Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz #bingoonlinetz #sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
Na Hiyo pia isiwafanye mjisahau kwa kujiona mmemaliza kila kitu "Huwa Allah junudu mafisamawati wal~Ardhwi" Bi maana Allah yeye ndiye mwenye majeshi Angani na Ardhini. unaweza kulindwa Sana na mwisho ukafa Nyuki au Siafu tu. Tendeni haki na mema sio kukandamiza watu Kisha mnaendelea kujitukuza.
Huyo anaekataaa nae inawezekana ni usalama wa taifa😂😂,, ila nimependa Sana mbinu za jeshi letu.. ukauze madafu Bure Bure ikulu,, thubutu,,,,,, Sasa usalama mbadilishe mbinu hii tushaijua😂😂😂... Komando muuza madafu oyeeeee
Sio rahisi kwa raia wa kawaida kupelekwa ikulu inawenyewe hiyo ww fikiria kwa akili ndogo uangue dafu Rufiji ambalo halijahakikiwa akapewe Rais wa nchi mliona wp sisi tuliowajanja tunajua
Kuna jambo lao wanatafuta awa sio bule kwaio ukiwa njiani ujitunze sio kila umuonae ni mtu wa kawaida kwako ao wanaangalia usalam wa nchi chini chini kam nisingemuon apa sku ningekutana nae siku sipo vizuri unaingia kwenye anga zao aisee atakukoa sasa mue walinzi wenyew sio kilA umuonae umzalau ukute wenginne wanafagia barabara we unaon ni washikaji zako unaongea mambo lbda ya bangi wee watakumiga na kukukoa ulinzi wa nnje jmni upo kila mtu awe na uangalifu la sivo mtaishia jera waovu lkn sin uakika nalo 😅😅😅😅 nimependraaaaas😉😉✌👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Huu mtindo wabadiri maana dunia ikombali sana sasa huyu jamaa hawezi ishi tena kwa amani nakufanya kazi yake kwa weredi maana kila mtu mwenye anajua alichokifanya atakuwa anamuogopa kikubwa hawa jamaa wauza madafu wengi niwatu wa mipakani kupitisha watu wabaya nirahisi sana ndio maana wanakuwepo komandoo elewa huyu nikiongozi wakikosi nayuko nao aisee hii in big up sana
Kama ingekuwa issue ya Usalama tu basi rahisi kuamini ila hapo anananisibishwa na na huyo kiongozi wa Makomandoo aliyeshuka kwenye helicopta hapo...kwa akili ya kawaida tu Kiongozi wa makomandoo tena Kapteni wa jeshi atapat wapi mda wote huo wa kukaa pale Salenda kuuza madafu...ingekuwa amenasibishwa na usalama wa taifa hapo ingeingia akilini
Sio yeye muuza madafu akiongea analamba ulimi lakini huyo commando halambi ulimi huo ndio utofauti wa kitabia halisi sisi wapelelezi tunajua hilo Tanx saaaaana kwa kufananisha
Hata hivyo tunaoelewa nadharia tulipinge suala HILI LA kumfunua mtu majani hasa waTu nyeti KWA taifa watu kama Hawa hata ukimjua umuachie sio kumtungia, stori
km ni yeye basi ujue swala la kupeleka madafu halikuwa bahati mbaya na swala la yeye kuonekana hapo km kiongozi pia sio bahati mbaya yani kila kitu kimepangwa ila wamefanana zaidi jaribu kuangalia facial features mfano fupa la shavuni utaona kuwa ni tofauti ila utafauti huokwa jamii ya watu hao unaweza ukawa wa kutengeneza pia tujaribu kusikiliza vocal - ila ya huyualiekuwa anaongea kwa mic huipati vizuri ila up and down za sauti kmzinataka kufanana ila yote kwa yote big up kwa vyombo vyetu
Lkn hata mwandishi mambo kama HAYA sio ya kufatilia mtu aliejifunika majani usoni mnaharibu Sana ila KWA sababu SERIKALI LABDA Imenyamaz WAANDISHI mambo mengine nyeti mskone natoa story MNAKOSEA nchi
Ni yeye kuanzia sura na hata sauti pia ila watu inabidi wafikirie kwa sababu apo yupo kazini anatekeleza majukumu yake awezi kuongea kama anauza madafu jmn we mwenyew hauogopi tumien akili
Siioni sababu ya kulitangaza sana jambo hili kama la ajabu sana. Mbona ni kama tunajidhalilisha sana ? Na isitoshe kujifunua Kwa maadui. Atakuwa kwenye wakati mgumu sana kwenye kutekelezanmajukumu yake.
Hilo mbona lipowàzi kabisa maana eneo lolote la nchi lenye uongozi wa juu wa nchi au nyala za selikal watu wanaolizunguka jengo hilo asalimia 60 ni askali!! Wauza madafu machungwa fundi viatu wauza magazet wat wa tigo pesa watu wa dini waubil na maustadhi watoa dahawa wote ni askali kanzu ubadilika kutokana na mazingira.
Kwa jinsi maisha yanavyotupeleka huku kitaa, huwezi kupata muda wa kufanya mazoezi. Maana mshikeshike tu wa kusaka mkate 🍞 wa kika siku ni mazoezi tosha ktk maisha haya yenye mfumo wa kibepari.
Hii imenikumbusha kisiwa kimoja hapa mwana dada wawili walikuja kama malaya na walikua wanajiuza kama wengine lkn kumbe walikua ni wanajesh kuna wauaj walikimbilia kisiwan na siku walikamatwa wale jamaa hatukuamin da! Ama kweli jeshi ni hatari hadi nimeogopa zaid
Jamani huyo siye yeye kwa kuwa wengine tunatoka kijiji kimoja katika wilaya yaBuhigwe. Tumwombee pengine serikali imuone imeendelezwa kwani anao kaka zake wawili wa baba mkubwa wake wote ni wanajeshi