Тёмный
No video :(

MTANZANIA MILIONEA MWENYE MASHAMBA MAKUBWA YA PARACHICHI, ASIMULIA ANAVYOPIGA MAMILIONI 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 116 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 202   
@raykas9976
@raykas9976 6 месяцев назад
Jamani waanchishi WA habari WA Tanzania acheni uzushi na uongo kuwadanganya watu Mimi naishi Dubai parachichi huku 1 AED Sawa na 650Tshs. Sawa hiyo kaka amejitahidi sana Kwa kilimo lkn mengine punguzeni kuzusha. Asante.
@aminakasim1198
@aminakasim1198 6 месяцев назад
😂❤
@habibajumahabiba6730
@habibajumahabiba6730 6 месяцев назад
Sikiliza vizuri dear kasema china na sio Dubai
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 6 месяцев назад
Hata china hawezi uza hiyo bei kwa parachichi moja​@@habibajumahabiba6730
@AnethEdward-nf6sc
@AnethEdward-nf6sc 5 месяцев назад
Ya kuambiwa jiongeze, hata kama ana ingiza pesa nyingi ,changamoto ktk kutafuta pesa ni nyingi Tena za hatari , pesa zipo lkn amua kupambana kufa na kupona, hakuna ubwete hata ungeenda nchi ya mbali.
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 5 месяцев назад
Kweli sio elf50 huo ni uongo
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 6 месяцев назад
Kiongozi rekebisha kauli yako hapa Canada parachichi kubwa unaweza nunua Kwa Canadian $ 4.50 hadi $ 5 , Sawa na kama elfu Tisa hadi Kumi ya TANZANIA, Unahabari nzuri saana na ushawishi Kwa vijana lakini kwenye Bei umeteleza, hiyo Ni be ya hapa Calgary, Alberta sijui sehem nyingine
@dicksonexavery726
@dicksonexavery726 6 месяцев назад
Kweli ndugu yangu jamaa linaongea kimihemko mwenyewe niliona kwenye supermarket ya Minesota USA 🇺🇸 ni 2usd-mpaka3usd eti elfu 50000??😅😅
@angelinabiswalo2134
@angelinabiswalo2134 6 месяцев назад
Ulimi umeteleza tu. Ujumbe muhimu umeeleweka.
@blessjoel9323
@blessjoel9323 6 месяцев назад
@@dicksonexavery726kwema kaka tusaidie basi masoko bosa
@blessjoel9323
@blessjoel9323 6 месяцев назад
@@dicksonexavery726tupeni basi connection tuwaletee mzigo
@rubenprince8990
@rubenprince8990 6 месяцев назад
​@@angelinabiswalo2134huku kwa wazungu hakuna parachichi linalogharim helfu hamsini
@williamkishiva9446
@williamkishiva9446 4 месяца назад
Hapo biashara ni hiyo miche sio tunda moja ni 50,000
@JustinKilamba
@JustinKilamba 6 месяцев назад
Hongera Sana kwa kuwa mfano kwa watanzania. Wezesha basi na vijana wetu wa kitanzania waondokane na utegemezi wa ajira rasmi.
@godfreymagoso5334
@godfreymagoso5334 6 месяцев назад
Motivation speakers bhana,,,,, Kila kwenye mafanikio ya mtu , nyuma yake kuna yaliyojificha!! Ila hongera kwake
@juniortza
@juniortza 6 месяцев назад
😂 I hear you! Wacha chumvi na sukari zote ziitwe vikolezi.
@AnethEdward-nf6sc
@AnethEdward-nf6sc 5 месяцев назад
Umesema ukweli mtu mpaka afanikiwe ana mengi, lkn kapambana c mchezo, watu tunapenda tufanikiwe lkn waoga.
