Тёмный

MTU ANAYEPONYA WATU KWA MAJI YA KISIMA / SIO MCHUNGAJI, SIO SHEHE - MSWAHILI SEHEMU YA KWANZA 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 23 тыс.
50% 1

MTU ANAYEPONYA WATU KWA MAJI YA KISIMA / SIO MCHUNGAJI, SIO SHEHE - MSWAHILI SEHEMU YA KWANZA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

15 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 129   
@kbmsouth
@kbmsouth 2 года назад
I'M PROUD TO BE A MUSLIM .. I will stand with my FAITH to ALLAH ☝️
@pascalerick3525
@pascalerick3525 2 года назад
Angekuwa mzungu au mwarabu tungemuita nabii ila kwakuwa ni Mtanzania tunamuita mchawi waafrica Mungu anatupenda sana tatizo tumefunzwa kujichukia na dini zetu ngeni
@victoriadaizy5277
@victoriadaizy5277 2 года назад
Kabisa 🤝
@mbarakaabilahi3400
@mbarakaabilahi3400 2 года назад
Akili kubwa
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 года назад
Hatali. Allah tujaalie mwishomwema maana hi Dunia inaisha vibaya na maajabu na maovu mengi na kukusingizia mengi Sana ya Allah tusamee wajawako utuepushe na moto hakika hakuna tu anaweza kuuvumilia Azabuzako🤲
@ommy551
@ommy551 2 года назад
kuna tofauti baina ya kutibu na kuponya. Kutibu ni kipaji miongoni Mwa vipaji Allah anampa amtakae katika waja wake. Ama kuhusu Kuponya hakuna anaepomya ispokua Allah mwenyewe. Kutibu ni sababu tu ya kuponya Kutoka Kwa mwenyezi.
@haridyhillaryndembo1946
@haridyhillaryndembo1946 2 года назад
Sahihi
@HusseinKandege-n2l
@HusseinKandege-n2l 4 месяца назад
We mwamba nakukubali sana
@bekabakari7394
@bekabakari7394 2 года назад
Mwanahabari upo sawa Lkn unapokua kazini Sio vizuri ukiwa unakula Huku unafanya mahojiano kinywa wazi
@raygeena8552
@raygeena8552 2 года назад
Aii we wacha bana😂mwenzio as ikule Sasa na kwanini?
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 2 года назад
Duuu Zembela kwa kuukata ubwabwa hujambo duuu unanifurahisha sanaaa Ukimwi tenaaa
@chanzisultani3885
@chanzisultani3885 Год назад
Huyosokwe nikweli anasaidia ushahidi Mimi mwenyewe kanisaidia
@rehemaseif1785
@rehemaseif1785 Год назад
Sokwe alikula msuba🤣🤣. Jamani jamani dunia imekwisha.
@joshuamasamboka1172
@joshuamasamboka1172 2 года назад
Mungu ni mwema
@levikinyanjui2627
@levikinyanjui2627 2 года назад
I had miss this for long
@mfakishineni4310
@mfakishineni4310 2 года назад
Mungu humpeleka mtu kule alipo kuchagua Kama Kama unaamini sokwe anapokea ujumbe kutoka kwa mungu basi utapona ila subir jahannam inakusubr huyo sokwe hata swala haiju kapatwa na Majin munaamin basi subirin moto
@hhurbert
@hhurbert 2 года назад
Sokwe bhana na dingi yake mdogo wote wawili kavu sana
@softsoftbby8013
@softsoftbby8013 2 года назад
Hahahaha Zembwela napenda sana unavyo kuwa ukiuliza maswali,,,,dunia hii tutaona mengi sana ila ukweli utabaki pale pale,zaama zamani kutakua mambo mengi ya uzushi
@aishaabdullah4172
@aishaabdullah4172 2 года назад
Jamani maono ya Mungu akupe huku awe anakuadhiriaha kweli 🤣🤣😂🤣 Yaani mtu unapiga makelele unalia 🤣😂🤣😂🤣😂 hayo mashaytwan tu jamani
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
NENDA KAYATOWE.
@piusphilip307
@piusphilip307 2 года назад
Maadui watatu . Bado wanaitafuna Tanzania, hakuna aliyesalama (1) NJAA....Zembwela (2) MALADHI (3) UJINGA
@michaelcheyo4072
@michaelcheyo4072 2 года назад
Kweli kabisa kaka!
@jumaabas6837
@jumaabas6837 2 года назад
😃😄😄😄😄
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
TANZANIA 2 NDII INAYOTAFUNWA NCHI ZINGINE HAZITAFUNWI??? WEWE KWELI MJINGA.
