Тёмный

Muuza madafu ikulu ni Komando? A trend akifananishwa na komando kwa akishuka kwa kamba na helicopter 

BINGO ONLINE TZ
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 396 тыс.
50% 1

Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1

Развлечения

Опубликовано:

 

25 апр 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 517   
@naqiahmad26
@naqiahmad26 3 месяца назад
aliyesanuka em agonge like hapa
@user-bv3zj1le5q
@user-bv3zj1le5q 3 месяца назад
Niyy muuza madafu hakuna ubishi lakini awezi kukubali kamwe
@Worldunite
@Worldunite 3 месяца назад
Msione ajabu wala msishangae, haya ni mambo ya ki-intelijensia 😂😂.MAJEDA OYEEE TANZANIA 🇹🇿 THE BEST
@brightonchedego8100
@brightonchedego8100 3 месяца назад
Mission completed 👏👏👍 Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
@behonest9964
@behonest9964 3 месяца назад
Ameeeen
@adamhashim3352
@adamhashim3352 3 месяца назад
Umeona mama samia anacheka kakumbuka siku ya madafu
@johnbernad3990
@johnbernad3990 3 месяца назад
😂😂😂😂
@kennedykassian5269
@kennedykassian5269 3 месяца назад
Tena clip ya mtangazaji wa milllard akimuelekeza aweke silaha vizuri yaan ni yeye na jamaa wana uwezo hata wa sauti kubadilisha
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 3 месяца назад
Mama anajichekea tu😂ngoja na mimi nicheke😂😂😂😂 iloveyou Tz yangu ❤
@humphreynyiti516
@humphreynyiti516 3 месяца назад
We ukauze madafu ikulu mchezo,haha ila ww jamaa ni noma sana
@khadijamisayo7476
@khadijamisayo7476 3 месяца назад
Tanzania wapelelezi wapo Kila mahali, yaani "ulipo tupo", ni kiasi Cha sisi wananchi kuchunga ndimi zetu na kuheshimu Kila mtu
@jeffhard5773
@jeffhard5773 3 месяца назад
Na Hiyo pia isiwafanye mjisahau kwa kujiona mmemaliza kila kitu "Huwa Allah junudu mafisamawati wal~Ardhwi" Bi maana Allah yeye ndiye mwenye majeshi Angani na Ardhini. unaweza kulindwa Sana na mwisho ukafa Nyuki au Siafu tu. Tendeni haki na mema sio kukandamiza watu Kisha mnaendelea kujitukuza.
@alexandermanase8956
@alexandermanase8956 3 месяца назад
Huyo anaekataaa nae inawezekana ni usalama wa taifa😂😂,, ila nimependa Sana mbinu za jeshi letu.. ukauze madafu Bure Bure ikulu,, thubutu,,,,,, Sasa usalama mbadilishe mbinu hii tushaijua😂😂😂... Komando muuza madafu oyeeeee
@Twahamwela-ch5lz
@Twahamwela-ch5lz 3 месяца назад
Ha haha haha
@MagaliKiswili-bj6yz
@MagaliKiswili-bj6yz 3 месяца назад
Ndio yeye kule alibadilisha saut
@thuwaybarajab6099
@thuwaybarajab6099 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@dorothmungure9393
@dorothmungure9393 3 месяца назад
Oyeeeeeeeee😂
@gloriadaniel3827
@gloriadaniel3827 3 месяца назад
We Nani umsogelee Rais na vi madafu vyako?. Kwa hili nimeipenda Nchi yangu viongozi wetu wako salama👏
@agnesmndolwa6245
@agnesmndolwa6245 3 месяца назад
Ni yeye Kwa sababu wakati anahojiwa alijichanganya kwamba anaweza karate,hakuna muuza madafu wakusema anaweza karate
@jizzotheking9238
@jizzotheking9238 3 месяца назад
Acha ushamba karate anajifunza mtu yeyote yy alichosema nikwamba hvyo vitu anaviweza kwan mbn mm nacheza judo mieleka na karate??
