na mushukuru Mungu kwa kukuumba vizuri, uko sura ya Mungu na mufano wake, Mungu wangu akubariki kaka yangu, furahiya njisi ulivyo sana tena saaaaana, na mutukuza Mungu kwa jiliyako, nakuomba tu kama unaweza piya kumtumikia Mungu aliye kuumba, na juwa atakuinuwa zaidi
Naamini Mungu anasababu yake kukuumba ulivyo...na muonekana wako unaweza kuwa sababu ya wewe kufanikiwa tofauti na kuwa na kimo cha kawaida..Mungu ni mkamilifu ana kila sababu ya kutuumba tulivyo ni vema kuheshimu uumbaji wa Mungu tusiwatengenezee mazingira magumu watu kama hao wana haki ya kufurahia maisha na si kujutia
Si kila mchina anajua martial arts, au kila aliyevaa kitenge basi Mnaigeria! Pia si kila mrefu awe mcheza Basket! Huko america kuna watu warefu balaa na unakuta mpishi tu katika restaurant.
hamjafa hamjaumbika nakama hamjazaa mtazaa urefu so tija angali kaumbwa msimkufuru muumba yeye muumba analake jambo mbona vidole haviko sawa mfupi atamani urefu na mrefu atamani ufupi kwahiyo broo jikubali mwenyewe usifikirie la mtu yote pumzi moja
Usijitharao ww ukopoa ni maubile ya mweyezi mungu kuwa mwepesi usije ukakasilika kwaharaka jivunie urefu wako ukosawa mm nimekupeda tu juu ya urefu na weza peda tuedanishe na ww na weza linga sana ama na weza jivunia kutebea na ww i like you
Huyu jamaa nampata 😂😂😂, siku ya kwanza namuona alikuwa anakatiza kwenye mitaa ya Lumumba Mwanza, hizi Gari ndogo ni kama ziko kiunoni mwake. Nilishangaa binafsi....
Nimempenda bure,huo ndo uumbaji wa Mungu, naupenda uumbaji wa Mungu sikuzote na huwa sipendi mtu amtoe mtu kasoro, maana hata ww huenda Mungu hajamaliza kukuumba, ndo maana huwa wanasema hujafa hujaumbika