Тёмный

Munani Nami Viumbe - Swabaha Salum Rmx | MARJAN SEMPA 

Marjan Sempa
Подписаться 81 тыс.
Просмотров 1,7 млн
50% 1

FOR MPESA GIFTING - 👉 me.creator.co.ke/c?aff=marjan...
SEMPAZ SOUNDS Ent...
For BOOKING=
EMAIL. Marjansempa@gmail.com
Cell - +254728011195.... or....+254737307549
The authentic and genuine traditional Swahili Music, that has its origin in Zanzibar and coastal area of Tanzania. The lyrics (Mashairi) in Taarab music are not just ordinary lyrics they're poems or more precisely it's poetry containing significant and instructively information.
In fact all Taarab songs follow the formal rules of traditional Swahili poetry, with intricate rhyming schemes. Furthermore Taarab is one of Swahili people ways of delivering messages to specific individual or individuals with very special metaphor or language codes that most likely and mostly only Swahili people can interpret, so even if you understand Swahili that doesn't mean you comprehend the messages behind, contents and significance of Taarab lyrics.
SONG LYRICS:
Salamu nimezipata ulotuma kunambia
Salamu nimezipata ulotuma kunambia
Nasikia wajinata Leo utanitambia
Lakini utanikuta Sabaha nakungojea
Lakini utanikuta sabaha nakungojea
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Wewe kuku wewe kuku chakula chako jaani
Wewe kuku wewe kuku chakula chako jaani
Mimi njia mimi njiwa huletewa mikononii
Kama hujui uliza mimi nawe bora nani
Kama hujui uliza mimi nawe bora nani
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Mahali ukichukizia huzuka kila mazuo
Mahali ukichukiza huzuka kila mazuo
Huzidi na miujiza kusudi uvunjwe cheo
Japo wajipendekeza katu huwi mtu kwao
Japo wajipendekeza katu huwi mtu kwao
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Ni bure hamunipati mbio mukaniendea
Ni bure hamunipati mbio mukaniendea
Mtakufa na laiti uku mkinishuhudia
Nimewashinda bahati ndipo mkanichukia
Nimewashinda bahati ndipo mkanichukia
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Dunia yetu ya leo si ya watu kusemana
Dunia yetu ya leo si ya watu kusemana
Kila alie na lake aombe Rabbi salama
Kama langu limetota na lako wewe litazama
Kama langu limetota na lako wewe litazama
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Mtu akitaka sema kwanza hutizama lake
Mtu akitaka sema kwanza hutizama lake
Akazunguka na nyuma kutizama yalokwake
Hainuki kusimama kutangaza ya mwenzake
Hainuki kusimama kutangaza ya mwenzake
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Mwafanya muyatakayo mimi sisemi ya mtu
Mwafanya muyatakayo mimi sisemi ya mtu
Yangu yafata mbio komeni roho za kutu
Kwanza safisheni nyoyo kisha mseme ya watu
Kwanza safisheni nyoyo kisha mseme ya watu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Sijali mimi sijali maovu mkinitangaza
Sijali mimi sijali maovu mkinitangaza
Ni mambo tangu akali si mwanzo kujitokeza
Najua msema kweli kwa wengine huchukiza
Najua msema kweli kwa wengine huchukiza
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Nina neno ndugu zangu nawaeleza sikizeni
Nina neno ndugu zangu nawaeleza sikizeni
Kutangwa jina langu kwa uzushi mtaani
Hamnitii machunguu walakwangu si magenii
Hamnitii machunguu walakwangu si magenii
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Ukitaka jenga nyumba ukajengee mjini
Ukitaka jenga nyumba ukajengee mjini
Nadirisha na dirisha ulielekeze kusini
Hauna nywele kichwani sasa chanuo la nini
Hauna nywele kichwani sasa chanuo la nini
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
#MarjanSempa
#Munani_nami_viumbe
#SwabahaSalum
#2022
@Diamond Platnumz

Видеоклипы

Опубликовано:

 

8 фев 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 240   
@Rukiaomary-ed4bj
@Rukiaomary-ed4bj Месяц назад
Tunaoskiliza huu wimbo 2024 tujuane hapa
@briindiana7306
@briindiana7306 2 года назад
All lovers wa hii wimbo please let's gather here this 2022❤❤🇰🇪🇰🇪
@abdulhamidkificho5768
@abdulhamidkificho5768 3 года назад
Salamu nimezipata ulotuma kunambia Nasikia wajinata Leo utanitambia Lakin utanikuta Sabaha nakungojea Lakin utanikuta sabaha nakungojea
@mohamedipandu1689
@mohamedipandu1689 3 года назад
Nzuri sana, ila kama itawezekana naomba taarab inayoitwa Shukrani za Punda iliyoimbwa na Bi Eshe Mohammed. Ahsante.
