Тёмный

MSWAHILI : TANDALE KUOLEWA MAJALIWA/ MTOTO NDIO KILA KITU, PESA MBELE KUDOKOA MWIKO 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 90 тыс.
50% 1

𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 166   
@bwagamoyoonlinetv6013
@bwagamoyoonlinetv6013 3 года назад
Fanya kweli kaka Zembwela, Talent hiyoo mpe kweli Maisha huyo bro na nyimbo yake. Itakua ana mambo mengi sana Mr Fagio. Kazi kwako Zembwela Street President.
@NyenjeEmma
@NyenjeEmma Год назад
Kwa kua humjui uyu fagio,ashapata dili kubwa ila yy msumbufu gambe nyingi😂
@tonymukimu1001
@tonymukimu1001 3 года назад
From Kenya I really missed this program #uswazi
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 3 года назад
Fagio mm nampenda vituko vywake 💯💯
@shebymuyao3647
@shebymuyao3647 3 года назад
Unaamjua kwani
@rashidabubakari7826
@rashidabubakari7826 3 года назад
Unamjua
@pascalkyara7411
@pascalkyara7411 3 года назад
Bonge la kipindi hili saiv nitaakikisha hakinipiti dahhh safiii sana 🔥🔥🔥
@charlesmassawe5378
@charlesmassawe5378 3 года назад
Da kweli hvi kipindi chake ni lini?
@pascalkyara7411
@pascalkyara7411 3 года назад
@@charlesmassawe5378 jumatatu saa tatu kamili kaka🔥🔥🔥
@charlesmassawe5378
@charlesmassawe5378 3 года назад
Poa kaka p....ucku au asubuhi?
@pascalkyara7411
@pascalkyara7411 3 года назад
@@charlesmassawe5378 saa 3 usiku
@MiaTheLathini
@MiaTheLathini 3 года назад
Habari yako ndugu samahan kwa usumbufu NaoMba Maoni yako kwa wimbo wangu *“Ukinizingua Tutazinguana”* 👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-ZdxcRPDbVIc.html AKHSANTE & BARIKIWA
@kobakanmshededemshedede6133
@kobakanmshededemshedede6133 3 года назад
#Cku zinaenda ajari zinasogea htr sanaaa! fagiooooh!✌✌✌
@samwaukwelimwana3066
@samwaukwelimwana3066 3 года назад
Hongera sana mzazi zembela..tunakukubali sana tangia upo na marehemu max hadi uswazi ndani ya EATV..ebwana tunakuomba utembeleee Mombasa yetu mlaleo kisauni uswazi kwetu ukutane matukio mbalimbali alafu adimu hakika utakua na yakusimulia kwenye kipindi ...karibu sana..
@Wasafi_Media
@Wasafi_Media 3 года назад
Ahsante Sana ... Tunaomba Kuwasiliana na wewe kwa ajili ya Kuja Kutengeneza Kipindi cha #Mswahili - Tutafute Kupitia namba hii hapa - 0658996473
@pius1359
@pius1359 3 года назад
Pamoja wasafi tv🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@jorgettemwajuma5428
@jorgettemwajuma5428 3 года назад
Mashallah wcb 4life
@salehalzakwani3283
@salehalzakwani3283 2 года назад
From Dubai namkubali mswahili
@fatnahsaleh860
@fatnahsaleh860 3 года назад
Aise isho itapendwa sana 🔥🔥🔥🔥🔥#Mswahili
@issabakari1916
@issabakari1916 3 года назад
Zembwelaaaaaaaa dah Safi Sana tulimiss Sana izi mambo, wacha nikwende kufunga dish langu sasa
@darviswantana7669
@darviswantana7669 3 года назад
Hahaaaaa jamaaa anafanya.. biashara kiubunifu
@dutchsafari7562
@dutchsafari7562 3 года назад
Keep reminding me about #Uswazi back in the days
@jumamagaya945
@jumamagaya945 3 года назад
Umetisha mswahili
@maverickcreativesolutions8285
@maverickcreativesolutions8285 2 года назад
Mzee fyegio namkubali sana that guy is super talented. Mpeni nafasi jamani
@yantifbadest3207
@yantifbadest3207 3 года назад
Dah noma sana utamu kama wote
@lusajomwankusye3477
@lusajomwankusye3477 2 года назад
Napenda mnoooo
@moahamoh9959
@moahamoh9959 3 года назад
Iyo wimbo Kali jamani msaidieni fagio anatalanta.iyo si kazi yake bali ye ni msanii
@athumanimhanga2053
@athumanimhanga2053 3 года назад
kabisa kipaji chake nimuziki msaidieni jamani
@moshiomarymnyeda8907
@moshiomarymnyeda8907 3 года назад
Hatariii sanaaa 😍😍😍😍
@kidjhdf7568
@kidjhdf7568 3 года назад
Safi saanaaa zembwela
@bwagamoyoonlinetv6013
@bwagamoyoonlinetv6013 3 года назад
Wasafi Kipaji hichooooooo. Zembwela M Manage huyooo mtuu.
