@@abuumusabramadhani9944 kama anaweza si awaite wakae chini navitabu kama atatoka huyu nimewashuhudia kama huyu wakibanwa katika vitabu ngumi zinaanza kurushwa
Subhaanallah kukosoa kuna hikma ni sawa na baba ya mtu au mama ya mtu anapofanya kosa kwa mwanaye ambalo ni la aibu vp mtoto amkosoe mzazi wake lazima atumie hikma ya kutafuta mtu mkubwa sawa na mzazi wake mwenye hikma na mwadilifu ili aweze kumsaidia kumkosoa mzaze wake
MASHA ALLAH M/MUNGU AMREHEMU SHEIKH NASSOR BACHU HAPO KAZAA SIMBA KAMA YEYE KIJANA HOJA ZAKO ZIPO VIZURI UNAITUMIA ELIMU YAKO VIZURI UNAJIBU KISOMI KWA KUTUMIA VITABU DALILI KILA KITU UNAKIFAFANUA VIZURI ANAETAKA KUELEWA ATAELEWA ASIE TAKA KUELEWA ALLAH AMUONGOZE AELEWE
SHEKHE MIMI SHEKHE MIMI NAKUELEWA SANA NISAIDIE KWENYE HILI HIVI KUMUOMBA MUNGU NI LAZIMA IWE KWA DUA ILIYO POKELEWA TU? KWA MFANO NIPO KWENYE BIASHARA NIKASEMA "EWE MUNGU WALETE WATEJA KWENYE BIASHAYA YANGU" Je Hii ina faa au haifai kwakua haijatoka kwa mtume?
Allah akuhifadhi nawashangaa wanaosema wamekosolewa hadharani kama kwamba wao wamezungumza chooni, mm ni mmoja nilikua nafata maneno yao saa hii nimepata faida
Acha hio,, huo sio uungwana wewe unakijuwa nini unachokijuwa..kama kuna kosa mwezako kafanya kutana nae umjuulishe wapi kakosea unafikiri nani mwenye akili atakusapoti wewe... Peke ya huo unao fanya ni ujinga wa elimu.. Ziko njia za kumkosoa mwezako kwenye uislamu.. Je wewe unawafundisha nini upande mwengine...ndio tuone umesoma sana au vipi.. Mwenye elimu hawi hivyo elimu yako unaitumia vibaya.. Kuna SHURA kwenye uislamu.. Fanya shura na mwezako kama kakosea ,lengo ni moja kuelimisha jamii... Huo sio uungwana kuwa muungwana...
Sheikh Muhammad sasa unataka kunikera. Wewe wakosoe halafu fanya mambo mengine, huna haja ya kuwabembeleza hao. Bidaa imekua ndio mfumo wetu. Sasa haihitaji tu kuwakosoa inahitaji upanga kabisaaa tukate vichwa. Allah akuhifadhi na kukuchunga.
@@nohatredbutlove5786 jamny eeeee huyu muhammad sio shekh hili lieleweke anavaa sifa iyo kupitia jina la baba yke tu.ila yy mwenyewe ADABU hana mana angekua na ADABU angewaheshimu hao watu wazima kwnza huku akiwakosoa kwa kuwatafuta private na sio hadharani.sasa shekh gni mwenye utovu wa ADABU ivo?
Sheikh Bachu wa Zanzibar keshatimiza wajibu wake. Nyinyi waislam wa Mombasa mushaelezwa kwa lugha yenu ya Kiswahili, musiposikia endeleeni ukaidi, ndani ya kaburi kila mtu anaingia peke yake.
Mwenye kupewa hekma amepewa heri zote ukiona unahekma umefauru sana shekh wallah naapa unaniuuzi sana kwahayo ujuwe mkamilifu allah unawez ukaona hoja yako ndy bora kumbe auna ubora hawo ndo wakawa bora sisi tunajitaidi tuusote mkamilifu allah unachokielewa wewe ujue mwengine anawez asielewe ivyo ndy maana maimam weng wametofautiana usijione wewe ndy bora
Masha llah swaddakta Shukran Shekh /nimekuelewa ni kweli kuna wasio sikiliza mpa mwisho khaswaa hawa kija Wafuasi wa Jahmi /Mie nakufuatilia kutoka Tanzania shinyanga
Jamani jamani jamani yaani baada ya maelezo yote haya kwa undani zaidi hujaelewa chochote bado wajaropoka ivi hivi mwasikiza kabla kucomment ama wakurupuka thu ...ndo ubaya wetu unapokuja apa mkirekebishwa mwasema mtu atafta umaarufu hvi kuna umaarufu katka dini ya kiisalma ama mwapenda kupotezwa?