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya 3 месяца назад
Ni yeye
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 месяца назад
Wewe kweli mshamba
@agnesmndolwa6245
@agnesmndolwa6245 3 месяца назад
@@Mpakauseme ushamba umetokea wapi hapo tena
@YustaMfugale
@YustaMfugale 3 месяца назад
Hyo karate alijifunza lin make kasema ye ni mwanafunzi wa chuo na umri umesoma namba so pouw
@Economically-Growth-Musicians
@Economically-Growth-Musicians Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂 Bongo ni Nchi ngumu sana😂😂😂😂
@pascalmanyama2304
@pascalmanyama2304 3 месяца назад
Du!,tena full commando,kuna la kujifunza hapa,hasa wale wenye dharau kumuheshimu kila umuonae mbele yako ni jambo muhimu sana.
@nancyg8664
@nancyg8664 3 месяца назад
Ndio
@Allybinamour
@Allybinamour 3 месяца назад
kweli kabisa
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 3 месяца назад
Umeongea chamaana sana niliwahi saidiwa namtu nisie mjua sehemu ngumu sana kumbe jamaa ananijua nayeye niwalewale
@SamuelOlekiria-kg4kd
@SamuelOlekiria-kg4kd 22 дня назад
Kweli kabisa mwamba
@user-ih1pk1vs4q
@user-ih1pk1vs4q 3 месяца назад
Sio rahisi kwa raia wa kawaida kupelekwa ikulu inawenyewe hiyo ww fikiria kwa akili ndogo uangue dafu Rufiji ambalo halijahakikiwa akapewe Rais wa nchi mliona wp sisi tuliowajanja tunajua
@MubaAlly-gd5jg
@MubaAlly-gd5jg 3 месяца назад
saw kabisa
@user-vd1vx1dc8p
@user-vd1vx1dc8p 3 месяца назад
Jamani tunakiharibu kiswahili chetu badala ya kuandika sawa kabisa unaandika "saw kabisa" ukitafsiri inakuwa "aliona kabisa"
@Swahili14
@Swahili14 3 месяца назад
​@@user-vd1vx1dc8p😂 Native speakers use informal speech and slang
@anacletferuz4954
@anacletferuz4954 3 месяца назад
Mbona ulikua haujasema kama ulijuwa😊
@AzizaHussein-wq8ql
@AzizaHussein-wq8ql 2 месяца назад
Kuna jambo lao wanatafuta awa sio bule kwaio ukiwa njiani ujitunze sio kila umuonae ni mtu wa kawaida kwako ao wanaangalia usalam wa nchi chini chini kam nisingemuon apa sku ningekutana nae siku sipo vizuri unaingia kwenye anga zao aisee atakukoa sasa mue walinzi wenyew sio kilA umuonae umzalau ukute wenginne wanafagia barabara we unaon ni washikaji zako unaongea mambo lbda ya bangi wee watakumiga na kukukoa ulinzi wa nnje jmni upo kila mtu awe na uangalifu la sivo mtaishia jera waovu lkn sin uakika nalo 😅😅😅😅 nimependraaaaas😉😉✌👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@user-ix5uo6ks7j
@user-ix5uo6ks7j 3 месяца назад
Am a Kenyan ❤❤❤❤ i really love this 😂
@nuruhabibasally
@nuruhabibasally 3 месяца назад
🤞🤞
@United-Bantu-People
@United-Bantu-People 3 месяца назад
nice to hear
@drdd774
@drdd774 3 месяца назад
Mpaka mtu anasema kama mazoezi na kareti anafanya mnashindwa kujiongeza
@user-ix9zu1zk5c
@user-ix9zu1zk5c 3 месяца назад
😂😂😂 ndio yeye sauti ina echo tu, ila zinafanana, tue makini
@mussachessa6404
@mussachessa6404 3 месяца назад
Yes hata huyo jamaa wapembeni ndie yuleyule walie kua pamoja kupeleka madafu Ikuru. huyo alievaa kitambilisho
