Тёмный

MTOTO MDOGO MWENYE MAAJABU KWENYE PIKIPIKI AFUNGUKA, ANAIRUSHA JUU BILA WOGA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 244 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

7 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 200   
@nampyon2829
@nampyon2829 Год назад
😭😭😭 namkumbuka mdogo wangu JUNIOR BIKE 😭... pumzika kwa amani uko ulipo mdogo wng JUNIOR
@isackmayala1761
@isackmayala1761 Год назад
Kikubwa Dua, hiyo ni risk kubwa Sana ya maisha ✌️🤝
@gradnessshitindi3694
@gradnessshitindi3694 2 года назад
Mimi ningekuwa mama ako, nisngekuja kuhudhuria aisee maana kizazi kinaniuma
@marymartin197
@marymartin197 2 года назад
Hahahahaaa, aise inahitaji moyo mim hadi mshipa wa moyo umeruka juu
@mwanaimaabdallah7825
@mwanaimaabdallah7825 2 года назад
Halafu ukipata ajali ni ww na wazaz wako
@mimikimanga3126
@mimikimanga3126 2 года назад
We hata mimi hapo tu nataman asiendelee naogopa
@shaurimtanda8285
@shaurimtanda8285 2 года назад
Kizazi tungekifunga kamba
@fainajaffary4070
@fainajaffary4070 2 года назад
😀😀😀😀😀
@bensonrweikiza4117
@bensonrweikiza4117 2 года назад
Kalembalemba kazi nzuri kwa tafasiri ya kiganda kuja kwa kiswahili 🤝
@chesterbrand6723
@chesterbrand6723 2 года назад
Tunaomba kwa heshima mtuletee hii rally Arusha Chuga hii NI asili huku jamani tunaomba Sana wapoloo tuko tayari any time just come #kaskazinian baik #miami baik #chugga baik...
@hillyminajtv1257
@hillyminajtv1257 2 года назад
Arusha hii n kawaida asee kisa ni waganda wanampromoti wake waone Wala shada wanavyokitupa
@ashamwanganzi6400
@ashamwanganzi6400 Год назад
Kikubwa n dua n risk san huo mchezo mungu awapiganie kwa kila hatua🇰🇪
@hoteldaressalaam5322
@hoteldaressalaam5322 Год назад
This Kid is too talented with much confidence! I like the way he handled an interview!! These are the typical African talents we need to push
@harymo-by8gh
@harymo-by8gh 2 года назад
Muganda wange well done, for sure hawa watoto wapo amazing nilishiliki mashindano live ug 2018 East Africa motorbikes champion duuu kwa kweli niliogopa sana vile watoto wadogo wanarusha piki piki yaan nilibaki mdogo wazi.. Hey East Africa champion please we need more since covid we didn't see any champion in Uganda.. Well done ayooo pongezi pia
@jessykadaraja2691
@jessykadaraja2691 2 года назад
The kid has so many pontentialitiies at his age...talent, the native language, confidence and english too.
@rozina2161
@rozina2161 Год назад
Kwakweli huyu mtt ni mdogo sana istoshe mwamchanganya kiakili shule na mchezo vitu vi2 tofauti na akiendelea hivi atakuwa shule hayuko vizuri mwamuharibu kisaikolojia mwishoe atakuja kuwacha shule afatwe huu mchezo talent zengine kwa watoto sizakuzisapoti acheni mtt asome bhana
@kavisheonline2418
@kavisheonline2418 Год назад
Bado upo na dhana ya education is better than money?? 🤣
@mchungajiabel6663
@mchungajiabel6663 2 года назад
Mimi ni mwandishi WA VITABU VYA neno la Mungu nimesoma Hadi dalasa la 5 elim ya msingi
@auntdorah9141
@auntdorah9141 2 года назад
Mimi kama mama, haijalishi pesa ajira au cjui nini! Naipenda sana pesa, lkn hapana. Inatetemesha moyo
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Kwakweli ndugu, mimi siwezi.
