حزاك الله خيرًا شيخنا، wallahi mtu akitaka kupoteza watu ni kusudi yake tu.! Anaetaka kumsikiliza atamsikiliza lakini ni vizuru viko vitabu ni ushahidi kamili
ALHAMDULILLAH Allaah akuzidishie elimu na umri uzidi kutuelimisha...nilkua na maswali mengi nikijiuliza cpati jibu ila hapa umenijibu maswali yangu yote kwa kuickiliza vizuri clip yko na pia nimeamini kwamba wapo wengi waliosoma Ila kuelewa walichokisoma ndo mtihani
Na ikiwa lazma siku hii kufunga iambatane na kisimamo cha mahujaji pasi na kutoangalia mwezi katika nchi yako uliepo basi watu wengine maisha yao wataisikia redioni tu siku hii ... ikiwa watafata qur an kwa kufunga kwa kuona mwezi ni bora zaidi...
Hii zawadi tuniataka kwa funga zote sio Siku ya A'rafa na Ramadhani tu bali swaumu zote Kwamfano swaumu ya siku ya Ashura mfunguo nne ambayo imetokana na kunusuriwa Banu israel na akaangamizwa firaun na jeshi lake. Kwahiyo kwavile tukio lilitokea Misri itabidi sote tufuate muandamo wa Misri ikifika siku hiyo ili tuwe tumepatia kama vile kilivyo kisimamo cha Arafa kiko SAUDIA tu ndio maana mkasema tufuate huko. NAONA TUFANYE HIVYO ITAKUWA TUNAITENDEA HAKI MIANDAMO YOTE. Na pia Kufuata mwezi wa kimataifa iwe ni kweli kimataifa isiwe SAUDIA tu kama wanavyofanya hawa wanaotwambia wanafuata popote utapoonekana kumbe popote yenyewe ni NDANI YA SAUDIA TU sio nchi nyengine.
Ni wengi walio soma ila hawakuelewa au hawakufahamu walichokisoma....Abu Idd asema mengine wewe unasema mengine....RUDI UKASOME....WEWE BADO MTOTO SANA KUMFANYIA RADDI AL A3LAMA FADHILATU SHEIKH ABUU IDD MUHAMAD EID... Hata siku moja babako Nasor Bacho hakuwai kuyathubutisha ulio yafanya wewe...Aisee Nyie masalafia mna mabalaa kibao....Allah awaongozee
@@buherokozi1097asante kaka kwa kuniita mpuuzi...Allah akujaalie kheri duniani na kesho akhera na akujaalie usitukane yeyote... Ameen Haya ndio mafundisho nilio yasoma kwa mwalimu wangu mpaka kwa mtume..wala sio kurusha cheche za matusi kama wewe
SASA MAKAFIRI WANAFURAHIYA SANA TUKITUKANANA SISI KWA SISI BA KILA MMOJA WETU KUJIONA BORA KULIKO MWEZAKE . KUMBE SOTE TUMEPEWA UWEZO NA ALLAH ((S.W)).
Allah akulipe sheikh Muhammad bachu, na akuzidishie 'ilmu fahamu tuwe wenye kuzidi kufahamu na kunufaika duniani na kesho Akhera na kwa umri mrefu Allah akuruzuku Wenye manufaa duniani na kesho Akhera JazaakAllahu khayr ba adal khayr Jannatul na'eem
Mm hata sijakuelewa leo. Sheikh Abuu Iddi amesema “ suala la kufunga kwa kuwaangalia mahujaji lini wamesimama halina maandishi, suala la kufunga kwa kuangalia mwezi tisa dhul hijja lina maandishi” sasa wewe umeeleza utukufu wa siku ya arafa katika dua na mambo mengine. Kwani yeye Abuu Iddi kapinga hayo matukufu? Jipange upya kuleta zawadi hii imeoza njiani.
