Тёмный

Mtanzania ambaye akikosa siti ya mbele kwenye daladala hasafiri 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 534 тыс.
50% 1

Ayo TV imefanya exclussive na Mtanzania ambaye akikosa siti ya mbele kwenye daladala ahawezi kusafiri tena, ni kutokana urefu wake

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 432   
@dianajohn8520
@dianajohn8520 3 года назад
Huyu jamaa nimesoma nae tuition mwenge ,tulimuogopa sana lkn badae tulimzoea sana no mcheshi Santa na anaupendo sana.
@polynenkirote6007
@polynenkirote6007 Год назад
Mbona sioni shida ya mtu kuwa na urefu huu 👌🏾Kenya unapendwa ndugu yangu ❤️❤️❤️
@ssaa7495
@ssaa7495 6 лет назад
Mbona urefu wake wa kawaida tu jamani😍😍😍😍😍😘😘😘😘 isitoshe anamvuto💋💋💋💋
@mohamedpesambili9460
@mohamedpesambili9460 4 года назад
Ni mrefu balaa me nlimuona mwaka Jana pale Saba Saba temeke.
@farijala1
@farijala1 3 года назад
Ukimuona Live ndio utajua Jamaa ni mrefu
@sirnyoniinspirationstv5327
@sirnyoniinspirationstv5327 7 лет назад
Jikubali ulivyo ndiyo upekee wako,usiumizwe na mitazamo ya watu bro
@annamsuluja228
@annamsuluja228 2 года назад
Sema Juli una sound sana mwanangu 😂 nakukumbuka classmate😂😂
@sifamugongo8186
@sifamugongo8186 6 лет назад
na mushukuru Mungu kwa kukuumba vizuri, uko sura ya Mungu na mufano wake, Mungu wangu akubariki kaka yangu, furahiya njisi ulivyo sana tena saaaaana, na mutukuza Mungu kwa jiliyako, nakuomba tu kama unaweza piya kumtumikia Mungu aliye kuumba, na juwa atakuinuwa zaidi
@jasonbahath6570
@jasonbahath6570 5 лет назад
Alijua jini ndo Mana kakimbia,,,??😂😂
@mrsliver198
@mrsliver198 4 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-1-uq8ViajGc.html
@Sppah697
@Sppah697 3 года назад
Na wafupi tuwaite vimbwengu basiii?
@chanilajanuzaj9191
@chanilajanuzaj9191 7 лет назад
huyu jamaa noma Kofi tu mtu taya hana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mohamedpesambili9460
@mohamedpesambili9460 4 года назад
😂😂😂😂😂
@absm8084
@absm8084 3 месяца назад
😅😅😅😅😅
@husseinomary4466
@husseinomary4466 5 лет назад
Hiko kibao tu ingekua ngumi angekua sawa na aliegongwa na semmi
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@salama2625
@salama2625 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mbavu zangu miee
@salama2625
@salama2625 4 года назад
Hussein omary umenilaza unono leo
@mariamselemani5208
@mariamselemani5208 4 года назад
😅😅😅😅
@husseinomary4466
@husseinomary4466 4 года назад
@@mariamselemani5208 😂
@esterkileo3486
@esterkileo3486 5 лет назад
wooh J ninapendezwa sana na ulivyo huo urefu watu tunautafuta kama ungekuwa wauzwa dukani basi leo ungekuta twagombania kuununua👍
@rehemahussein7065
@rehemahussein7065 7 лет назад
Eti kampiga tu kibao akawa kama kachanwa na kisu hahahhahahahaaa anatishaaa
@jemedary6271
@jemedary6271 6 лет назад
hicho kibao cyo cha kawaida
@josephernest645
@josephernest645 5 лет назад
Ha ha ha ha hicho kibao do !
@pflypfly6722
@pflypfly6722 4 года назад
Hahahhahaha nimecheka Sana
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 года назад
😂😂😂
@charlesnjige2976
@charlesnjige2976 4 года назад
Huyo pawa mwanza kibaotuuuuuuuuuu jamaniiiiiiiii me nakufa
@magrethsimtenda926
@magrethsimtenda926 4 года назад
Mshukuru MUNGU kwakila jambo
@erickelia9826
@erickelia9826 3 года назад
Pole sana mtani
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 3 года назад
Usijali kabisa ndugu yangu
@janetwambua738
@janetwambua738 7 лет назад
furahia sana maumbile yako ucmind ya watu. kaka ni roho safi huyu.Janet frm Kenya.