@fanuelykitambule5542
@fanuelykitambule5542 3 месяца назад
Kabisa ukimuangalia vizur machoni huyo wapembeni kama ni yeye iv
@AlexMumoMalonza
@AlexMumoMalonza 3 месяца назад
Acheni kufichua siri zenu za kijeshi!!! Adui atakua na kazi rahisi kuwafunika
@devanse9718
@devanse9718 3 месяца назад
KAZI YA NYOKO
@jeffhard5773
@jeffhard5773 3 месяца назад
​@@devanse9718Ukweli ndio huo
@United-Bantu-People
@United-Bantu-People 3 месяца назад
it means dont underestimate Tanzanians
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 3 месяца назад
Nafikiri hii sasa jeshi lijiongeze kutokana na technology maana wengine huficha sura kwakuwa niwatu wanaojulikana sana mitaani so wabadiri mbinu
@user-er8qt4rx8n
@user-er8qt4rx8n 3 месяца назад
mama mweenyewee anafurahi heee huyu si yule muuza madafu itakuwa hata yeeye alikkuwa hajui hili
@elizanyange2010
@elizanyange2010 3 месяца назад
Mama anajuwa hiv unafkiria wangekua watu wakawaida wangeruhusiwa kuingia ikulu kirahis rahis
@stanchi138
@stanchi138 3 месяца назад
Muuza mafafu gani ata kofia hakuivua ikulu,,,,,serikali ina mkono mref,
@Dulla_kite
@Dulla_kite 3 месяца назад
Natena nikiongonzi kabisa daah 😅🔥
@Mwanah27
@Mwanah27 3 месяца назад
Yan bonge la cheo
@MichaelCNtaho
@MichaelCNtaho 3 месяца назад
Ukitaka kujua ni yeye mwambie huyo mwandishi akamtafute tena pale kijiweni alipokuwa ana uzia madafu kama atamkuta..
@agnerapius7244
@agnerapius7244 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂
@bernaberna4159
@bernaberna4159 3 месяца назад
Madafu km madaf😂😂😂
@dinosiasa5600
@dinosiasa5600 3 месяца назад
😂😂😂😂😂
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-so3gy2io8l
@user-so3gy2io8l 3 месяца назад
Tena ni captain halooo
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 3 месяца назад
Huu mtindo wabadiri maana dunia ikombali sana sasa huyu jamaa hawezi ishi tena kwa amani nakufanya kazi yake kwa weredi maana kila mtu mwenye anajua alichokifanya atakuwa anamuogopa kikubwa hawa jamaa wauza madafu wengi niwatu wa mipakani kupitisha watu wabaya nirahisi sana ndio maana wanakuwepo komandoo elewa huyu nikiongozi wakikosi nayuko nao aisee hii in big up sana
@MubaMgaya
@MubaMgaya 3 месяца назад
Kwapembeni namwona mjomba hija khaji mgumya one love jombi
@saidothman6342
@saidothman6342 3 месяца назад
Kama ingekuwa issue ya Usalama tu basi rahisi kuamini ila hapo anananisibishwa na na huyo kiongozi wa Makomandoo aliyeshuka kwenye helicopta hapo...kwa akili ya kawaida tu Kiongozi wa makomandoo tena Kapteni wa jeshi atapat wapi mda wote huo wa kukaa pale Salenda kuuza madafu...ingekuwa amenasibishwa na usalama wa taifa hapo ingeingia akilini
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 месяца назад
Serikali yetu nzuri haswaaa ina ulinzi mzuri sanaaaa
@jillydezanzibar4435
@jillydezanzibar4435 3 месяца назад
Mi sijui kufananisha ila huyu sio yeye" Tusitake kuheadlines
@anthonymgina3893
@anthonymgina3893 3 месяца назад
😂😂😂 wabongo bana mnachunguza sana mnataka msipate tena madafu.
