Hayakua maisha ya dunia ila ni pumbao na starehe za kupita, sasa mtu ishi unavoweza ila kumbuka kuna kifo na nyinyi munaowaona watu wanahuzunika kwa mavazi ya huyo Mke wake basi mujue alie weka muongozo wa maisha Mungu mwenyewe faida na hasara ya hilo mtu utaliona roho ikianza kutoka, tuachane viburi enyi wanadamu.
Wachezaji wa MPIRA asilimia kubwa wameoa.....Wachezaji NGUMI asilimia kubwa wameoa....WASANII wa MUZIKI na FILAMU asilimia kubwa ni MANUNGA EMBE....hivi mna matatizo Gani..?
subhanallah hata muda mke kichwa wazi mavazi sio pia laailaha illa llah astaghfirullah yaarabbi tustiri waja wako jaman mke kama mke siku ya qiama ataenda kutushtaki kwa allah hutokua na ujanja duh nduguyangu muda hii ni dunia2
Kabla ya kuangalia kibanzi kwenye jicho la mwenzako angalia boriti kwenye jicho lako, umeona hicho kwa mwwnzio ukaona ni dhambi ila nawewe una yako hatujaona,mie sijaona kama ni dhambi ,
😂😂😂😂yanga bingwa bhn mbona wakina zuchu wanavaa vimin amsemi kisa mke wa muda kaonesha nywele tz mbn mnapendaga kujifanya mnajua Kila kitu na mmekamilika nyie kuliko wenzenu lkn??
Kwa mujibu mila tamaduni za kizanzibari mke wake yupo uchi na wazanzibari walio wengi wamechukia. Sasa ukiingia kwenye Dini ndio kabisa inampinga. Na mudathiri hawezi kwenda Zanzibar kwa jamaa zake na mke wake akiwa amevaa nguo ya ndani kama ile. Ujinga tu wa nafsi unampelekesha .
Uyo mkewako Muda nimzanzibari au nimtwana...ata kujistiri nivazi la uchamungu..... nyinyi kwakweli nimtihani.....mke gani huyo anaekaa uchi Hivyo...ilatazama hiariyako hii nidunia tu.....Kuna day of judgement.....Mungu hajaribiwi....
Hayo ni maneno ya waliokata kamba kw ajli ya kuhalalisha tu utashi wao, lkn Mungu,manabii na vitabu havijasema kua mtu avae na afny apendavyo tu maana dini imo moyoni ispokua ni utashi wa shetani tu ndio hua yuko moyoni