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 7 лет назад
janet wambua vzr jeni
@hamishashello8231
@hamishashello8231 5 лет назад
Hi...
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 4 года назад
@@mnzavachris5423 mzava hi picha yako ibadulishe banah😂😂😂😂😂😂tangia nikujue huku RU-vid hiyo picha nihiyo
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 4 года назад
KACHERO SIMBA sina nyingine ndugu 😄
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 4 года назад
@@mnzavachris5423 😂😂😂sawa banah
@magessamtoni829
@magessamtoni829 6 лет назад
wawooooo, nimempendaje huyu kaka jmn
@fatyqueen346
@fatyqueen346 4 года назад
Ka mtafute sasa
@stallahsamwel5627
@stallahsamwel5627 4 года назад
Kwani yy siyo mtu lazim apendwe
@doreenshangarai6941
@doreenshangarai6941 4 года назад
Watu warefu huwa by nature ni wapole sana na wapenda amani japo ukiwachokoza hasira zao ndio kama hilo kofi lililopasua taya
@elianestory5159
@elianestory5159 4 года назад
Hahahaaaaa umenichekesha sana Doreeen, naomba unicheck nikwambie ulichonichekesha 0719042007
@shamijuma7259
@shamijuma7259 4 года назад
Mtu wetu sana huyu maeneo ya kigogo luhanga july mpole sana kipenzi cha watu
@teresiamwende8606
@teresiamwende8606 4 года назад
Aisee n vile Niko mbali. Ningekutafuta nithibitishe Kama n sawa au masiara😁😁😁😁😁😁😁🥰
@heridadia9634
@heridadia9634 3 года назад
Jikubali broo mbona uko vizur tu wp waref zaid yako ila wanaenjoy
@tatuhaji6575
@tatuhaji6575 5 лет назад
Pole sana kakaangu ila usijali mm nakupenda na na natamani kukuona jee nitakupata wapi
@milicentjonathan1832
@milicentjonathan1832 6 лет назад
Naamini Mungu anasababu yake kukuumba ulivyo...na muonekana wako unaweza kuwa sababu ya wewe kufanikiwa tofauti na kuwa na kimo cha kawaida..Mungu ni mkamilifu ana kila sababu ya kutuumba tulivyo ni vema kuheshimu uumbaji wa Mungu tusiwatengenezee mazingira magumu watu kama hao wana haki ya kufurahia maisha na si kujutia
@ananiajaphet8663
@ananiajaphet8663 6 лет назад
MILICENT JONATHAN
@annnyagaki4898
@annnyagaki4898 4 года назад
Uko sawa bro
@sarahkimboi2161
@sarahkimboi2161 4 года назад
Mwenzangu ucfadhaike, coz hata watu wa zaman walikuwa warefu,
@haikajohn7580
@haikajohn7580 4 года назад
Mungu hufanya hivyo kwa utukufu wake usijali mwanangu goliati alikua zaidi yako wako wengi tu!