@janetlazarus-kv7rg
@janetlazarus-kv7rg 3 месяца назад
Sio yeye wanafanana tu hata sauti zao hazifanani wabongo bwana😂
@maryamtan682
@maryamtan682 3 месяца назад
Hpn ni yy, rudia yl maijiano utagundua kitu, alikua anajikanyaga kwenye maswali mengine, ujue kuukataa uhalisia wk ni kz.
@subiransasi8029
@subiransasi8029 3 месяца назад
Sauti hiyo ni kwenye maic
@paulmafuru7283
@paulmafuru7283 3 месяца назад
Hapo anaongea kwa ukakamavu mzee ,mwanajeshi mtaani n tofauti na kazin sauti zinakuwa mbili tofauti
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 3 месяца назад
Ndio yeye %98 kama unabisha basi nawe ni mmoja wao we muuza madafu unapata wapi muda wa mazoezi 😂
@MCNgakungaJunior
@MCNgakungaJunior 3 месяца назад
MWAMBA NI YEYE 99%
@micophilemon2080
@micophilemon2080 3 месяца назад
kwenye facial recognition tunaangalia paji la uso, mashavu kidevu, mkao wa pua, ukimchek mwamba pua hahhaaa ikulu sio kila mtoto wa baba ananda eeh
@ngalukomcharo9841
@ngalukomcharo9841 3 месяца назад
Ukitazama vizuri pichani siku akiuza madafu body posture inaonesha kabisa ni mtu mwenye military skills.
@leahdeogratius2069
@leahdeogratius2069 3 месяца назад
Kweli kabisa
@SaidKondo-rw8wb
@SaidKondo-rw8wb 3 месяца назад
Sana sana tu
@raheltimothydoday8990
@raheltimothydoday8990 3 месяца назад
Ni kweli
@WakiliHaule
@WakiliHaule 3 месяца назад
Na kipindi anahojiwa kama ulimfuatilia alipigiwa sim arafu sekunde chache likapita gari ya makomandoo wa jeshi siku ile
@msafirimfilinge8222
@msafirimfilinge8222 3 месяца назад
Ndo mana pembeni wanacheka😂😂😂
@dominickndomba4474
@dominickndomba4474 3 месяца назад
Sio yeye muuza madafu akiongea analamba ulimi lakini huyo commando halambi ulimi huo ndio utofauti wa kitabia halisi sisi wapelelezi tunajua hilo Tanx saaaaana kwa kufananisha
@kutailass6671
@kutailass6671 3 месяца назад
Sio yeye tena hata hawafanani kwa sura pengine tumfananishe rangi tu lkn ni watu wa2 tofaut kabisa
@mudrikramadhani32
@mudrikramadhani32 3 месяца назад
Unashida ya macho
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 3 месяца назад
Pua pia tofaut moja ana pua nene alafu fupi mmoja pua nyembamba ndfu
@AbdulrahmanMwambasi-gh7bv
@AbdulrahmanMwambasi-gh7bv 3 месяца назад
Hata sauti ni tofauti kabisa.
