo apa dunian
@Official83640
@Official83640 2 года назад
Nimeshare hii kwa wakaka wengi ili waache kuwa na tamaa wakiona vyaelea tu maana ni mkasa mzito na unahuzunisha hd machozi yamenitoka Subhannallah Mungu amrehem marehem 😢😢
@Kokafamil
@Kokafamil 2 года назад
Hello from turkey 🇹🇷 Dah hapo kwa mpemba nime miss hizo chips na kuku hapo karibu na zimbabwe bar 😋😋😋😋mtaan kwangu
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Год назад
Nikaribishe jirani
@videozaaj1069
@videozaaj1069 2 года назад
Huyo kiumbe jamaa alikutana naye huko baharini,na akatamani kumfuatilia kutokea huko baharini,ukweli ni kwamba huyo jini alkuwa ana mission na huyo jamaa hiyo mission ndo hatuijui sasa!..
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 2 года назад
Stori nzuri Ila mnakulaje wakati sisitunasikiliza story mngekula kwanza Mimi sijapenda
@wazomyakinifu2301
@wazomyakinifu2301 2 года назад
Mtangazaji hana utulivu. Anaharibu kabisa maana ya kipindi
@nambiemasinde8825
@nambiemasinde8825 2 года назад
Nashangaa.. sio tabia nzuri. Wangekula alafu waendelee na story.
@kichenjekichenje2072
@kichenjekichenje2072 2 года назад
Zembwela anazingua 😀😀
@abdallahabdallahmagonga3475
@abdallahabdallahmagonga3475 2 года назад
Hii kipindi kinaitwa uswahili na huo ndo uswahili wenyewe big up zembwela
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 года назад
Duuu Allah atuepushe na madhira ya dunia
@abumoyo5341
@abumoyo5341 2 года назад
Daaah inaumaa sana Mungu amstiri marehemuu
@ibraton4071
@ibraton4071 2 года назад
hajafa jini kasepa nae
@mohahassan5687
@mohahassan5687 2 года назад
Zembwela pole pole na msosi, maana mada hii ya Leo moto sana.
@moricemorice75
@moricemorice75 2 года назад
Wanangu ee hii story inafundisha sana yani Dr Jana mwenyew nimekutana na dem Kam ivo. Nikaanz pilik kumbe sio poa ee dr nimefundishika
@mcdanta6919
@mcdanta6919 2 года назад
Mshikaji Nina wasi wasi jini ndio kamchukua ila hajafa bado
@jaharaoman6478
@jaharaoman6478 2 года назад
Babu unafanya kazi nzr sana big up
@ebrahimosman5477
@ebrahimosman5477 2 года назад
Innalilah waina lillah rajiuon
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 2 года назад
Daa' inatisha sana' poleni familia
@maulidirajabu5331
@maulidirajabu5331 2 года назад
Hii move kali mno ukipatà mtu akakuhadisia kwa nukta unaweza lia
@Kabeya410
@Kabeya410 2 года назад
Tatizo zembwela huwezi kula hiki unaongea siku nyingine kula kwanza baadae uongee hapo story haiendi mtapaliwa vyakula
@ghanimaali4507
@ghanimaali4507 2 года назад
innalilahi wainna ilahii rajiuna
@achufela9414
@achufela9414 2 года назад
Co mchezo...safi sana mkuu kipindi kizuriii
@abdirahmansheikh1089
@abdirahmansheikh1089 2 года назад
Story nzuri lkn kwa ufupi kuwa mstaarabu maana nikama hauna. Shukran
@lastbornsaadah7632
@lastbornsaadah7632 Год назад
Jamani nimekaa magomeni kweli kuanzia kagera adi mwembe chai jini tena wakike kitambo luti yake maeneo hayo...jifunzeni vijana sio kila king'aacho ni dhahabu...pia unaweza kumpeleka geto baada ya kumla mzigo badala yk ukaliwa ww
@josephmanyama9012
@josephmanyama9012 2 года назад
Napajua hapo nishakaaaa hapo sana pembeni yake ku bar inaitwa Zimbabwe bar
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 2 года назад
Kuku mtamu unasahau sana Mike 🤣🤣🤣🤣
@azizaaziza9113
@azizaaziza9113 2 года назад
Zembwela acha ubishi mtu akifa maji kawaida huwa anaelewa but km kuchukuliwa na chunusi huwa ananyonwa damu kisha hutelekezwa kati kati ya miamba
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 2 года назад
Kweli mnaboa zembwela maneno yanakutoka huku unatafuna tafuna! Sio ustaarabu..
