Baada ya kutokea tukio la majibizano ya risasi baina ya Jeshi la Polisi na mtu anayedaiwa kuwa ni muhalifu, Ayo Tv na Millardayo.com tumezungumza na mashuhuda wa tukio hilo, leo Agosti 25, 2021.
Umeongea point sana, yani huyu angepatikana mzima polisi wangepata information za kutosha, inasikitisha sana kwa kweli,, mwenyezi mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi,, mungu atuepushe na matukio kama haya, haipendezi kwa kweli.
mtihani kwa kweli, na hao.askari sijui walikua wanachati, wapo 2 lakini hawakuweza kujitetea, mtu kesha sarenda mikono juu bado.wamuua wangemkamata hai wangejua mengi, askari wanahitajika mafunzo zaidi na zaid,
Tatizoooo issue imebumbuluka kumbe huyu jamaa alidhurumiwa na polisi...alikuwa ameenda kuuza viwanja masaki polisi wakamdhulumu madini yake..ndiyo maana unaona kuwa alikuwa hana shida na raia yeyote yeye alikuwa anataka maaskari tu ambao walimdhulumu almasi zake! Shida kumbe maaskari na ndiyo maana wamemuua ili ushahidi upoteee
Angalau huyu ameeleza vizuri. Unaweza kupata picha halisi. Inawezekana kuna ukweli khs hizo silaha. Duh, kijana mdogo hamza jamaniii, sijui nini kilimkuta??
Juma Mustafa . Wanakataa wacha wakatae, ila wameombe Mungu awaepushe hizo shali, hizo shali wakubwa huwa hazichagui. Huyo Mwenyewe asili yake Sio ya Bongo, na inaeleweka wazi, asili yake ni ya wapi? Aweza kwenda kwenda kwenye nchi yake asilia na huko ndio mambo yote. Mbona kuaeleweka. Wenywe kwa wenywe wamechinjana weeee!!! Mpka wengi wao wameikimbia nchi yao wamejaa kila Kona, ulaya ndio usiseme.
Pale nahc na wao walipanic na ktk hisia zao wameona wataonekana wadhaifu nafkir ndio mana wakaamua kumpoteza na yy au pengne kuna meng zaidi All in all ukweli anao hamza
Jaman co kila mwenye kibarakashia ni shekh kuna wazee wangapi na vijana wanapenda kuvaa kibarakashia lakini hata kusema Allah Akbar hajui wangapi wanavaa majuba kumbe wezi wangapi wanavaa majuba kumbe wanaume wangapi wanavaa majuba nia yao ni tofauti na kujistiri kama Ambavyo Allah ameelekeza co kila mwenye alama fulan bac ukampa asilimia zote za alama hizo kuwa ni za kweli.
Kuna chanzo kisicho maalum kinasema, askari walitaka kumdhurumu dhahabu zake, alikuwa na bastora akawawahi kuwashoot kabla hawajamuwahi. Kuna Askari ambao sio waaminifu wanahiyo michezo michafu.
@@kabwelasutiviraka4765 How sure are you? Do you have any evidence? au kwasababu anaonekana ni muislam na ana smg, mbona hakuuwa raia sasa kama kweli ni gaidi? Kwanini iwe polisi tu?
Ni kweli hili tukio limeonyesha madhaifu mengi ya polisi wajitathmini. Cha kushangaza wafuasi wa vyama pinzani na viongozi wao wanawakomaliaga sana.polisi wapo kisiasa zaidi. Shame.
Hapa ipo shida kwann askari wamuue kwann hawakumuacha ili wapate maelezo kwann afanye hivyo na uyo mkaka mnaesema jambazi why asiwauwe watu wengine ila ni askari tu lazima kuna tatizo
Hamza alidhulumiwa madini yake na askari na yaezakua askari alomuua hamza kamuua kupoteza ushahid mana angaliachwa hai ukweli ungebainika TU...ila Hawa askar wetu hawa hata hawafati ethics za KAZI yao wanakurupukaga tu
Kabisaa ku surrender lazima utupe silaha pemben utembee mikono juu kutoka ulipo kukaa sejemu ya wazi na hakuna kujishika ppte mpaka maaskari watakapofika karibu na kukumata lakn huyi hata baada ya kutoka kwenye kile kibanda alikuwa na bunduki na bado alikuwa anamtageti askari aliekuwa ndani ya fens, jamaa alokuwa na shida yake nyingne tu na sio kuuwa watu ila ndo hivyo ushahid hakuna
hamna ugonvi usio na chanzo itakua baadhi ya maafande wamemchokoa ndomana akachukua sheria mkononi polisi ilibidi watumie mbinu za kivita kumkamata mtuhumiwa ahojiwe upelelezi ufanyike kisha sheria ifate mkondo wake serikali ya tanzania mnafeli
@@adambakari9276 Yaani Nchi Inatisha Hii Sasahv, Mana Kama Alikua Kachanganyikiwa Siangeua Watu Walokua Kwenye Madaladala Na Zile Gari Ndogo! Mbona Alikua hadili Na Raia Ni Police Tu.
