Hongereni sana UDSM, hii gari ni nzuri kwa ukweli!Hamuwezi kuweka solar energy upande wa juu ili ichaji battery kwani jua tunalo la kutosha na gari hii inaweza kutembea umbali mkubwa.
Hongereni sana ma-injinia wetu. Kazi yenu ni nzuri sana na ya kutia moyo. Naomba Mungu awaongezee ubunifu katika kuboresha gari hilo kwa matumizi yenye manufaa kwa taifa letu. Watanzania tumebarikiwa na Mungu hivyo tujiamini, tunaweza. Mtu ye yote asiwakatishe tamaa, ushindi ni wetu. Songa mbele. Hayo ndio maendeleo. Tunaomba "support" ya nguvu toka mamlaka za juu nchini kwa maendeleo endelevu ya teknolojia hiyo.
We need more Car 🚗 like this in Burundi 🇧🇮 please guys make more Car 🚗 like this. We come to buy to u guys in Tanzania 🇹🇿 but make strong 💪🏿 Car 🚗 we can use for long time. Keep try u best guys. I hope everything gonna be fine in future. Let go back to work now🇧🇮🇹🇿🚗💪🏿
Hongereni sana UDSM, hii ni sifa na heshima kubwa kwa taifa letu. Nadhani Wizara husika ina cha kufanya ili kuhakikisha ugunduzi huu unaenda kimataifa. Mimi naamini wanaweza kutengeneza gari ya kutumia umeme kwa ajili ya safari ndefu tuachane na unyanyasaji wa mafuta ya waarabu. Kudos UDSM👏👏
Serikali hii ndio itakuwa ya kwanza kupiga marufuku. Serikali ya Tanzania inaua vipaji vya watanzania. Watafute UDSM na gari lao baada ya miaka 2. Utaambiwa wanafanya maboresho ya mifumo. Na huo ndio utakuwa mwisho.
Watu wengi kinachowasumbua ni ujinga na kutojitambua. Kama wewe hujawahi kugundua au kutengeneza chochote unawezaje kuanza kukosoa elimu hii kubwa ya kutengeneza magari kisa bodi? hujitambui wewe, na ukiwa hivyo ndani yako halikai neno jema, kazi yako ni kutafuta mabaya usiku na mchana. MUNGU akusaidie sana.
hyo gari nimeipenda ila ongezeni kitu cha ziada kwamba. Hiyo gari fanyeni iweze kujichaji. wakati unaendesha mfumo wa tairi ufungwe mota zenye kuchaji battery ya pili (emergency), kwa maana baada ya KM hizo 100 battery iwe full,,, shirikisheni ideas za wadau
UDSM hongereni sana kwa hatua hiyo ila swali masudi kipanya wa clouds alitengeneza gali ninyi nayi mmetengeneza gali je hakuna anaye weza kutengeneza baskeli za kuchaji maana tunahitaji baskeli kwaajili ya mizunguko ya hapa dar es saalam naomba mtutengenezee baskeli za kuchaji.
Hongera sana. Ukwel tuseme ivi ni lini watatengeneza gar la mtaan huu ujinga tumeuchoka. Injinia mzimaa leten Gari sio vifaaa vya gari vilivyoungana watu wanunue ivi sura hiyo nan atainunua 😔😔😔😑😑 kiberiti
Hongereni saana, Elon Musk wanamuona Genius Kwa ajili magari yake ya Tesla, naomba Hawa Wataalam wawezeshwe kabla hajachukuliwa na Nchi nyingine, Kwa hakika hata Kagame anaweza wachukua , naomba wawezeshwe kweli tutafika mbali
hongereni sana kaka MUNGU awtumie katika iyo program mahali ambako TANZANIA tunaenda watakuja kupiga saluti kwa huyu MUNGU wetu aliye hai MUNGU AWBARIKI
Hongereni sana kwa Jitihada za Namna hii. Maoni yangu ni hv, Kuhusu Charging Process/Charging system ni Vema mkachagua Kufunga Solar Panels na MPPT Solar Controller ili Battery iwe inacharge During the Day. Na ikiwezekana Muweke Multiple Batteries( e.g 12v 200Ah × 2). TumeElewana? Au tukutane niwape Madini zaidi...
Hongereni sana kwa ugunduzi, huo ni ugunduzi wa gari hilo lenu. Wengine nao wamegundua magari yao, ugunduzi si wa mtu mmoja tu wa gunduzi ni wengi kadiri ya kila aina ya gari. Bigup sanaa.
Lo! Mungu awainue zaidi, hata wenzetu walianza gari lilikuwa na tairi za chuma.Mimi Askofu Nkundwe Zebadiah Mwakatage.Ninawapongeza sana saan.Hata Body mlivyo ibuni kwa mara ya kwanza nimeipenda hiyo gari itakuwa na soko sana kwenye matukio.Isaya 41:6-7 inasema wakasaidiana kila mmoja akaisifia kazi ya mwenzake akaifanya kwa usitadi
Nime penda kazi ni nzuri sana. Lakini nina maoni, kwanini ktk mfumo wa umeme wasinge dizaini mfumo wa umeme gari likitembea liwe linajichaji lenyewe ili chaji isihishe.
Saf sana watanzania,nimeipenda San,Mungu aikumbuke Tanzania,gar zetu ni zetu tu shepu ya gar haitupi shida huo ni mwanzo tu naamin mazr yanakuja mbele,go on brother.
