Тёмный

MSWAHILI : KIJIJI CHA MBEZI BEACH/ KUNA MAISHA YA USWAHILI ZAIDI YA MITAA MINGINE YA DAR ES SALAAM 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 106 тыс.
50% 1

𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

23 май 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 200   
@godfreyeliabu2582
@godfreyeliabu2582 3 года назад
Wakati naandika hii comenti naumwa nimetoa machozi sio kwasababu naumwa kwasababu ya maisha wanayoishi watanzania wenzangu wakiwa katikati ya matajili munguhuyo
@kibeyoonline7443
@kibeyoonline7443 3 года назад
Sure
@shabbyofficial_
@shabbyofficial_ 3 года назад
Bro haya maisha sio fair ata kidogo na ukiyafikiria sana unaeza mkosea Mungu
@shabbyofficial_
@shabbyofficial_ 3 года назад
Bro haya maisha sio fair ata kidogo na ukiyafikiria sana unaeza mkosea Mungu
@maruunyange1091
@maruunyange1091 3 года назад
Zembwela unajua kucheza na qkili za watu,,,, hongera broo
@kadulathumani7517
@kadulathumani7517 3 года назад
Zembwela interview yako na wananchi, inagusa sana mipango ya maisha. Pale mtu unapojipata almuradi mzima na afya ndio muhimu. Tuwasaidie mipango ya kupata maji na umeme
@parma786
@parma786 3 года назад
Zembelaa safi sana uswahilini mbezi beach I like what you're doing the great zembela
@hyasintndimbo2998
@hyasintndimbo2998 3 года назад
Good good🤗🤗🤗🤗 mi ndo mswahili na hao Ni waswahili wenzangu
@jacksonsimon5020
@jacksonsimon5020 3 года назад
Zembwela huyo MAKWINYA ni mtu maarufu sana hiyo Mbezi. Na miaka hiyo 97 apo palikuwa sehemu maarufu sana kwa uuzaji wa pombe za kienyeji ikiwemo GONGO. Na mjumbe amekwambia wanakamatwa sana lakini sababu kubwa nafikili sio kulewa mapema bali ni uuzaji wa GONGO. Miaka ya hiyo hiyo sehemu ilikuwa inafaamika kama MBEZI KWA MAKWINYA. Zembwela umenikumbusha mbali sana.
@aminaomary5567
@aminaomary5567 3 года назад
Zembwela safi sana tulikumisi kitambo pita pita sehem kama zamani.Ongera By Mtwara
@leiratykisura6718
@leiratykisura6718 3 года назад
Nakupenda sana zembwela kwa kaz mzr unajitaid sn napenda unacho kifanya
@malikzafarani172
@malikzafarani172 3 года назад
CHOMBO KWA HEWA NA BABU ZEMBWELA PINDI LANGU BORA KABISA 🇶🇦
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 3 года назад
Yaani dar Kuna watu wanaishi Kama wako ulaya hata joto la dar hawalioni lakini pia Kuna watu wanaishi maisha duni hata unajiuliza hii ni dar au wapi???
@stn4873
@stn4873 2 года назад
Hata Ulaya au America kupo hvyo hvyo.
@emmanuelgabagendi3169
@emmanuelgabagendi3169 3 года назад
Dah! Nchi Yetu Bado Iko Nyuma Xan Ahsante Xan Brother Zebwela Mungu Akubaliki Xan Tu
@kingnicky2568
@kingnicky2568 3 года назад
Acha mazarau kila sehem dunian kna maskin....brazil kuna greatest slums , marekan kuna ny BG , china ipo .... kila sehem kna maskin na matajir
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 года назад
@@kingnicky2568 asante kwa kupenda KUSOMA . Umenifurahisha na kunisaidia KUMJIBU
@ummyhasheem2245
@ummyhasheem2245 3 года назад
@@kingnicky2568 tena dume zima anatumia x baadala ya s
@benardmapuga8370
@benardmapuga8370 3 года назад
Kwa mtt wa kiume kutumia neno X kiukweli sio kbs
@felixochungo5656
@felixochungo5656 3 года назад
Odemba Swahili safi
@patricktaylor602
@patricktaylor602 3 года назад
Zembwela hongera sana mzee baba unajua mnoo,umekomaa sana kikazi
@tahirmasoud1953
@tahirmasoud1953 3 года назад
Very good documentary film and educational.
