wewe jamaa unayehusika na mauzo kwanza umediscriminate uliposema mutamtengezea residential permits yake yeye, mke wake na mtoto. umeonesha kuwaacha nje wanawake yakuwa km hatuna uwezo wakununua nyumba huko . ilikuwa useme ya mke wake au ya mume wake . Mimi najipanga hapa nataka kununua na ni mwanamke Wallah tena niko serious . nataka nijue 4 bedrooms zinasimama bei gani , musitudharau wanawake nasi tunajituma wakati mwengine tunawapita kwa mishahara hata hao wanaume , musione kila mwanamke ni tegemezi tu hatuna chetu .
Kwa kila mwenye uwezo tu. Ni kama MASAKI AU OYSTERBAY AU MBEZI BEACH tu na dunia nzima ndivyo ilivyo kuna maeneo wanaishi wenye uwezo na kuna maeneo ni yetu sisi walalahoi.
@@mudighurayra Mimi nipo hapa Zanzibar nani nyumbani nilipozaliwa ,maendeleo yaliopo Zanzibar ni madogo sana labda uwe na ushabiki tu ,kwa anayesikia hajafika Zanzibar anaweza kufikiria kuwa imejengwa kweli lakini uhalisia haupo hivyo.Zanzibar hata vituo vya gari hakuna ,barabarani ndio kituo cha gari vichekesho kweli kweli.
@@jumamohamed3168 unajua kujengwa na mandhari vitu viwili tofaut, coz sehem inaweza isijengwe ila ikawa na mandhari nzur, Ila na me kwetu ni hapa hapa na ndio ninapo ishi
Mbona hujawaeeleza kwamba kila asubuhi mkaazi wa hizo nyumba lazima aseme kidumu chama cha mapinduzi mara tatu la sivyo itabidi afunge virago ende zake.