@rujainzuber7414
@rujainzuber7414 3 года назад
From oman ila tandale ndio home
@habibabundala9610
@habibabundala9610 3 года назад
From Omani ila tandale home😀😀
@franciskomba8057
@franciskomba8057 3 года назад
Dah safi sana napenda sana kipindi kama iki 🔥🔥🔥🔥
@zuberihassan2450
@zuberihassan2450 3 года назад
Pind taam saana
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 года назад
Kipindi kizuri ahsante wasafi ahsante zembwela
@josej9888
@josej9888 3 года назад
Alipo tupo #mswahili
@issamwanga9934
@issamwanga9934 3 года назад
Hatari
@_salum.21
@_salum.21 3 года назад
Hello mbona ile ya Zanzibar
@rommelmauma5872
@rommelmauma5872 2 года назад
Ushauri katika kutengeneza mafagio ya nje: Sehemu inayofagia isiwe *mlalo* [horizontal]; iwe *matemo* [slanting] kidogo kutoka kwa mtumiaji ili kuongeza ufanisi wa matumizi. Kongole kwako Zembelwa kwa kuwafikia wananchi wetu walio nje ya mawasiliano. Ni ukombozi mkubwa kwao.
@nickmmary5726
@nickmmary5726 3 года назад
chuma salamu zikufikie big up naumia sana nikikosa wa kukurithi ila mimi ndo nijaye
@valerianmchau5188
@valerianmchau5188 3 года назад
Zembwela 🔥🔥🔥🔥
@elijahm.muthini
@elijahm.muthini 3 года назад
Huyu jamaa wa fangio akiingia kenya anakuwa diamond,watz hawajui sisi tunapenda sna kiswahili sanifu
@aishahussein4884
@aishahussein4884 3 года назад
Hahaha
@adijaniyonkuru9731
@adijaniyonkuru9731 3 года назад
🔥🔥🔥🔥
@abdulmrisho1632
@abdulmrisho1632 3 года назад
Jama wa muda mrefu sana na kazi zake hizohizo
@alliyoigaly3646
@alliyoigaly3646 3 года назад
Big up zembwela
@ماجكموزجوني
@ماجكموزجوني 3 года назад
-15:00 Zembwela help broom man to release this single🤣🤣 #fagio
@fficiallymasue1903
@fficiallymasue1903 3 года назад
Ubunifu 100 wasafi kipind Safi Sana
@felixochungo5656
@felixochungo5656 3 года назад
Watanzania uimbaji sio shida
@hawamongwa6725
@hawamongwa6725 3 года назад
😄😅
@salumshakespeare
@salumshakespeare 3 года назад
Mswahili km Mswahili on 🔥🔥🔥
@shahilmmasai2989
@shahilmmasai2989 3 года назад
😂😂😂mkandamize na zuchu itanoga
@TheSalma1999
@TheSalma1999 3 года назад
Eti basi mwali zembwela unanikosha roho yangu nyeupe asanteni wasafi kwa kuwa creative
@fatumahramadhani2636
@fatumahramadhani2636 3 года назад
Daah bonge la song zembel kitambo mno napenda kusikiliza xan kipnd cha uswaz
@godfreyginanai6252
@godfreyginanai6252 3 года назад
Nyimbo Kali xana jamani bigup fegio
@husseindumwala3345
@husseindumwala3345 3 года назад
Nimeipenda sana
@ndulamwakitalima7505
@ndulamwakitalima7505 3 года назад
Ni kweli maisha yetu
@globaltravel5384
@globaltravel5384 3 года назад
Uku ndio kwako uswahilin..mambo ya studio tupa kuleeeeeeee
@jkOmar2024
@jkOmar2024 3 года назад
Hongera kipndi kizuri sana umeonesha uwezo
@jumarajab1008
@jumarajab1008 3 года назад
china hamna kipindi km hiki
@jkOmar2024
@jkOmar2024 3 года назад
@@jumarajab1008 hahahahhahahahahahhahaaahhahhahahahahahhahaahhahahahahahahahaahahha
@AhmedSalah-ri3es
@AhmedSalah-ri3es 3 года назад
Hapo ilitakiwa umuachie hata buku5 umemuacha pakavu na amekuburudisha akiwa kazini
@hawamongwa6725
@hawamongwa6725 3 года назад
imagine 😐
@khanniebaraka1515
@khanniebaraka1515 3 года назад
Nomaa
@Layo-ib8mp
@Layo-ib8mp Год назад
Uhakika!