kuwa muelewa unapo sikiliza kwani hapo huoni ayo maneno ameyaonesha kutoka kwenye vitabu vwili tofouti kuwa arafa inafungamana na kitendo cha mahujaji kusimama arafa na sio mwezi 9 kama alivyodai abuu iddi Allah akuwafikishe ktka kuitambua hakki na kuifuata
MashaaAllah Sheikh nakupenda kw ajili ya Allah peke yake,,,Allah akuzidishie elimu na hekma,,, MashaaAllah Sheikh hapo hakuna kwako hakuna kubahatisha yaani ni suali bin jawab khalas 👊🙌
```arafa kwa mahujaji ni sehemu(arafa penyewe) na wakati (tarehe 9 dhulhijja) kwa Muandamo wa saudia , ama kwa wasiokua saudia ni wakati tu(tarehe 9 dhulhijja) kwa kuzingatia muandamo wa kila sehemu peke yake kwa mfano Tanzania tarehe 9 yao sio lazima iwe sawa na saudia kwahivyo watafunga swaumu ya arafa tarehe 9 kwa mujibu wa muandamo wa Tanzania ila kama muandamo wao utakua sawa na saudia basi watafunga siku ya kisimamo cha arafa pamoja na saudia wallahu aalam``` @munir_elriamy . . #eidmubarak #arafa #ibadhi #ibadayahija #dhulhijjah #chinjakwaajiliyamolawako #zanzibar #oman #tz #عيد_مبارك #istiqama #abu_muslim_alghammawi
Mahujaji watoka kila pande ya dunia yote arafaa ni siku ambayo mahujaji hao wanashiriki toka dunia yote siku ya arafaa ni kwa dunia yote alhamdulilah mwenyezi mungu atuzidishie iman ameen
Ssa kwa maana hio wachina na wamerekani na waliosehem ya kusini mwa duniani hawana arafa au idd.mashehee wakubwa pia wanasema kuwa watu waangalie mwezi ya kwao.
A/alaikum wazo langu kwa mashekhe wa tz kwann musifanye semina ya kudadavua haya mambo yakaisha kushanyikeni mashekhe wote na mukiongozwa na viongozi wenu wa kiislam waliopo serikalini muyatatue haya na so mutubabaishe na kuanikana kwenye mitandao
Nimekusikiliza lkn kusema ukweli naona bado haujaelewa ulichokisoma na huwo ndio ukweli na Abuu idd ameeleza vizuri na anaeleweka kabisa na ukweli ni kwamba unaweza kusoma lkn Allah asikupe ufahamu au ukaamua tu kwa kibri au kujiona kwako kuwa unajuwa kumbe haujuwi na unabomoa kabisa, na ukweli siku ya arafa kila watu na miandamo yao hii dini ni ya waislamu dunia nzima siyo makka na Tanzania sasa wale amabao mchana wa saudi kwao wao ni usiku inamaana wao always hawana arafa? Hilo litakiwa si sawa ukweli lazima turudi pale pale kuwa lazima arafa iwe ni mwezi 9 dhulhija kwa kufata muandamo wa mwezi wa nchi ulioyo na ikiwa hivyo manaake kwamba dunia nzima watapa arafa lkn ukisema tufate kisimamo cha mahujaji baadhi ya nchi hawatopata arafa, mara jibuni hoja za watu ufasaha na mtu akisema haki kubali hata km huyo msemaji haumpendi au haupatani naye iyangalie haki ifuate, kwa hili Abuu iddi yupo sawa na hoja msingi na hakuna hata 1 katika wapingaji aliojibu hoja zake, ushauri fateni haki msifate ushabiki
Sheikh wng Mohammed Nassoro Bachu , ALLAH akuzidishie Elmu ili utufikishie nasi , na sheikh Abuu iddi uwezi kutukosesha Arafa kw maneno yk , uenda ss wengine hika hii ndio Arafah yt ya mwisho
acheni kusufia msivyo vijua Muhammad Bachu hajafikia kuitwa shekh bado mwanafunzi saaana, Ushauri wangu kwake atumie elimu yake kidogo kufundisha wa chini yake na achane na mambo ambayo yako juu ya uwezo wake atajikuta anapata dhambi badala ya kupata manufaa kwa hicho kidogo alichonacho. ELIMU NI KITU BORA SANA KATIKA MAISHA USIIFANYIE MZAHA.
Ku kosoana,kuhitilafiana mitandaoni yaweza yakaleta chuki , ukafiri na ukatili katika umma wa kiislamu.Mwaweza tumia njia zingine katika uelimishaji.Huenda masheikhe wengine wakaona mnawaingilia sana kwa pupa na kukosoa kazi yao ya da'wa wanaoufanya kwa nia ya kumridhisha Allah.Mwawezafanya kongamano.Usiwe na niya ya kuwadunisha masheikhe wetu ilhali kwa ajili ya Allah kupitia mawaidha zao wengi maisha yao yamebadilika na wakaanza ibada.Hatakama wajua zaidi kuwaliko hao.Tumia hikma KIJANA.huenda ukajeruhiwa au kuwawa kwa da'wa huu wako mzuri unaotufahamisha kwa kutumia njia isiyo stahiki.
