Тёмный

Mtanzania aonesha A to Z jinsi alivyoisuka satellite yake na kuifanyia Majaribio 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 52 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 363   
@ushindisamweli3286
@ushindisamweli3286 Месяц назад
Napenda sana kuona nasisi tunafanya mambo ambayo tulikuwa tunayaonaga kwa wazungu naipenda Tz
@AmosBhujiji
@AmosBhujiji 2 месяца назад
Yaaa Kazi nzuri
@55goodmen
@55goodmen 4 месяца назад
Huyu Dogo ni Genius sana !!! Una feel kabisa kuwa ana knowdge zaidi!! Nasikia kutoa machozi hawa ni Almasi kwa Africa..anaitaji back up kali sana. Nimeshuudia uvumbuzi kibao lakini system zina let down sana,...TUKIACHA ROHO MBAYA, WIVU, CHUKI, NA UKANDAMIZAJI, KULOGANA....Hawa ma genius wanaweza kabisa.
@isaacjohn7188
@isaacjohn7188 2 месяца назад
Hello Mr Shayo i got inspired Keep up bro
@HamisPaul-j2r
@HamisPaul-j2r Месяц назад
Daa kaka umetisha
@admiralaggrey6094
@admiralaggrey6094 4 месяца назад
Jamaa ameifanya sayansi ionekane ni kitu rahisi especially kwa sayansi kama hizo ambazo huonekana kuwa ni ngumu sana kama sayansi ya satellite na rocket. Asante sana kaka kwa kutufungulia njia maana umetupa picha kuwa ata bongo kuna mabrain mijitu yenye akili kubwa ila hawapati Njia au where to start. Serikali kupitia research center au science department sijui but we need to invest Big kwenye izi talent. Kumbe Mungu Tanzania hakutupa tu utajiri wa rasilimali pia Vipaji vipo. Again.. kaka tunakushukuru sana, u just made it look so easy ata mimi nimetamani kusomea yani tofauti kabisa na walimu wetu wanavyotufundisha science SnS asante pia this Content is the Real DeaL
@BarakaMkwabi
@BarakaMkwabi 2 месяца назад
Hawa ndio wangekua wanapelekwa nje kupata ujuzi zaidi kwaajili ya maendeleo ya taifa , sio kumpelekea wema sepetu kwaajili ya bongo movie.
@pamone4523
@pamone4523 Месяц назад
Hongera sana brother, Tanzania inakuwa kubwa, serikali na taasisi BINAFSI tumpe sapoti
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 2 месяца назад
Mungu akuinuwe kijana mwenzangu ❤
@castroydaimon3107
@castroydaimon3107 4 месяца назад
Daaaah! Haya ndo mambo napendaga kuona na kusikia... safi sana kaka
@nicholasamuyunzu7246
@nicholasamuyunzu7246 4 месяца назад
Mimi mkenya lakini nimependa Sana anachokifanya huyu kijana daah,hawa ndio watu tunahitaji kwenye jambi zetu hapa AFRICA hongera Sana brother may God grant good health and long life we need you to inspire the current and coming generations aasante Sana I love this....hata sijui la kusema....
@eliyangereja1880
@eliyangereja1880 2 месяца назад
Hongera sana Mhandisi. Una uwezo mkubwa... mambo haya yapewe heko, tunakutakia mafanikio makubwa sana.
@Burner_Acc
@Burner_Acc 4 месяца назад
Msomi, genius, Kiswahili kimenyooka anatumia lugha kwa ufasaha wala halazimishi kingereza. Njoo kwa Std 7 failures, anataka kila neno aweke kingereza huku hajui na matamshi hawezi
@CastoryKapinga-nb7ht
@CastoryKapinga-nb7ht 4 месяца назад
HAHAAA MWQMBAAA UMETISHAAA UMEONGEA KWA UCHUNGU HAHAAA
@IssaKilimo
@IssaKilimo 4 месяца назад
Dah kweli kabisa yan kiswahili kimenyooka na ana eleweka
@ZeProDJay
@ZeProDJay 4 месяца назад
Hasa ma slayqueens wetu hawa ni shida sana You Know, You Know zinakua nyingi sana kwenye maongezi kiingereza cha kuunga unga sana wanatishia watu... Ila wasomi wenye akili hawana hizi mbanga, kuna jamaa mmoja yule anafanya kazi Boeing ni m Tanzania nae ukicheck interview yake anaongea kiswahili fasaha tu na amekaa sana USA miaka mingi..