@violettemitchel6772
@violettemitchel6772 3 месяца назад
Nami nimeona Hilo. Pua tofauti kabisaaaa​@@MohamedAhmada-ie7ke
@user-sy1vv6ej1m
@user-sy1vv6ej1m 3 месяца назад
Sisi tuliosoma Cuba 🇨🇺 tulishamjua tangia siku ile ndio mana mnaambiwa msizarau watu
@aliferuzi1537
@aliferuzi1537 3 месяца назад
Hata hivyo tunaoelewa nadharia tulipinge suala HILI LA kumfunua mtu majani hasa waTu nyeti KWA taifa watu kama Hawa hata ukimjua umuachie sio kumtungia, stori
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 3 месяца назад
Umesoma Cuba ata kumtambua mtu huwez tizama pua tu hizo ndio zitakwambia kama ni watu wa wili tafaut
@BOB_SHEBY_NINJA
@BOB_SHEBY_NINJA 3 месяца назад
Now time ajira ni ngumu mpaka COMMANDO anaamuwa kuuza madafu Gonga like basi mbona unapita tu 😂😂
@amosdesdery8482
@amosdesdery8482 3 месяца назад
Mkimpata Tena Niko paleeeee😂😂😂😂😂😂
@jumahamadkali4683
@jumahamadkali4683 3 месяца назад
😂😂😂
@CruzchicagoNyandindi
@CruzchicagoNyandindi 3 месяца назад
Mama abakie yy tu ikuru miaka yote nampenda sana rais wng
@exclusvetztv9011
@exclusvetztv9011 3 месяца назад
Nanukuukwa marehemu ruge mtawba : ugopa sanaa digital 😂😂😂😅😅 usiongepeee utakamatwaa tuu tuu na record hizi sio zana za miaka 10 iliyopita
@iddmussa3763
@iddmussa3763 3 месяца назад
km ni yeye basi ujue swala la kupeleka madafu halikuwa bahati mbaya na swala la yeye kuonekana hapo km kiongozi pia sio bahati mbaya yani kila kitu kimepangwa ila wamefanana zaidi jaribu kuangalia facial features mfano fupa la shavuni utaona kuwa ni tofauti ila utafauti huokwa jamii ya watu hao unaweza ukawa wa kutengeneza pia tujaribu kusikiliza vocal - ila ya huyualiekuwa anaongea kwa mic huipati vizuri ila up and down za sauti kmzinataka kufanana ila yote kwa yote big up kwa vyombo vyetu
@adamrajabu231
@adamrajabu231 3 месяца назад
MUOGOPE SANA MUNGU NA KIASI IOGOPE TECHNOLOGY 😂😂
@davidmigoha1706
@davidmigoha1706 3 месяца назад
Kama watu tofauti basi andaeni interview wote wawili wawepo I will pay
@aliferuzi1537
@aliferuzi1537 3 месяца назад
Lkn hata mwandishi mambo kama HAYA sio ya kufatilia mtu aliejifunika majani usoni mnaharibu Sana ila KWA sababu SERIKALI LABDA Imenyamaz WAANDISHI mambo mengine nyeti mskone natoa story MNAKOSEA nchi
@HamisTerry
@HamisTerry 3 месяца назад
Uko sahihi matumizi mabaya ya habari
@user-kn8pw7vk4e
@user-kn8pw7vk4e 3 месяца назад
Sio yeye 100% hamuoni ata sura ni tofauti
@Safia-hg7pq
@Safia-hg7pq 3 месяца назад
Ni yeye kuanzia sura na hata sauti pia ila watu inabidi wafikirie kwa sababu apo yupo kazini anatekeleza majukumu yake awezi kuongea kama anauza madafu jmn we mwenyew hauogopi tumien akili
@JamilaShabani-oj9rt
@JamilaShabani-oj9rt 3 месяца назад
Mungu awe nanyi makomando wetu😊❤❤❤
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l 3 месяца назад
Niyeye aisee ucje uka mdharau mtu ndomaana yake
@hellennehemia9269
@hellennehemia9269 3 месяца назад
Kabisa
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 3 месяца назад
Au ukataka kupigana na mtu njiani usiyemjua mm nashangaa wewe minazi na madafu wazaramo madafu wanauza waha😂😂😂
@SamwellubigisaLubigisa
@SamwellubigisaLubigisa 3 месяца назад
Usikariri kazi moja,, maisha ni kupambana 😂😂
@user-vl1yt4nb9o
@user-vl1yt4nb9o 3 месяца назад
Achana na sura hata sauti ni ile ile ya kuuzia madafu
@JustusMackenzie
@JustusMackenzie 3 месяца назад
Well done bro I like it
@ElizeusDadira
@ElizeusDadira 3 месяца назад
Unaweza mungu akuzidishie
@user-wb1fg1fk8o
@user-wb1fg1fk8o 3 месяца назад
Kweli video nimeyiludia malanyingi niyeye mungu amutiyenguvu kwanyota yake😊
@lawamajohn2303
@lawamajohn2303 3 месяца назад
Proud of my tz ❤❤
@DanisTindwa-fk2gb
@DanisTindwa-fk2gb 3 месяца назад
Sio mwongo ni kwer kabisa ni yeye.huyo .mwandish mkwer kabisa.