@omarylukindo5306
@omarylukindo5306 2 года назад
Huyo sokwe ni shiidah,unakuta umati hapo kam kariakoo 🤣🤣
@MrHuvix
@MrHuvix 2 года назад
Huyo ni mganga wa kienyeji (shirki)
@venancjoseph1498
@venancjoseph1498 2 года назад
Wale mashehe wakubwa wa dar,waliosema waislamu hakuna kuombewa na mkristo hapo sasa
@juniorbachelor8296
@juniorbachelor8296 2 года назад
Uyo siyo Mkristo. Na wala haombei nazan
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
KUOMBEWA KITU KINGINE KUTIBIWA KITU KINGINE.
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 2 года назад
Ukiwa Na Pesa Au Kitu Cha Kujenga Hata Ndugu Wakiulizwa Watajitambulisha Kwa Eshima Kubwa Sana Ngoja Uwe Kabwela Utajua Ujui Usishangae Ndugu Kusema Awakujui Kama Sehemu Ya Ndugu Yao
@jamilahamis2462
@jamilahamis2462 2 года назад
Wateja wanamaji zembwela unakula makuku wee mzee wa mtaani kwetu noma
@shabanmnahi4648
@shabanmnahi4648 2 года назад
Watu wengi sana wanaumwa jaman duuh!!
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 года назад
Huwo ushilikina anafanya maonogani hayo aingie ndani mizimu I mwambie na misweitwani Nami jini ndiyo inamfundisha ushilikina Naiyazubillah
@amosihokororo9702
@amosihokororo9702 2 года назад
Eheeee kunywa maaaaji uyu sokwe kama avuti bangi mniite mbwa nipo kibaha tanita
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
WEWE MBWA.
@jumaabdurahmani2733
@jumaabdurahmani2733 2 года назад
Wewe mbwa
@alkasusjaasus7015
@alkasusjaasus7015 2 года назад
Zembwela bana eti ..vilema? swali kali sana 🤣🤣🤣. Mponaji Mungu hao wengine wazugaji tu
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 года назад
Mponyaji Mungu.... Mletaji maradhi pia ni Mungu
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
@@BigZhumbe LAKINI WANAOTIBU BINADAMU WENZAKO MPONAJI NI MUNGU HUJAKOSEA
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
AKIWA MUONGO UTAMWITA MZUGAJI
@mafurumatijo8803
@mafurumatijo8803 2 года назад
Ni sehemu gani hapo jamani?
@juniorbachelor8296
@juniorbachelor8296 2 года назад
Mkuranga iyo Kaka
@rommelmauma5199
@rommelmauma5199 2 года назад
*Mswahili* ni kipindi bora kwa umma.
@frankthegreat2004
@frankthegreat2004 2 года назад
Walianza kina Babu wa loliondo tukawa zoom tu
@amrympiti847
@amrympiti847 2 года назад
Huyo dada 😔😔😔🕺🏽🕺🏽😍😍
@shuhaiyasuleiman6450
@shuhaiyasuleiman6450 Год назад
Kafanyaje
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 2 года назад
Mashetani yanakuchezeeni ndugu zangu. Uletelewe maoni na Mungu wewe ni nani kwa mfano? Unaletewa maono na Mashetani . Msiba huu kwetu sisi binadamu.
@juniorbachelor8296
@juniorbachelor8296 2 года назад
Ilo liko Wazi kabisa kaka. Ila ni wachache tu wanao fahamu hilo
@tobosha3236
@tobosha3236 2 года назад
Zembwela bora mliweke pembeni kweli hilo la ukimwi wasituchanganye 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
KWANI UKIMWI SIO MARADHI??
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 2 года назад
Yani We Jamaa Japo Unafanya Vema Lakini Utambue Wanaokutazama Wanatumia MB Sasa MB Zao Zinaishia Kwenye Ujinga Wako Wanakosa Kile Wanachotaka Kukiona Kile Wanachokitaka Kukiona MB Ni Pesa Wewe Ubwabwa Mjini Uko
@rehemahramadhani3428
@rehemahramadhani3428 2 года назад
njaa kali tanzania hamn tiba hapo
@salmasuleiman5069
@salmasuleiman5069 2 года назад
Uyo anae mshika miguu babu apo ndio sokwe atali uyo kaka mung amuweke
@msafimediaonlinemmo7817
@msafimediaonlinemmo7817 2 года назад
Ukitokea kongowe unashuka maeneo gani nikafanye nae interview
@mussamtupa
@mussamtupa 2 года назад
Hayo mambo yanatokea watu wengi Mm kijijini kwetu kulikua na Mtu moja nilisomanae Madrasa alinizidi umri Huyu jamaa alipata Maradhi kaangaika sana Baadae akatoweka nyumbani kwao Kwa muda wa Miezi 6 hajulikani alipo Baadae akaonekana Yaani alikiri mwenyewe Akiwa ktk hari ya kawaida tu Sasa watu walipo kuja kumuona kwa kua alipotea Kazi ya tiba. Ikaanza hapo.........
