waalaykum salaam warahmatullah wabarakaatuh maa shaa Allah, mambo mazuri Allah awabarik wahudumiaji wa bembea hizo na awape nguvu na uwezo wa kuziendeleza na kuimarisha...pia ni vyema mlivyofanya na bei nafuu, coz wenye hali za chini ni wengi pia, alhamdulillah watoto watazidi kufurahia...furaha ya watoto ni neema ya wazee...tufurahini kwa furaha imridhishayo Allah, thanks
Yani watu wenye asili ya Pemba niwengi sana na wanauwezo mkubwa sana lakini humpukuti mpemba anajenga kwao utasikiya ananyumba kumi dar na nyumba kumi unguja lakini Pemba mamaake analala kwenye kijumba cha udongo ndiyo maisha yaliyoko Pemba
Ipo nyuma kimaendeleo ya dunia lkn ipo mbele kimaadili. Allah atulindie Pemba yetu, hao viongozi madhwaalim wabaki Unguja kuendeleza ukame. mana viongozi wana chuki zao binafsi ndo mana pemba hawaishughulikii, wala hawaruhusu wenye nia nzuri waiimarishe. Ila kila lituepukalo lina kheri na sisi.