@agriphinasaidi5067
@agriphinasaidi5067 3 месяца назад
😮😮😮😮muuza madafu yuko fiti hivi😮😮😮
@user-yy6gf4my9f
@user-yy6gf4my9f 3 месяца назад
Asante sana ESPERARENCE de TUNIS sisi yanga tumefurahi sana
@godfreydavid6996
@godfreydavid6996 3 месяца назад
Wamefanyaje hao ndugu zetu waarabu 😂
@EdwardJohn-xz5oi
@EdwardJohn-xz5oi 3 месяца назад
Wamempiga adui yetu aliyetudhulumu goli huko south​@@godfreydavid6996
@samimalindimya6211
@samimalindimya6211 3 месяца назад
Wamempiga mtu nje ndani
@mlekwa
@mlekwa 3 месяца назад
😂😂😂😂😂
@vibetz9991
@vibetz9991 3 месяца назад
Ssanaaaaaaaaa😂😂😂😂😂
@FredMlelwa
@FredMlelwa 2 месяца назад
Mungu ibariki Tanzania.🇹🇿🇹🇿
@user-ux9cc5uw8l
@user-ux9cc5uw8l 3 месяца назад
Izo mambo!!!!.......,Yana uzito usiopungua kg70.fananisha utamshi na matamshi ya muuza madafu na komando.ni yeye bana
@AwaziRajab
@AwaziRajab 3 месяца назад
Ayo Mambo Sio Ya Kucholesha Sana Kwenye Mitandao Nazani Inatosha Wana Habari Kuchimba Ayo Mambo Angalieni Mengine
@user-gm1pu8zl7z
@user-gm1pu8zl7z 3 месяца назад
Siioni sababu ya kulitangaza sana jambo hili kama la ajabu sana. Mbona ni kama tunajidhalilisha sana ? Na isitoshe kujifunua Kwa maadui. Atakuwa kwenye wakati mgumu sana kwenye kutekelezanmajukumu yake.
@jakalwambemanyalla6287
@jakalwambemanyalla6287 3 месяца назад
Mpaka sauti
@yordanyona1234
@yordanyona1234 3 месяца назад
Mwenyewe bana
@kassimtanda7321
@kassimtanda7321 3 месяца назад
Dha we jamaa muongo😂😂😂
@jamesgasper6764
@jamesgasper6764 3 месяца назад
Hilo mbona lipowàzi kabisa maana eneo lolote la nchi lenye uongozi wa juu wa nchi au nyala za selikal watu wanaolizunguka jengo hilo asalimia 60 ni askali!! Wauza madafu machungwa fundi viatu wauza magazet wat wa tigo pesa watu wa dini waubil na maustadhi watoa dahawa wote ni askali kanzu ubadilika kutokana na mazingira.
@dorothmungure9393
@dorothmungure9393 3 месяца назад
Aisee umenifundisha kitu kikubwa sana
@TabiaMaheke-sk3ob
@TabiaMaheke-sk3ob 3 месяца назад
Ni yy bwana!sauti,sura isipokuwa rafuzi tu ndo ameikaza kidogo kijeshi
@stanchi138
@stanchi138 3 месяца назад
Pale anatumia sautivya vocal,,tofa
@user-rp1ly4xc8k
@user-rp1ly4xc8k 3 месяца назад
Ni yeye na nimemwangalia vizur adi kulamba mdomo .......hamtamuona tena kwenye hicho kijiwe cha madafu
@grayson348
@grayson348 3 месяца назад
Sio yeye bwana
@helenakamenya8680
@helenakamenya8680 3 месяца назад
​@@grayson348ccm ni mapumbavu mnaleta maigizo ya kipumbavu
@gloriadaniel3827
@gloriadaniel3827 3 месяца назад
Angalia urefu toka kwenye pua Hadi mdomo.