Shekhe wangu unayozungumza kwa ilmi Sawa lakini tafakari haya: 1. Jee Ungefundisha yote haya bila kutaja mtu, ilmi ingepatikana au la? 2. Fanya 1. hapo juu kisha pia umpigie simu mwenzako 3. Jee kama mtu hakujua, kama vile hiyo hadithi ya makosa, jee ni munk
Mashekhe wa mabida'3 maskini wameshikwa na uoga hadi wameshindwa kujibu na kukaa kenya wakakimbia kidogo zenji maskini ili wajitulize. lakini shekhe akawakamata huko huko hehehehe! Shekh Muhammad Allah akuhifadhi kwa kutetea dini yake na sunnah za mtume (ص). Sasa watakua makini hawapotezi tena! washajua yuko wakuwaweka sawa bila ya khofu! 👍👍
@@mwanakheri2880 wamekimbia!. Kualikwa au kutoalikwa hakumaanishi hujui kitu. Wacha khiyana ilimu yake inaonekana kweupe bila yakijificha vipi unataka kuizima nuru hiyo kupitia maneno yako?! Na unatumia maneno mazito sana kumtuhumu ati "yuwafitini" anafitini vipi? Kusema kweli hugeuzwa kua ni fitna, vipi?? Kua mkweli na acha khiyana!
@@شيخنيف niko kwenye funga sitaki mapambano xm yangu mwenyewe xjanunuliwa na mtu heshima nikitu chabure mwenyezi mungu amesema ihfadhu llau yaafadhuka niache kama nilivyo
Aslama alaikm... Nmefuatilia durusi zote za shekh Muhammad na shekh izudin.. wallahi nawapenda nyote kwa ajili ya Allah na lakin pia napenda kusema neno kwa mashekh wote wawili.... Nikianza na shekh Muhammad Allah akuhifadhi na akuzidishie elimu uzidi kufanya daawa na Allah atulipe tunapopatia na tunapokosea atusameh... Shekh Muhammad katika clip yako ya mwanzo kufanya raddi juu ya maneno ya Dua Ile ulitumia maneno ya kuwadhoofisha wenzio Kama ukasema wanajitia kimbelembel kwenye ramadhan na miandamo tu.. yaan kma kwamba hawajui walifanyalo... Hii sio sahihi shekh.. izudin ni shekh pia na ana dalili za kutoa Dua Ile... Katika clip yake shek izudin amefafanua vzuri matumizi ya Dua hii.. yeye haitakidi kuwa hii hadithi ni sasahihi anajua ni dhaifu lakin je haya maneno ambayo we unasema mijineno mibovu sio sahihi kwa mja kuomba kwa mola wake??? Nna maswali mengi kma mwanafunzi na in Sha Allah nitafanya jitihada kusoma darsa kwako kwa nmna yyte Ile... Nakukubali lakin kma binadamu na ww una makoseo mengi kwenye mjadala huu we hii Dua
Nliopomsikiliza shekh izudin Allah amuhifadhi wallahi hakumshusha darja shekh Muhammad Sasa shekh Muhammad lazima uwe na kitu Cha kujifunza kwenye raddi zako.. hekima na busara ni msingi mzuri wa daawa ukizingatia kwa mijadala yenu mnawachanganya waumini wanokifatilieni sembise wasio waumini wakitaman kuingia kwenye dini yetu watarudi nyuma kwa taratibu hizi ambzo zinaleta miono tofauti.... Kulinda heshma ya muisalmu mwenzio ni wajibu Sasa sisi tunachokifanya ni kidhofishana yaan kma maulamaa Kuna busara za kuelkzana kusudi tusiwagawanye watu kwa chuki Bali tuwaelimishe kwa busara!! Swali langu kwa shekh Muhammad.. uliposema mijino mibovu je Kuna dalili yute kuwa Dua Ile ni mbovu na mtu akiomba anapata dhambi?? Na je haifai mja kuomba nje ya Dua alizoelkeza mtume?? Huwenda nmekosea namna ya kuuliza lakin mantiki imejulikana... Allah atukubalie aamili zetu na atuepushe na riaa..