@ngunitv
@ngunitv 2 года назад
Mtu anaepanya watu kwa maji/ngunitv
@ngunitv
@ngunitv 2 года назад
Watching mponyaji ajahza kuponya walemavu anasema/ngunitv
@jumaabdurahmani2733
@jumaabdurahmani2733 2 года назад
Nimekuwa nikitumia huduma zake za kunywa maji kwasasa niko tofauti
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
@@jumaabdurahmani2733 AL HAMDULILLAH 🤲🤲🤲🤲
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 года назад
Watu wanaona maajabu na ujinga kuwa jamaa anaponya kwa maji ikiwa Uislamu wanasomea maji na kuyatemea mate mgonjwa anakunywa sotojo la mate....... waliolewa na dini hawaoni ujinga kunywa mate ya watu
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
ULIONA WAPI MAJI KAYATEMEA MATE??? WACHA UWONGO.
@aminaalabri4170
@aminaalabri4170 2 года назад
Dah mitihan hii wallah kaz kupotosha watu 2
@juniorbachelor8296
@juniorbachelor8296 2 года назад
Kabisa Dada. Uti ametumwa na Majini anaongpa Anapata Maono kutoka kwa Mungu. Shame
@aminaalabri4170
@aminaalabri4170 2 года назад
@@juniorbachelor8296 ndo ivo hyo maono apewe yey 2 ftina 2 alaf usikie maisha magum wanamchezea mungu kwa mikono yao
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
@@juniorbachelor8296 UMEJUWAJE KAMA NI MAJINI??? KWANI MUNGU HAWEZI KUMUONYESHA??? JINI NDIO ANAEWEZA????
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
@@aminaalabri4170 KWANI ULIENDA NA HUJAPONA??? NA KAMA HUJENDA WALA HUJAJARIBU UTASEMAJE WANAMCHEZEA MUNGU???
@abdallakhatib3898
@abdallakhatib3898 2 года назад
Hahaha Zimbwela unaulizwa ushaona eeeh na hujibu unakazia tu
@yahayaallytv2852
@yahayaallytv2852 2 года назад
Ahahaha haha kunywaa majiii innnaliillahi
@jumaabdurahmani2733
@jumaabdurahmani2733 2 года назад
Usilo lijua ni usiku wa giza
@actionscene4753
@actionscene4753 2 года назад
Eti hata kama una ukimwi unapona 😂😂😂😂
@salmasuleiman5069
@salmasuleiman5069 2 года назад
Yani uyo kaka ni hatali mi nimesha fika uko usibishe
@tojotv6414
@tojotv6414 2 года назад
Ao ni majini wa kawaida ndio maana tunaambiwa mashetani wa Trick nyingi sana
@juniorbachelor8296
@juniorbachelor8296 2 года назад
Yes kaka huo Ndio ukweli. Hakuna cha Maono wala kutoka kwa Mungu hapo.
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
KWA HIYO MUNGU HAWEZI JINI NDIO ANAEWEZA 🤣🤣🤣🤣🤣
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
@@juniorbachelor8296 WEWE UMEJUWAJE HUO UKWELI????
@rasjamal9854
@rasjamal9854 2 года назад
Katma Ukwimwi hiyo cinema Bana
@wadidazone5759
@wadidazone5759 2 года назад
heeee kunywa maji duuh hatarii
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 года назад
Huyu ni wapili anaeunganisha dini zinazofunza kutengana. Wakwanza ni Nabii Cress II aliyeandika kitabu cha kurasa zaidi ya elfu saba cha kiimani unganishi, kitabu kinarekebisha mafunzo potofu ya Qur-an na Biblia na vitabu vingine vya dini
@juniorbachelor8296
@juniorbachelor8296 2 года назад
Quran ina Mafunzo Potofu Ndugu??