@infosolution1323
@infosolution1323 6 месяцев назад
Bei ni ya uongo mimi nafanya Kazi GIANT hapa USA ni Mtanzanua upande wa Mauzo ya aina ya mpogampoga na matunda (Produce) vyakula hiyo tunauza parachichi moja kwa bei ya Usd 1.99 sawa na Tsh 5,373 tena kwa exchange rate ya barabara ya Tsh. 2,700. Kweli biashara ipo lakini tuwache uongo wa bei.😮
@justinemwita8828
@justinemwita8828 5 месяцев назад
Kaka naomba namba yako mm ninazo palachichi za kutosha ,ili tuonane kma tunaweza kufanya biashala
@jobmaclean5382
@jobmaclean5382 6 месяцев назад
Great ur very open to the community
@IsmailMjesh
@IsmailMjesh 6 месяцев назад
Masha Allah..... Rizki ya halali kabisa'........
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 6 месяцев назад
Hongera sanaa kwani zao la palachi chi lina faida kubwa maadamu yupo atakae wasaidia kununua ila asiwe na dhuluma
@abumasoud1996
@abumasoud1996 6 месяцев назад
Umekosea parichichi.moja ni alfu tano na sionalfuhamsini
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 3 месяца назад
Hapa canada parachichi moja dola 2 ni ngapi kwa bongo
@davisnitu890
@davisnitu890 2 месяца назад
​@@tanzcanmediatv4473ni 5000Tsh
@aminakasim1198
@aminakasim1198 23 дня назад
Ni inch gani hiyo
@user-xe3fo1bh5s
@user-xe3fo1bh5s 6 месяцев назад
Keep up the successful spirit my brother
@angetilemwashitete2788
@angetilemwashitete2788 6 месяцев назад
Safi sana ,Kijana Mwenzetu ,umenimotivate
@rkcomercialenterprises3209
@rkcomercialenterprises3209 6 месяцев назад
Acha uongo,hakuna parachichi moja linauzwa tshs elfu hamsini kidding one avocado selling for usd 20. Nope
@ramadhanijuma4130
@ramadhanijuma4130 6 месяцев назад
Amekosea tuu chukulia mfano mti. Mmoja huingiza laki 8 kwa msimu je unataka kuniambia mche mmoja unazaa parachichi 16? Usiwe mwepesi wa kulaumu penda kujifunza itakusaidia.
@FikiriMloka-ft3yf
@FikiriMloka-ft3yf 6 месяцев назад
Big up brother Amon,kilimo kinafaida sana tofauti na watu wengine wanavyofikiria.
@user-lf3vq8gt1f
@user-lf3vq8gt1f 6 месяцев назад
Millard njoo usa river maeneo ya doli kuna mashamba makubwa ya parachchi kuliko huko ni nomaa😂
@marychuwa8159
@marychuwa8159 6 месяцев назад
Woow sehemu gani naomba details
@user-lf3vq8gt1f
@user-lf3vq8gt1f 6 месяцев назад
@@marychuwa8159 nenda usa River Arusha uko kilimo kikubwa Cha umwagiliaji wa maparachichi ya kisasa ni noma
@mkoma49
@mkoma49 6 месяцев назад
Uyu jamaa Muongo bhn mm anasema parachichi moja ni 50,000 ni uongooo mm nipo marekani parachichi wanauza yametoka Mexico parachichi moja ni usd 0.56 - 0.7 haifiki ata dola moja ivi kwnn hua awasemi ukweli
@hekimamtazamo4151
@hekimamtazamo4151 6 месяцев назад
Bro usiwabishie watu hayo maparachichi ya American ni GMO kutoka huko Mexico sasa ukikutana na parachichi organi USA unawezakununua hata dola 10 bhana wewe ndio usitudanganye kwani American hauko peke yako tuko wengi sana now
@damianlupogo8686
@damianlupogo8686 6 месяцев назад
​@@hekimamtazamo4151 atakua anakuka gmo
@davisnitu890
@davisnitu890 2 месяца назад
​@@hekimamtazamo4151kwan iyo GMO yenyewe anaijua, yeye kazi kula tu.
@htx1873
@htx1873 6 месяцев назад
Hongera sana brother , you are inspiration.
