Тёмный

"SIWEZI KUISHI na HUYU MWANAMKE" - JAMAA KICHWA NGUMU AMCHANA MAKONDA - MKE APEWA MTAJI wa LAKI 8... 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 129 тыс.
50% 1

"SIWEZI KUISHI na HUYU MWANAMKE" - JAMAA KICHWA NGUMU AMCHANA MAKONDA - MKE APEWA MTAJI wa LAKI 8...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

9 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 354   
@globaltv_online
@globaltv_online Месяц назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@TIGOZANTEL-qp7jg
@TIGOZANTEL-qp7jg Месяц назад
Dah yan wewe Makonda unahitaji urais kabisaaa mungu akulinde mkuu
@selestinimbezi7345
@selestinimbezi7345 Месяц назад
Mkonda MUNGU BABA akulinde na akuongezee myaka mingi na maisha malefu
@imaxshine2210
@imaxshine2210 Месяц назад
Tuliosikia huko mwamba akisema ajira kupeana naombeni likes zangu
@aristideskilawe5024
@aristideskilawe5024 Месяц назад
Mh Makonda umeongea vizuri sana Leo. Good work brother. Keep it mdomo wangu ❤
@comfort-rjtv3291
@comfort-rjtv3291 Месяц назад
Mh.makonda akifika sehemu kama vile hakujawahi kuwa na viongozi kabisa Sasa mheshimiwa tukubalie sisi hii nchi tunakupa kiroho safi kabisa
@ThomasfrancisMvella
@ThomasfrancisMvella Месяц назад
Hakika tukumsapoti huyu comrade,,,,on the future lazma awe very great leader...ingawa ndani ya chamade iaonyesha kuna changamoto za viongozi kama hawa kutoboa,,,,,poul makonda kwa mahitaji ya wa tz wengi utatoboa tu uko mbeleni...
@themanofGod127
@themanofGod127 Месяц назад
Kabisa
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 Месяц назад
Ustawi wa jamii Hana hata elimu ya kazi anayoifanyia kenge huyu 😢
@saidimkongos324
@saidimkongos324 Месяц назад
Ustawi wa mchongo😂😂😂😂😂
@queensalema5262
@queensalema5262 Месяц назад
Form 4 failure hana hata d mbili,kapata Kaz kimchongo
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Месяц назад
KITI CHA URAISI UMEKISHIKILIA MAKONDA NDIO MANA MAMA SAMIA ANAONA ANAUMBUKA KWA KAZI MZURI UNAYOFANYA MLUDISHE MSEMAJI WA CHAMA HUYO MAKONDA PLEASE SAMIA 🙏
@hassansaul7098
@hassansaul7098 Месяц назад
Sasa, uwezo wa kutatua kero na matatizo kama haya anapewa na nani kama sio huyo Rais?!
@khamisomar889
@khamisomar889 Месяц назад
Kinachokusumbua ni elimu, ungesoma usingeandika ujinga
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Месяц назад
Makonda ni msanii kama wabunge wa lioteuliwa mwaka 2020 uchaguzi mkuu sasa anakaribisha kiki wananchi waendelee kukiamini chama chake kupitia hizi movie zake​@@khamisomar889
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 Месяц назад
Makonda Allah akuhifadhi na maadui Akundumishe kwenye serikali mtenda Haki Kwa wanyonge Allah Akupe umri mrefu akulinde ww na watoto wako na mkeo Allah awadumishe kwenye serikali ww na mama yetu Samia hakika unatenda Haki Mungu akulipe .mazuri dunian na akhera tunakupenda Sana mdogo wetu
@afrikasihami
@afrikasihami Месяц назад
Huyo Afisa Ustawi wa Jamii kilaza sana.
@obedpeter6874
@obedpeter6874 Месяц назад
Ustawi wa jamii mmefikiwa yani aiseee ukiwa mtendaji wa kitengo fulani alafu ukasikia makonda ndo mkuu wako wa mkoa kama ulitupa madaftari ya notes anza kuyatafuta na kama ulikua unakunya supu na kukaa ofisini anza kwenda saiti
@teddygabriel5662
@teddygabriel5662 Месяц назад
😂kwel
@macdonaldmapunda421
@macdonaldmapunda421 Месяц назад
Una akili Sana wewe jamaa kwa ushauri
@masatusalum5291
@masatusalum5291 Месяц назад
Watu wa Meru Kuolewa hadi Wazazi wanywe soda?