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 3 месяца назад
​@@gloriadaniel3827nilicho kiona mm ndio ulicho kiona ww kuna watu hawajui kumfananisha mtu
@johnbernad3990
@johnbernad3990 3 месяца назад
Huyu jamaa anatochora anataka kutufanya hatujui kitu wakati ni yeye 😂😂😂😂
@suzeynnasebastian8223
@suzeynnasebastian8223 2 месяца назад
Mungu ibaraki Tanzania ukumbusho❤❤❤❤
@kelvincharles4998
@kelvincharles4998 3 месяца назад
Japokuwa kusema ukweli sawa labda kwenye michezo ya NGUMI, KARATE, BOXING kidogo huwa nafanya 😂😂😂 alituonaje aisee 😅😅
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 3 месяца назад
Mwamba katuchuuza mno😂😂😂😂
@AcksunBonifas-mj2sw
@AcksunBonifas-mj2sw 3 месяца назад
kweli ten at me melud kuangalia tena 😂😂
@user-ft3mb2pl7c
@user-ft3mb2pl7c 3 месяца назад
Ni yeye kabisaaaaaaa!
@mosesmanyama-ht3wh
@mosesmanyama-ht3wh 3 месяца назад
mbona mpaka sauti ni ile ile na kuongea kwa hatua vile vile kama muuza madafu msituchoreeee😂😂😂😂
@aikaM74
@aikaM74 3 месяца назад
Daah hadi sauti ni Ile Ile ya kijaluo, wajaluo shikamoo!! 😂
@elreina
@elreina 3 месяца назад
Sauti hazifanani kabisaaa hawa watu wawili tofauti
@jameskamau8438
@jameskamau8438 3 месяца назад
Mimi mkenya nko hapa kusoma kiswahili chenyu chapendeza 😊😊
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 месяца назад
😅😅😅😅😅pande gani huko James
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 3 месяца назад
Kwa jinsi maisha yanavyotupeleka huku kitaa, huwezi kupata muda wa kufanya mazoezi. Maana mshikeshike tu wa kusaka mkate 🍞 wa kika siku ni mazoezi tosha ktk maisha haya yenye mfumo wa kibepari.
@gracerichard8145
@gracerichard8145 3 месяца назад
Hii imenikumbusha kisiwa kimoja hapa mwana dada wawili walikuja kama malaya na walikua wanajiuza kama wengine lkn kumbe walikua ni wanajesh kuna wauaj walikimbilia kisiwan na siku walikamatwa wale jamaa hatukuamin da! Ama kweli jeshi ni hatari hadi nimeogopa zaid
@albastarmkawa-gx8pg
@albastarmkawa-gx8pg 3 месяца назад
Wenda atachamoto alikuwa nacho ilesiku anauza madagu
@AbshirMubaarack
@AbshirMubaarack 3 месяца назад
Huwez kwenda Ikulu kirahc km co part ya jeshi Wakuruhuc raia wa kawaida,halaf baadae ukabwe utoe Siri za mazingira ya Ikulu Weee 😂😂😂😂
@KassimIddi-hr5oq
@KassimIddi-hr5oq 3 месяца назад
Nimeamini ni kweli baada ya kumuona yule aliekua anauza nae yupo kwa nyuma hapo😂
@TheJackriss
@TheJackriss 3 месяца назад
Wamefanana tu ila sio yeye😂😂😂
@AbrahBuraheze
@AbrahBuraheze 2 месяца назад
nakubaliana na wewe
@foundationforcommunityhope7327
@foundationforcommunityhope7327 3 месяца назад
Hii ndio Tz ..... unaweza ukakaa au kuwa pamoja na mtu akiwa kawaida lakini kumbe ...