@kidjhdf7568
@kidjhdf7568 3 года назад
Love you brother zembwela
@zakayokilati6015
@zakayokilati6015 3 года назад
Ety hiyo aikuhusu nimecheka balaa. Kama umecheka nipe like😆😆😆
@mybabyarchive2104
@mybabyarchive2104 3 года назад
Huyo jama kipaji bonge la voko mdhaminini aingie studio atapata sana mashabiki
@hawamongwa6725
@hawamongwa6725 3 года назад
😅
@انبنداملبن
@انبنداملبن 3 года назад
Kipindi hiko kizuri wasafi 💯💯💯💯
@meddykim3914
@meddykim3914 3 года назад
Wakwanza
@petromahava865
@petromahava865 3 года назад
nakubali unajua zembwela....
@ismailsato5350
@ismailsato5350 3 года назад
Kipind kizur saan zembwela keep it up
@LawyerBC
@LawyerBC 3 года назад
Mko juu wanangu
@agnesollie753
@agnesollie753 3 года назад
Tuambie kama mzee wafagio ulipatanisha diamond na penda kiplindi sana lakini karibuni ujaupdate 🇰🇪💯💯❤️
@dralhajijbmatatala4580
@dralhajijbmatatala4580 3 года назад
MAA SHA ALLAH 🤲🏿 Aeeeee Fagiooooo.... Hahahaaa 😂😂😂😂
@jumaiddy9859
@jumaiddy9859 3 года назад
Bei ndio hiyooo Hatakama ukinunaoo Watanunua wenzioo
@amirithabiti9181
@amirithabiti9181 3 года назад
Hapa sawa sasa
@hashimuyasini5905
@hashimuyasini5905 3 года назад
Safi sana
@peteveprosper7186
@peteveprosper7186 3 года назад
Umeua sanaa
@florachrist9602
@florachrist9602 3 года назад
We fagio😁😁bei ndo hio hat kam ukinuna watanunua wenzio😂😂
@hawamongwa6725
@hawamongwa6725 3 года назад
😅😅😅😄
@lubungaetienealmasi1059
@lubungaetienealmasi1059 3 года назад
Dah kali sana
@bongochoice8757
@bongochoice8757 3 года назад
Wasafi wanaakili sana
@kauthariddi441
@kauthariddi441 3 года назад
Home znz
@finakato5080
@finakato5080 3 года назад
Nakipenda sana hiki kipindi ila sijui kinaonyweshwa lini na saa ngapi
@hauleshadrack5879
@hauleshadrack5879 Год назад
Huyo aliambiwa amtafute MAN water
@bosekajr2468
@bosekajr2468 3 года назад
Habibu dinga
@tysonjohn4972
@tysonjohn4972 3 года назад
Nimekubali wimbo sana
@ahmedsalim5805
@ahmedsalim5805 3 года назад
Ee fegiooo bei ndio hyoo
@dplusmotionpictures
@dplusmotionpictures 3 года назад
Mpe hata ten tu thn deal mta make sa una mwacha ivo tu muda ote kwan ye kasemaje mlivozima camera
@homkwetukikwe2kwe265
@homkwetukikwe2kwe265 3 года назад
#Fagio_Bei_Ndo_Iyo 🧠🔥
@sensei1640
@sensei1640 6 месяцев назад
Hapo dakika 3:00 kakosha
@anisiaanisia1396
@anisiaanisia1396 3 года назад
Mwenye uswazi yake #z
@aroycerobert1005
@aroycerobert1005 3 года назад
Zebwela umiitege basi kwenye show zenu za Wasafi
@willykhan3040
@willykhan3040 3 года назад
Moto
@godfreyeliabu2582
@godfreyeliabu2582 3 года назад
Chuma chapua kazini katika ubora kipindi kipokama nilivyo dhani ila muda kama mfupi hivi tuongezewe #pr jamari hili la muda lakohili #zembwela hawezikataa kuongezamuda wake was kuifanya kazi hii , mfano pale sokoni tungejuamengi sana lakini muda
@kamanda007
@kamanda007 3 года назад
Boss ungemwachia hata elfu kumi huyo fagio
@kassimsalum1479
@kassimsalum1479 3 года назад
Anakwambia siku zinaenda ajali inasogea 🤣🤣🤣
@dopekillerchiwanda7574
@dopekillerchiwanda7574 3 года назад
✌️✌️✌️
@sharamohamed4592
@sharamohamed4592 3 года назад
❤❤❤❤❤❤
@rashidpweka4325
@rashidpweka4325 3 года назад
Zembwela the best
@erickngatunga2359
@erickngatunga2359 3 года назад
huu wimbo wa huyu jamaa si anaweza kurekodi huyu amshirikishe baba levo.