@ahmadjuma3816
@ahmadjuma3816 3 года назад
Sasa walevi hawa Kuna sehemu ya kufanya ibada kweli hapa natumai utachukuwa kipande kirefu kukuta mskiti au kanisa halafu munatutambia wa mikoani mimi nipo dar ,dar yenyewe ndio hii
@catherinemuhagama7338
@catherinemuhagama7338 3 года назад
😂kwakwel bora tuliopo mikoanii
@mangalilikilawe6788
@mangalilikilawe6788 3 года назад
Ukosikia dar kilakitu kipo ndio mana yake
@muniracheusi9955
@muniracheusi9955 Год назад
Mungu anaombwa popote pale sio lzm msikiti au kanisa niww na iman yako tu endapo Unaona unataka kuabudu eneo tukufu basi huna budi kwenda lilipo kama hapo hakuna pa kuabudu
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 3 месяца назад
Hamna sehemu haina masikini hata marekani ndani ya New York kuna watu wamechoka
@jambo3751
@jambo3751 3 года назад
DUH!! Yaani mtu ndio anakwambia yuko DAR tena anaishi MBEZI!!! Halafu anakwambia wewe unaishi Mikoani yeye yuko JIJINI!!!
@msalikemedia
@msalikemedia 3 года назад
Hahaha nimecheka sana daah yaan hapa eti ni dar
@shedrackmwaipopo9427
@shedrackmwaipopo9427 3 года назад
Nomaaa
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️
@omaryonga1776
@omaryonga1776 3 года назад
Vijiji vya kutengenezwa hivo.....haya tuonyeshwe hayo mashamba hapo ni uswahilini
@omaryonga1776
@omaryonga1776 3 года назад
Ndio ana haki ya kusema hivo haina maana sehemu yote iwe sawa....hata huko Ulaya kuna sehemu sio NZURI.
@mutomubaya
@mutomubaya 3 года назад
Viongozi wanaofundisha watu kumjua Allah wako wapi? Maendeleo yatapatikana huku wenyeji wakifunzwa kusoma Qur'an. Lau sivyo watu watadhani maisha mazuri ni kunywa gongo, kucheza ngoma, na ndoa zisizo halali utazipata kwa wingi. Wahubiri mtalaumiwa kwenda Congo kuhubiri hali mnaacha kwenu.
@georginajohn8456
@georginajohn8456 3 года назад
Mzeee Makwinyo naomba unikatie kiwanja huko nimependa Maisha ya uswazi kijijini
@fatmahamisikipindura6640
@fatmahamisikipindura6640 3 года назад
Zebwera nakukubali sana ila nikikuona namkumbuka Sana maksi jamani😅
@daudmtange8005
@daudmtange8005 3 года назад
Jah bless tanzania
@samclassic7613
@samclassic7613 3 года назад
Babu kama babu mwenye uswahili wake pindi safi sana hili
@liciouscharles3370
@liciouscharles3370 3 года назад
Et kunywa mnazi kwanza chakula badae😂😂😂😂🤣
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 3 года назад
Yaani hao matajili hapo wameshindwa kiwasaidia hao ndugu hapo jamani daah
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 3 года назад
Matajiri Wana roho mbaya sana
@fredypastoryutd4864
@fredypastoryutd4864 3 года назад
Nlifikiri huyu dada wa mtani jembe ndio atakua na akili kidogo kumne afadhali ya Mtani Jembe😂😂
@classicmido88
@classicmido88 3 года назад
Pata hela utafutwe kosa hela uwatafutee😂😂😂😂😂
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 3 года назад
Haswa mkuu😂😂
@impeccable6974
@impeccable6974 2 года назад
HAO WATU WAACHWE HAKUNA MAHALA PAKOSAPO MASKINI,NA NDIO MAISHA ,SERIKALI IWAPE HUDUMA NZURI.MI NAFURAHI MAISHA HAYO YANA AMANI
@hamedabashir9
@hamedabashir9 3 года назад
Zembwela nakuona mashallah
@bebebebe5677
@bebebebe5677 3 года назад
Zembwela we noma san unamnunulia pombe wakat anakuambia ana njaa hahahaha
@georginajohn8456
@georginajohn8456 3 года назад
C ili Afe mapema hahahaaaaaa