@sabojanvierjaja2007
@sabojanvierjaja2007 Месяц назад
❤❤mtu mzima najikuta natoa machozi kweri ila makonda ni jembe han amakuu Mungu ampe maisha marefu tu
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 Месяц назад
Makonda Mungu akubariki 🙏❣️
@nadiahussein-mn2fb
@nadiahussein-mn2fb Месяц назад
Ongera sana makonda
@dorcasdavid2247
@dorcasdavid2247 Месяц назад
Mungu Mungu Mlinde sn Paul Makonda wetu.
@user-wh7gj9ug9s
@user-wh7gj9ug9s Месяц назад
Safi sana makonda wa baba ni changamoto
@Expedito2512
@Expedito2512 Месяц назад
Wamama nao ni shida
@azammaganga9101
@azammaganga9101 Месяц назад
Kama wababa ni changamoto basi wamama ni tatizo kabsa
@MIKAELADEDA
@MIKAELADEDA Месяц назад
Upo vizuri sana hutaki ubabaishaji kaka angu
@tumainiwafula9609
@tumainiwafula9609 Месяц назад
wow very nice, namwona Rais Magufuli ndani ya mkuu wa mkoowa Makonda,very nice work chapa kazi Baba...
@bahatilaizer8706
@bahatilaizer8706 Месяц назад
Mh makonda upo na Kazi Baba Wetu Lakini Fanya mema nae Allah ☝️ atukulipa mema Yako Inshallah
@thedon8467
@thedon8467 Месяц назад
AMEEN
@zuhoor-mc7hq
@zuhoor-mc7hq Месяц назад
Mungu akulinde huko ulipo na Shar z walimwengu waovu ambao hawapendelei mafanikio yako makonda wetu 🤲🤲🤲
@MwebeRwezahula
@MwebeRwezahula Месяц назад
Makonda mshauli mama asiteue vilaza kama hivi .
@josephhaule9123
@josephhaule9123 Месяц назад
Makonda wewe unahekima ya ajabu sanaaa asante sana kazi nzuri
@grammsonbakaza9092
@grammsonbakaza9092 Месяц назад
Makonda makonda makonda Mungu akuongeze bro
@Magdalene-er2ur
@Magdalene-er2ur Месяц назад
Kwa maelezo huyu anayejiita kaimu watanzania tutaendelea kuteseka
@rodymtakimwa3205
@rodymtakimwa3205 Месяц назад
Mungu akulinde pia Raisi Mtalajiwa
@sumaidgasto4721
@sumaidgasto4721 Месяц назад
Usiseme rais huyu ni mkuu wa mkoa
@JanethMathayo-ys3km
@JanethMathayo-ys3km Месяц назад
Mungu akupe maishamarefu
@dandynyota2838
@dandynyota2838 Месяц назад
Anandaliwa kuwa rais save hii coment yang mtaja ni kumbuka
@Do-it-yourself_at_home
@Do-it-yourself_at_home Месяц назад
Unamatatizo ww 😂
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Месяц назад
Rais wa familia yako m pishe kaya yako atawale sisi wale tunaojitambua yaani kwenye uchaguzi atafeli hata aliyemteua kwa nafasi hii hamchagui haponi 0% hapo anajipendekeza kwa wananchi kugawa fedha ya serikali bajeti IPI Wanaarusha wanamwangalia tu hasa wadudu wanachora😮
@VictorFranael
@VictorFranael Месяц назад
Makonda anaandaliwa kuwa Raisi 2030 Ili kidumu chama cha mapinduzi.