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 6 месяцев назад
Njombe yamejaa huko mpaka wanalalamika bei ndogo sasa ukiwasaidia itakuwa vizuri kitu nimejifunza kilimo cha matunda kina kubali sehem yoyote tanzanian ili watu hawajajua tu
@BenLeeBl
@BenLeeBl 6 месяцев назад
Jichanganye😂😂😂
@richardchimba3800
@richardchimba3800 Месяц назад
😂
@Dr.Canisiusjohnkayombo
@Dr.Canisiusjohnkayombo 3 месяца назад
Elfu 50 ni bei ya kilo zisizopungua 30
@ezrankandagila8370
@ezrankandagila8370 5 месяцев назад
Hongera sana kiongoz natamani kulima parachichi ningependa nipate mawasiliano yako ili nijue napataje Miche mimi napatkan wilaya ya kasulu
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 2 месяца назад
Mungu nijaalie me pia nifanikishe kilimo nikipendacho inshaAllah
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j 6 месяцев назад
Huu mkoa wa kuangalia kwa jicho 3 unakuja kufanya mapinduzi mikoa ya nyanda za juu kusini wakae macho
@aminakasim1198
@aminakasim1198 23 дня назад
Vizur sanaa kakaangu
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 6 месяцев назад
Safi Sana ndugu, nashkru kutujuza fursa ndugu zako bila kificho.
@kechuagrosupplies
@kechuagrosupplies 6 месяцев назад
Hongera bro🎉
@evancemoevt8597
@evancemoevt8597 6 месяцев назад
Acha kudanganya Umma hakuna Parachuchi la 50,000/= DUNIANI!!!!😅😅😅😅😅😅
@MUSK_HARMONY
@MUSK_HARMONY 4 месяца назад
Sasa kama amemotivate watu why msifanye
@tonnyford5782
@tonnyford5782 6 месяцев назад
Endeleen kubisha kuhusu bei mtabakia na ndoto kichwan,anaekuambia yy ndo anafanya hiyo biashara
@hellenrichard6528
@hellenrichard6528 6 месяцев назад
Hii ni habari njema, hongera sana kwa kuwa mfano
@halimamfaume1925
@halimamfaume1925 6 месяцев назад
MashaAllah ❤❤❤
@c75923
@c75923 6 месяцев назад
Biashara kama hizi zingetafutiwa miundo mbinu usafirishaji sio lazma afike Dar kuna uwanja wa Chato au Mwanza kila ndege inatua minofu ya samaki inapelekwa ulaya toka mwanza why not parachichi
@vero57
@vero57 6 месяцев назад
Box elfu 50 sio moja
@jacquelinemakwesa6336
@jacquelinemakwesa6336 6 месяцев назад
Nimetaka kushangaa 1 elfu 50? Hapa uk 1 pound 1
@victorbugaisa7933
@victorbugaisa7933 6 месяцев назад
Tupate mawasiliano yake tupate elimu kuhusu masoko ya nje. Ahsante
@sarasaimon980
@sarasaimon980 2 месяца назад
Good work ❤
@MUSK_HARMONY
@MUSK_HARMONY 4 месяца назад
Moja ya wilaya nzuri ni kakonko . Kanali Malasa nakukumbuka
@othumanomari1589
@othumanomari1589 6 месяцев назад
Congratulations bro Long life
@vayaulashedrack5994
@vayaulashedrack5994 6 месяцев назад
Hongera sanaaa kwa kupambana mkuuu
@galizomar8779
@galizomar8779 5 месяцев назад
Mm nimeishi china zhenjiang miaka 2 sijaona parachichi la elfu50. Haizidi elfu6 per piece
@nancyfamilysharesmoments7634
@nancyfamilysharesmoments7634 6 месяцев назад
Inawezekana 50,000 kweli kwasababu wazungu hununua kilo moja 5000 yakiw mabichi wao labda wanaenda kuuza kwa bei hiyo ya 50 moja kwa soko la nje
@patrickKitambo
@patrickKitambo 6 месяцев назад
Hi nancy
@seneu.2128
@seneu.2128 6 месяцев назад
Bei ya parachichi kwa ulaya kama Canada na America ni usd 4 mpaka 5 kwa parachichi moja amabyo ni kama tsh 8000 mpaka 10000 waambie watu walime ila msizidishe bei hakuna parachichi la usd 25.