@361NEWS
@361NEWS 2 года назад
🤣🤣🤣tulia uko
@kubulizuberikubulizuberihu5896
@kubulizuberikubulizuberihu5896 2 года назад
Chakula kina heshima yake kwanini usimalize kula ndio uendelee na chakula
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 2 года назад
Story nzuri ila kutafuna tafuna huku mnaongea ndio imekuwa bonge la kasoro.
@jumaselemani2720
@jumaselemani2720 2 года назад
Daah jamaa anasimulia vizuri sana
@arngemer
@arngemer 2 года назад
Hiyo inaitwa rip current, ni hatari sana. Unaogelea kwenda mbele ila inazidi kukupeleka mbali zaidi ya ufukwe.
@bilalbaker9238
@bilalbaker9238 2 года назад
Ilekuwa rahisi kuelekea kule mkondo (current) inapoelekea ingukuwa rahisi, na wasinge choka ila wangekuwa wanakwenda mbali na fukwe. Ajali Imepangwa Na M, Mungu ishatokea.
@mussamlewa2178
@mussamlewa2178 2 года назад
I miss my street
@lulually5209
@lulually5209 2 года назад
Marehemu alikuwa anasali nn kamuendea kinyume na maumbile hapo hapo kanogewa akataka tena ikashindikana mwisho wa mchezo anaambiwa atoe ankara kabisha kutoa na maneno ya kashfa unategemea jini km jini atachukua maamuzi gani zaidi ya kukudedisha akiangalia tayari keshadhalilika kwa mwanaadamu yalotokea ndio hayo kikubwa ni kumuombea dua marehemu m,mungu amsameh alipoteleza basi hakuna chengine
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Год назад
Inamaana huyo jini alikua na tako zuri,marehemu alifinyiwa kwa ndani😂😂
@code_rapper6317
@code_rapper6317 2 года назад
NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA UKASIKILIZE WIMBO WANGU UITWAO WEKA KAMA HAUTOJALI NAOMBA MUDA WAKO🙏🙏🙏🙏🙏 NAOMBA
@videozaaj1069
@videozaaj1069 2 года назад
Vijana tuache tamaa za ajabu ajabu jamani dah😢😢😢😢
@michaeljohn9070
@michaeljohn9070 2 года назад
watu wana mlaumu marehemu kuwa alikuwa malaya,, lakini kama umesikiliza kwa makini utagundua kuwa yule jini,, ndo alikuwa wakwanza kusema twende huko unako kwenda ww,, yaani baada ya kumkosa dada yake basi akaona bora tu akaliwe mzigo na jamaa,, hivyo yule jini ndo alimtega jamaa kwa kusudi kabisaa na huenda hata hakuwa na ndugu wala nn apo,, alikuwa tu ana mawindo yake apo,, maana hao viumbe vyakula vyao ni mifupa na damu,, akaamua kupita na ndugu yetu,, na huko baharini ni yy ndo alimvutia huko ili amalize kazi yake kirahisi
@bilalbaker9238
@bilalbaker9238 2 года назад
Na Jambo la Kushangaza (au la kuzingatia) ingawa linaonekana dogo, ni Kwamba kwanini Bwana harusi tu pekee, (wa harusi ya kule beach) ndie alieona kwanza, je ni dalili gani ? ni kitendawili hicho. bwana harusi na bibi harusi hapo wana yatenda yapendwayo na dini zote, tafauti na yalio letea kifo hicho ( Tunavyoamini ). Inawezekana ni ajali tu hata hivyo. Tupo kwenye kipindi cha MSWAHILI tusisahau. Nategemea Nimeeleweka. Kama hukunielewa niulize tena,, kama umenifaham hamna MBUNGI.
@michaeljohn9070
@michaeljohn9070 2 года назад
@@bilalbaker9238 sija kuelewa bado
@kasiniapotatoes9804
@kasiniapotatoes9804 2 года назад
Rama ali shindwa mtihani kivyovyote vile kosa ni la Rama wajina wangu
@lulually5209
@lulually5209 2 года назад
Marehemu angekubali matakwa ya jini damu angenyonywa mwengine lkn alivyomkatalia ndio akaamua kumsulubu all in all kikubwa dua
@hashimlowela294
@hashimlowela294 2 года назад
🤔uyo dada wamoto ukiangalia sana hapo kuna namna ipo
@sharinv8864
@sharinv8864 2 года назад
Jamani ni story ya kusikitisha saana bt kile najuwa kuna mtu behind this story angejuwa angetoka tu hapo akaenda msikitini wakamuombea dua vijana tujihadhari jamani.