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 2 года назад
Kweli itamuua subiri tu
@official_phay1174
@official_phay1174 Год назад
Mt0t0angu hatakaaa afanye huuu upuuuzi f0rever
@abduljuma4944
@abduljuma4944 Год назад
Alafu mwanao akitaka kijiunga na jeshi unafurahia mbona jeshi pia ni risk
@official_phay1174
@official_phay1174 Год назад
@@abduljuma4944 yes risk but si0 kw hiii
@muttae2
@muttae2 2 года назад
Best wishes to him
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 2 года назад
Good job home Africa message from USA 🇺🇸
@mkadayotv2128
@mkadayotv2128 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Dq-bry4nHCQ.html
@majaliwa_tz5004
@majaliwa_tz5004 2 года назад
Inye Ndi Tanzania Lakini Ogu Mwanamukubali🤝💪
@user-vq1qx1dr4e
@user-vq1qx1dr4e Год назад
Ikija kumuua utasikia hakuwasikiawa wazazi hawakupa malezi bola kumbe wazazi wenyewe ndio hao vilaza hapo vifo vingine vyakujitafutia tu michezo Iko mingi lakini mh bola salaamaaa
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Mimi napenda maendeleo na pesa pia napenda ila mimi Mwanangu simruhusu kwakweli, moyo unatetemeka 🙈😀
@deusdedit789
@deusdedit789 2 года назад
I salute you Dogo junior Mmmm👀🚶‍♀️🚶‍♀️
@yohanagbb
@yohanagbb Год назад
mm simsurport uyo dog kaz zpo nying lakin xio iyo
@sarafiamakilika9975
@sarafiamakilika9975 2 года назад
Hapana, hii Ni hatari kwa maisha yake. Apewe ushauri tu ili atumie kipaji kingine alichonacho, siamini km mama yake Yuko happy na hii kitu,hatari kwa future yake pia
@wisperfect5320
@wisperfect5320 2 года назад
Kwa kweli😂😂
@luperbukuku2659
@luperbukuku2659 2 года назад
Acha dhana hzo ....kuumia kupo ,kufa kupo hcho ndo kipaji chake
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 2 года назад
Doqo akadeal na masomo Ayo mambo ya bike sio mda wake.
@mwigakatumpula5695
@mwigakatumpula5695 2 года назад
Niiitieni zari akuje amuone Mdogo ake akifanya maajabu 👏👏👏👏😂😂
@dinahnyagosaima1259
@dinahnyagosaima1259 2 года назад
Hatari sana tunacheka tu
@cbegram6161
@cbegram6161 2 года назад
Aise millard ayo media yenu iko Makini balaa, mnaleta story adimu sana
@peteradioyona5919
@peteradioyona5919 Год назад
Dogo acha michezo ambayo haiwez kukufikisha miaka mingi soma shule mdogo Wangu
@jittamannicko9139
@jittamannicko9139 Год назад
Napenda xana mchezo wa pikipiki komaa xana mdogo wangu.
@pendobaharia7227
@pendobaharia7227 2 года назад
Mungu akulinde bby boy ❤️🥰
@muttae2
@muttae2 2 года назад
I love this game so much...
@mangaloexpeditions
@mangaloexpeditions 2 года назад
lkkkk
@festomatewa3638
@festomatewa3638 2 года назад
mhhhh hongera saaana dogo
@asiaoman3040
@asiaoman3040 2 года назад
Yaani mpk nimesisimuk mwili mxm Duuuh Allah akulinde bby boy
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 Год назад
Ipo siku tutamzika kwa ajali ya hiyo pikipiki acheni masihara nyie na hivyo vyombo
@musason1680
@musason1680 2 года назад
Kijana anajiamin hongera sana ✊🏿
@benjamindenice53
@benjamindenice53 2 года назад
Safi sana junior ochikozeko
@kingyeskingyes2263
@kingyeskingyes2263 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-U9EBaCtGjN8.html Ty u
@allysalim9822
@allysalim9822 2 года назад
Wapo wengi sana tu Arusha..