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Месяц назад
@@Do-it-yourself_at_home ana matatizo ya kufuata upepo kama bendera
@dismassamwel7130
@dismassamwel7130 Месяц назад
Sante sana makonda na MUNGU akulinde ndugu yangu
@JaneMwamlima
@JaneMwamlima 19 дней назад
Makonda. Mungu akulinde we baba
@user-iz2dw8rp2i
@user-iz2dw8rp2i Месяц назад
Kuna shida ya ustaw ya jamii huko.yan mtu mzima hajui kuweka mambo sawa
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 Месяц назад
Dunia ni uwanja wa fujo vijana tusikimbie majukumu
@user-zm2pe6il9h
@user-zm2pe6il9h Месяц назад
Mwana sheliya wamchongo Kuna watu wamekaliya viti ambayo haviwahusu kukaliya
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk Месяц назад
Ustawi wa jamii huyo jamaa aangiliwe vyeti vyake hajui kitu 😂😂😂😂
@user-sg7tr9fl5q
@user-sg7tr9fl5q Месяц назад
Halijui kitu hilo
@hassansaul7098
@hassansaul7098 Месяц назад
Hahhhhh
@balisangwayomhoza4702
@balisangwayomhoza4702 Месяц назад
Mbona jamaa yupo sahihi tu, sheria haijaweka wazi gharama za matunzo
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk Месяц назад
@@balisangwayomhoza4702 tatizo lake anachanganya sana maneno hata kwa mfano huna kosa lakini umepewa kesi ya kusingiziwa kama una wasi wasi watu watajua umetenda kosa..kwa huyu jamaa anajichanganya kwenye ufafanuzi wake ndio maana wana mashaka nae
@assayusuph3295
@assayusuph3295 Месяц назад
Mweshimiwa mungu akutunze
@KundaelGeorge-tv8mz
@KundaelGeorge-tv8mz Месяц назад
Mungu akulinde
@Mohaa4309
@Mohaa4309 Месяц назад
Makonda juu🎉🎉🎉🎉
@aristideskilawe5024
@aristideskilawe5024 Месяц назад
Keep it mdogo wangu ❤
@user-jj1jp4be2k
@user-jj1jp4be2k Месяц назад
Mungu akulinde Makonda
@julianajeremiah4353
@julianajeremiah4353 Месяц назад
Jamani Mungu asaidie wtu kesi ni nyingi
@user-oo1vz3zi1t
@user-oo1vz3zi1t Месяц назад
Mbona kjana unajidhalilisha
@user-pt5rn5nj2f
@user-pt5rn5nj2f Месяц назад
Haya ndio madhara ya kuajiriana kama ndugu huyu mwamba tatizo kapewa connection na ndugu zake alafu wenye elimu wako mtaani daah😂 Tanzania yetu
@user-ry4pt9pd6j
@user-ry4pt9pd6j Месяц назад
God bless Makonde 🙏❤️👍
@user-dd8lp3jn7v
@user-dd8lp3jn7v Месяц назад
Hongera sana mungu akubariki
@user-fk1fd8on6e
@user-fk1fd8on6e Месяц назад
❤❤❤
@JescaMuyabi-ix8ly
@JescaMuyabi-ix8ly Месяц назад
Hongera makonda
@immaknight4414
@immaknight4414 Месяц назад
❤❤❤❤ MUNGU AKUUNZEE MHESHIMIWA WEWE NA FAMILY YAKO DAH UMELETWA KWAJILI ETUU WE LOVEE YOU FATHER
@hassansaul7098
@hassansaul7098 Месяц назад
Hahhhh, nimechek Sana huu jamaa mwana sheria
@user-ub2sm5vy2z
@user-ub2sm5vy2z Месяц назад
Uko sawa makonda
@victoriarichard8761
@victoriarichard8761 Месяц назад
Makonda magufuli spirit 🔥
@julianamaganga4803
@julianamaganga4803 Месяц назад
Isheneshesho
@tiffanymo9453
@tiffanymo9453 Месяц назад
Big up Mh Makonda.