@ebenezermsuya3504
@ebenezermsuya3504 7 лет назад
daaaaah hongera saaaaan pata mke kam wew uwone itakuwa vzur itapendezaaaaa
@mwasianoezekiel5150
@mwasianoezekiel5150 4 года назад
Huyu jamaa.. Nimekutan nae 2016 Decent open school wakat tupo form six alikua anaish pale decent hostels... Jamaa flan cool Sana yaan
@abuubakarkichimbo9957
@abuubakarkichimbo9957 4 года назад
Wasemehee tuu hao wanaokuita jina la tool wakati hulipendi
@ramadhaniomarishauri9905
@ramadhaniomarishauri9905 6 лет назад
Stop boling Tanzania peoples huyu ni kijana kama vijana wengine..god bless u bro😎
@Slingshots8
@Slingshots8 4 года назад
Mimi Na hii mwili yangu ndogo,ndio nasumbua hivi? Je nikaupata mwili huo? Acha ata unavyosema wanakuona wanakimbia,mimi furaha yangu itakuwa wapuruke 😂
@aishaeliaslocalmusic8496
@aishaeliaslocalmusic8496 7 лет назад
ma giant, sauti pia giant wallahi
@famally7138
@famally7138 7 лет назад
aiiiii yan kibao tu unachana taya je tekeee si unatoa utumbo kabisaa
@scayzuu9609
@scayzuu9609 7 лет назад
MASHAALAH UCJALI NDO BINADAMU TULIVYO WE FANYA YAKO
@famally7138
@famally7138 7 лет назад
#sarahsz polee ntakupaa zangu
@elizabethminja5006
@elizabethminja5006 6 лет назад
kkkkk
@nuruhatony5390
@nuruhatony5390 5 лет назад
Fam Ally. 😁😁😁😁 mtu unachek kama mazur
@salama2625
@salama2625 4 года назад
Hahahaaaa jmn dah
@aklass360photobooth8
@aklass360photobooth8 Год назад
Nilimpiga kimbao😂😂. Nilimguza kidogo tu
@defrinepaul7046
@defrinepaul7046 7 лет назад
duh!! sio kwa urefu huo best we kubali yote yan 😀😀😀😀😀
@omanimujsa9756
@omanimujsa9756 4 года назад
Maskin
@edlumala9428
@edlumala9428 7 лет назад
Si kila mchina anajua martial arts, au kila aliyevaa kitenge basi Mnaigeria! Pia si kila mrefu awe mcheza Basket! Huko america kuna watu warefu balaa na unakuta mpishi tu katika restaurant.
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 4 года назад
kweli kabsaaaaa
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 Год назад
Wewe, umenichekesha....
@muindijohnson
@muindijohnson Год назад
@@mpendakiswahili3053 Kokkk
@ramlabaruani4202
@ramlabaruani4202 4 года назад
Mrefu mpaka sauti ndefu dadadeki najiuliza na huko chini je ni parefu 🤣
@farijala1
@farijala1 4 года назад
Wewe Ramla, Ndio nini hicho
@teresiamwende8606
@teresiamwende8606 4 года назад
Kwanza huo urefu 😋😋 inamaana chombo n kisafi😋🏃🏃🏃🏃
@annenduku5243
@annenduku5243 3 года назад
Omba mungu ufike America.watakulipa kisawasawa tena uwe citizen.just wait.
@hitmanhunter9557
@hitmanhunter9557 7 лет назад
bro wengine wafupi sisi tunaomba urefu kila siku....mademu wana tudiss wafupi...we shukuru kwa yotee kakaa...
@jemedary6271
@jemedary6271 6 лет назад
hahaha
@happymilangasi5904
@happymilangasi5904 6 лет назад
hitman hunter too much is harmful😂😂😂😂
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 4 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@peterdalushi5713
@peterdalushi5713 2 года назад
Jamaa yupo vizur
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mzee baba unaishi wapi nianze kukuogopa mimi nipo dar maana kibao chako tu uta uwa
@zafarmohamedy3013
@zafarmohamedy3013 4 года назад
Kakimbia coz uck labda ungemsababishia mattz ungempeleka hospital
@JakirBdJakirBd-gv1jr
@JakirBdJakirBd-gv1jr 7 лет назад
pole sama my frnd...mbn kawaida tyuu
@mamujally3814
@mamujally3814 7 лет назад
Hizo ndio mbegu za kina Ibn Khatwab (R.A) watu wakubwa walioneemeshwa na Allah
@TRAVELANDTASTETANZANIA
@TRAVELANDTASTETANZANIA 6 лет назад
Mkeo atakuwa anakuogopa hata kofi la bahaba litamchana duh!
@Purplecheque
@Purplecheque 7 лет назад
😧😧 maskn..nisha mkibiaga mdada mrefu kweli nilijua jini maana ilikua giza worse enough na yeye akawa ananikimbilia alijua nimeona kitu 😅
@prettyakoth4306
@prettyakoth4306 7 лет назад
Jazy ray - hahaa jamani hata mm naeza kakimbia mm
@rehemahussein7065
@rehemahussein7065 7 лет назад
Hahahahhaa km nawaona mlivyokua mnakimbiana hahhahahahahaha
@Purplecheque
@Purplecheque 7 лет назад
Rehema hussein acha tu 😂😂
@abujamij8126
@abujamij8126 7 лет назад
Huyu jamaa namfahamu ameshawahi kufanya kazi ya kuuza mabox pale makoroboi Mwanza. Naamini atafanikiwa.
