Uzur ni kwmba sio Tanzania ...maana wenzetu wameona thaman yake..ona sas amepata nafas yakuendelea kusoma..pia pesa kapewa pamoja na pikipiki...ingekuwa Tanzania ungekuwa na kesi ya kujibu
Wahenga walisema, wema hauozi! Sasa kijana atasoma hadi penye yeye atataka. Tena ile kuwa ambassador wa kuona kuwa hakuna rushwa nchini liberia, bado hizo ni pesa. Bado wahenga walisema- Tenda wema uende zako. Mema yatakufwata tuu.
Kwa hali yoyote ile MUNGU akitaka kukuinua anakuinua tu kwa mfano huu udhamini aliopatiwa wa masomo ni zaidi hata ya alichookota mnaomponda endeleeni kumponda ipo siku tu mtaelewa bado hamjaelewa
Yani leo nimeshuhudia boda boda kadondosha kiroba cha mchele na hajajua, sasa hao vijana wameokota wakasepa na fuko la kilo 25 la mchele😂😂nawaza kama ndio zingeanguka hizo dola ngapi sijui wangefanyeje😂😂
Mungu wetu ni mwaminifu.naye snapenda tuwe waminifu.hivyo kavaa sura ya Mungu.pia familia yao wana hofu ya Mungu.hata aliyepoteza anamcha Mungu.Mungu wetu aliye mwaminifu atampa utajiri na heshima
Hahahaha😂 sasa 😂 bongo konda akizubaa kidogo tu mia nne yake unaikacha jamani 😂 kazi kweli kweli yeyote atakayeweza kuwa muaminifu hivyo hapa bongo basi akienda mbinguni atakuwa kiongozi wa kuongoza malaika maana bongo siyo 😂
@@ibrahimngurungu5607 Wanaogeuza dini kuwa biashara ni kina nani? Chunguza Bongo Masheikh na wachungaji wengi wanageuka kuwa waganga na kutapeli watu kupitia dini
Heee🤔nyie vp yamekua hayo tena mbona hamjielewi mada iliyoko hapo sio ya uislam wala dini mada hapo uwaminifu unaweza ukawa Muislam au Mkristo na usiwe na sifa ya uwaminifu kbsaa embu jitambueni nyie
Huyo kijana raisi wake alimpa fedha million 23 pikipiki 2 TVS ,kusomeshwa hadi masters kuwa balozi wa kupinga rushwa nchini na kupewa mshahara kwa ubalozi huo ,mama aliyepoteza fedha alimpa alimpa milioni 23 , balaza la maaskofu pia limempa shilingi million 23 kwa thaman ya fedha yetu
Dogo amefanya jambo zuri sana, Amejiwekea hazina kubwa sana kwa Mungu, Pengine asingezirudisha huyo mama aliyezipoteza angeweza kupata hata msongo wa mawazo.
@@devothasimbi1055 Ni kweli kabisa usemayo, Alichokifanya huyo kijana amejitengenezea hazina kubwa kwa Mungu na utajri mkubwa Duniani kwa maisha yake yajayo, Tayari ameshatengeza channel kwa kiongozi wa Nchi yake.
Nguvu ya uaminifu hiyo, karudisha milini 100 karudisha lakini kapata fursa ya kusoma life time “ambayo ni zaidi ya 100m” kapata zawadi 20% ya pesa alizookota, kapata pikipiki 2, Kawa karibu na rais na kajulikana dunia nzima! Lakini la mwisho kabisa ana fungu lake kwa Allah kwa uaminifu aliyoufanya.
Wengi waliompongeza na kumuunga mkono maamuzi ya huyu kijana ni baada ya dogo kuzawadia zawadi ya pkpk mbili na kiasi cha pesa pamoja na kuendelezwa kimasomo. Vinginevyo asingepewa chochote basi watu wengi wangetahaluki na kumkosoa dogo na kumtakia maisha mabaya zaidi. Ukweli upo hivyo
Hicho ndicho kimemfanya apongezwe asingerudisha labda hata asingejua atumie nn lkn kwa kurudisha kapata kuaminika na kutambuliwa na kupiyia Hilo anaweza pata ubalozi zaidi Kila kitu Kuna faida na hasara yake tunampongeza kwa uaminifu haijalishi angepata pesa au laaaa huwezi jua angeiliwa pia kwa hizo pesa vile vile
Kwel muung kaahid uaminifu ni kitu pekee ktk hii dunia Bodaboda 2 Udhamin wa masomo dunian popote had upeo wake wa akili Milion 21 Balozi wa rushwa mchin kwao kwakwel hivy ulivyopat ni Zaid ya milion 100 Congratulations KIJAN hakik umeshafunguka
Ingekuwa ww Ingekuwa vp? Sema ukweli mm ningepita Nazo barabarani Ningekujua Mungu amesha nipambania🤣🤣🤣big Up Sana kijana mwenzetu mfano wa kuigwa ila kwa hapa kwetu🤔Wapo 🇹🇿
hapo uyo kijana ajakosea kasha jiwekezea zaid ya izo pesa aiseeeeh make ata asing ludisha ningumu sana kuendesh pesa usio jua imetoka wapi bora karudisha ila ningne kuwa mimi kilikuwa kimemlamba 😂😂uyo alo poteza make siwez fnya ujinga huo
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu anaishi 🙏. Mimi nilimlaumu babu yangu aliomrudishia mzungu mfuko wa dhahabu kwa kumkimbiza kwa mguu huku mzungu akiwa kwenye pikipiki mpaka akamkuta. Mzungu akamwambia iko nini WEWE unafanya? Utakufa masikini. Akampa kibiriti na bakuli la chumvi 😭😭😭. Kipindi babu anatuadithia hivyo na kuona maisha yetu nililia sana 😭🙏
Jamani MUNGU wetu sote tusichoke kuwa waaminifu hakuna kitu kizuri Kama chakulewa na Mungu tusichoke kungoja kwa wakati wake atatubariki na kuushangaza ulimwengu