@jorgettemwajuma5428
@jorgettemwajuma5428 2 года назад
Nice babu zebwela kisa chaajabu kweli
@GozbethUrassa-lh7wc
@GozbethUrassa-lh7wc Год назад
Ayo Mambo yapo
@felixtvtz4600
@felixtvtz4600 2 года назад
Inasikitisha sana
@spaice995
@spaice995 2 года назад
Nazani hofu ndo imemuua jamani tuache kusikiliza waganga hawa tutakufa na presha maskini nazani aliwaza kuhusu jini 😞poleni sana
@japhetadelard9465
@japhetadelard9465 2 года назад
Kabisa hiyo ni hofu hakuna jini hapo
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 года назад
Kwakwel nyie halijawakuta ni lazma mseme hivyo! Msicheze na majini
@spaice995
@spaice995 2 года назад
@@welcometoeat165 we imekukuta? Washasema hakuwa mjuzi wa kuogelea so kama haujawahi kupata panic ndan ya maji usijafanye mjuaji pia.
@mariamramadhani3860
@mariamramadhani3860 2 года назад
Na barua je
@spaice995
@spaice995 2 года назад
@@mariamramadhani3860 wanawake unatujua kwa vitisho 🤣tunaweza andika chochote kile
@azizayassin3623
@azizayassin3623 2 года назад
Jaman😭😭😭😭😭😭poleni
@salmaabdulabdul5200
@salmaabdulabdul5200 2 года назад
Tumejifunza kitu tusipende jamani mbuzi kufia kwa muuza supu
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Год назад
😂😂😂😂😂
@meddyzambetakis
@meddyzambetakis 2 года назад
Hili paja la kuku kweli?! Mbona dogo!🤣🤣🤣
@mwanagwakyala3213
@mwanagwakyala3213 2 года назад
Pga vitu zembwela mwili haujengwi Kwa tofal
@urueuudududu5760
@urueuudududu5760 2 года назад
Hakuna jini hapo kafa Kwa Ajali ya maji tu , demu alikuwa kazini, maana majini hayana shida na pesa jamani, kama demu alikuwa mchawi hapo kidgo naweza amini
@duniayakijani7868
@duniayakijani7868 2 года назад
Endelea hivyo hivyo kubisha
@salim02tv24
@salim02tv24 2 года назад
Majin utafta xababu ... Unawezaa ataa ukamwaga maji ovyo na ukamkela na kukudhul maana tunaish nao wengine atuwaonii ..
@hamzamoshi8275
@hamzamoshi8275 2 года назад
Alivyokufa tu namaelezo yauyo jamaa aliyejalibu kumuokoa,, uyo kafa kwakuzidiwa na maji tu sio jini
@bilalbaker9238
@bilalbaker9238 2 года назад
May be.
@361NEWS
@361NEWS 2 года назад
Dah
@hamiibreezy2000
@hamiibreezy2000 2 года назад
Ni noma Sana....🥺🥺
@wasalimie11
@wasalimie11 2 года назад
hivyo unavyokula unachafua roho kua ns heshima
@godfreywilliam9673
@godfreywilliam9673 2 года назад
Hiii ndiyo maana ya mswahili
@paulokiwango21
@paulokiwango21 2 года назад
KATIKA MIKASA YOTE ULIYOTOA.HII NDIO ILIYONSISIMUA NA KUNFUNZA ZAIDI..GONGA LIKE KWA ULIYENIELEWA.
@IbrahimMohamed-yy2il
@IbrahimMohamed-yy2il 2 года назад
Long story short ubahili umemponza.
@fahadykajugus
@fahadykajugus 2 года назад
Sembwela njoo kwa aziziali Kuna story moja noma
@upendoluv7197
@upendoluv7197 2 года назад
Ni hatariiii
@hannanommy302
@hannanommy302 2 года назад
Kaa jamani sasa mnaongelea makaburini?kwanini msiheshimu hao watu walolala?Innalillah lillah wainna illah Rajiun Baki Allah, Allah ampe kaul thabity
@salim02tv24
@salim02tv24 2 года назад
Kwan ni dhambii ?