@frankkessy1260
@frankkessy1260 4 месяца назад
@@ZeProDJay hao target yao ni wazungu
@DjmubaTechServices
@DjmubaTechServices 4 месяца назад
wewe jamaa umeandika nilichotaka kuandika 😂
@LucasMwijage-oc5nx
@LucasMwijage-oc5nx Месяц назад
Kazi njema,Songa mbele kwa maono makubwa juu ya TAIFA lako.Viongozi wa Nchi wa kuone.
@Mtumishi755
@Mtumishi755 4 месяца назад
Hongera sana brother Lenard , wewe ni hazina ya Taifa
@alvinmtui-m6i
@alvinmtui-m6i 4 месяца назад
Amna kitu bora kama kuwa mzalendo ,umesoma lkn ukarudi Tanzania kuonyesha ulichokipata kazi nzuri zana tukipata vijana kama wewe kumi ambao wamesoma njee na kufika kiwango ambacho umefika na kurudi nyumbani kuendeleza ujuzi Tanzanian tutapiga hatua kubwa sana big up sana
@harryson4823
@harryson4823 3 месяца назад
Kinyange to the word. Keep moving mate. Home boy
@hassanmsangi4149
@hassanmsangi4149 4 месяца назад
FUTURE MAN ON SPACE FROM TANZANIA IS COMING
@GeorgeKiba
@GeorgeKiba 4 месяца назад
Kazi nzuri Afrika inawezekana kama Serekali zita kusanya vipaji na ujuzi mbali mbali kwa ubunifu.
@allahisone6386
@allahisone6386 4 месяца назад
Ndiooo ❤🎉
@samsonjohnhoswe2891
@samsonjohnhoswe2891 3 месяца назад
Nimefarijika sana, ingawa sijui watamtumiaje ili kuinufaisha Tanzania yetu na Africa kwa ujumla, Mungu ibariki Africa Mungu ibariki Tanzania.
@RizikiMaluku
@RizikiMaluku 2 месяца назад
Vizuri Sana Kaka Mungu Atakuwezesha Pia Nataisapoti Hii Kazi Nitatoa Ushirikiano Kwa Ajili Ya Taifa Letu.
@YesseJames
@YesseJames 4 месяца назад
Huyu jamaa tuko vizuri, nafurahi sana!!! Kuona Mtanzania anavyofanikiwa, tupate vijana wengi kama hawa, Mungu ibariki Tanzania
@batholomeothomas6059
@batholomeothomas6059 3 месяца назад
Vijana wapo wengi sana wenye uwezo mkubwa sana wakifanya vitu kama hivi ukweli nikwamba serekali yetu haiko tayari kusaidia vijana wenye vipaji kuwaendeleza
@Views-mf8ir
@Views-mf8ir 4 месяца назад
Well done home Boy .. Kazania apo apo .. Nenda Kenya tu apo utapata nafasi na pesa nyingi kwa kazi yako hiyo ..!! Kibongo bongo bado tuko busy tunasifu na kuabudu kwanza ...!! Hawawezi kukuzingatia zaidi zaidi watakukwamisha na kukuvuruga tu ..