@fredrickfidelis3770
@fredrickfidelis3770 7 лет назад
Abujami J kaka ww utakua mwenyeji wa mwanza dogo alikuaga ni mtu wakujitenga
@JakirBdJakirBd-gv1jr
@JakirBdJakirBd-gv1jr 7 лет назад
pole sana brooo
@braysonminja6744
@braysonminja6744 7 лет назад
mbona m mrefu zaid yake,milard ayo njoo mnihoji
@ellynikotv7178
@ellynikotv7178 7 лет назад
Brayson Minja *Huyu jamaa mrefu sana*
@marrykamera6893
@marrykamera6893 7 лет назад
tatizo nyota😂😂😂
@jennlafilin2251
@jennlafilin2251 6 лет назад
Brayson Minja hahaaa
@cipladapretty8617
@cipladapretty8617 6 лет назад
Brayson Minja😂😂😂
@elizabethminja5006
@elizabethminja5006 6 лет назад
kekekekek
@azizaijumaa9267
@azizaijumaa9267 7 лет назад
hamjafa hamjaumbika nakama hamjazaa mtazaa urefu so tija angali kaumbwa msimkufuru muumba yeye muumba analake jambo mbona vidole haviko sawa mfupi atamani urefu na mrefu atamani ufupi kwahiyo broo jikubali mwenyewe usifikirie la mtu yote pumzi moja
@mariamselemani5208
@mariamselemani5208 4 года назад
Safi sanaaa
@mwanaidinusra4248
@mwanaidinusra4248 6 лет назад
Manshallah mrefu hadi raha
@ivonvena9409
@ivonvena9409 3 года назад
Raha Tena😆😆😆
@ivonvena9409
@ivonvena9409 3 года назад
Raha Tena😆😆😆
@epainethowanjara6546
@epainethowanjara6546 7 лет назад
uko vzuri du kumbe walefu tupo weng nlifkili mm 2
@janethpallangyo2633
@janethpallangyo2633 3 года назад
😆😆😆
@westmanmoses541
@westmanmoses541 3 года назад
Aisee mimi mwenyewe mrefu
@noelgasto7989
@noelgasto7989 5 лет назад
Yan huyu jamaa kwa urefu wake anaweza kuona hata kesho
@ethelkatambala1659
@ethelkatambala1659 5 лет назад
Hahahaaaaa
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 4 года назад
Ni mrefu Bado ana matege Kama yote sipati picha akikupiga mtama
@eliakazana7252
@eliakazana7252 3 года назад
Mbegu za Mwanamalundi alizoziacha,kihistoria Mwanamalundi alikuwa ni kitu refu sana lenye mwili mkubwa,sehemu aliyotoka huyu Julius sishangai kbs!
@tamashamahuta84
@tamashamahuta84 2 года назад
nimependa hiyo miguu
@sudaissaid8428
@sudaissaid8428 3 года назад
Hashim unamzidi
@antonyvallerian1718
@antonyvallerian1718 7 лет назад
mbona sisi wafupi mtufuati au ufupi ndio hauna nuru
@mazolamohamed6138
@mazolamohamed6138 7 лет назад
ukiona ivo Hauna ufupi uo upo kawaida tuu!uxhamuona MTU mfupi kuliko wote duniani
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 5 лет назад
Mpo wengiii tatizooo
@thomasmwakatobe8207
@thomasmwakatobe8207 4 года назад
Andunjez ni wakolofi sana ndio maana hawahojiwi 😂😂😂😂
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 4 года назад
🤣🤣🤣
@leahjoram7693
@leahjoram7693 4 года назад
Ndio nashangaa na mm hapa mfupi sijapata interview
@aliceudoba3672
@aliceudoba3672 7 лет назад
mshukuru mungu kwa Mila kitu
@jaystar1004
@jaystar1004 7 лет назад
Aya me nakuita sasa 'TALL' njoo unipge😂😂😂😂
@linahsemindu9575
@linahsemindu9575 4 года назад
acha uchokoz😂
@mariamselemani5208
@mariamselemani5208 4 года назад
Nenda kamuitie karibu yake unaongea wakati upo mbali nae😂😂
@charlesnjige2976
@charlesnjige2976 4 года назад
Weeeeehhhhh ucludie akikushika atakunyanyua akupige kichwa utoke ubongo 😬😬😬😬😬
@officialseif6422
@officialseif6422 4 года назад
😂😂😂
@annajoseph9955
@annajoseph9955 4 года назад
Atakupiga kibao hadi utakunya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@susannyambura7819
@susannyambura7819 6 лет назад
Usijitharao ww ukopoa ni maubile ya mweyezi mungu kuwa mwepesi usije ukakasilika kwaharaka jivunie urefu wako ukosawa mm nimekupeda tu juu ya urefu na weza peda tuedanishe na ww na weza linga sana ama na weza jivunia kutebea na ww i like you
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 Год назад
"Nilimpiga kibao" nimecheka....