@alicase2211
@alicase2211 2 года назад
Hahahaaa daah zembelwa unanogesha kinoma ww ni kama chumvi wasafi tv ni mboga
@twahazakumba2800
@twahazakumba2800 3 года назад
Ukichunguza kwa umakini kila mtanzania nimsaanii wa kuimba
@hawamongwa6725
@hawamongwa6725 3 года назад
😅😅😅😂
@nasseralhabsi1483
@nasseralhabsi1483 3 года назад
Piga kazi fagio, tafuta riziki.
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 3 года назад
Ndo vipindi tunanya vipenda
@omaryally8331
@omaryally8331 3 года назад
Daah! Mondi mpe tafu jamaa daah anaweza ndiyo nyimbo zetu za uswazi hizo kaka mondi Kama unanisikia piga moja na jamaa
@athumanimhanga2053
@athumanimhanga2053 3 года назад
sema nn uyo jama anakipaji sembwela msaidie jamaa
@omaryally8331
@omaryally8331 3 года назад
Kweli ndugu jamaa anaweza
@MiaTheLathini
@MiaTheLathini 3 года назад
Habari yako ndugu samahan kwa usumbufu NaoMba Maoni yako kwa wimbo wangu *“Ukinizingua Tutazinguana”* 👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-ZdxcRPDbVIc.html AKHSANTE & BARIKIWA
@alimuchiri6151
@alimuchiri6151 2 года назад
Zembwelaa...Hoyee..🤣🤣
@muzneatwahir9534
@muzneatwahir9534 3 года назад
Ah ichi kipindi kipo poa kaka
@zuwenajuma2927
@zuwenajuma2927 3 года назад
Zembwela kaka mkubwa heshima kwako ,uliangaika kwenye jua hukukata tamaa Leo unalia kivulin umenifunza hakuna kukata tamaa
@mubarakatwaha7776
@mubarakatwaha7776 3 года назад
Zembwela Kama kweli mnazingatia vipaji huyo Fagio imba nae na wewe ndo wa uswazi bosi wako Diamond wa uswazi Basi muwainue wa Uswazi
@salumobed5980
@salumobed5980 3 года назад
Nooomaaa bonge la kipindi
@leiratykisura6718
@leiratykisura6718 3 года назад
Uyo mkka wa fagio ni msani msaidyen arikod
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Год назад
😁😁😁😁eti unaongea kingereza
@adilais-haka4357
@adilais-haka4357 3 года назад
You should post more all the recordings for people who outside TZ to see like us :)
@kwetuarts
@kwetuarts 3 года назад
Ni noumaaaa
@leiratykisura6718
@leiratykisura6718 3 года назад
Misitari ni mikari
@allykivunja5511
@allykivunja5511 3 года назад
Kipindi hichi na EATV hawa wanaiba vipindi vya watu wanaonekana wako juu sisi tumeanza toka na musa ,akaja yule Dada na baadae zembwela yeye tena kakikahamishia WCB hovyo sana washtakini kwa kuiba Idea watu wanatunga nyie mnacopy tu
Далее