Тёмный
No video :(

MTANZANIA AGUNDUA MASHINE YA KUFUA UMEME NYUMBANI KWAKE | HANA SHIDA YA UMEME 

EastAfricaTV
Подписаться 1,1 млн
Просмотров 14 тыс.
50% 1

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Опубликовано:

 

10 апр 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 58   
@mashapromise3364
@mashapromise3364 Год назад
Bro ongera sana bro achana na izo guruwe zinazo penda kukukatisha moyo endeleya tu na ujuzi wako
@anfaal03
@anfaal03 22 дня назад
Hongera sana boss ila naona hujatoa maelekezo mawasiliano yako na bei ya hicho kifaa
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 Год назад
Safi sana bro unaeleweka sana🙌 Kuna watu watakoment ujinga tu huku…ni wale walikuaga wanasugua mikono darasani afu wananusa kama inanuka mavi ya kuku😅
@solobennymwanshinga6714
@solobennymwanshinga6714 14 дней назад
Kila jambo lishaelezewa, cha kwanza unatakiwa kuelewa nishati huwezi kuzalisha mwanadam unaweza badili nishati kutoka kwenye umeme kwenda mwanga, sauti, joto nk.
@josephjohn2114
@josephjohn2114 Год назад
Kuna tofauti ya kugundua na kubuni.
@Innocente1994
@Innocente1994 Год назад
Totally, lack of understanding of the law of energy and its mechanism
@salimhamis3581
@salimhamis3581 Месяц назад
Naomba mawasiliano ya huyo jamaa (Mangana)
@chuma9476
@chuma9476 16 дней назад
Vyakawaidatuu😂
@zanriztv
@zanriztv Год назад
Kazi nzuri hata kuiga ni kazi ngumu
@muhsinkimaro4283
@muhsinkimaro4283 2 месяца назад
Kwa idadi ya wavumbuz wa umeme ambao nishawaona, serikal ingewatumia tanzania tusingepata tabu ya umeme kabis
@martinisadru9899
@martinisadru9899 Месяц назад
mzee usilazibishe, huyo sio mgunduzi, mimi mwenyewe nimeunda generator ya 9kva kwa kutazama wazungu walivounda, watu walianza kutengeza hizo zaidi ya miaka 40, hata mimi ninayo kubwa kuliko hiyo, nimeunda mimi mwenyewe,, inaendesha pamp ya kuvuta maji 140 mita kutoa chini ya mwamba wa kisima, na kupikia kwa majiko yote ya umeme home. Pasi, microwave, refrigerator. Oven ya 2000 wat.
@genxonlinetv2219
@genxonlinetv2219 Год назад
Tattoo kubwa sana tunalo kwa Hawa Waandishi wa Habari Uchwara. Hawakutaja Jina Kamili Ła Mlengwa, hawajaweka contact zake na social media. Hawaja sema wkwamba anapatikana wami. Wameweka Ma link yao tu hapa. Pumbav sana.
@EdnaKiyenze
@EdnaKiyenze 3 месяца назад
Jitahidini sana kuonyesha chombo kilicho buniwa na si watu watu hapo mtakiwa mmeupiga mwingi
@mafundisho81
@mafundisho81 2 дня назад
Sauti ndogo
@chackszephaniah592
@chackszephaniah592 3 месяца назад
Sasa huyo mtangazaji hajitambui mbona hajamwambia namba ya cm kwa Tanzania ili aweze pata wateja
@mashapromise3364
@mashapromise3364 Год назад
Kwa Nini wa Tanzania wengi Wana ROH mbaya kama yaviongozi waho Pali yakumsapot mwezenu nyinyi Tena ndo wakwanza kuwa chafuwa akili zenu na vihongozi wenu ni Moja tu 😲😲😲😲 munapitwa akili na guruwe
@user-bt8bk7pm6e
@user-bt8bk7pm6e 4 месяца назад
Matumizi yake ikoje io mashine ya kuzalisha umeme.mana tanesko oohhh
@BakriHoumadi-ub5it
@BakriHoumadi-ub5it Год назад
Hello
@oklahommy9838
@oklahommy9838 Год назад
Kuna tofauti ya innovation na invention hio si invention ni innovation coz tayari hayo mambo yapo
@khamisiddi5961
@khamisiddi5961 Год назад
Kweli hajagundua yeye video kama hiyo zimejaa tele RU-vid.
@rockymalisa9446
@rockymalisa9446 8 месяцев назад
Kama hajagundua bas gundua wewe tuone kama hivi
@Laizer3
@Laizer3 Месяц назад
Wewe unawezq nini zaidi ya kwenda chooni😅
@martinisadru9899
@martinisadru9899 Месяц назад