@flavianchuwa4370
@flavianchuwa4370 3 года назад
😀😀😀🙌🙌🙌🙌zembwela hujawahi feli mtaani
@Fabulousmom509
@Fabulousmom509 3 года назад
Eti yule chibonge.. Wabongo nawapenda hawamind majina majina
@boazambokile2587
@boazambokile2587 3 года назад
Mtangazaji upo real sana hujali ungeenda na suti hapo sijui kama mngeelewana 😛
@suzanfelix8065
@suzanfelix8065 3 года назад
Jamani wapi wamakonde wenzangu wakuje hukuuu
@amour5535
@amour5535 3 года назад
😊😊😊😊😊🙏🙏🙏
@RioIpo
@RioIpo 3 года назад
Hao walevi dah mchana washautwikaaa
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
🤣🤣🤣🤣
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 года назад
Daah kumbe katikati ya matajiri kuna maskini kiasi hicho huko huko 😭
@gehazmakoga1018
@gehazmakoga1018 3 года назад
Wangapi mlimc USWAZI naona imerudi
@faustinemavere1450
@faustinemavere1450 3 года назад
Mhhhh makubwa kweli maisha wanaishi kwenye mabanda jamani
@lubungaetienealmasi1059
@lubungaetienealmasi1059 3 года назад
🇨🇦🇨🇦🇨🇦 uswahiii ndo nimezalia siwezi sahu asili yangu
@julianajacksoni4275
@julianajacksoni4275 3 года назад
Zembwela ni nooomaaaaa 😘😘😘😘
@TheSalma1999
@TheSalma1999 3 года назад
Mtani jembe alisahau na miriam Odemba wasafi tv mbavu zangu mimi safi sana
@hamadinuru1450
@hamadinuru1450 3 года назад
Safi sana babu zembwela
@KoreanDramaMoviesKiswahili
@KoreanDramaMoviesKiswahili 3 года назад
❤❤❤
@khalifasultan2677
@khalifasultan2677 3 года назад
Oi zembwela ile comedy yenu na marehemu max na kina kidd santana umeenda kupanga nyumba halafu unaleta ubabe kulipa kodi mbona hatuzipati hata RU-vid asee!?? Au ile comedy ya VITA YA NYOKA siipati kabiss RU-vid!!
@material_liv4674
@material_liv4674 3 года назад
Na ile ya keki ya birthday uliyowekewa sumu kama houseboy iko wapi?
@ip_header
@ip_header 3 года назад
Kama ni open space au hifadhi ya barabara, kuna hatihati ya kutolewa hicho kijiji mbeleni
@leokamil6284
@leokamil6284 3 года назад
Sio mbeleni ndugu yangu ikiachiwa kuwatoa hapo ni kazi maana wanaendelea kuzaana hujue .Kwa kuwa sio sehemu sahihi ya makazi ni kuwatoa ila Serekali ya mtaa wanapewa vumbi ndio maana hawawatoi hapo.Kisheria sio sahihi uvamizi wa sehemu hiyo.
@pettyjongera1295
@pettyjongera1295 3 года назад
Hapo kwenye Odemba OG
@lastbornsaadah7632
@lastbornsaadah7632 Год назад
Daah kama soweto
@kambeylesaito3204
@kambeylesaito3204 3 года назад
Odemba Tena 😂😂😂😂😂😂
@rajabrwambow9660
@rajabrwambow9660 3 месяца назад
Kaka hiyo t shirt haifanan na za ndugu zetu wa lugalo kweli
@maryannqyut8194
@maryannqyut8194 3 года назад
Bekaaaaa😘😘😘😘😘
@alikarisa
@alikarisa 3 года назад
Mbona Mbunge wao asiwajengee nyumba za bei rahisi. Ama awafanyie mpango wa umeme wa Lea Na maji Safi?
@leokamil6284
@leokamil6284 2 года назад
Hiyo sehemu sio halali yao hao ni wavamizi wanaletana mmoja mmoja mpaka wamejaa hivyo ila hiyo sio sehemu ya makazi ni barabara hiyo.Ila wao wanaona ni haki yao lakini hawana haki Serekali inatakiwa iwahamishe ikawapimie viwanja kabla ya wao kujiona wana haki mpaka ije iwe shida kuwatoa.
@glorysamola1151
@glorysamola1151 Год назад
Mbez milimaaa
@khadijaa815
@khadijaa815 3 года назад
Kulewa tu watu kama maji mtihani mkubwa
@stevensteve7519
@stevensteve7519 3 года назад
Kuliko kuishi Dar namna hii nachagua kuishi kijijini kabisa. Alafu unasikia fulani Yuko Dar!