@zenakhamis5892
@zenakhamis5892 2 года назад
Dunia yetu yaleo siya watu kusemana.. kila aliena lake aombe rabi salama.. kama langu limetota na lako ww litazama ...dah tamu haki
@shanishamsi9576
@shanishamsi9576 2 года назад
Teynaaaaa👌
@bintykigan6236
@bintykigan6236 3 года назад
Yanikumbusha marehemu juma balo mungu amrehemu cz sauti baadhi ya mashairi niya bhalo
@mtu.wa3
@mtu.wa3 3 года назад
wewe kuku wewe kuku chakula Chako jaani..mimi njiwa mimi njiwa huletewa mikonini! Kama hujui uliza, mimi na wewe bora nani?
@user-ny1ut9kw7p
@user-ny1ut9kw7p 11 месяцев назад
My favorite song🥰Sabah salum ww n moto nkupnda Bure mom❤❤
@abdulhamidkificho5768
@abdulhamidkificho5768 3 года назад
Dunia yetu ya leo si ya watu kusemana Kila alie na lake aombe Rabbi salama Kama langu limetota lako wewe litazama Kama langu limetota lako wewe litazama
@hafsatseif5145
@hafsatseif5145 2 года назад
🥰🥰🥰
@badarahmed1861
@badarahmed1861 3 года назад
Allah ailaze roho yake pema Marhemu Profesa Juma Bhalo
@faridahabibu3845
@faridahabibu3845 Год назад
Wewe kuku wewe kuku chakula chako Jaani Mimi njiwa Mimi njiwa huletewa mikononi kama hujui huliza Mimi nawewe bora Nani💃💃💃💃💃
@mammylooreuben4800
@mammylooreuben4800 2 года назад
Nani mwingne anaskiliza hii🔥🔥July 2022
@ostadkhalifaqaswida441
@ostadkhalifaqaswida441 Год назад
I am
@AbdallahZein-xy4tx
@AbdallahZein-xy4tx Год назад
Tupo
@tigermose6491
@tigermose6491 Год назад
July 2023 nipo bado
@mariammgusi6953
@mariammgusi6953 10 месяцев назад
​@@AbdallahZein-xy4tx343498ju😅 😅
@SurprisedBurrito-pw4wt
@SurprisedBurrito-pw4wt 8 месяцев назад
Nizakwetu
@zenaal-baalawy3262
@zenaal-baalawy3262 3 года назад
Mtu akitaka sema kwanza hutizama yake, akageuka na nyuma kutizama yalo yake, hainuki kusimama kutangaza ya wenzake👌
@abdulhamidkificho5768
@abdulhamidkificho5768 3 года назад
Wewe kuku wewe kuku,,chakula chako jaani Mimi njiwa mimi njiwa,huletewa mikononi Yaasalaam Aunt Sabah muchacho
@paulmwandoe3959
@paulmwandoe3959 3 года назад
safi
@sabahiali6021
@sabahiali6021 3 года назад
Nice
@zahrasalum8041
@zahrasalum8041 2 года назад
nyimbo pambe ❤❤❤
@mouhamadbakri9720
@mouhamadbakri9720 3 года назад
Hii pambe 😍❤️ asingekua sabah nisingesikiliza taraabu jamani
@mamitaamashausi5164
@mamitaamashausi5164 3 года назад
Mnani Na mi viumbe Mwapita mwanilaumuuuuuuuu We kuku Chakula chako Jaani Mie Njiwa huletewa mikononi ☺
@mamyhuuhuu7413
@mamyhuuhuu7413 3 года назад
Mtu akitaka sema kwanza hutizama lake...pambee
@mohamedhussein1744
@mohamedhussein1744 Год назад
Asanta Swabaha
@abdulhamidkificho5768
@abdulhamidkificho5768 3 года назад
Wewe kuku wewe kuku, chakula jaani Mimi njiwa Mimi njiwa huletewa mikononi Kama hujui uliza Mimi nawe bora nan Kama hujui uliza Mimi nawe bora nani
@hafsatseif5145
@hafsatseif5145 2 года назад
💯
@rizkajuma8424