​@@rockymalisa9446mzee usilazibishe, huyo sio mgunduzi, mimi mwenyewe nimeunda generator ya 9kva kwa kutazama wazungu walivounda, watu walianza kutengeza hizo zaidi ya miaka 40, hata mimi ninayo kubwa kuliko hiyo, nimeunda mimi mwenyewe,, inaendesha pamp ya kuvuta maji 140 mita kutoa chini ya mwamba wa kisima, na kupikia kwa majiko yote ya umeme home. Pasi, microwave, refrigerator. Oven ya 2000 wat.
@solobennymwanshinga6714
@solobennymwanshinga6714 14 дней назад
Usidanganye watu bro, ni waz kabisa wewe sio injinia, hiyo mashine haifanyi kazi, cha pili unit ni kipimo halisi kama hujui sema hujui, kifupi injini altenator ya 20kw hii kwa saa moja inazalisha 20 unit (20kwh)
@SadockSkyfarm
@SadockSkyfarm Год назад
Wanapatikana wapi ndugu naomba namba tafadhari Sio vzr kuwahoji bila kutoa mawasiliano
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 Год назад
Brother naomba namba ya huyo jamaa
@suleimanalzakwany
@suleimanalzakwany 3 месяца назад
Mawasilianoooooo
@anthonygndegesogoranyomo7528
Mbunifu nakuhitaji sana ,maana mashine za dizeli zitanifirisi
@elibarikkiakyoo
@elibarikkiakyoo Год назад
Achana nazo tumia petrol utafuahia maisha diesel ngum
@isayachaula
@isayachaula Год назад
Naomba namba please
@yay2116
@yay2116 Год назад
Mbona hamjaweka mawasiliano yake.... anapatikanaje?
@user-kb6rw5uv1n
@user-kb6rw5uv1n 6 месяцев назад
Kaka wengi tunashida na umeme huo tafadhali tia no ya mawasiliano
@mlionea
@mlionea Год назад
Number yake iko wapi?
@mkoma49
@mkoma49 9 месяцев назад
mbona mawasiliano yake hamjaweka?
@maalimwenga452
@maalimwenga452 Год назад
Tunapataje namba za huyu jamaaa m on hamkuziweka kwenye mahojiano
@abdullahliguya1104
@abdullahliguya1104 11 месяцев назад
Kazi nzuri ila kwenye upande wa ku-remove excitor (battery) ungeongeza electornic switch (High speed switching) ili kuboresha ufanisi Zaid Kuliko kuendelea kuiondoa Excitor manually after the machine attain 1500rpm.
@hudsson75
@hudsson75 19 дней назад
hakuna siri hapo kaka.wabonga kibao wanatengeneza hizo.na kwenye youtube hiyo kitu zipo kibao.kwaiyo ww sio mgunduzi wa hiyo kitu ,ww umecopy tu.
@CastoryKapinga-nb7ht
@CastoryKapinga-nb7ht 3 месяца назад
MTAMBO MWEPESI HUO ,UKIPATA MOTA YA KUZUNGUSHA WHEEL YAILI NA UKIPATA MOTA INAYO ZALISHA UMEME TAYAR USHAMALIZA KAZI
@SadockSkyfarm
@SadockSkyfarm Год назад
Samahani naomba namba yake kupitia email yangu
@shedrackmutalemwa7310
@shedrackmutalemwa7310 Год назад
Mwambie aache uongo
@dannympollo8359
@dannympollo8359 Год назад
Naomba namba yake ya simu
@Winningodds123
@Winningodds123 5 месяцев назад
Umeshapata namba ya huyu engeneer?
@jameskahamba4023
@jameskahamba4023 Год назад
vip nayule alogungundua umeme wa smaku nae aliishia wapi jamani?
@Expedito2512
@Expedito2512 Год назад
Duu, yule wa sumaku ni kichomi hakuna umeme pale
@mch.deosinkala3120
@mch.deosinkala3120 Год назад
Kweli kabisa..tena yeye ili kuwa ni rahisi kweli haina kelele..daa serikali bhana
@jameskahamba4023
@jameskahamba4023 Год назад
@@Expedito2512 jamani hakuna umeme akati serikali wamethibitisha kabisa na hata kwake tuliona kabisa umeme unawaka!!!
@jameskahamba4023
@jameskahamba4023 Год назад
@@mch.deosinkala3120 asee nchi yetu hakuna kitu kabisa
@yay2116
@yay2116 Год назад
Hawa jamaa wanapotea ghafla... baadae kimyaaa... sijui ndio wataharibu biashara za watu... au na wao mizinguo tu
@mohammedikingazi5109
@mohammedikingazi5109 Год назад
Kagundua au kaunga unga vitu ambavo vimeshatengenezwa na wenzetu bhana
@HerriMaeda-eg1jn
@HerriMaeda-eg1jn Год назад
Unga unga basi na wew tuone
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 Год назад
Ww umeunga ungann au umeunganga roho mbaya na chuki
@helsonjonathan
@helsonjonathan Год назад
Asiyejua atachukulia poa mimi niliwahi kuishia njiani big up my brother wengi tumefeli
@khamisiddi5961
@khamisiddi5961 Год назад
Huyo hajagundua ' kaiga kwa wahindi.
Далее