@daprince7545
@daprince7545 3 года назад
😄😄😄😄
@ramadhanngwaya0119
@ramadhanngwaya0119 3 года назад
Safi Sana
@zainabmwengela5987
@zainabmwengela5987 3 года назад
Kwa kuanza tu kakutana na wenyeji bila shida🤣🤣🤣🤣
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 3 года назад
😂😂😂
@josej9888
@josej9888 3 года назад
Alipo tupo #Mswahili
@geraldbenjamin9302
@geraldbenjamin9302 3 года назад
Hongera Jose J mzarendo wa kweli. Najua unajua kwa nini nimekuita mzarendo
@mwadinihaji5678
@mwadinihaji5678 3 года назад
Very nice lady kipindi
@clevalupakisyo7460
@clevalupakisyo7460 3 года назад
Aiseh hii ni jiji hii!. This is Dar
@erickmahona5357
@erickmahona5357 3 года назад
Noma
@Hawa-ed2hg
@Hawa-ed2hg 3 года назад
💥💥💥💥
@ibrahibakar1167
@ibrahibakar1167 3 года назад
Kama umeiskia chumba cha pua gonga tafadhali
@allymaibisa1255
@allymaibisa1255 3 месяца назад
Ukimkuta mtu kaliakoo anakwambia anaishi mbezi bichi,Kumbe ndio hapa.
@jorgettemwajuma5428
@jorgettemwajuma5428 3 года назад
Na penda sana ichi kipindi cha mzee zebwela
@siwemaswedysiwemaswedy2947
@siwemaswedysiwemaswedy2947 3 года назад
wenye magorofa msiwafanyie hivo jmn wenzenu waacheni wajiachie
@husseinkarim6745
@husseinkarim6745 3 года назад
Kijiji cha walevi.
@edwinmbugua7738
@edwinmbugua7738 2 года назад
Harmonize saidia ndugu zako
@jordanjordan3935
@jordanjordan3935 3 года назад
Nyuzi bendi.. ndio daily new😂😂😂😂😂😂
@timothymikola2317
@timothymikola2317 Год назад
Wauni mitaa yetu hiyo maarufu KWA. MBU
@bosslady9471
@bosslady9471 Год назад
ugovi wa masikini na matajiri
@meshackdancer1396
@meshackdancer1396 3 года назад
Aaaaah kijij
@suleimangodana3332
@suleimangodana3332 Год назад
Hao walevi wameua show....
@frediricknandonde1690
@frediricknandonde1690 3 года назад
Uswahilini raha sana asikuambie mtu nyie washua ndio maana mnakua na mapresha ovyo 😆😆😆🙏🙏
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
Kabisaa
@willfredmunuo382
@willfredmunuo382 3 года назад
Serikali inatakiwa iweke hayo mazingira yawe vizur kwa hawa watu nyumba za mabati kwel dar es salaam tena mbezi hapo sio salama kiafya . Serikali ingetengeneza nyumba ndogo nzuri na affordable kwa hawa watu pamoja na maji
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 3 года назад
We uwoni barabara iyo Nani kajengewa bule nyumba na serikali
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 года назад
Serikal ifanye nini pahala hapo wakati hiyo ni sehemu ya barabara
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 3 года назад
Hao Ni wavamizi siku watatolewa hawataamini!warudi tu kijijini kulima jamani mwe.
@monicahovda4524
@monicahovda4524 3 года назад
Twiseghe Kisilu . Tena wamesema wenyewe, alianza Mmoja tu kuja hapo, wakaitana na kuendelea kuitana kutoka kwenye Vijiji vywao mpka wakajazana hapo na kubanana kwenye Eneo la wazi la Barabara,
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 года назад
N'GWADU a.k.a Mo DEWJI
@aishamukandanga272
@aishamukandanga272 3 года назад
Mtaejembe😀😀
@Mahonda8080
@Mahonda8080 3 года назад
namtaka uyu mama anaeimba kimakonde nimpeleke studio
@issaadinaniissa6487
@issaadinaniissa6487 3 года назад
nikuambie tu mbezi beach ina wamakonde ndugu na ishar ya hilo ni kituo kinachoitwa mbezi makonde
@leiratykisura6718
@leiratykisura6718 3 года назад
Pata hela utafutwe kosa hela uwatafute
@mayroseclemence99
@mayroseclemence99 3 года назад
Mambo ya kotazi hayoo hayooooo
@rahmaally9672
@rahmaally9672 3 года назад
Odemba kama Odemba weuweee
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 3 года назад
Odemba ana mimba au🤣
@abisahkassimu1073
@abisahkassimu1073 3 года назад
Jamaa huyu bhana
@ommietrendz7175
@ommietrendz7175 3 года назад
Watu wa NTWARA mnafujoooooo 🤣
@issaadinaniissa6487
@issaadinaniissa6487 3 года назад
toba issa tena!!!!!???masasi!!!