@user-ms1ri4sr4d
@user-ms1ri4sr4d 6 месяцев назад
Mmmmnh.weka ukweli.soko Lake lipo China sana sio kama miaka iliyopita.ila ndio kilimo kinachofaa kwa mazao ya biashara.na km Huna mzigo kwa sas nenda mufindi njombe au USA river arusha.
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 3 месяца назад
Mashaallah tabarak
@zainabumahenge4269
@zainabumahenge4269 5 месяцев назад
Hongera kwa uwekezaji mkubwa tunaomba hizo connection za soko la parachichi shilingi 50,000 ili na sisi tuuze😂
@lebahatikeiya8666
@lebahatikeiya8666 2 месяца назад
Elfu 50 haiwezekani kabisa kilo moja ya kahawa enyewe ni ngumu kufikia kiasi hicho. kwa parachichi kuuzwa elfu 50 hapana kabisa
@zakayokulwa3604
@zakayokulwa3604 6 месяцев назад
Respect broo
@amaninatai8232
@amaninatai8232 4 месяца назад
Milard naomba uniunganishe na huyu ndugu nina shamba la parachichi Kilimanjaro naaza kuvuna mwaka huu tuko wakulima wengi
@alexmatt9504
@alexmatt9504 6 месяцев назад
Hongera kwa ubunifu huo.Na mimi nimekuwa interested na hilo zao naomba contacts zako kaka ili tuongee.
@aminakasim1198
@aminakasim1198 23 дня назад
Mmmmmh,mbona hapa oman ni shilingi elfu sabaa na mia
@richarde.c5277
@richarde.c5277 6 месяцев назад
Aiseee this is a good news
@user-ph8ln3vd6n
@user-ph8ln3vd6n 6 месяцев назад
Safi na hongera sana
@markminja4307
@markminja4307 6 месяцев назад
Im next.. 🤝
@user-qh4mt9lu3b
@user-qh4mt9lu3b 6 месяцев назад
Habari kaka natamani kuwa mkulima wa parachichi lakini siko vizuri
@bethkonga7944
@bethkonga7944 6 месяцев назад
Mbona huku kwetu mufindi yanakosa tu soko aje atusaidie kututafutia soko
@nancyfamilysharesmoments7634
@nancyfamilysharesmoments7634 6 месяцев назад
Mbona njombe yananunuliwa Sana ni Yale ya buding, kilo moja 5000 yakiwa mabichi wazungi wengi huenda njombe kununua
@adolphmwangoje2887
@adolphmwangoje2887 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂 jmaaaa anaongea Sana aongee ukweli wa kununua parachichi nishingp
@rainermbegu6455
@rainermbegu6455 5 месяцев назад
Karibu selutech company limited tukuhudumia kwa maitaji ya tube za kuoteshea parachichi boss tunazo bidhaa bora na staimilivu
@MariaSengo-cn5bx
@MariaSengo-cn5bx 6 месяцев назад
Naomba mawasiliano ya ndugu Amon mimi niko Morogoro..
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania 2 месяца назад
TRA liked your story!