Kwa unavyoongea bahari huyu kijana sizani kama alikuwa gaidi iweje asimuuwe huyu kijana kina kitu apo ametendewa huyu kija hongea baharia kwa kuelezea vzr ila umenichekesha hapa uliposema kiswahili chake kama kipemba hahaaaa au Kama kiarabu
Hawa watu wa jamii ya kisomali sio watu kabisa nyie chukueni hilo tukio poa poa tu, watakuja kuwauwa kama kuku, waulizeni Kenya waliwakaribisha wengi sasa wakenya wazawa wanajuta. Ni bora mkaribishe waafrika wengine hawana tabia za kigaidi na roho mbaya na ubaguzi Ila sio wasomali hawana maana kabisa hao watu.
We nawe wanayemfahamu wote wanasema hakua mkorofi kafanya tukio lile ajili askari walimdhulumu madini yake na mbeya alikua anamiliki migodi ya marehem babake hasira za kudhulumiwa ndiyo ikawa vile
@@jitacamp8342 kumjua mtu haimaanishi hawezi kuwa gaidi . Kwa hiyo hawa alio wauwa police wali mdhulumu ? Kwa hiyo una mtetea muuwaji ndugu kweli una dini wewe au hofu ya Mungu ?
Naalikua mmoja wangekua kumi jaman si polisi wetu wangeisha yn mtu mmoja walishindwa kumvamia kwapamoja duh yn muhalifu mmoja kauwa watu wote hao wangekua kumi je mungu tusaidie Sisi na Askari wetu
@@reginabeno1904 Polisi wetu hawana utayari kabisa hilo tukio limewatia aibu kubwa sana, yani hawajamdhibiti ila wao ndo walidhibitiwa. IGP ajitathmini na vijana wake wanaowaza kila siku kuonea watu
jamaa alikuwa na shida yake nyingne tu na sio kuuwa watu ila ndo hivyo ushahid hakuna wa nini hasa chanzo cha lile tukio kwake, angekamatwa hai yule ingependeza zaidi cjui kwann wakaendelea kumpiga risas akiwa ameshaannguka wakiwa kama askar wenye mafunzo nadhan lile halikutakiwa Kuhusu ku surrender lazima utupe silaha pemben utembee mikono juu kutoka ulipo kukaa sehemu ya wazi na hakuna kushusha mikono wala kujishika ppte mpaka maaskari watakapofika karibu na kukukamata, lakn huyo hata baada ya kutoka kwenye kile kibanda alikuwa na bunduki na bado alikuwa anamtageti askari aliekuwa ndani ya fens na mpka anakufa alikuwa na bunduki mkononi utasema vip ka surrender ?? Kwan nilivyoona alitaka msaada wa magar kutembea ili tu apate urahc wa yeye kuondoka na alipotoka katika kibanda tayar jamaa alishajikatia tamaa ila haku surrender
@@hadijakazumary2318 wewe uliekuja kupanda hapo juu ya comment yangu umeelewa nilichoandika au umekuja tu kichwa kichwa? Wew uliesikia alichoongea tuambie bc kuwa aliongea nn ? Soma elewa ndio u reply hakuna mahali nimeandika Hamza alisema, na hakuna mahali nimeandika nilimsikia, ila nilichoandika ni haku surrender, na jins ya mtu ku surrender nimeandika hapo na usikilize na clip vizuri
@@godwinemanuel1873 wewe unasema anadanganya kwa kuona clip ambazo zimetolewa baada ya kuwauwa askari na hao wanaelezea tukio lililotokea hata kabla ya kurekodiwa hayo unayoyaona.UWE UNAELEWA
Watu tuamini kwamba mtu akichoka anaweza kufanya chochote anachotaka.Huyu mtu anaonekana ni mtaalam wa kutumia silaha. Sasa swali je polisi wameona practice ya ugaidi ikoje? Maana wamezoea kushughulika Na viongozi wa vyama vya siasa
Watu wa habari na nyinyi munapotosha mtu anasema hajui ni kiswahili gani mara kiswahili cha kiarabu mara ni km wapemba tushike lipi tuache lipi musiwe munatoa habari zisizokua za ukweli mutafanya watanzania wagombane wenyewe kwa wenyewe uislam ni kitu kengine uarabu kitu kengine na ugaidi kitu kengine alipotajiwa msomali mbona kakataa lkni kawataja wapemba bila ya woga nia yake tugombane wenyewe kwa wenyewe watanzania
Hawa wanaosema huyu jambazi sasa ataiba nini katika Polis station na Hutu alotoa statement nakusema kama nuarabu wa Pemba ivo Pemba watu wanazungumza kiarabu?
Hao hao ayo tv wamemhoji dereva wa taxie amesema anamjuwa yeye na familia yake amezaliwa hapo hapo dar amesoma hapo hapo baba yao kafa miaka kama 6 iliyopita. Wao walikuwa wanaishi na mama yao muda wote, kwa hio ni mtanzania lakini weye unasema alikuwa anasema kiswahili kigeni. Nyie mbona WAONGO HIVI ?