@laylayl5166
@laylayl5166 Месяц назад
Mungu akulinde makonda
@MgangaMillian
@MgangaMillian 5 дней назад
Namukubari sana makonda
@johnmwandu2116
@johnmwandu2116 Месяц назад
Mbona jamaaa kajibu vizuri tu, yaani mzazi anatoa gharama kulingana na kipato chake, sasa ww Makonda hutaki kumsikiliza hadi mwisho
@user-vz4xv7lg3x
@user-vz4xv7lg3x Месяц назад
Hapo huyo jamaa ameonewa sana, huyo mwanamke anatumia uanamke wake kumtesa huyo jamaa....wanaume tunapitia mengi na hatuna wa kutusikiliza
@vedastocharles
@vedastocharles Месяц назад
Kazi sana😂 kaka ! Pole San kaka
@amosmachibya1800
@amosmachibya1800 Месяц назад
Nakuelewa sana kaka makonda
@mercypeter162
@mercypeter162 Месяц назад
Kazi kweli kweli
@kabujeasukile5462
@kabujeasukile5462 Месяц назад
Ubarikiwe sana baba kegani 👏👏👏
@kiembathegreattz5633
@kiembathegreattz5633 Месяц назад
Makonda mungu akuweke mzee baba unaupiga mwingi sana
@Zaburi-
@Zaburi- Месяц назад
Mungu/MUNGU sio mungu
@chantalharakandi2576
@chantalharakandi2576 Месяц назад
Mtihani kwenda mbele Makonda unakazi nzito
@user-zi7ds2bv2s
@user-zi7ds2bv2s Месяц назад
Harijui hiro
@dalaliharunikigamboni6703
@dalaliharunikigamboni6703 Месяц назад
Makonda Ana upuuzi mwingi sana Sasa huyo jamaa Ana makosa gani wakati sheria zimetungwa na Chama cha mapinduzi
@user-ry4pt9pd6j
@user-ry4pt9pd6j Месяц назад
Sorry I missed spelled his name. 🙏what your give to your people is written in the book of life, you children’s 👦 well be blessed 😇 to all generations to come . You 🙏
@user-wh7gj9ug9s
@user-wh7gj9ug9s Месяц назад
Kweli kabisa
@RobertMachenga-tz3re
@RobertMachenga-tz3re Месяц назад
Huyo mtu hajui chochote kwa hiyo mtu hana kazi unamwambia atoe laki mbili kwa mwezi hanachochote anachojua mkuu wa mkoa achana naye.
@AnnaPanga-yq7uq
@AnnaPanga-yq7uq Месяц назад
Mungu akubariki sana akupe maisha marfu
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 Месяц назад
Mimi mwenyewe Acha nije huko huko arusha kwani mzazi mwenzangu yupo huko na kaingia mitini.Makonda oyeeeeeeee!!!!
@jrsaid4270
@jrsaid4270 Месяц назад
🤣🤣🤣🤣 nenda utatupa mrejesho
@RoseJohn-js7kb
@RoseJohn-js7kb Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 Месяц назад
😂😂😂😂😂
@sunwizy608
@sunwizy608 Месяц назад
😂😂😂😂ukiachwa achika
@Johnmagambo
@Johnmagambo Месяц назад
😂😂😂😂
@user-ty2kc5jy7s
@user-ty2kc5jy7s Месяц назад
Brother ana USO wa mbuzi 😂😂
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 22 дня назад
Mimi naona hiyo uso ya kondoo🇰🇪🇰🇪
@imranhassan9994
@imranhassan9994 Месяц назад
🌍🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕 ⭐🌟 ✍️ Jamani kama hapa duniani haki ina thamani kiasi hiki kiukweli sijui huko twendako mbele ya MUNGU itakuwa na thamani kiasi gani...
@paulsibu5770
@paulsibu5770 Месяц назад
Umeongea kitu ambocho kimenifikirisha.
@gracejisena6573
@gracejisena6573 24 дня назад
Kuna jamaa kasema ajira za kupeana hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣
@user-er9no3ie2k
@user-er9no3ie2k Месяц назад
Nakubali sana makonda 💪💪
@mugishamajeba9628
@mugishamajeba9628 Месяц назад
Kwenye dunia apo siyo kweli dunia aiwezi jua tatizo ilo
@AnzelimuJustine
@AnzelimuJustine Месяц назад
Ukwel kitu amambacho akija kupata wala sio chakutolea maamuz
@kenedymwangosi8259
@kenedymwangosi8259 Месяц назад
Makonda....❤❤
@user-eu8ur4kt4v
@user-eu8ur4kt4v Месяц назад
🔥🔥🔥🔥🔥makonda ubarikiwe
@ShamsiKasoma-fn4cl
@ShamsiKasoma-fn4cl Месяц назад
Makonda uko vzr
@user-rw9cw8nj4t
@user-rw9cw8nj4t Месяц назад
Mkuu wa mkoa hongera sana
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 Месяц назад
Mbona jamaa anajibu vizuri tu.
@DianaJoseph-mr2tk
@DianaJoseph-mr2tk Месяц назад
Mungu akutunze milele makonda
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 Месяц назад
Ustawi wa Jamie wanafanya kaz kimazoea, hata wakifika maofisini hamna wanachokifanya zaidi ya kupokea mshahara.