@stevenclaud6648
@stevenclaud6648 2 года назад
Roho mbaya hiyo
@allysalim9822
@allysalim9822 2 года назад
@@stevenclaud6648 Yaani kusema Arusha wapo wengi ndio kosa 😂😂😂 khaaaa
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
@@stevenclaud6648 KWA HIYO KAMA WAPO ASISEME???? KUWA MUELEWA.
@samwelpaul4279
@samwelpaul4279 2 года назад
Acha uwongo Arusha hakuna bingwa kama huyo labda misifa tu ya hovyo
@fadhilindunguru7946
@fadhilindunguru7946 Год назад
Waambie nawapa hi
@salasala9114
@salasala9114 Год назад
Mi mtto wangu apana kwakweli
@christercheru8328
@christercheru8328 2 года назад
Kawaida hii ni mazoezi tu
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Год назад
Mhh, 😭. Mtangazaji wa Ayo Tv yupo makini kusikiliza lungha🤣
@renatusmahombwe3093
@renatusmahombwe3093 2 года назад
Good
@tumaintarra9960
@tumaintarra9960 2 года назад
Bravo
@allyiddy4542
@allyiddy4542 2 года назад
Uganda hawajui kiswahili ? Loh!
@omaryteddy62
@omaryteddy62 2 года назад
Good good 👍
@ferouzmasoud4870
@ferouzmasoud4870 2 года назад
Mbona wapo weng hata huku kwetu Kuna madogo Wana miaka 4 wanaendesha gari Lkn zile gari za udogo c mnazijuwa
@aminamnyaruge8574
@aminamnyaruge8574 2 года назад
😂😂😂😜😜Watanzania kwa wivu hatujambo 😂😂😜😜😜
@radhiaomary5591
@radhiaomary5591 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@allexandarbaybe3893
@allexandarbaybe3893 2 года назад
😅😅😅😅
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 2 года назад
Khaaa 🤣🤣🤣🤣
@princesdidak1063
@princesdidak1063 2 года назад
Z😂😂😂😂😂😂😂
@Sharifarajabudebe
@Sharifarajabudebe 2 года назад
ayo kaleta lugha ya bala😁😁
@dottodottovales4138
@dottodottovales4138 Год назад
😂😂😂😁😁
@thetrends472
@thetrends472 2 года назад
aaah kudadeki mi naendesha tu kwa adabu mana naijua iyooo
@qaltumsaid3095
@qaltumsaid3095 Год назад
duh mchezo hatari wallah....
@maxgerad5083
@maxgerad5083 2 года назад
Huku kwetu alionekana dogo anaendesha trekta mzazi kafatiliwa mpaka Mzee wawatu kaomba msamaha cjui vipaji kama hivi unavipataje, tz kuhama no.
@anxious_swanny5133
@anxious_swanny5133 2 года назад
😂😂 Tanzania yetu
@lilyrose7983
@lilyrose7983 2 года назад
Kaomba msamaha wa nini Sasa?😳
@maxgerad5083
@maxgerad5083 2 года назад
Ni kosa kisheria mtoto chini ya umri wa miaka 18 kuendesha chombo cha moto.
@lilyrose7983
@lilyrose7983 2 года назад
@@maxgerad5083 Hapo sawa
@mcback4384
@mcback4384 2 года назад
@@maxgerad5083 sio kweli, leseni unapata kuanzia miaka 14 mimi nimepata leseni ya driving school nikiwa na miaka 16
@ommygraphics4355
@ommygraphics4355 2 года назад
Sema waganda wa lugha nzuri 😁 kama wa zulu tu nafurahi wanavoongea inapendeza
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Kwakweli
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 2 года назад
Mungu azidi kumpa njia
@kingyeskingyes2263
@kingyeskingyes2263 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-U9EBaCtGjN8.html hi i
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 2 года назад
Nice
@nabankemajustine1032
@nabankemajustine1032 2 года назад
Wow
@jacobshao1260
@jacobshao1260 2 года назад
Mh,nyie furahini sekunde moja tu inakukolimba,
@christaoman8890
@christaoman8890 Год назад
Kifo chake kitamkuta kwenye hiyo pikipiki anayoichezea
@evanccast6228
@evanccast6228 10 месяцев назад
🎉🎉🎉🎉🤝🤝👏👏👏
@officialnalapa1527
@officialnalapa1527 Год назад
Utumbo wa uzazi unanicheza mm uku🤔🤔
@valenakomba9218
@valenakomba9218 2 года назад
BRAVOOOOOO. 👍 boy.