Big up, Binafsi ningependa kuona wakitumia body ziliotengenezwa tayari, hakuna haja ya kudesign wala kutengeneza body mpya, zipo nyingi tayari sokoni, na mifumo mingine tayari inameet safety standards, muhimu ni electric motor part na efficiency
Hongereni Sana Kwa Hatua Mulio Fikia Ila Kwenye Chaji Mnaweza Kutengeneza System ya Kuchaji better Kama Gar Zingine hyo Itakuwa Bora Zaidi Na Hicho Kitu Kinawezekana Bc
Nimeipenda sana hiyo project mloifanya oky sasa naomba mwendelee kutoa vifaa vya kuuza kwa kila mtu kwa beinafuu mtapata mafanikio makubwa sana hususani kuanzia pikipiki mpaka hayo magari mambo mingine fanyeni utafiti kuanzia MOTA na BATTRY vitengenezwe hapa hapa tz ili vifaa hivyo tupate kwa bei tunayoimudu wa tz na nchi jirani asnteni Mungu awabariki sana.
Hongereni sana UDSM. Haya mambo ndiyo tunapenda tupate wabunifu toka vyuo vyetu. Pamoja na mafanikio hayo nawashauri muelekeze nguvu kutumia teknologia ya microchip badala ya kutumia nyaya.
Kwa huku ulaya ni kama electric scooter 25,30,50km but tz comes up golf 100km or more good start msisahau nyingine kupeleka katika viwanja vya mpira kwa mkapa couse is look like uwanjani itapendeza piya airport na mahotelini all the best
Hongereni Udsm kwa kuweza kutengeneza aina hii ya gari. Hata hivyo nafikiri Mhandis unafahamu kuwa gari zitumiazo nishati ya umeme zimekuwa Sokoni kule Ulaya kwa miaka sasa. Kuita mmebuni gari ya kutumia umeme nafikiri sentensi haijakaa sawa ! Tafadhali mtuweke sawa hapo ili jamii iende sawa nanyi tafadhali.
Jitihada mzuri sana wataalamu kutoka kitivo cha maarifa🎉🎉,ombi langu ni muunge nguvu pamoja na kaka Masoud Kipanya na wale wa NIT team kulifanya swala kuwa endelevu.Pia naomba kufahamu haya wataalamu 1.Siku za mvua inatembea hii? 2.Inabeba uzito usiozidi kiasi gani kwa injini iliyopo? 3.Inaweza kwenda kwa speed gani ya juu zaid ikiwa na uzito wa juu wa kikomo kubeba?
I support the big work they are doing , Mungu awainue zaidi , Safi sana pambaneni . Mungu afungue njia , Tusibeze kazi ya mtu , Let's promote this to go further .ni vile tu tumekosa watu wenye Ari ya kuleta mabadiliko
UDSM hakika hongereni sana sana. Kama serikali ingewaongezea capital ya kueleweka naamini historia kubwa itatengenezwa na UDSM. Magufuli angekuwepo basi hii project ingesongabele sana.
Kwa kweli mbaka hapa, itaonekana Elimu inamaana, sio MTU anasoma Hadi chuo kikuu Ila anaishia kuuza nyanya, kwa kweli kwa hapa hata sisi ambaye hatujasoma Basi tunahamasika kusoma na kuwasomesha WATOTO wetu, kwa kweli Ni hatua nzuri Sana Sana sanaaaa! Anayekosoa huyo ndiye ambaye hawezi kitu, kwa ujumla wenye MAMLAKA mliunge mkono Hilo Jambo, bila kuogopa wakuu wenu wa Dunia. Amen.
Changamoto yetu kubwa sisi hua tunatengeneza vitu vingi sana, panapokuja kuleta ugumu ni bei. Niliwahi kujiuliza kwenye vitu vidogovidogo kama mafuta ya kupikia ya singida (ALIZETI) yanatoka kwetu hapa hapa na ukizingatia japo sio kwa umuhim kiwanda tulikua nacho karib na tulipokua tukiishi lakn bei ya mafuta ikawa juu kwa asilimia 14.29% kwa lita ukilinganisha na mafuta ya safi. Nachanganyikiwa nisielewe n nn shida hapo, duh! Mambo ya ajabu sana.
Yuko sawa wengi wamepongeza ye ACHA akosoe kwenye ukweliii unajua mataifa ya wenzetu kwasababu bidhaa zinatengenezwa home gharama sio kubwa mfano magari Kuna nchi Hadi znaweka restrictions kwambaa asubuhii wafanyakazi watumie magari ya umma na sio magari Yao kupunguxa folen .. LAKINI KWA TANZANIA GHARAMA INATOKANA NA KWAMBA VITU VINGI HATUTENGENEZI NYUMBANI.. TUNAUNGANISHA VITU AMBAVYO TUNANUNUA NJE.. HAPO NDIO CHANGAMOTO ZINAPOZALIWA
Kaka. Ni Bora watengeze gari zuri kwa bei wanayotaka huenda akapatikana mteja sasa gari la gofu kaka gofu mtu akishinda au kushidwa unajua? Ivi anaelimu Gani huyu jamaaa?Bora masudi kipanya
Hongera sana sio wengine wamekalia umbea na majungu na uchawi na roho mbaya. Ila ona Tz uwa hawathamini hao watu utasikia Wazungu wamemchukua yuko kwao anaunda magari . Kuna wabunifu wengi ila Serikali ya mavi kunuka haiwathaminin, ndio maana mimi niliamua nijiondokee mavi kunuka nije Ughaibuni nitumie ujuzi wangu kwa watu wanaothamini ujuzi wangu .