Mashallahu Barack llahu lak fiik sheik wetu uko sahihi kabisa yani awa watu wa bidada wanapenda kupigisha watu kelele sana yani lakin usichoke sheik wetu kukemea bidada hakika bidada ni mbaya sana Kwa aliesoma akafahamu dini ya kiislamu inshaaalla tupo pamoja sheik wetu
Assalaaam Alaykum nimeskia mawaidha ya sheikh othman maalim anasema mama akikuita ikiwa unaswali swala ya sunna bc unaweza kumuitikia kwa sababu kumuitikia mama ni faradhi lkn swala ni ya sunna hii ipo vp katika uislamu?
Mm nawashauri muache ushabiki kisa kakosolewa aliekosea, mm nadhani mkosoaji yupo sawa mwanzo mpk mwisho, sasa nyie mliokua hamtaki kusoma mnafuata makundi, acheni hizo tabia na muifuate hakki,
@@fauznuhu9981 Ahlulbidaa njaa itawapeleka pabaya sana..yaani nyie hamuoni shida kupotosha watu na hamtaki kukosolewa..hii ni dini sio chama tuna hitaji dalili
Wala usiwache kukosoa wao wanataka kutangaza dini wanavyo taka,elimu yao ndogo lakini hujifanya kujua saaaanaa, (ALLAH AKUHIFADHI DUNIANI NA AKHERA NA AKUZIDISHIE ELIMU NA HEKMA,)wakosoe Wala usiwaache tuko nawewe, unayo yazungumza sawa kabisa. AZAKALLAH'KHEIRAN.
UNA MAMBO WEWE NDUGU..😂😂😂😂😂😂😂😂 NA AO UNAOWAKOSOA WAPO UNGUJA HPA WASHAFIKA WANAFANYA ULINGANIAJI.ILA HAKUNA HTA MMOJA MWENYE HAJA YA KUKUTAFUTA KWASBB ADAB ZKO HAZIJAWA SAWA BDO😂😂😂😂😂😂😂😂
@@abduliazizrished6036 kakosa busara na taaluma yamatumizi yalugha katika kumkosoa wanachuoni kwanza ana zarau anakosoa huku akicheka nakudai hawajasoma vizuri nawanapotosha watu
Hudaa hiv uwelewa unao hata anachokiongea huelewi umetanguliza mijazba yako na kutaka kutetea usufi wenu sikiliza kwanza anachokisema au iyo misikio ni pambo tu wanazuoni hawasemi ivyo masufi mnavyodhania ebu jibu je wanazuoni juu ya kumkosoa mtu wanasemaje ? Na ww mtaje unaemjua kwenye maulamaa anasema mtu asikosolewe hadharani masufi mnataka muharibu dini ndio maana hamtaki kukosolewa nyie mnajambo lenu.
Asalam aleikum ndugu zangu katika imani mbona naona tunatoka katika mipaka nakuelekea katika ubwana na kibri kwani , au mnataka kujulikana ni bingwa au ni usomi Sana naomba tuzingatie maneno ya Mtume swalallahu aleihi wa salam bil hikma Wal maidhwat hasana . Kwani hakuna mkamilifu . Msikosoane mitandaoni mnamfanya ambaye hajasoma dini mnapotosha watu nyinyi ni viongozi .
Sheikh kukosoa mwenzako ni sawa lakini mbona usimpigie simu basi mukafahamishiane kuhusu alichokosea. Si vizuri unachofanya kuwakosea masheikh wenzako ADAB usiwe na kibri.
Huyu kijana ni mpumbavu tuh na ujinga mingi ndo ako nayo.... Hebu peleka utoto kando mbna wataka kuleta fitna ktka dini wewe ama hujui kuwa fitna ni dhambi kubwa kuliko kuuwa
Eeeh, maana me naona ywapiga kelele tuh hata sijui analingania nn ktka hii dini... Lkn ndio kawaida ya Mbwa kubweka anapoona Simba, sasa huyu kijana hana tofauti na Mbwa.. Mtu mwenye elmu ya kisawasawa hawezi kaa na kufanya upuuzi anao ufanya huyu kijana!! Anatafuta umaarufu tu kwenye huu mtandao
Munashindana kuhusu kula daku ilhali machafu yamezidi...Washirikina watu hawaswali watu hawamtegemei Allah makosa makubwa ya Tawheed lakini mashekhe wanaona kula Daku ndio jambo la kujibizana
Akhy kukosowa me sioni tatizo. Tatizo ni kutumia maneno ya kuwakejeli hao masheikh. Angalau leo umesema walinganizi lakini siku ile ukasema wanaojiita masheikh.