@godloveemanuel7785
@godloveemanuel7785 2 года назад
Duh noma sana
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 2 года назад
Tumejifunza kitu…hasa sisi wanaume .. hiyo mbuzi kufia kwa muuza supu
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 2 года назад
Mtqongeaje huku mnakula sasa
@mwantumkombo172
@mwantumkombo172 2 года назад
Funzo Ilo ...Umalaya mwengine ata haufai
@walaaabdallah3236
@walaaabdallah3236 2 года назад
Akunacha umala wala nini jini akikutaka atakupata tu uwe malaya usiwe malaya
@slimmuhabesh2400
@slimmuhabesh2400 2 года назад
Kweli kabisa
@urueuudududu5760
@urueuudududu5760 2 года назад
Mm Niko tofauti na nyinyi , mm nahsi hyo demu ni mchawi, alafu twende mbele turudi nyuma , hyo ni uhuni ndio ila Kila jambo Lina makusudi
@yahyasaloummvyongo3536
@yahyasaloummvyongo3536 2 года назад
Mmmmmh kifo ni Cha mungu Allah ampefanyie wepesi natukumbukee MAJINN pia WAPO na hakuna haja ya kuendelea kumfuatili MAADAMUU yalishapitaa
@faridyshaame4705
@faridyshaame4705 2 года назад
Mm nna rafiki yangu kabsa alikutana nae ila zake za kuishi bado zipo
@salmaoman9160
@salmaoman9160 2 года назад
Daaah adinimeogopa
@hadijahaji9712
@hadijahaji9712 2 года назад
Due!ilikuwa mwakajuI kamasikosea 2019 du!
@shamimucollectiondubai9727
@shamimucollectiondubai9727 2 года назад
nenda mbagala kizuiani mitaa ya kwanyoka street
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 2 года назад
Mtu Kafa Maji Polisi Tena Waje Kuchunguza
@habimanayasin4223
@habimanayasin4223 2 года назад
Unaonaaaa bwanaaa ...
@himoda7647
@himoda7647 Год назад
Babu zembwela hizo chips umekula mwenyew uyo anaongea
@fahadykajugus
@fahadykajugus 2 года назад
Daah Dogo Rama namjua hiyo story nikweli daah
@lulually5209
@lulually5209 2 года назад
Mmmh zembwela anatia ndani sahani ya pili sio poa halafu huku anaongea amesahau km yupo kwenye kipindi
@kikumbivunge7976
@kikumbivunge7976 2 года назад
Uyoo jamaa ajafa anaishi ujinini mpaka mda huu na uyoo Dada a namjua uyo mchizi na alichokifanya uyo jini kazamilia na uyo jini alimpenda Ramadhani
@napster2558
@napster2558 2 года назад
Sth to learn
@maryamhassan7148
@maryamhassan7148 2 года назад
Duh
@fhfbfcvcgfggf6844
@fhfbfcvcgfggf6844 2 года назад
Oya babu unakula Sana brow🤣
@zuhurakassu1427
@zuhurakassu1427 2 года назад
Uku unakula zembwele mnaboa bwana
@esterderiki6505
@esterderiki6505 2 года назад
Kwani angempa iyo elfu 6 angepungukiwa nini mjifunze
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Год назад
Utelezi noma huenda alikua na mauno akamfinyia kwa ndani
@jacksonkendavis8689
@jacksonkendavis8689 2 года назад
...ITAENDELEA LINI WAKUU... MIEZI 9 SASA!!
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 2 года назад
duu 😢😢inauma sana
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 2 года назад
Dotto nakutafuta sana
@sebastianherman607
@sebastianherman607 2 года назад
Wait for it
@thureyaalkindy9373
@thureyaalkindy9373 2 года назад
Story siiskii vzr kwakutamn hao kuku
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 года назад
😂😂
@josephmuchiri3180
@josephmuchiri3180 2 года назад
Daaa?sura ya zembwela nzuli☺☺☺☺
@likimaro6
@likimaro6 2 года назад
Mtafute umpe kinyeo
@josephmuchiri3180
@josephmuchiri3180 2 года назад
@@likimaro6 kuma la mama yako goli ta uwanja wa Mkapa
@eboumg7061
@eboumg7061 2 года назад
🤣🤣
@josephmuchiri3180
@josephmuchiri3180 2 года назад
@@eboumg7061 😊😊😊
@salminwamu2297
@salminwamu2297 2 года назад
Eti alikuwa ana swali swali
@atuonukyemhema5653
@atuonukyemhema5653 2 года назад
Wanaume na nyinyi mmezidi kuokota okota
@mariamramadhani3860
@mariamramadhani3860 2 года назад
Zembela ujanawa mikono
@wasalimie11
@wasalimie11 2 года назад
people dont talk while eating kueni na displin
@liciouscharles3370
@liciouscharles3370 2 года назад
Acha mtu ale
@wasalimie11
@wasalimie11 2 года назад
@@liciouscharles3370 sikatai lakini kuongea na domo limejaa is de discusting yaani inachafua roho
@hassankarama3412
@hassankarama3412 2 года назад
Barua yenyewe ikowapi
@mbwanakonk453
@mbwanakonk453 2 года назад
Kuku mtam unasahau sana maik
@swalehesalim9630
@swalehesalim9630 2 года назад
Unasahau kula kakaa😀😀😀
@slimmuhabesh2400
@slimmuhabesh2400 2 года назад
Kitaani kwetu hapo
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 2 года назад
Vijana punguzeni kuokota okota mnaichosha miili yenu na mnajitia matatizoni uzinzi unamadhara mengi msipende kuchezea wasichana mkiwa hamna malengo nao
@josephsilem7239
@josephsilem7239 2 года назад
Kuchezea au kuchezeana jamani mbona ss tu?