@user-pv2ez1nd3h
@user-pv2ez1nd3h 3 месяца назад
Ndiyeeee mbwana kabisa
@YajuFilms
@YajuFilms 3 месяца назад
Now wanapambana kuthibitisha kuwa siyo yeye. Ila kumbuka UKIJA BILA GADI UTAPEWA ZA WASTANI
@MafitaOmary
@MafitaOmary 3 месяца назад
Nimegundua huku mtaani kuna makomandoo wengi , kuanzia sasa naanza kuheshimu kila mtu..😅😅
@Senetalkim
@Senetalkim 3 месяца назад
Mimi nilitaka nishangae eti mtu aende kuuza madafu ikulu 🤣🤣🤣🤣 kapitia mlango gani kumbe mtu ni captain wa jeshi tena commando
@kdpretoria780
@kdpretoria780 3 месяца назад
Kumbe ni mtu mbaya 😅 kiongozi 😂😂
@patrickmunishi2277
@patrickmunishi2277 3 месяца назад
ANGALIA KWA MAKINI HAPO MAMA ANESEMEZANA JAMBO NA MHENGA HAPO KUA HUYU NDIYO YULE ALIE TULETEA MADAFU 😂
@nicaswaziri
@nicaswaziri 3 месяца назад
Hivi vyombo vya habari vingine bwana. Ndo maana Huwa vinafungiwa mnatoa siri za nchi. Huo sio uzalendo
@nkurufi
@nkurufi 3 месяца назад
Mnhh ni yeye, na yule mwenzake white wapo hapo wote anamletea karatasi ,hata sauti duuu, safii salama Tanzania
@user-cb8tw1kb1t
@user-cb8tw1kb1t 3 месяца назад
Ndio,hata mi nimehisi hvyo Kwanini azibe sura,,
@dorotheasamwel8071
@dorotheasamwel8071 3 месяца назад
Hii ya kubeba mizigo huwa inarahaa. Sisi tulibeba toka kemondo hadi hadi kishanje..
@patrickKitambo
@patrickKitambo 3 месяца назад
Usicheze na intellegencia ya hii nchi ni hatar sana...
@hawamohammed9740
@hawamohammed9740 3 месяца назад
Mpaka machozi yamenitoka Ila huyu kijana ndie yeye haswa Allah amuhifadhi
@benedictinelusambo069
@benedictinelusambo069 3 месяца назад
Nimefatilia sana jmn hii sauti yani NIYEYE KABISA KHAAAH.😂😂😂
@ferouzmasoud3104
@ferouzmasoud3104 3 месяца назад
Ni yeye huyo na mkimpata tena sijuwi 😂
@msafirimfilinge8222
@msafirimfilinge8222 3 месяца назад
Ndo mana baba levo alituonesha makondo vijana😂😂😂
@HermanNtahilaja
@HermanNtahilaja 3 месяца назад
Jamani huyo siye yeye kwa kuwa wengine tunatoka kijiji kimoja katika wilaya yaBuhigwe. Tumwombee pengine serikali imuone imeendelezwa kwani anao kaka zake wawili wa baba mkubwa wake wote ni wanajeshi
@mrliverpoolynwa7641
@mrliverpoolynwa7641 3 месяца назад
Komando,captain,full bawa💪💪💪
@josephkomba1767
@josephkomba1767 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂 kwanza nicheke
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 3 месяца назад
Sio yeye huyo japo sura zinaendan, sauti ni tofut kabisa na nyuso pia moja ni mzee mzee mwingine muuza madafu ni young kabisa na hana ndevu
@user-rs3zg1wj6q
@user-rs3zg1wj6q 3 месяца назад
Daah muuza madafu yupo mwaka wa pili NIT !!!!! 😢😂😜
@kwisa4899
@kwisa4899 3 месяца назад
Wandishi wa habari watajua hapa kupinga kwambia sio yeye kwasababu African media ndio the most corrupt media kupata kutokea
Далее
Ютуб был хороший...
00:52
Просмотров 379 тыс.
When A Gang Leader Confronted Muhammad Ali
11:43
Просмотров 5 млн
The Rock
8:58
Просмотров 76 млн