@EmmanuelKivuyo-mx3cw
@EmmanuelKivuyo-mx3cw 4 месяца назад
This man is very genious we need such engineers and not politicians
@simwingaonlinetv1994
@simwingaonlinetv1994 4 месяца назад
Watanzania hawawezi elewa coz hii field hawaijui wachache sana watakuelewa but hongera sana broo umeni inspire sana umetumia alot of money, time keep it up
@Piuspaul123
@Piuspaul123 4 месяца назад
​@@ollymagicswabongo wapi hao wengi unaowazungumzia wewe, shida yetu sisi hatupendi kuona mtu akifanya jambo likafanikiwa tunaanza kwa kukatisha tamaa kwa kuonyesha kuwa yeye sio wa kwanza,
@samsonhenry3871
@samsonhenry3871 2 месяца назад
@@ollymagicsKumbe hujapendezwa mkuu😂
@johanesemmanuel4655
@johanesemmanuel4655 4 месяца назад
Dah,nimefarijika na kufurahi sana Asante sns Asante kaka yetu kwa Ubunifu huo sisi ambao tuko kwenye industry ya tech tunajua ugumu upi umeupitia mpaka leo hii wazo lako unalifanikisha.Big up brother usikate tamaa,tuko pamoja nawe
@CharlesKiwia
@CharlesKiwia 3 месяца назад
Hongera Sana Shayo ,Talent hii niliiona kwako ukiwa form two .Mungu akufunike Mzee we ni Taasisi.
@jeathjp.mwendapeke8207
@jeathjp.mwendapeke8207 2 месяца назад
kazi nzuri sana bro...keep up
@rukiamadati336
@rukiamadati336 2 месяца назад
Tena serikali isimguse kabisa itampoteza tu Kaka yetu hongera Sana ndugu yetu
@MahaHassan-zn5vp
@MahaHassan-zn5vp 4 месяца назад
Hongera sana kaka kwa kazi mawazo nakizi ulizozifanya pia hongera kwa matumizi mkubwa ya lugha ya kiswahili katika mauala ya sayansi ya anga
@peterjustin1237
@peterjustin1237 4 месяца назад
Kaka Leonard shayo upo 1 tu Africa nzima🌟💪🏾
@JosephMpangala-wd5mp
@JosephMpangala-wd5mp 4 месяца назад
Huyu amesoma ameelimika, anaitendea kazi elimu, wasomi wengi iko kwenye makalatasi, Mungu akubariki sana, songa mbele tunakuombea.
@madaiincubationcenter4947
@madaiincubationcenter4947 4 месяца назад
Hongera sana huyu ndio msomi wa vitendo hajaenda kukariri kama walio wengi wafanyavyo, wenye kujaaliwa wamsaporti aweze kulikomboa Taifa ktk masuala haya ya kisayansi ya juu
@allywaziri7913
@allywaziri7913 3 месяца назад
Safi sana na siosomi anaenda kufungua baaa
@nsuriitv2468
@nsuriitv2468 4 месяца назад
Huyu si anastahili kutunikiwa Phd jamani... Au wadau mnaonaje🤔🤔🤔
@robyisondo834
@robyisondo834 4 месяца назад
Kabsaa kuna wengine wana Phd hakuna hata la msingi anajua za notes tu mpe practical sasa
@MocDomy-qn6th
@MocDomy-qn6th 4 месяца назад
PhD Tanzania ni mpaka avuke viwango vyote vya fitna
@liseprimaryschool2596
@liseprimaryschool2596 3 месяца назад
Anayo tayari
@bakundukizetz3880
@bakundukizetz3880 2 месяца назад
Mungu akutangulie kaka
@musakalangahe6876
@musakalangahe6876 3 месяца назад
Inafurahisha na Mungu abariki ndugu yetu huyu na watu wote ktk vipaji mbalimbali. Safi sana Mr Shayo
@MichaelMathew-j3f
@MichaelMathew-j3f 4 месяца назад
Aise hongera sana!! Ahsante. Ww ni mtanzania kweli. Kiswahili kizuri. Hongera sana. Mungu akutangulie siku zote. Amen.
@Fredrickrobson01
@Fredrickrobson01 3 месяца назад
DIT is the best school for engineering Tanzania ,thanks bro all the best in you ideas
@JuliusSwai-k6i
@JuliusSwai-k6i 4 месяца назад
Hongera sana haya ndio mambo ya kutuletea elimu hii ni nzuri.Asanteni
@kwisa4899
@kwisa4899 4 месяца назад
Huyu ndie alitakiwa kuwa pale TCRA
@AbCool-x4c
@AbCool-x4c 2 месяца назад
Labda awe ccm
@jotafungo4622
@jotafungo4622 4 месяца назад
Hongera mkuu,serikali mtumieni huyu mtu
@wakujawakuja310
@wakujawakuja310 4 месяца назад
Hii inamaana jamaa anaweza kutegeneza vifaa vinavyo tumia umeme na mawasiliano, ikiwemo simu, computer, TV, Redio Nk.