@J_Jeromy
@J_Jeromy Месяц назад
😂😂😂
@adolphmwangoje2887
@adolphmwangoje2887 6 месяцев назад
Wakenya mbn walikuwa wanatuibia Sana jmn
@samsonkivuyo9548
@samsonkivuyo9548 6 месяцев назад
Wao wana soko sisi tuna bidhaa
@infosolution1323
@infosolution1323 6 месяцев назад
Wakenya pia wanalima msiwazushie ila wao wanaongezea ubaya upo wapi kusaidia masoko hi ni Shirikisho la Afrika Mashiriki
@ednaeliamani4214
@ednaeliamani4214 5 месяцев назад
Mfano mzuri sana. Asante Kaka kuleta maendeleo
@user-nu3oz2ub9s
@user-nu3oz2ub9s 6 месяцев назад
Safi sana
@vailethshayo-nj3ge
@vailethshayo-nj3ge 6 месяцев назад
Hongera Sana ,Naomba namba za simu
@AmryAlly-dy4mz
@AmryAlly-dy4mz 5 месяцев назад
Hapo kwako kibondo green farm unazo miche ya aina gani na ni bei gani kwa mche mmoja
@joynessmhalila811
@joynessmhalila811 6 месяцев назад
Hongera Sana bro, ila nakupataje ili niwe kupata miche
@isaacndashuka5959
@isaacndashuka5959 Месяц назад
Hakuna bei hiyo popote duniani.nchi hii kwa uongo dah
@jumanyenzi2020
@jumanyenzi2020 6 месяцев назад
Ni kweli avocado is booming business, ila huyu mtu kuna facts hajaweka sawa. Avocado ikiwa kwa maduka makubwa ulaya, america na canada ni kati ya 3$ hadi 5$ na sio elfu hamsini. Pia ni kweli hufika kipindi mti mmoja hutoa yeald kati ya 450k hadi 800k ila miti ikifikisha umri wa kuanzia miaka 7 na kuendelea na inategemea na malezi pia
@user-xw6gv2om9o
@user-xw6gv2om9o 6 месяцев назад
hongera sana kaka
@fredyfile623
@fredyfile623 5 месяцев назад
Yaaani hapa tz unajitangaza tajiri ngoja TRA waanze kukutembelea ndo utaanza kujuta
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 6 месяцев назад
Hii itasaidia kukuza pia soko na wakenya tumefanikiwa kuwazibiti parachichi yetu itajulika kimataifa mi nipo dubai ila parachichi tunaona za kenya embe kenya lkn ukiangalia unaona kabisa hii embe ya kwetu kbs
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 5 месяцев назад
RULENGE NGARA WANASEMAJE MAANA MM YALIYKWAKUTA SINA HAMUNNA HIKI KILIMO
@user-sf3ju4sd2v
@user-sf3ju4sd2v 5 месяцев назад
Naomba naomba ya jama naitaji Michel Niko burundi
@dn.n4983
@dn.n4983 6 месяцев назад
Hongera
@masomekitwala3758
@masomekitwala3758 6 месяцев назад
Imekaa vizuri
@Alphonsesimubonye-jr6ps
@Alphonsesimubonye-jr6ps 6 месяцев назад
Napenda kuasiliana nahu mkulina ili ahueze kunisaidia kwani Niko njiani nakuanza kilimo cha parachichi
@juniormichael354
@juniormichael354 6 месяцев назад
Hakuna parachichi moja inayo uzwa elf hamsini dunia hii.... Hakuna mti wa parachici wenye kuzaa zaid ya kilo 5 baada ya miaka miwili takwimu anazo zitoa si za kweli mimi nalima parachichi anazo lima yeye
@skylevelmedia7581
@skylevelmedia7581 6 месяцев назад
Powerful
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np 6 месяцев назад
Ahsante sana brother
@fredricklaiza1276
@fredricklaiza1276 4 месяца назад
Mmmmmh nje wanauza bei lakini hapo kwenye moja sawa na elfu 50 brother umetupiga kamba
@Mapesa01
@Mapesa01 3 месяца назад
Mimi naomba namba yake huyo jamaa naiyomba niwe supplier wake huku nchini
@steventamla2443
@steventamla2443 6 месяцев назад
Naitaji seedling naomba namba ya manager wa shamba
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 6 месяцев назад
Parachichi moja elfu 50.😂😂
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 6 месяцев назад
Tumepigwa hapa😂
@joshuakitunzi9500
@joshuakitunzi9500 6 месяцев назад
Ulaya ni sahihi ndg,tembea uone mengi👏
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 6 месяцев назад
​@@joshuakitunzi9500hatakama'wapi ulaya parachichi elfu 50?ulaya ipi uko wewe? Saaana sana bei ipo juu ni €2 au £2 pounds nisawa na elfu tsh 9.500/= ati elfu 50? parachichi?wehu hao hivi mtu kuongea ukweli unakufa au?