@alphablondking6091
@alphablondking6091 2 года назад
Ungo utupu kumalizia mb zetu tu
@jumaabdurahmani2733
@jumaabdurahmani2733 2 года назад
@@alphablondking6091 ipo siku utaamini tu inshaalah
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
@@alphablondking6091 KWANI UMEENDA NA HUJAPONA?? AU UNAROPOKA 2
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 2 года назад
Allah azidi kutufanyie wepesi tz yetu ma lmani zetu kila kitu ni lman inayokuponyesha ila kkubwa kumuomba mungu akuna linachoshindikana kwake☝Alali wala asinzii
@salmasuleiman5069
@salmasuleiman5069 2 года назад
Mi nimesha fika uko nikweli co poa anasaidiia sana
@habasportstv9205
@habasportstv9205 2 года назад
Acha kupotosha dunia kuna allah alafu ni muislamu
@shuhaiyasuleiman6450
@shuhaiyasuleiman6450 Год назад
Waambie mungu anaweza
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 2 года назад
Za kuambiwa changanya na zako
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
UKISHAZICHANGANYA NAMBIE BABU WA LIONDO MIA 5 HUYU BURE.
@nawandafamito500
@nawandafamito500 2 года назад
Kkkkkk kwa sokwe ni kitonga alafu unaamsha
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 2 года назад
naomba mnirudishie chenji yangu.hii kali sana.wajinga ndio waliwao.
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
ALIE KWAMBIA KAMA WANALIPA NI NANI????
@dismamush8015
@dismamush8015 2 года назад
Zembwela angefaa xana Kama angeigixa komed
@mudiomari3007
@mudiomari3007 2 года назад
Naona tartiiibu unakata tonge apo
@ngunitv
@ngunitv 2 года назад
Ngunitv
@stevewanga957
@stevewanga957 2 года назад
Tanzania bado Kuna itikadi za kijinga sana.... Nakumbuka babu wa loliondo
@zikenims6167
@zikenims6167 2 года назад
Adi ukimwi nitakuja
@zubedalema6634
@zubedalema6634 2 года назад
Masii dajali yupo njiani na huyo sokwe ni mfuasi wa masii dajali
@juniorbachelor8296
@juniorbachelor8296 2 года назад
Kabisa Dada😄
@jumaabdurahmani2733
@jumaabdurahmani2733 2 года назад
Inaelekea umejikatia tamaa kwani masii hatokuja iwapo wewe utakuwa umeelimika
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
ULIAMBIWA NA NANI KAMA WATU WAKITIBU KWA MAJI BASI MASIHI DAJALI YUKO NJIANI???
@vedastusmwakalukwa1271
@vedastusmwakalukwa1271 2 года назад
Msuba😂😂😂😂
@shaqdizo7678
@shaqdizo7678 2 года назад
Serikali Iko busy inaiba pesa za Kodi za wananchi, this is sad , hawa watu wote wanamatatizo ni wagonjwa fikra potofu, hakuna elimu, umaskini m'baya sana. Hivi serikali Iko wapi kuruhusu watu kama hawa hawana hata vibali vya matibabu upumbavu mtupu
@nawandafamito500
@nawandafamito500 2 года назад
Zetu walijua mambo mengi na Makubwa, hao watu wa selikali na hao wajomba zako wazungu ndo wamewaua mpaka Leo kuna, kizazi cha watu wajinga kama wewe, wakija wazungu na magonjwa yao mnakimbilia eti kibali kibali ni wizi wa mzungu kutoka kwa shetani, haya nenda kapige chanjo ya corona, kwenye hivyo vibali, pumbavu
@nawandafamito500
@nawandafamito500 2 года назад
Zetu
@nawandafamito500
@nawandafamito500 2 года назад
Kubali ndio nini sasa?, Uzungu umewapotosha sana, kuna mitume wengi na manabii, wamepita zama hizo, mababu
@swalehbakari2667
@swalehbakari2667 2 года назад
Tusomen ndugu tusiwe wajinga Twenden mdrassa mana ao wanao amin uwo upuuz awa elim masikin
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 года назад
@@swalehbakari2667 Waafrika wametibiana kwa njia kama hizo mamilioni ya miaka na enzi izo hakuna Uislamu wala Ukristo
Далее
НИКИТА ПОДСТАВИЛ ДЖОНИ 😡
01:00
Просмотров 164 тыс.
SIKU YA DENI episode ya 3 FINNALY
13:42
Просмотров 611
MAU MPEMBA KWANINI RAMADHANI SEHEMU 4
20:36
Просмотров 31 тыс.
Maji ya Ajabu Kutoka Pemba
6:01
Просмотров 34 тыс.