@iCPDigitalStudios
@iCPDigitalStudios 4 месяца назад
kabisa... mwamba ana Ndoto kubwa ni balaa hivyo ni vitu vidogo kuliko Satellite jamaa anajua Mungu amemariki sana🙌🙌
@lisawilliam2491
@lisawilliam2491 4 месяца назад
Izi ndo habar sasa! Big up sns!
@JohnNgessi
@JohnNgessi 3 месяца назад
Hongera sana kaka, umefanya kitu cha pekee sana, tunajivunia wewe
@italaclan7833
@italaclan7833 4 месяца назад
Tunasema tumshukuru Mungu na atuinulie bijana kama hawa,pia serikari inapaswa kuangalia vijana kama hawa na kuwapanguvu vijana wote wenye uwezo wa kutengeneza kitu chochote cha maendeleo ya kiuchumi watumiwe na serikari yao tuweze kujitegemea maana madini tunayo yanayo sapoti vitu vingi vinavyo husiana na sayansi tunaomba serikari itoe nguvu kwa wavumbuzi wote..Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 tuvbariki na vijana wa Afrika.
@mathiasmuhochi435
@mathiasmuhochi435 4 месяца назад
Engineer msomi kwa vitendo..... congratulations ndg, unastahili kutunukuwa PhD na Uprofesor
@AugustinoSirong-eo3yj
@AugustinoSirong-eo3yj Месяц назад
Viruri sana. Tungekuwa na wasomi wa aina hii angalau wangefanya jambo. Ona wasomi wetu wengine wanavyovuruga taaluma zao, wanadharau utanzania wao, lugha yetu kiswahili, wamejifanya nusu wazungu kiasi kwamba fikra zao na mitazamo yao ni huko walikopatia elimu si tanzania.
@bishweko
@bishweko 4 месяца назад
Allah atupatie Watanzania 10 kama huyu. Na uongozi kama wa Magufuri. TANZANIAN tuko mbele sana.
@seraphinjosephmboya3646
@seraphinjosephmboya3646 4 месяца назад
Kaskazini is always headers,,,, big up brother
@munibullahmarunda1325
@munibullahmarunda1325 4 месяца назад
Kaka asante sana Sasa Tunaweza kufikia malengo ya nchi yetu
@musichealsTz
@musichealsTz 3 месяца назад
mtu mmoja anafanya kazi za professional zaidi ya 2. afu kunao wawazao amapiano na kupiga vyombo tuu.
@AhmedHamed-r5i
@AhmedHamed-r5i Месяц назад
Jamaa anafanya Broadcast(Radio&Tv), Telecom, yumo Electronics kwenye components level, Robotics yeye, Aerospace yeye, Astronomy yeye, physicist yeye, Electricity yeye nk..nk. Kweli kijana ana muda wa kufwatilia mambo haya na anajua aisee! Katushangaza wengi😊.
@JosephKapanga
@JosephKapanga 4 месяца назад
Hongera sana kijana,nakuomba nenda Kwa Raisi wa nchi yetu Tanzania,akusaidie mtaji Ili utengeneze satellite ya nchi yetu.
@Boyhoodking
@Boyhoodking 4 месяца назад
Katika wavumbuzi wote Tanzania huyu nampa namba 1 kwasababu uvumbuzi wake umeambata na taalum haswa ie professional inventory
@emahitube
@emahitube 4 месяца назад
Maana ya neno Genius ni Mtu mwenye Uwezo wa kuunganisha Taarifa haraka kuliko mtu yoyote kwa miundo ambayo haijawahi kuonekana
@cchimodzi3858
@cchimodzi3858 4 месяца назад
Hongera sana, watu kama hawa wenye akili nyingi wasiachwe bure, serikali iwatumie kwa maendeleo ya Taifa letu.