@rizkajuma8424 3 года назад
Wewe kuku chakula chako jaani mm njiwa naletewa nyumbani kama hujui uliza mm nawe Bora Nani khaaah
@kimlee2488
@kimlee2488 3 года назад
Bb Rayna nakuona
@eqbalarrith4059
@eqbalarrith4059 3 года назад
@Marjan ...naomba kibao cha 'nyumba njema si mlango fungua uingie ndani'
@bestlyrics7411
@bestlyrics7411 3 года назад
salamu nimezipata ulotuma kunambia x 2 nasikia wajinataa leo utanitambia lakini utanikuta sabaha nakungojea x2 muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4 Wewe kuku wewe kuku, chakula jaani x2 Mimi njiwa Mimi njiwa huletewa mikononi Kama hujui uliza Mimi nawe bora nan Kama hujui uliza Mimi nawe bora nani muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4 mahali ukichukiza huzuka kila mazuo x2 huzidi na miujiza kusudi uvunje cheo japo wajipendekeza katu huwi mtu kwao x muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4 ni bure hamunipati mbio mkaniendea x2 mtakufa na laiti huku mkiwashuudia zimewashinda bahati ndipo mkanichukia x2 muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4 dunia yetu ya leo si yawatu kusemana x2 kila alie nalake aombe rabi salama kama langu limetota na lako wewe litazama x2 muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4 mtu akitaka sema kwanza hutizama lakex2 akazunguka na nyuma kutazama yalokwakwe hainuki kusimama kutangaza yawenzake x2 muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4 mwafanya muyatakayo mimi siswemi ya mtu x2 yangu mwayafata mbio komeni roho za kutu kwanza safisheni nyoyo kisha museme ya watu x2 muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4 sijali mimi sijali maovu mkinitangaza x2 ni mambo tangu angali si mwanzo kujitokeza najua msema kweli kwa wengine huchukiza x2 muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4 nina neno ndugu zangu naweleza sikizeni x2 kutangazwa jina langu kwa uzushi mitaani hamnitii machungu wala kwangu si mageni x2 muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4 ukitaka jenga nyumba ukajengee mjini x2 na dirisha na dirisha ulielekeze kusini na huna nywele kichwani sasa shanuo la nn x2 muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4
@samyamahmud9880
@samyamahmud9880 2 месяца назад
Yiho
@fatoumaahmed7670
@fatoumaahmed7670 3 года назад
Nampenda sana sabah salum Asante sana
@abouayman8713
@abouayman8713 3 года назад
taarab sa iv imevamiwa na majike shupa...salut kwako swabah%
@aminajaha3703
@aminajaha3703 3 года назад
Ahsante mama hauna kazi mbaya🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎈🎈🎈🎈🎈🎈🎈🎈🎈
@user-gt5mi3bv2v
@user-gt5mi3bv2v 8 месяцев назад
Unabaya nymbo zako pambe
@bossbaby5722
@bossbaby5722 3 года назад
Wapiii swabah weuweeeeee💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽🥳🥳🥳taarab pambeee👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽
@allyawadh4765
@allyawadh4765 3 года назад
Kakukosha
@kiparaused
@kiparaused 3 года назад
Woyooooooooó
@salehnassor8980
@salehnassor8980 3 года назад
Hii taarab pambeee hongera sana sabaha nakupenda mnoo
@aishajuma6216
@aishajuma6216 2 года назад
Sanaa yaaaan
@muhammadomar1787
@muhammadomar1787 3 года назад
MTU akitaka sema kwanza hutizama lake,akazunguka na nyuma kutizama yalokwake,haenuki kusimama kutangaza ya mwenzake waiyoooooooo
@msiyakwedele828
@msiyakwedele828 3 года назад
Hauna nywele kichwani sasa shanuo la nini? Halooooooooooooo swabaha umenena hapo
@huseinbashir5816
@huseinbashir5816 3 года назад
🤣🤣
@user-sv2or7xc3u
@user-sv2or7xc3u 4 месяца назад
Pambe mama wetu jaman piga kelele Kwa mama weweweeeeeeeeeeeeeeh ❤
@LaylatMuhinda-yw1xk
@LaylatMuhinda-yw1xk 6 месяцев назад
Pambe tyuuu b sabaha anazeeka na utam wke
@AmCool_
@AmCool_ 3 года назад
Leo ni tarehe 24/06/2021, Hivi sasa saa 18:23' Ni siku ya Alhamis LIKE 👍🏽
@MwajumaMrisho-em7yw
@MwajumaMrisho-em7yw Месяц назад
Imenikosha sana
@hannanmohammed2284
@hannanmohammed2284 3 года назад
Piga kelele kwa Saba akeee....ngoma Kali sna
@wahidaabeidmohd5968
@wahidaabeidmohd5968 2 года назад
Weuweeeeeee pambeeeee hatari
@maimunaathman4664
@maimunaathman4664 3 года назад
Wauh hili goma likua nalitafuta sana Wallah. Shukran Habibi
@mwanaishabakari3145
@mwanaishabakari3145 3 года назад
Namipia wallahy
@alithuva7480
@alithuva7480 3 года назад
Hii kali jamani tamu km nn si choki kuickia keep it up
@ednagodson7540
@ednagodson7540 3 года назад
Weuweeeeee kwetu rahaaaaaaa teynaaaaaaa
@saidiaisha6140
@saidiaisha6140 2 года назад
Naomba unitumie nimeipenda
@zalhatabubakar6581
@zalhatabubakar6581 3 года назад
Oyooooooo ilkua naingojea sanaaaa
@imanhatibu7771
@imanhatibu7771 Год назад
2023 na bado ni hit 🔥
@Monaish___mooon
@Monaish___mooon 3 года назад
Salamu nimezipata jmn munani na miviumbe👌👌👌
@Monaish___mooon
@Monaish___mooon 3 года назад
Wewe kuku chakuka jaan mm njiwa uletewa mkononi👌👌👌💕💕
@mariamsaid1130
@mariamsaid1130 3 года назад
Only legends listening to this 2021
@salimjuma8394
@salimjuma8394 3 года назад
Ebanae
@maryamkassim5903
@maryamkassim5903 3 года назад
Pambeeeeee👌
@abdul-latifsoudmussa3862
@abdul-latifsoudmussa3862 3 года назад
Facts
@mwanalelee6
@mwanalelee6 3 года назад
Wewe kuku chakula chako jaani Mimi njiwa huletewa mkononi Kama hujui uliza mi na wee Bora Nani ??? Munani nami viumbe jamaniii???
@carollachipeta1745
@carollachipeta1745 3 года назад
@@salimjuma8394 55
@aminamollel5725
@aminamollel5725 3 года назад
Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu, Sempaaaaaaaaaa
@marjansempa
@marjansempa 3 года назад
🗣🗣🗣
@salmasalim4023
@salmasalim4023 3 года назад
Wareeeeeeeee.......
@shamimali396
@shamimali396 3 года назад
Hongera dadaangu.....