@kamanda007
@kamanda007 6 месяцев назад
Labda 5000 lakini sio 50,000
@desolz3809
@desolz3809 6 месяцев назад
​@@joshuakitunzi9500ulaya ipi unayoongelea ww
@safiasaleh669
@safiasaleh669 6 месяцев назад
Watanganyika wala Msirembe masoko ata Zanzibar ni watumiaji wakuu wa maparachichi tunauza sana juice ya parachichi
@user-qo3hq7il1e
@user-qo3hq7il1e 5 месяцев назад
Hivi kweli Kuna fedha za aina hii .
@Qur-islamic
@Qur-islamic 6 месяцев назад
Safi bro
@omanoman2044
@omanoman2044 6 месяцев назад
Namba aweke hapo
@Kabwela776
@Kabwela776 6 месяцев назад
Msifanye makosa akawaambia ana soko na akakusanya maparachichi yenu akawauzie na mtapeliwe 😅
@victorgogadi55
@victorgogadi55 6 месяцев назад
Inanikumbusha kilimo cha vanilla🤣
@Kabwela776
@Kabwela776 6 месяцев назад
@@victorgogadi55 mkuu nimekumbuka kilimo cha vanilla bukoba alikuwa mjanja mjanja kama huyu bingwa eti parachichi moja elfu 50 ya kibongo wakati wengine tuko ughaibuni na ni kama dola 4 tu around
@annatemu4488
@annatemu4488 6 месяцев назад
Elfu 50?au alitaka kusema elfu 5?sijaelewa,hapa UK ni pound 1=na elfu 3100 ya TZ
@bizomenyimanaelias5455
@bizomenyimanaelias5455 6 месяцев назад
Mbona na sisi Burundi tunaibiwa
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 6 месяцев назад
MashaAllah 🙏🙏🙏🙏God bless
@user-if8uh3cp8s
@user-if8uh3cp8s 6 месяцев назад
Au umesahau boss kilo Moja ndo sh 50000
@evodyalexander7094
@evodyalexander7094 6 месяцев назад
Mi naomba namba za SIM ninashida ya miche
@msabahaali758
@msabahaali758 6 месяцев назад
jichanganye wende ukarime ndio utajua
@emmadora7848
@emmadora7848 6 месяцев назад
Ahahaaaaaa
@nancyfamilysharesmoments7634
@nancyfamilysharesmoments7634 6 месяцев назад
Yanafaida Sana Mimi Shahid huku njombe ni mengi Sana kilo moja 5000 yakiwa mabichi
@zawadibernard8232
@zawadibernard8232 6 месяцев назад
Mbabaishaj Huyo nendeni kibidula MAFINGA ndio muone maajabu
@eliudchaz9504
@eliudchaz9504 6 месяцев назад
Nawapongeza kwa kuhamasisha kilimo cha parachicui lakini jitahidi kuongea uharisia wa mambo acheni kutia chumvi sana ,hatutofika popote..
@KaijageEvodius
@KaijageEvodius 2 месяца назад
mbukomba yapo
@robertnkovuma7488
@robertnkovuma7488 6 месяцев назад
Mwongo maneno mengi huyo watz bwana!
@jumanyenzi2020
@jumanyenzi2020 6 месяцев назад
Hawa influencers inakiwa kuwa makini sana. Hamna mti wa miaka mitatu ukupe 700k kwa mchumo!
@estakapufi7582
@estakapufi7582 6 месяцев назад
Jamani tuko ulaya ila barachici elfu 50 sujui nchi gani ila nilipo haijafika iyo beo huu uongo😂😂
@user-kk4go9uj9g
@user-kk4go9uj9g 6 месяцев назад
Ndg mkulima njoo mpaka madaba ununue wasaidie wakulima
@Kabwela776
@Kabwela776 6 месяцев назад
Parachichi huwezi kuuza elfu 50 huku ughaibuni ni kama euro 4
@stanleymfikwa9350
@stanleymfikwa9350 6 месяцев назад
Hongera sana broo maisha yako yamekua mapya
Далее
EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!
26:20
Jinsi  ya kupata kuku  wengi wa kienyeji
10:46
Просмотров 342 тыс.