@esterkimath1214
@esterkimath1214 3 месяца назад
Tupo vizuri natunapambana sana watu wa Kilimanjaro .We never give up👏👏👏
@NixonJohnson-zn8nk
@NixonJohnson-zn8nk 3 месяца назад
Ukiweks tu u Kilimanjaro ni kosa kubwa.. Ni m Tanganyika good...
@NoelChambo
@NoelChambo 3 месяца назад
Ukabila wa nini sasa
@kiatu
@kiatu 4 месяца назад
Halafu hajamwita waziri mkuu au rais, very humble.
@zefamange7281
@zefamange7281 4 месяца назад
HONGERA SANA DOGO.SHIDA SISI WA TZ HATUWAPENDI WABUNIFU WETU WA NDAN
@malcolmeliezerkanyamala3882
@malcolmeliezerkanyamala3882 3 месяца назад
Moja ya mapinduzi makubwa ya kiteknolojia,changamoto ni kwamba hakuna anayeshikwa mkono kuendeleza na kueneza taalaum yake kwa vizazi vijavyo na mwisho wa siku wanapotelea hewani. Fursa hizi zikitumika vizuri pengine siku moja tutakuwa hub ya kiteknolojia badala ya kuendelea kudumazwa na wenzetu waliopiga hatua.
@sleifikhajjir262
@sleifikhajjir262 4 месяца назад
Hongera sana kaka mm pia nimesoma electronics kama wewe napia ninamalengo kama yako karibu zanzibar
@fjoshore2547
@fjoshore2547 4 месяца назад
Uko sawa mkuu..... hongera ktoka Nairobi.,wetu hapa kingereza tele ila akili kama hii hamna
@hnettech6275
@hnettech6275 4 месяца назад
Ni idea nzuri sana. Kwa uchunguzi mzuri zaidi haende mlima kilimanjaro pia itakuwa poa sana
@MeshackPanja
@MeshackPanja Месяц назад
Hapo nimenyanyua mikono bro appriciate
@andersonchongoma1723
@andersonchongoma1723 3 месяца назад
Mm binafsi nakutakia heri una jambo kubwa ebu fanya jambo lako na Mungu akujalie uzione ndotozakozikiwa angani na sio mezani tena !
@bajomba2010
@bajomba2010 4 месяца назад
If you are tollerant of constructive critics I can join you to provide with some important info towards your success. Tuanze na challenges to encounter: 1. Sattelite material to protect it from intense temperature variation of +100 to -100 degr centigrade. 2. Satelite productivity is based on scanning surface if the earth which requires continous adjustment of instruments to face the intended surface sector of the earth. This needs automatic change of instruments to face the intended target area of the surface. 3. Proper frequency for long visual line communication which is usually above vhf band (L,S, C ,X Band in GhZ) using effiently solar power provided otherwise there will be not enough power for all instruments onboard. 4. Space is full of storms..radio/solids and hence protection of onboard instruments is important.Otherwise they will be rendered useless within minutes after delivery into space. These are few challenges to be addressed before we come up with practical sattelite. Otherwise lets call the step you are in as a mini weather station. A scientist has to call a spade a spade . Big up for the stage you are towards a long way of satelite making. My salute.
@j4gtechsolution809
@j4gtechsolution809 4 месяца назад
yah that is min weather station
@ubuntubantu2404
@ubuntubantu2404 4 месяца назад
Build your own, he doesnt have to answer none of your questions. Visit him at Olspace if you have anything tangible else you are here to prove what kind of salty hater you are.
@abdallahhamisi45
@abdallahhamisi45 4 месяца назад
Hatua nzuri sana Hii ina maana tunaweza kuwa na huduma ya Internet ya kwetu wenyewe au sija elewa hapo
@ZeProDJay
@ZeProDJay 4 месяца назад
Inahitaji uwekezaji mkubwa tena huko umeenda kwingine kabisa bro sio rahisi kwa sera za nchi yetu hizi..
@Ufahamu-01
@Ufahamu-01 4 месяца назад
Tanzania ni nchi yenye vipaji vya ajabu sana tunahitaji viongozi makini sana ilikufikia malengo ya Taifa.
