Тёмный

MWAKINYO Alipuka - "NILITAKA OSCAR RICHARD APIGWE ALALE CHINI, NAMPA POLE MFAUME kwa AJALI" 

Bongo Boxing Safari
Подписаться 28 тыс.
Просмотров 18 тыс.
50% 1

MWAKINYO Alipuka - "NILITAKA OSCAR RICHARD APIGWE ALALE CHINI, NAMPA POLE MFAUME kwa AJALI"
PAMBANO la 'Dar Boxing Derby' limechezwa Juni 29, 2024 katika viwanja vya Posta jiijini Dar es Salaam.

Спорт

Опубликовано:

 

28 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 38   
@allymwinyi970
@allymwinyi970 7 дней назад
Leo Mwakinyo umeongea kimichezo na kiukomavu zaidi Maashallah .Endelea hivyo, acha maneno na majibu magumu. Wakati wa ubinadam, ujamaa na uzalendo kuwa hivyo. Utafika mbali sana ndugu. Be blessed.
@tonnyelias9454
@tonnyelias9454 7 дней назад
Yap yap siku zote nakukataa maneno yako ya ovyo ila leo umeongea kimichezo zaidi naona umekomaa sasa.
@simeonmazigo5918
@simeonmazigo5918 7 дней назад
Ukimkataa wewe anapata hasaragan?😅😅😅😅
@criminalminds7723
@criminalminds7723 7 дней назад
Ulimkataa jeh yeye anakujua Kwanza?pili anakukubali??tafta hela Mzee Baba uache kumkataa mtu ambae hakujui
@user-iq4rv8dq5r
@user-iq4rv8dq5r 5 дней назад
Mwakinyo nishamkosoaga sana juu ya kauli zake akihojiwa Leo Nampongeza sana juu ya mahojiano yake ameongea kikubwa kikomavu zaidi akiendelea hivi atavutia wengi na kujiheshimisha zaidi hata waliokuwa wanampinga watamkubali big up ngumi sio uadui ni mchezo tena hatari kuna kila sababu mabondia kupendana na kuheshimiana.
@user-px3po9lt8g
@user-px3po9lt8g 8 дней назад
Champezz one time two timez all the times
@geofreymwamakula7178
@geofreymwamakula7178 8 дней назад
Big up mwakinyo
@deodaud3478
@deodaud3478 7 дней назад
Kumbe umebadilika make nimependa kauli zako kwa mabondia wenzako kwa leo
@yasrikomba7874
@yasrikomba7874 7 дней назад
Hongera sana
@ahadjuma8356
@ahadjuma8356 7 дней назад
champion 💪💪💪
@fadhilially7357
@fadhilially7357 7 дней назад
SAFI SANA CHAMPEZ
@user-ih7nl5nv3c
@user-ih7nl5nv3c 7 дней назад
jamaakili nyingi sana ongera sana
@fadhilially7357
@fadhilially7357 7 дней назад
UYO MTANGAZAJI MI NAONA ANAWEZA AKAWA SHOGA MASWALI YAKE YA KIKUMA SANA
@user-ij9qb3wx1w
@user-ij9qb3wx1w 6 дней назад
Yan katika siku mwanang umeongea points leo broo umeonesh ukubwa wako na hekima yak kaka
@user-cu8jt9yn8r
@user-cu8jt9yn8r 8 дней назад
We mbna ulisingizia viat ulipo pigwa panya wew
@Ram_1893
@Ram_1893 8 дней назад
Umesikiliza alichozungumza? 😂😂😂
@ogenylaurent7961
@ogenylaurent7961 8 дней назад
Achaga ushangingi wewe
@Matatasaid
@Matatasaid 7 дней назад
Mogadishu haaaaaaaa
@user-st9yq7bl5c
@user-st9yq7bl5c 7 дней назад
Mbona yy mwakinyo hakubadilisha kile ulaya😂,ila ameongea ukweli alafu points
@ce-08
@ce-08 5 дней назад
😂😂😂😂
@barakamwasala228
@barakamwasala228 4 дня назад
Yeye alienda na viatu pea ngapii ulaya alivyosema kiatu kinabana
@user-ij7ti1xd8k
@user-ij7ti1xd8k 6 дней назад
wew ni mkubwa pia sis ni mashabik zako zamani ulikua unaongea point ila cku unazingua japo mi bado nakusapot
@farajibuteta6258
@farajibuteta6258 7 дней назад
Umekomaa eeeh endelea kuleta mdomo
@kastorymalila1109
@kastorymalila1109 7 дней назад
Saiz umeanza kuwa na akili mbwa wew
@AWADHIHEMED-y1c
@AWADHIHEMED-y1c 12 часов назад
wetwaha acha upuuuzi nitakupiga uka dondokeee kilosa
@StevenDaniel-dc6cy
@StevenDaniel-dc6cy 8 дней назад
Ww xikia vzr hio Crip usilopoke mwakinyo wap alipo mcrashi MTU na kumsema hajafanya vzr 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-wj9cy9bg8u
@user-wj9cy9bg8u 7 дней назад
Sasa ww kiatu c kilikubana ujeruman hukuwa na 2pair? Broo
@khalifasaidi4181
@khalifasaidi4181 7 дней назад
Kumbe via2 pea mbili mbona uk ukubadili
@ce-08
@ce-08 5 дней назад
😂😂😂
@masoudhamad1592
@masoudhamad1592 6 дней назад
Mtoto wa Fatma Kungwi siku zote huongea pumba... eti"Apigwe aanguke" Acha roho mbaya dogo
@user-ze8hp1ls6t
@user-ze8hp1ls6t 7 дней назад
Mwakinyo ww mduanzi kwer ww mbona ulisingizia viatu vimekubana ulikuwa hujui kubeba viatu pea mbili
@mohammedsaid8859
@mohammedsaid8859 8 дней назад
Yeye viatu vingine alieka wapi
@ogenylaurent7961
@ogenylaurent7961 8 дней назад
Kwenye matako yako
@ibvisions4321
@ibvisions4321 7 дней назад
​@@ogenylaurent7961jibu zuri
@bilalabas9636
@bilalabas9636 7 дней назад
Ww mbona ulisema kiatu kinakubana na hukubadilisha kama Sheria ni lazm bondia awe na peir mbili mbili?
@user-jn7ft6zp7u
@user-jn7ft6zp7u 7 дней назад
Sheria inasema kama refa akiridhia ubadilishe kiatu basi utabadilisha.
@user-ze8hp1ls6t
@user-ze8hp1ls6t 7 дней назад
Mtoto Mchele mchele
Далее
HAKUNA NDOA
11:49
Просмотров 235 тыс.
야차룰 2대1  #valetudo #2vs1
0:58
Просмотров 7 млн
DO NOT Dunk Here ❌🏀
0:20
Просмотров 9 млн
ERALI VS ABDUROZIK FULL VIDEO
22:40
Просмотров 649 тыс.