Kweli lakini huko maka watu wanakoswali hija nahuku kweti tz masaa dk siku mpaka taimu zaswala sawasawa mbona tunawafuata bakwata nasuraga wanaopokea amri
Umejitutumua kijana, ndio ishakua fashion mtu anasoma kwaajili ya kuja kujibu mambo ambayo hayaishi, kwani hii dini ina mambo ya mwezi tu na Arafa, hakuna mambo mengine mnayo somea huko.
Assalam alaykum Sheikh naomba utapoona comment yangu nakuomba unijibu Mimi Niko Kenya Jana nilikua nimefunga Swaum ya Arafat na nikawa natarajia kusali Leo Ila msikiti ambao uko karibu yangu wakasema Swala ya Eid ni Jumatano nauliza ntafanya nini tafadhali naomba jawabu alafu yeyote atakaeona comment yangu akiwa na Eilimu kuhusu jambo hilo anijibu tafadhali
Hijja na eid kwanza ni vitu ambavyo havina connection iddi imeteremshwa mwaka wa pili wa hijria na hijja mwaka wa tisa hijria kwaiyo miaka saba iddi ilikuwepo bila hijja kasomeni acheni ujinga
Hee! Wewe ndio kichaa zadi kwanza ni mwana wachuoni gani anae tegemewa aliesema maneno haya kua hijja na iddi havina mnasaba? Pili Lete aya au hadithi sahihi inayo elezea hii fikra yenu mbovu.
Ndio ni mwezi tisa mfunguo tatu, ila utata unakuja pengine saud mwez tisa znz mwez nane... Anyway shikilia unapoona ni haki zaidi na Allah atalipa kwa nia yko Insha Allah
Mimi ningesema kitu kimoja uislamu haujapitwa na wakati kiasi ambacho kwasababu ya tv na simu tutofautiane,nikiwa na maana alivotuachia mtume ndio sahihi kwasababu ata hivi viwili vikiwa havifanyi kazi tv na simu (technolojia ) kwa alivotuachia mtume mbona tutafunga mwenzi mtukufu wa ramadhani na arafa pia tutafunga vizuri bila ya zogo,hii maana yake uislamu unakwenda na wakati (umekamilika kama alivosema mtume umekamilika yaani unakwenda na wakati bila ya kupata usaidizi katika maisha yajao.vile alivoacha mtume visibadilishwe viachwe vile vile.vya faradhi viachwe vile vile na vya sunna viachwe vile vile (pasitiwe mkono wa mtu )tuache vile vile
@@ibnually1512 sasa hapa sikua na maana hiyo ulioizungumza wewe, tunajua kuna mambo mazuri yapo hivi sasa na si haramu kuyafuata ila yasipinge alivoacha bwana mtume swallawahualaihi kwasababu alivoacha mtume ndio bora na ndivo inavotakiwa,sasa kama sisi huku kabla ya kuja technolojia tulikua tunafuata vipi ,yaani hapa mtume swallawahualaihi alituachia mwenzi nikiwa na maana mwenzi upo bado ,kwa mfano simu nzuri tukiitumia vizuri ila simu iyo iyo tukiiona inaendana na wakati tukatengua kidogo tu na tunaona rabda bora hili lililotokea kwenye simu kuliko alivoacha mtume swallawahualaihi wasallam itakua ni mtihani. hivi ndio maneno niliozungumza nilivokusudia .( mtihani Allah atuhfadhi inshaalah)
Assalam alaykum Kwenye mambo mazito ya kidini tuwache utoto kama huu wa kufungia zawadi. Hii inaonesha ni ubishani na mtu kujifanya anajuwa sanaaaa. Kwani ungesema tu ushahidi upo nao ni huu hapa kwenye kitabu hichi na hichi.
Sasa we who are in Australia you saying we should not bother fasting because of the difference in time zones... We are over 1. 5 billions muslims in countries which are not in the same time zones so all 1.5billion Muslims we don't hv Arafat n idd is this a kind of a joke or wat?