@eastafricabrokerkiller8028
@eastafricabrokerkiller8028 2 года назад
power of i am
@noelbryson7840
@noelbryson7840 Год назад
Hii siyo michezo ya kurisisha watoto kabisa…
@janetmallya3242
@janetmallya3242 Год назад
ningekuwa mamakoo nisingekubali
@SwahiliTheTraveller
@SwahiliTheTraveller 2 года назад
👊
@mdzainb3722
@mdzainb3722 2 года назад
Weee mmi utumbo unacheza uuuwi ila hongera
@sudaissaid8428
@sudaissaid8428 2 года назад
sio maajabu kawaida2 njoo Znz uone vipaji
@dorisuronu3183
@dorisuronu3183 Год назад
Unaona sifa cyo hicho cyo kipaji Bali Ni ushetani
@salamanauthar480
@salamanauthar480 2 года назад
Una hatari mwangu wewe!!!!
@enocksilungwepondajr9707
@enocksilungwepondajr9707 2 года назад
Eeee sebo bulunji...
@muungujaunguja8609
@muungujaunguja8609 2 года назад
Ndugu yake zari
@nuuringoogle4104
@nuuringoogle4104 2 года назад
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🥰🥰🥰
@elicanageorge1319
@elicanageorge1319 Год назад
JE HUU MCHEZO UNALIPA?? JE UNA HELA NZURI?? KAMA HAUNA ACHANA NAO MAN KWA NN UFE BILA SABABU.
@demicratia4071
@demicratia4071 Год назад
pelekeeni ARUSHA CHUGAA Wakomeshane
@issahamissiissahamissi7775
@issahamissiissahamissi7775 2 года назад
Ndambga nechilala😂😂😂
@swaumdodoma7591
@swaumdodoma7591 2 года назад
🙄🙄🙄🙄🙄🙄
@wisperfect5320
@wisperfect5320 2 года назад
Mmh mimi wangu siwezi kumruhusi mchezo huo
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 2 года назад
Mpaka atakapokufa ndipo atujuwa hajuwi
@Gody360
@Gody360 2 года назад
Chakuv miaka 4
@swagamaman2682
@swagamaman2682 2 года назад
🇺🇬🇺🇬🇺🇬uganda zahabu
@aminaally8475
@aminaally8475 2 года назад
Millard Ayo uko vizur napend kaz zko hao wengine wakasome tena
@alluminiumexperttz.12mview13
R.I.P
@ptElimu1234
@ptElimu1234 2 года назад
Ni kosa kwa watoto wa umri wake kuendesha vyombo kama hivi
@njugubyser8460
@njugubyser8460 2 года назад
Nikajua mtazania basi kumbe dogo wa uganda
@hajimasoud1544
@hajimasoud1544 2 года назад
Kutoka Africa
@witnessmwikalo3338
@witnessmwikalo3338 2 года назад
Bukoba!!!!!
@chalresmyamba1071
@chalresmyamba1071 2 года назад
Dog komaa maana wabongo wanaongelea.maswala yakufa nasio kukwambia utafika mbali
@adeltusmurockozitvtangazab3732
@adeltusmurockozitvtangazab3732 2 года назад
Nimefrai kuskia ruga yangu
@hamidmweusiii35
@hamidmweusiii35 2 года назад
Apa hamna tena masomo akili ishatekwa na piki pik
@stanleyevanda797
@stanleyevanda797 2 года назад
Ndio maana tutaendelea kuwa maskini, mtoto kama anakipaji unataka shule gani tena? Na hayo masomo unaona yanamsaada gani zaid kwa waliosoma
@hamidmweusiii35
@hamidmweusiii35 2 года назад
@@stanleyevanda797 majibu ya maswali yako nmemuachia mkeo atakupa
@stanleyevanda797
@stanleyevanda797 2 года назад
@@hamidmweusiii35 asante
@kaumatv
@kaumatv 2 года назад
Pityenii nahy channel jaman nawqomba
@personpeter2221
@personpeter2221 2 года назад
Uganda hawaongei kiswahili wakat Africa mashariki
@amanijampion3045
@amanijampion3045 2 года назад
Kwani afrika mashariki ni kiswahili tu?