@grevinmgaya9237
@grevinmgaya9237 4 месяца назад
Hongera Sanaa hatuwezi hata kulipa garama mpak hap Mungu akusaidie zaidii
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 4 месяца назад
Safi sana mtalaam ❤, Serikari sasa ikupe hela ya hizo Project.
@godfreyalphonce5646
@godfreyalphonce5646 4 месяца назад
Naposikia habari kama hizi za teknolojia nahisi Dunia ipo mkononi mwangu big up #SNS
@barakamwangeni6589
@barakamwangeni6589 4 месяца назад
Tunaomba muendelezo wa ufafanuzi zaidi juu ya satalite. Pia nikupongeze Mtanzania mwenzetu kwa hatua hii. Niombe serikali yetu kutumia ubunifuu huu kwa Masirahi ya Taifa🇹🇿
@muhsinhafidh5490
@muhsinhafidh5490 4 месяца назад
haikuarahisi kaka kazi nzuri sana ndugu na hongera sana
@samsonhenry3871
@samsonhenry3871 2 месяца назад
Mungu akitangulie mkuu.
@JoesB-i5i
@JoesB-i5i 4 месяца назад
Kazi nzuri bro sema tu mungu akutangulie maana hill in kusudi zuri ktk nyanja ya kiteknolojia hasa ya agani.
@robertchazya2351
@robertchazya2351 3 месяца назад
Upewe bodyguards haraka 🙌🏾
@simunzuri
@simunzuri 4 месяца назад
Hongera, ila sijui utafanyaje ku-raise fund ukizingatia tanzania hakuna space rocket na serikali tz mara nyingi haiwekezi kwa wabunufi wa ndani tofauti na USA au china, usa taasisi kama darpa na NSF zinawekeza kwa startup zinazotengeneza vitu vinavyo-push teknolojia
@isacktesha6659
@isacktesha6659 Месяц назад
Sijajutia mb zangu 🎉🎉
@MsitaSh
@MsitaSh 4 месяца назад
Safi sana Sns kwa kuvitukuza vya nyumbani
@Ostica..Omie..junior
@Ostica..Omie..junior 4 месяца назад
Well done bro...salute
@Paplick9
@Paplick9 2 месяца назад
Brain act genius 🧠🧠🧠🧠
@samsogoye1
@samsogoye1 3 месяца назад
Bwashee, Umetishaaa sana, kwanza mdogo alafu ana maarifa makubwa sana. Congratulations 🎊
@eunikerodgers
@eunikerodgers 4 месяца назад
if you understand something enough, you can explain it a 7yo kid, what you see is a master at work....Anajua what to talk about and what not to, he is not just a great engineer his communication skill are great, he is down to earth no ego kabisa....keep the work brother, ila hapo kwenye code tupe exp zaidi kidogo next time microsoft code ndo zipi which language exactly? tupia hizo we curious 😅😅
@Hezronjumacharles
@Hezronjumacharles 4 месяца назад
Ukovizuri tunakuombea Kwa Mungu one day yes katka nchi yetu.
@benedictbuberwa3943
@benedictbuberwa3943 4 месяца назад
Vijana kama hawa wanatakiwa kupewa sapoti na tuzo .. namfikiria anayafanya haya yote kwa pesa zake mwenyewe , .. yaani natamani zile pesa wanazopewa wachezaji wa mpira kila wakifunga goli wangefanya vivyo hivyo kwa vijana kama hawa safi sana shayo
@zidatv1122
@zidatv1122 4 месяца назад
Nchi yetu bado inakumbatia mafisad ,vipaji ni vingi
@avitmusic7318
@avitmusic7318 4 месяца назад
Nice..ata wao walianza kama wewe usikate tama
@AhmedHamed-r5i
@AhmedHamed-r5i Месяц назад
Hiki ninachokiona hapa ni kikubwa sana! Hii ilipashwa kuwa moja wa mfano wa bunifu za kufadhiliwa moja kwa moja na serikali au hata watu binafsi na mashirika! Ila kwa vile nchi zetu za kiafrika hasa kusini mwa jangwa la sahara hazina muda na wanasayansi wake, sintashangaa kuona bunifu kama hizi zinapotea tu pasipojulikana! Kongole kwake bwana huyu, nimemfwatilia muda mrefu hakika ana kitu kikubwa sana. MUNGU aendelee kumuwema kwa faida ya kizazi chetu sasa na hata baadae.