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 4 года назад
Kaka usjione mnyonge urefu wengi wanautamani Mungu mwema
@careenjonasy6223
@careenjonasy6223 6 лет назад
aisee wew kaka itabidi uende maombi kaaaa upige mtu kibao achanike kikubwa hivyoo duuuu jee ngumii simeno yote yatatoka
@saulosarmiento8632
@saulosarmiento8632 6 лет назад
7:30 kaniacha mbavu sana sehemu hiyo
@zuenaally9266
@zuenaally9266 3 года назад
Huku kwetu yupo ila ni wakike
@jumamkwanda187
@jumamkwanda187 7 лет назад
Afanye mawasiliano na Hashimu,Basketball ndio sehemu yake hasaa
@bennykamuggy5174
@bennykamuggy5174 6 лет назад
Huyu jamaa nampata 😂😂😂, siku ya kwanza namuona alikuwa anakatiza kwenye mitaa ya Lumumba Mwanza, hizi Gari ndogo ni kama ziko kiunoni mwake. Nilishangaa binafsi....
@elkanaelmashallah2481
@elkanaelmashallah2481 4 года назад
Huyo msela miaka ya 2007 _kuendelea alikuwa muokota mabox hapo lumumba opposite na shinyanga Guest
@hollymore4904
@hollymore4904 7 лет назад
wanawake msiotupenda wanaume wafupi... chukuen no ya Julius apo
@modestsharia7127
@modestsharia7127 7 лет назад
HOLLY MORE 😂😂😂
@smakaveli7965
@smakaveli7965 6 лет назад
😂😂😂😂
@elizabethminja5006
@elizabethminja5006 6 лет назад
akuuu
@priskajustin707
@priskajustin707 4 года назад
Nitamchukua
@mayawilliams8703
@mayawilliams8703 7 лет назад
usife roho utafanikiwa one day my bro
@amayagirl3135
@amayagirl3135 3 года назад
Nilimkimbia huyu jamaa tuvyolivokua tukimuag jpm
@chingychingy2066
@chingychingy2066 6 лет назад
ukivaa kanzu nyeupe kwa night kali mzee itakua poa sana
@andrewsteven5375
@andrewsteven5375 4 года назад
Duu Ni Kofi Tu naa kapiga kidogo Je yeye angumpiga kwa nguvu maana kampiga kidogo anger Die.😆😆😆😆😆😆😆
@rajabumapunda454
@rajabumapunda454 7 лет назад
ayo, uje simiyu walefu niwengi sana
@bahatikyusa8864
@bahatikyusa8864 3 года назад
Nirikutana nae mbagala huyu kaka
@mercedesphiri1609
@mercedesphiri1609 4 года назад
Jikubali.
@emtisalramadhani8904
@emtisalramadhani8904 4 года назад
Dala dala sio fupi ila we ndo umezid urefu
@angelanyauringo7284
@angelanyauringo7284 7 лет назад
maumbile yake s makubwa mkijamiana s atakuuwa mnavyofika mshindo
@mashakanyenzi904
@mashakanyenzi904 6 лет назад
Angela Nyauringo mambo yako hayo, lazima akutoboe s*#$@$
@saidhamisi7044
@saidhamisi7044 6 лет назад
mhhhh angela nyie wanawake mnamatatizo mpate mashine kubwa shidaaaa mpate kibamiaaa shidaaa mnataka mpewe nn sasa??