@mdta8161
@mdta8161 2 года назад
Wanaongea ila wengine hawajuhi lakini wanaelewa
@lucylucy3678
@lucylucy3678 2 года назад
Uganda wanaongea kiswahili ila siyo wengi mm naish nao hapa kiswahil chao cha shida san .
@deusdedit789
@deusdedit789 2 года назад
Uganda ukiongea KISWAHILI wanasema wewe ni msomi tena wanaona unajiona😀😀
@personpeter2221
@personpeter2221 2 года назад
@@deusdedit789 acha bana😁
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 2 года назад
Duuu uyu dogo simchezo
@Bilioneabichwa331
@Bilioneabichwa331 2 года назад
Fanyeni michezo mingine, acha kabisa kabisa huo mchezo wa kijinga, hasara yake Ni maisha
@fadysadick5956
@fadysadick5956 2 года назад
Kalemba lemba 😅😅
@amosmahona433
@amosmahona433 2 года назад
Very talented
@mashakashobo2529
@mashakashobo2529 2 года назад
Anazidi miaka 10 huyo
@saidhamza5318
@saidhamza5318 Год назад
Achana na mchezo huo dogo.
@sudaissaid8428
@sudaissaid8428 2 года назад
tafuta hatari2 badae uanze kuomba msaada.wa matibabu
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 2 года назад
Duuh noma
@patrickmsekwa4947
@patrickmsekwa4947 2 года назад
Dogo saaafiii sana. Badala ya kuwafundisha ufuska.
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 2 года назад
@@patrickmsekwa4947 nkwambia yan mpk kanishtyua uko mbingun nabdo mdg t sna
@saidyasini8692
@saidyasini8692 2 года назад
Ninomaaaaa
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 года назад
mh! mzazi wa mtoto huyu una roho ngum kwel.hatar sana
@mamalandynangy52
@mamalandynangy52 2 года назад
Anafurahia mwanae kufa mapema! Huu hatari sana
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 года назад
@@mamalandynangy52 nimetafakari vikagoma
@mamalandynangy52
@mamalandynangy52 2 года назад
Tumezika mtoto wa dada angu!! Kwajili ya piki piki! Na mengi tumeona! Huruma sana
@dadaagnes4483
@dadaagnes4483 2 года назад
Hata bodaboda ya kawaida mwanangu simruhusu
@officialmkerewe
@officialmkerewe 2 года назад
Changala bhona
@enickosanga4921
@enickosanga4921 2 года назад
Dogo ananoma huyu
@bakarially4336
@bakarially4336 2 года назад
Duh dogo nomaa
@magerechales9018
@magerechales9018 2 года назад
Endelea tu dogo utapata unachokitafta
@youthchanel8612
@youthchanel8612 Год назад
Usimnene mabaya wapo ambao hawajui hata honi ya pkpk iko wp na walipata ajali wakiwa abiria
@salomeever689
@salomeever689 2 года назад
😊😊 mm o
@sudaissaid8428
@sudaissaid8428 2 года назад
kawaida sio hatari wala nn
@swaumdodoma7591
@swaumdodoma7591 2 года назад
Hapana kwakweli ingekua mwanangu nisungemruhusu
@diti4899
@diti4899 2 года назад
Dogo anajiamini
@abedysteven4930
@abedysteven4930 2 года назад
Yan hapo mwandixh wa habar haelewi
Далее
Fixing Plastic with Staples
00:18
Просмотров 1,4 млн
Starman🫡
00:18
Просмотров 12 млн
KIGOMA FM CHANNEL
3:14
Просмотров 10 тыс.
How to win a argument
9:28
Просмотров 514 тыс.