@levygasper7438
@levygasper7438 Месяц назад
Mzee nimemwelewa Sana yani anaona akirnderea kuishi nahuu mwana mkee Yule mtoto wake wakiume atakuja kulisi mali za JAMA
@gwamakajoseph9234
@gwamakajoseph9234 Месяц назад
Lakini yule mwanaume aliyemzalisha mtoto wa kwanza ( huyo wa kiume) yeye yuko wapi🙆🏿‍♂️
@levygasper7438
@levygasper7438 Месяц назад
@@gwamakajoseph9234 ???
@piuslugata4931
@piuslugata4931 Месяц назад
Ki ukweli huyo jamaa yupo sawa maana sheria inagalia moja maisha ya baba na kipato pia anapotowa matumizi agalie yeye atakula nini na pia mtoto wake atapata nini sheria haimbani mtu mmoja tu
@TelesphoryHaule-pj3bs
@TelesphoryHaule-pj3bs 20 дней назад
Makonda hongera
@noelwilliam344
@noelwilliam344 Месяц назад
Sheria inasemaje?
@fraviansweetbert2703
@fraviansweetbert2703 Месяц назад
Mungu azidi kukutia nguvu Makonda
@jamilanasir6833
@jamilanasir6833 Месяц назад
Yalinikuta hayo jamani mume wangu tulipo achana alisema kiwanja cha kk ake wakati tulinunua wote
@MwebeRwezahula
@MwebeRwezahula Месяц назад
Makonda ww nimagufuli mtupu ubarikiwe
@ezekielmwasenga4640
@ezekielmwasenga4640 Месяц назад
Viva kwako mh.wetu Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasani
@saidshaban8110
@saidshaban8110 Месяц назад
Duhh hatari sana hayo mawazo yake sio Sheria
@saudahassan6077
@saudahassan6077 Месяц назад
Huyu ni rais ajae,,mungu akubark sana 🙏
@yonnamgonde3044
@yonnamgonde3044 Месяц назад
Mama Samia anatakiwa akuweke karbu mno. Ww ni mwamba
@teddygabriel5662
@teddygabriel5662 Месяц назад
Kwel mahusiano n kaz mtu anakukana kama pilato 😢
@pendothomas7258
@pendothomas7258 Месяц назад
Makonda ❤️❤️❤️❤️
@PendoGodfrey-lu2pm
@PendoGodfrey-lu2pm 13 дней назад
Huyo ustawi wa jamaiii hajui chochote .
@jitabojilala6162
@jitabojilala6162 Месяц назад
Hii Arusha jamani duu Mungu aisaidie
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono Месяц назад
Mpaka aibu ustawi wa jamii gani huyu 😢😢😢😢 analidhalilisha taifa doon😮😅 sheria haijui kbis
@user-is9kl3jn3v
@user-is9kl3jn3v Месяц назад
Yani hajui
@rukiyamohammed2945
@rukiyamohammed2945 Месяц назад
Jamaa kutoka ustawi wa jamii hamna kits hapo , achunguzwe
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Месяц назад
UMEPIGAJE APO UMESEMAJE APO😂😂😂😂😂
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 Месяц назад
😂😂😊
@user-mh5wj1vs7v
@user-mh5wj1vs7v Месяц назад
Hakika yan mm naye mume wangu nipasua kichwa jmn
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 Месяц назад
😂😂😂😂
@carolinemae2531
@carolinemae2531 Месяц назад
Jamani mimi ntampata vipi huyu makonda kuna fundi kanidhulumu Dirisha zangu million 3 za kitanzania 😭😭😭😭😭
@kemmymartine4884
@kemmymartine4884 14 дней назад
😂
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Месяц назад
😂😂😂Ustawi wa jamii hana elimu hata moja si aibu hii?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@luckymsomba4818
@luckymsomba4818 Месяц назад
mwisho umemaliza vizuri
@TizoMgaya-pd9nw
@TizoMgaya-pd9nw Месяц назад
Huyo afisa ustawi wa jamii hiyo kazi alipewa kwa kujuana Hana anachokijua. All in all My. Makonda ni Magufuli ajaye Mwenyezi Mungu amlinde kwa kazi nzuri na kubwa anayoifanya kwa Watanzania wanyonge
Далее
Самое Романтичное Видео ❤️
00:16