@boscomakingi1978
@boscomakingi1978 5 лет назад
Angela Nyauringo anishindi mm,mi mfup kimwili ila kwa chini mlefu hadi nawatoa damu
@BigZhumbe
@BigZhumbe 7 лет назад
Ati nimempiga kidogo tu kachanika km kakatwa na kisu
@avelinmaiko2455
@avelinmaiko2455 4 года назад
Duuh kumbe ww dogo wakat tunakuta umiseta ulikuwa form one
@charlesnjige2976
@charlesnjige2976 4 года назад
Eeeeehhhhh kaka namba yakiatu 66 me navaa naukooo wangu wote 😵😵😵😵😵👪👪👪👪👪👪👬👬👬👫👫👫👫👫💃
@saulosarmiento8632
@saulosarmiento8632 6 лет назад
Huyu jamaa ananivunja mbavu sana
@ARFIddy
@ARFIddy 7 лет назад
Masha Allah
@unambwenaiman5355
@unambwenaiman5355 4 года назад
Duuuuhh nilimpiga kidogo tu
@levykiptoo8485
@levykiptoo8485 Год назад
Uyu akinunua gari steering na driver seat inafaa iwe kwa boot
@bashirikimamula6643
@bashirikimamula6643 6 лет назад
Noma sana
@godblesslyakurwa3881
@godblesslyakurwa3881 6 лет назад
kaka uko vzr
@husnasalim5739
@husnasalim5739 4 года назад
Ukiwa mrefu sana lazma uwe na matege?? Maana nauona mwengine nimemuona kenya mrefuuuu na anamatege
@fadydebosslady3994
@fadydebosslady3994 5 лет назад
Tatizo kaona m2 mrf mnoo
@ameyashey3174
@ameyashey3174 4 года назад
Mi mwenyewe nilishawahi kumuogopa nilimuona mbagara biasi ningekuwa peke yangu ningekimbia sema kuna watu niliongozana nao
@neemapeter1120
@neemapeter1120 4 года назад
Nimempenda bure,huo ndo uumbaji wa Mungu, naupenda uumbaji wa Mungu sikuzote na huwa sipendi mtu amtoe mtu kasoro, maana hata ww huenda Mungu hajamaliza kukuumba, ndo maana huwa wanasema hujafa hujaumbika
@christinamalatila6722
@christinamalatila6722 6 лет назад
Jamaa namkumbuka alikua anaokota boxes mwanza mjini
@iyadi_reeves
@iyadi_reeves Год назад
2023🔥🔥
@husseinsimba7946
@husseinsimba7946 5 лет назад
Watu warefu tunapata Tabu kung'ong'wa Visogo
@mtemikiyungiramadhani4178
@mtemikiyungiramadhani4178 4 года назад
Na mimi nipo uku back benja mje mnioji mrefu by king mtemi
@zawadishabani1311
@zawadishabani1311 4 года назад
Mshakutana nae siku iyo kisewe nilishangaaa sana
@kennedyedson9097
@kennedyedson9097 7 лет назад
Rahisi tu "Nilimpiga kidogo tu kwenye shavu"
@sweetmama3242
@sweetmama3242 7 лет назад
Kennedy Edson Kidogo tuu na akapasuka. 😆😆😆😆😆😂
@christianmarijani104
@christianmarijani104 6 лет назад
Jina lingine anaitwa mgini...mcheza pool table hodari...nimekaa naye mtaa mmoja nyakabungo Mwanza
@atukwigizile2131
@atukwigizile2131 6 лет назад
nikimuona nitam-hug huhu!
@shakiralasway8821
@shakiralasway8821 3 года назад
Nimejikuta nacheka aliyekimbia,alivyoongeleshwa ndokama amechochewa.
Далее
BAMBO NA MTU MREFU COMEDY RECAP
8:53
Просмотров 117 тыс.
Part 5. Roblox trend☠️
00:13
Просмотров 2,6 млн
LULU ATOA MACHOZI MAHAKAMANI, HUKUMU YAKE NOVEMBA 13
1:52
EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!
26:20
Part 5. Roblox trend☠️
00:13
Просмотров 2,6 млн