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 2 года назад
@@josephsilem7239 sababu WANAUME wamepewa MAMLAKA ya kuwa VIONGOZI wa wanawake
@urueuudududu5760
@urueuudududu5760 2 года назад
Point sana tubadilike ,jamani
@edgarnandonde48
@edgarnandonde48 2 года назад
zembwela hiki kipindi usifanyie mjini njoo huku vijijini uje uone mambo yanavyofanywa hapa duniani nitakutafuta kwenye isngram yako nikupe mambo wee acha tu
@slimmuhabesh2400
@slimmuhabesh2400 2 года назад
Mtafute
@TeamKRX
@TeamKRX 2 года назад
Ebu mtafuta tupate kujua Ya Dunia
@arafamhina6041
@arafamhina6041 2 года назад
Cjapenda mlivyofika makaburin mngahadisia tu
@sulexseif1531
@sulexseif1531 2 года назад
Ya Leo imenoga
@chiefgodlove4402
@chiefgodlove4402 2 года назад
Huu ni uongo bwana hakuna
@edwardongori7734
@edwardongori7734 2 года назад
😭😭😭😭😭😭😭pole na ni funzo kwetu.
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 года назад
Daaa mambo ya Dunia hy jmn
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Год назад
Kiuswazi tunasema rama kafia vitani ila kiuhalisia uchunguzi hakuna ni kusadikika tu,ila nimesikia huyo jini alikua pisi nzuri tako tako,Rama alifinyiwa kwa ndani😂😂
@halimaabubakari1506
@halimaabubakari1506 2 года назад
Ndomjifunzege
@swalhaahmed1041
@swalhaahmed1041 2 года назад
Huyujamaa kaniboesha Anakulakula wakati wakazi bwana siovzuri tabia mbaya
@irenewile
@irenewile 2 года назад
Sauti jamani mbona ndogo
@leahmureithi9978
@leahmureithi9978 2 года назад
tabia chafu ya kula chakula ukiongea
@Salhiya-hr7dy
@Salhiya-hr7dy 2 года назад
Htry wallah ndo muache kutongoza ovyo Allah atustir wallah
@slimmuhabesh2400
@slimmuhabesh2400 2 года назад
Wamezidi
@swdaalii6892
@swdaalii6892 2 года назад
Na nyie mliobaki muwe makini maana uyo jini na sister wake naye anataka boy friend
@khdigahk4246
@khdigahk4246 2 года назад
Jmn kabri LA bibi angu lipo apo apo chin ya mmuarobaini
@sulexseif1531
@sulexseif1531 2 года назад
Kipindi kizuri sana
@saiyydashapi5994
@saiyydashapi5994 2 года назад
So ule kwanza halafu ndiyo usimuliye kiss.mbona ai u ndogo ndogo.
Далее
ПРОСТИ МЕНЯ, АСХАБ ТАМАЕВ
32:44
Просмотров 1,8 млн
IT'S MY LIFE + WATER  #drumcover
00:14
Просмотров 8 млн
Bike Challenge
00:20
Просмотров 9 млн
WRONG HOUSE | 17 |
23:45
Просмотров 164 тыс.
AKUTANA NA JINI ZANZIBAR
9:49
Просмотров 271
ПРОСТИ МЕНЯ, АСХАБ ТАМАЕВ
32:44
Просмотров 1,8 млн