@JinaMakame-vq8mq
@JinaMakame-vq8mq 17 дней назад
Wewewwee swabahaa unanipa amani ya moyoo
@halimakawina4589
@halimakawina4589 3 года назад
Asante marjan napenda sana hii nyimbo
@rasykizanjbari4996
@rasykizanjbari4996 3 года назад
Unatisha mama
@nashdawood410
@nashdawood410 Год назад
Mashaallah mpaka leo hii ikiekwa harusini hakuna anayekaa❤
@SharifuMalinyingi
@SharifuMalinyingi 3 месяца назад
🎉Starehe iliyoridhiwa na jamii zenye uzuri wa tabia usafi ulianzia pwani🦜
@likedatshorty
@likedatshorty 3 года назад
Hukosei bi Sabah ❤️
@aminasaid7657
@aminasaid7657 3 года назад
Pambeeeee viumbe munani
@fatumachengo6390
@fatumachengo6390 3 года назад
Munani nami viumbeeee mwapita mwanilaumu 2021 still a hit taarabu
@ktggtvgvtghadijaalifanichi1301
@ktggtvgvtghadijaalifanichi1301 2 года назад
Hapo chacha utajuwa hujuwi
@dhuhurasaid2596
@dhuhurasaid2596 3 года назад
Imepenya iyo pambe tuu
@aishajuma6216
@aishajuma6216 2 года назад
Daaah MashaAllah nimeshaitafuta sana
@kelevinally2962
@kelevinally2962 3 года назад
Tenaaaaaaaaaaa habary ndoiyo hapana chezea swabaha
@sadatkawambo1148
@sadatkawambo1148 3 года назад
Pambeeeeee ukoseagi
@StellaAlly
@StellaAlly 3 месяца назад
Hii ni noma
@XPOSED255
@XPOSED255 5 месяцев назад
wazanzibari wenzangu mupooooooooo
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 3 года назад
Maneno kunntu👌😘
@asaaomar2132
@asaaomar2132 2 года назад
Kabisa
@munaisa5850
@munaisa5850 Год назад
Santaa swabaha
@saidsirya6716
@saidsirya6716 3 года назад
Aaah jamaniii 2021 tupo bado huku
@amriyalibent8441
@amriyalibent8441 3 года назад
Mwapita mwanilaumu
@KENNEDYWAFULA-rd5rj
@KENNEDYWAFULA-rd5rj Месяц назад
Masha Allah habibi
@StellaAlly
@StellaAlly 3 месяца назад
Mama unajua pongezi kwako 🤲
@SharifuMalinyingi
@SharifuMalinyingi Месяц назад
Mambo ya nyumbani hya kama mtu hayupo hku hana tabia hana tabia hawez kurai hana ladha ya mpñz anateseka👰🧑‍🚀
@mohamedsalehibrahim6291
@mohamedsalehibrahim6291 3 года назад
Mwaka gani hiyo
@marjansempa
@marjansempa 3 года назад
2021
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 Год назад
Kula chumaaa hicho mama umetishaa sanaaa
@kimlee2488
@kimlee2488 3 года назад
Woyoooooooooooooooooo
@mfalmemwinyi9474
@mfalmemwinyi9474 3 года назад
Asanteeee
@quincemoreen1263
@quincemoreen1263 2 года назад
Sawa sawa congrats dadangu 😍😍🔥🔥
@SalehSaid-kw5vu
@SalehSaid-kw5vu 7 месяцев назад
Yuko juuu
@saumujumbe7685
@saumujumbe7685 3 года назад
Hii noma
@hafidhjr5216
@hafidhjr5216 3 года назад
Nikwli haaaayaaa
@jskdochy4221
@jskdochy4221 3 года назад
Uko vizuri sabah
@masturahmuhammad5973
@masturahmuhammad5973 3 года назад
Asalam aleykum, walipisha ngapi kuimba kwa harusi
@marjansempa
@marjansempa 3 года назад
Call me +254728011195
@doricewanjala6494
@doricewanjala6494 Год назад
💓🔥💓🔥🔥❣️💯💯munanii nami viumbeeee
@hildanjeri2248
@hildanjeri2248 Год назад
Still on top🎤🎤🎤🎤🎤munani nami viumbe jamaaaaaaaaaaa
@FatumaHamisi-sr6yj
@FatumaHamisi-sr6yj 7 месяцев назад
Naipenda sana hii nyimbo ❤
@ngengerajabu7209
@ngengerajabu7209 5 месяцев назад
kwanni unaipenda ? hahahah
@victoriatemu-ko8np
@victoriatemu-ko8np Год назад
Naenjoy jamn taarabu nzuri sabaha we ni hatari❤
@salunarashid6202
@salunarashid6202 3 года назад
Wawooh
@gumatoadhihuka641
@gumatoadhihuka641 2 года назад
Napenda nyimbo. ❤❤❤❤❤❤💥💥💥💥💛💛💛😇🙏...,Norway.