Kuwa na heshima na masheikh wa Kenya wewe. Baba yako Mungu amrehemu hakuwa na tabia mbovu chafu kama yako wewe. Wewe bado hujawa sheikh wala kufikia cheo cha kuitwa Sheikh. uNAKUJA VIBAYA KIJANA WEWE kwa kutokuwa na adabu wala heshima kwa wakubwa zako. Mtoto mdogokama wewe hata haya huna huogopi hata Mungu unapurukuka na kuongea upuuzi mbele za watu bila khofu. Nani amekuroga wewe? Inshaalla Mungu atakuongoza uongoke.
Swali langu Shekh , mbona maimamu wanne wa kiislamu , walitofautiana kwenye sheria za kiislamu mbona hawakukosoana hadharani , kila mtu alikua anaheshimu msimamo wa mwenzio, hebu tafadhali hebu lete ufafanuzi, kwasababu imamu shafi anasema atakae nikosoa mbele za watu amenitukana
Shekh niswa kweli unatowa hoja nyingi kwa hata kwa qurani na tumepata faida nawe mola akuzidishiye elimu na uombe mungu akupe hekama mana kuna makosa mengine hufaikutaja watu ukitowa daras itafika kwa aliye kosa hatuko kwenye ubishishano muombe Allah akupe hekma ama elmu ukonayo
Kuwakosoa Mashekhe hadharani sio vizuri kwani ni faida kwa makafiri, Allah SubhanaAllah wa Taala, anasema ukisitiri aibu ya ndugu yako mwislamu basi ALLAH atasitrii aibu yako. Usitafute Umaarufu, Fuata nyendo za marehemu Baba yako,
Mi naona angewarekebisha wao wenyewe warudi warekebishe kauli zao kama wasiporekebisha basi yeye angekuja akarekebisha hapa lkn hivi kukosoana hadharani kwa dunia ya sasa waislamu tayari tunapigwa vita tukionekana tunaingia kwenye kukosoana na kukejeliana tunawapa nguvu maadui wetu..kwanza masheikh wa Kenya hakuna anaepigania umaarufu haswa Mombasa hakuna mtu anaethamini umaarufu sidhani kama kuna sheikh anaweza kusema kuwa wewe watafuta umaarufu kupitia yeye hapana Mombasa hakuna mambo hayo hata sheikh Mubarak aliposema wengine wametuelewa vibaya sidhani kama amekujibu kwa sababu Mombasa kuna dharsa za saa kumi jioni ramadhan nzima huwa zinaendelea na kuna vipindi vya uliza ujibiwe itakuwa amewajibu watu waliomuuliza au wanaowahutubia
Ukikosa mizani ya elimu ambayo ndio inayopimiwa haqi na batili hata ukisomewa aya utasema hujapewahoja Muhammad amewajibu ki elimu ila asieelim atabakiakuona uzushindio njia
@@muhidinali8180 tena uzuri wake kila kitu ana nukuu kutoka ktk vitabu vya wanawazuon hatowi lake kichwani lkn kuna vichwa ngumu jamani hawaelewi na uzuri awo waliokosolewa hawaja kataa kama zile hadithi walizotowa km sio sahihi sasa wao sijui wanachobisha nn
Siku zote ukitaka kufika lazima uchafue walioko juu, kama ulikua wataka kuondosha mukar ungemfwata muusika kisha akarekebisha katika kipindi chake akiwa kwa darsa pale alipoteleza......SubhaanaAllah sahi dini tunaipeleka kwa KIKI 😱😱😱
@@شيخنيف kwaiyo maswahaba walifanya shirki walipotawassal na kaburi la mtume..... Nani bora kuliko maswahaba....??? wale wamesoma kwa mtume na wakaelewa tawassul yafaa itakua nyie.....
ndugu angalia kazi ya kufanya nawe upate umaarufu usitumie umaarufu wa wenzako kwa kudandia tizama kazi alofanya mzee wako allaah amrehemu nawe ufanye shukran sana
Sheikh leo nimeona video diamond kafuturisha watu kwa jumba la amani je walikwa kina dada kwanza wamejipodoa mwezi mtukufu kabla ya adhani mahrib pili walikwa ni wasani wakiwemo waislam na wasokua waislam michanganyiko waume na wake na sheikh kipozeo alikuwepo na isitoshe je chumo la haram yajuzu kufanyia mema?