@waidaamon457
@waidaamon457 3 года назад
huyoo anayemenyaa viazii huoo mkaooo sasa,hahhhahahaahaaa hukoo mgongonii akijionaa atakumind zembwela.
@pius1359
@pius1359 3 года назад
Mjumbeeee
@sadalahsadalah6661
@sadalahsadalah6661 2 года назад
Mjomba yuleee anasepa
@TheSalma1999
@TheSalma1999 3 года назад
Kumcheza mwali dah
@adbashtv6701
@adbashtv6701 3 года назад
Nenda Kule kwawagogo
@alibell5246
@alibell5246 3 года назад
Hahahahaaaaaaaaa odembaaaaaa
@officialteeh1213
@officialteeh1213 3 года назад
Odemba Musomi 😂😂😂😂😂
@mohamedmuhajiri4690
@mohamedmuhajiri4690 3 года назад
Nakaaa mbezi fyuuu
@dothomwandaliw4057
@dothomwandaliw4057 3 года назад
Sio sehem sahihi ya kujenga
@johnjoseph763
@johnjoseph763 3 года назад
Maisha ndugu yangu acha tu
@dothomwandaliw4057
@dothomwandaliw4057 3 года назад
Mbona view yake. Km sio sehem ya kujenga nyumba kama km sehem ya barabarani ya wajasiliamali
@leokamil6284
@leokamil6284 3 года назад
Hii sehemu wamevamia sio kiwanja chao zipo sehemu kadhaa huko na chakushangaza Serekali za mitaa huchukua kodi kama vile TRA lakini ki ukweli hawa ukazi wao hautambuliki kiserekali ni kama wale waliojenga jangwani mpaka wakajaa.Kuna sehemu kama hiyo rafiki yangu amejenga yaani anashida maana pombe walevi kelele alikwenda mpaka kwa Mzee Makamba lakini kutokana na wanashirikiana na Serekali za mitaa kuwapa mpunga basi ni kazi kweli kweli
@mwanakherkione597
@mwanakherkione597 3 года назад
Odemba noma
@sarahhamisi2070
@sarahhamisi2070 3 года назад
Haki nimecheka
@walaaabdallah3236
@walaaabdallah3236 3 года назад
😂😂😂😂😂😂🤣🤣jinduma? Jamanii jinduma ni kijiji kipo mtwala karibu na kijijini kwetu
@amour5535
@amour5535 3 года назад
Kijijin kwetu
@walaaabdallah3236
@walaaabdallah3236 3 года назад
@@amour5535 nawewe pia ni kijijini kwenu?😂
@amour5535
@amour5535 3 года назад
@@walaaabdallah3236 ndio
@walaaabdallah3236
@walaaabdallah3236 3 года назад
@@amour5535 mi baba angu kwao nang'omba mama angu mitene
@amour5535
@amour5535 3 года назад
@@walaaabdallah3236 kumbe mama kwao jinduma baba kwao Tandahimba
@franklinmganga736
@franklinmganga736 3 года назад
nilisahau 😁😁😁😁🤣🤣🤣
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 3 года назад
Zebwela wewe nishidaa nakupenda Sana
@mbwanakonk453
@mbwanakonk453 2 года назад
Dally new aka maiz new
@abuukamanda.s.mkenga6687
@abuukamanda.s.mkenga6687 3 года назад
Gari Ina mziggo🤣
@alesnema9596
@alesnema9596 3 года назад
Muzee kasha piga mutungi wake Kawa tabani
Далее
Tom🍓Jerry 😂 #shorts #achayanarmyfamily
00:14
Просмотров 12 млн
JIONEE VITUKO VYA MZEE MBWIGA MBWIGUKE/UTAVUNJA MBAVU
10:29
CHEKA UONGEZE AFYA-VUNJA MBAVU, AFYA COMEDY
16:36
Просмотров 497 тыс.
Muuza nyumba madalali kibao | Mpoki, Mkojani na Eliudi
8:20