Angalia unavyosema eti ukipata kitu kipya basi lazima utakileta uwaelezee waislam, hata jahili uko akitunga maneno yake we unachukua unawaletea waislamu ukisema kuwa ni hoja, jiangalie sana mwalimu unapotea
A alykum Australia imepishana na makka Kwa masaa 7 Kwa hyo unaipata siku ya arafa kwa7bu arafa ni siku nzima hata hujaji akichlewa kusimama arafa attlazimika kusimama hta saa9 usiku kwani mtume kasema hijja ni arafa
Arafa ni siku ya mwezi 9 na sio kuangalia mahujaji yakwamba wamesimama au vp k7bu kila sehemu na masaa yake kunawatu wanatangulia kufunga kwa mfano kuna nchi yawezekana ikawa ni mwezi pili dhuulhija na saudia ikawa ni mwezi mosi sasa hawa ikifika mwezi kumi saudia wao ndio itakua ni mwezi tisa nandio itakua siku ya arafa jee!! Hawa ambao kwaio ni mwezi kumi wanatakiwa wafunge funga ya arafa au itakua ni skukuu kwao au vp sh naomba ufafanuzi
Arafa ni kitendo Cha mahujaji sawa Ila swaumu ni mwezi tisa cz tukisema tuendane sawa na mahujaji haito wezekana cz kunanchi ni usiku wakati Makka mchana
Masheikh kila mmoja ana points zake na ufaham wake hizi hitlafu zipo zaman na hazishi kwahio mtu afuate moyo wake unamwambia vipi tusipigane klele muhim tu ukifanya kitu ufanye kwa ajili ya Allah kwani siku ya qiyama Allah atawalipa waliopatia na waliokuwa hawakupatia kwa juhudi zao.Allahu aalam yupi yuko sahiih.
hapakua na hitilifu wakati wa maswahaba katika hili . hitilafu imeletwa na mayahudi kutuletea technology na waka warubuni watu kutafuta wapi .penyo wa kuwagonganisha .hili halikuvutana ..
Watafta kiki upate umaarufu umeongea vizuri ila hujaizungumzia arafa kwa matwaalii umeizungumza arafa kwa mahujaji ni sawa mahujaji wao wako kwa arafa kwa matwlai yao ungesem hvy
Yani jamani ujinga ukizidi nikhatari kubwa!!! Wewe waelimishwa na kupewa ushahidi wakile bwana wako mbabaishaji abuu iddi alicho kisema kwa kukurupuka baada ya kushukuru umeoneshwa njia leo unajifanya ziwi ziwi ziwiiiiiii eh jamani mtihani simdogo huu kufikia mtu mpaka akawa kipofu wa akili mhm!!!
Shekhe kazi yake ni kuwasaidia wajinga kama wewe ili wapate werevu kwa taufiki ya Mola,sasa mambo ya kujifanya yanatokea wapi na yanamnasaba gani na hichi alicho kizungumza shekhe???
Assalam alykum warahmatullahi wabarakaatuh. Mimi sio msomi na swali langu ni hili,. Wanaposimama mahujaji nchi kama Australia, New Zealand huwa wametangunlia kwa masaa zaidi ya tisa. Africa huwa sawa na Saudi pamoja na mahujaji. America wakati huo huwa wako nyuma masaa zaidi ya tisa, so Itakuwa vipi watu wafunge sawa? Naomba jibu tafadhali
Huyu sheikh muhubiri KASHA ZUSHA KUWA FANYA IBADA NYEGINE HUNA ARAFA WEWE KWA KUWA MASAA YAKO HAYA LINGANI NA SAUDIA.... MSIKIZE AWAMO YA MWISHO YA VIDEO RELEASE YAKO... SHIDA TUPU KUPOTASHA WATU
Jamani elimu zetu robo kilo zisitufanye kutoa fatwa au kwa sababu hiko kitabu Cha Al bani Vitu vingine haviitaji vitabu ni akili tuu hii dunia haiko sawa haiwezi kuwa Arafa ni siku moja..ya mahujaji tuu
Arafa ni siku nzima wao Australia wakiamka asbuhi atanzwa kufunga 7bu siku kwao ishaingia ikifika saa 7 makka ni 12 Kwa hyo watakuwa wamo ktk siku ya arafa