@superdeeboy6100
@superdeeboy6100 3 года назад
Hii pambe san nakubali
@munirazizah2367
@munirazizah2367 3 года назад
My favorite of alltime
@hafsatseif5145
@hafsatseif5145 2 года назад
A Santee mamaaa
@jidraphwaitiki1734
@jidraphwaitiki1734 3 года назад
1z
@kasimujumannekipemba3732
@kasimujumannekipemba3732 Год назад
Everything is okay ilove taarabu
@user-lu5ny9pg5l
@user-lu5ny9pg5l 11 месяцев назад
Jameni,hongela
@gumatoadhihuka641
@gumatoadhihuka641 2 года назад
From Norway 🥰💋💋
@suzanamwita-fr4wq
@suzanamwita-fr4wq 29 дней назад
Nikoapa nakusubli😂😂😂😂😂
@MohamedIbrahim-if1mc
@MohamedIbrahim-if1mc 11 месяцев назад
Viumbe wazito kweli
@josphinedarani6203
@josphinedarani6203 3 года назад
Nyce song mum
@BosheniFaisary-hd7tr
@BosheniFaisary-hd7tr 7 месяцев назад
Noma sana pro max
@kiduozuberi3867
@kiduozuberi3867 2 года назад
Swabahaa weeee
@rukiaally9284
@rukiaally9284 3 года назад
Jaman mbon niki dowloard inakataa tunaipataj
@marjansempa
@marjansempa 3 года назад
Njoo inbox
@abuumaif1338
@abuumaif1338 3 года назад
Mimi nakutakia pia
@abuumaif1338
@abuumaif1338 3 года назад
Mimi naitaka
@nasramohammed5104
@nasramohammed5104 3 года назад
@@marjansempa ata Mie ninaitaka
@marjansempa
@marjansempa 3 года назад
Whatsapp +254737307549
@dianawefila8345
@dianawefila8345 3 года назад
Mtu alitaka sema kwanza utizama lake,hayunuki kusimama kutangazabya wenzake
@abdhully3974
@abdhully3974 3 года назад
Finally marjan 🤗🤗💯💯
@yusufkibwana5789
@yusufkibwana5789 Год назад
All time best taarab GOAT
@user-cn5oz1cl9c
@user-cn5oz1cl9c Год назад
pambeeeeee❤❤❤❤❤ wabaya mutaiju
@mariamadam5016
@mariamadam5016 3 года назад
Mashallaah
@Lucia-vz3rm
@Lucia-vz3rm 3 года назад
Na bado 😅
@user-vr2cq8ot5r
@user-vr2cq8ot5r 7 месяцев назад
Mimi mwanahamisi amani dsm
@user-vr2cq8ot5r
@user-vr2cq8ot5r 7 месяцев назад
Ninakumbukabali
@RehemaMpeli-dt9vm
@RehemaMpeli-dt9vm Год назад
Unabaya maaa yet2💞💞pambeee2👌
@ghaniyashaban8737
@ghaniyashaban8737 2 года назад
Mambo ya kipwani jb hoyeeee
Далее
SWABAHA SALUM = SIADHIRIKI REMIX. AUDIO | MARJAN SEMPA
14:45
ASO MTU ANA MUNGU - SABAH
12:47
Просмотров 1,1 млн
skibidi toilet 76 (full episode)
08:11
Просмотров 10 млн
Кто быстрее? (GTARP)
19:19
Просмотров 389 тыс.
Nimekinai na Umaskini wangu - Mwanahawa Ali
15:13
Просмотров 605 тыс.
Jua kali leo usiku jumapili 21-7-2024         4k
19:14
Просмотров 28 тыс.
SEMPAZ SOUNDS TAARAB VIDEO MIXX NONSTOP 2023
1:01:49
Просмотров 407 тыс.
Taarab: Debe tupu
19:22
Просмотров 1,4 млн
Niacheni Nijivune
14:34
Просмотров 271 тыс.
Taarab: Wa Mungu uwazi (Full HD)
15:27
Просмотров 2 млн
Isha Mashauzi - Sio Levo Yako (Official Audio)
4:11
Просмотров 860 тыс.
АМ АМ
1:31
Просмотров 379 тыс.
Mirjalol Nematov - I love you (Videoklip)
3:56
Просмотров 2,8 млн
Be Mine
3:28
Просмотров 1,2 млн
Munisa Rizayeva - Aka makasi (Official Music Video)
6:18