@patrickndizeye2190
@patrickndizeye2190 4 месяца назад
Kari nzuri sana
@RKMEDIATZ
@RKMEDIATZ 4 месяца назад
Mh Nape Nnauye Fanya jambo. Hii ni zaidi ya Roboti Eunice
@kwisa4899
@kwisa4899 4 месяца назад
akili hiyo wanayo sasa
@cleasmartha5769
@cleasmartha5769 2 месяца назад
Akili ni kublock mitandao tu na kuteka wanao wakosoa
@tanzanite_info_dragon.9769
@tanzanite_info_dragon.9769 4 месяца назад
Hongera sana kaka hivi ndiyo wasomi tunatakiwa kuwa ndiyo tuendelee
@hamishassan6784
@hamishassan6784 4 месяца назад
Mungu ametupatia vipaji hivi ni vyema serikali kupitia Jeshi letu ingevichukua na kuviwezesha kulingana na mahitaji yetu kama Nchi
@daisythetech
@daisythetech 4 месяца назад
Haya ndo mambo ya kusapoti na siyo Yale mambo ya sanamu ....serikali imuangalie huyu jamaa Kwa jicho la kwanza
@gastonurassa3734
@gastonurassa3734 3 месяца назад
Anaelezea vizuri nakueleweka sana.. Hongera kwake
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 4 месяца назад
Mwanangu usiende mbele wala nini piga zako kazi bongo utufikishe mbali
@mugapro
@mugapro 4 месяца назад
Bongo nyoso mjomba, wata discourage sana, kama viongozi tu hawasuport
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 4 месяца назад
Atobolee apa apa mdogoangu acheni mawazo ya koloni
@michaelmyaka5367
@michaelmyaka5367 4 месяца назад
Mbele haendi yeye mwenyewe, watamchukua hawataki mabeberu watu kama hawa wakae Afrika,utaona serikali zetu zinamuangalia tu,baadae anachukuliwa😊
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 4 месяца назад
Bongo wataua kipaji chake,hawana maana hawa. Wakiona mtu mwerevu wanafanya kila njia kumpoteza kwenye ramani
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 4 месяца назад
Sasa ukienda kusaidia taifa ambalo lishakua Ina faida Gani saizi mbele ni apa bongo kuza chakwako kaka mbele napo palikua ivo kwasabu ya uzalendo
@ephraimkabeya9648
@ephraimkabeya9648 Месяц назад
KISWAHILI SAAFI KABISA, HAKUNA NYODO, ELIMU KUBWA, ANATOA ELIMU KUBWA BILA KUTOA JASHO, HONGERA SANA. UTAFIKA MBALI
@salamasefu5494
@salamasefu5494 4 месяца назад
Serekali wapeni support vijana hawa wenye ujuzi. Wako wengi Tanzania tuna vijana wenye ujuzi wengi
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 4 месяца назад
SERIKAL MPENI PESA HUYUU...JAMAAA ANAUWEZO MKUBWA,,KUNUNUA VIFAA NIGHARA SANA...MPENI PESA ILI AENDELEZE ALIPO FIKIA.
@gastondaniel8306
@gastondaniel8306 3 месяца назад
SONGA MBELE KAKA NIMEIPENDA SANA HIYO
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 4 месяца назад
Good job brother 🇹🇿❣️
Далее
I Built a SECRET Lamborghini Dealership!
33:02
Просмотров 12 млн
TRENDNI BOMBASI💣🔥 LADA
00:28
Просмотров 781 тыс.
НОВАЯ "БУХАНКА" 2024. ФИНАЛ
1:39:04
Просмотров 526 тыс.
SAFARI YA TANZANIA KWENYE SATELLITE YAIVA
5:03
Просмотров 7 тыс.
Mfanyakazi wa Azam Media atengeneza satelaiti
9:24
Просмотров 1,2 тыс.
I Built a SECRET Lamborghini Dealership!
33:02
Просмотров 12 млн