MI NINGEMUOMBA USTADH KITU KIMOJA... APATE SIKU JAPO KIDOGO ATUELEZEE NINANI SUFI MPKA AMUITE SHEHE IZUDIN NISUFI..AU ATUELEZE NIWAPI ALISEMA MWENYEWE KUA YY NISUFI..MAANA HUKU NIKUPEANA MAJINA SIYO.. MAASALAM..
Hii ndio shida yetu waislam...tunapoteza muda mwingi sana katika mambo ambayo solution yake haihitaji hata dakika 3...na ilhali tuna mambo muhimu sana katika kuiimarisha dini yetu na jamii yetu ila hatuyapi nguvu.....tujitafakari
Huyu hajui hata munkari ni nini/ kwahiyo waliopita walilaaniwa kwasababu wanawazuoni wao walikosea maelezo nasiyo kwasababu hawakukatazana maovu/ huyu Hana elim analazimisha awe Kama baba yake/ ww hujasoma bali umesomwa
قال العلامة ابن عثيمين رحمه الله: "ومن القواعد المعروفة المقررة عند أهل العلم: الحكم على الشيء فرع عن تصوره؛ فلا تحكمْ على شيء إلا بعد أن تتصوره تصوُّرًا تامًّا؛ حتى يكون الحكم مطابقًا للواقع، وإلا حصل خللٌ كبيرٌجدًّا
Wewe Ramadhan ibrahm taja izo bidaa ambazo watu wasunnah wanazifanya uzitaje kwa mujibu wa data za kielim uwe na wanazuoni wakutegemewa katika iko utachokisema kua ni bidaa kasema mwanachuoni gani usije ukataja wewe kua ni bidaa kumbe mbele ya maulamaa sio bidaa ilo moja. Pili ujue kua bidaa aloizungumza mtume ni ile ya kisheria sio ya kilugha,
Ust muhamed bin bachu, ww ulimuambia Abdalla humed kuwa anawaita watu majina mabovu na anawataka waingie ktik njia yake je wataingiaje, na ww ulivyomradi mbaraka uwesu ulimuita msusi je hili sio jina baya au masusi wao wependa kuitwa masusi
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. Allah akuzidishie elimu yako na uzidi kutuelimisha. Sheikh Bachu endelea na kazi yako ambayo Allah amekupa kipaji kizuri MASHAAALLAH uko sawa kabisa. Allah akuhifadhi, Allahumma Amin ya Rabb
Ma shekhe kama hawa hawana tofauti na wasanii maana anatafuta sifa ili aonekane maskini shekhe huyu🤣🤣🤣anajitahidi awe maarufu kama Ustadh izzuddin au shekh mbarak awes lakin Kwa mwendo huo utakuwa maarufu msikitini kwako tu.ila ukitaka uwe kama hao jitahid uwe na heshima jielekeze katika kufundisha sio kubishana.sawa kijana wetu🤣🤣🤣🤣
@@abduliazizrished6036 hamna asiekua na daili ,asione nyuki wametulia akaona hawangati,hawaoni sheikh lake bahero kenya na wa vetenar tz waliokua wanawika washangatwa na nyuki ,kimyaa kama maji ya mtungi,wewee mwenye elimu habweki,huyo ndio anaanza kazi ,waliobobea wapo,kila mjuzi kuna mjuzi zaidi,simda mrefu ataamsha waliolala naye atakimbia meza mwenyewe
Unaweza kuwa maarufu Kwa ajili ya Allah pepo huwezi kuikosa lakin unaweza kutafuta umaarufu Kwa gharama ya kuwavunjia heshima au kuwakosea adabu hapo Allah mwenyewe anajua akulipe nini
Shekhe shida sio kuwakosoa hadharani shida n kuwa umekosa adabu na lugha nzuri ktk kuwakosoa mashekhe (waislam wenzako) imagine nabii Ibrahim babaake alkuwa kafiri hasa, Mtume Muhammad (S.A.W.) babu yake na ami yke walkuwa makafiri hasa na hawakutumia lugha km zile ambazo ww ulizitumia kw Izudini..