MWAKINYO Alipuka - "NILITAKA OSCAR RICHARD APIGWE ALALE CHINI, NAMPA POLE MFAUME kwa AJALI" PAMBANO la 'Dar Boxing Derby' limechezwa Juni 29, 2024 katika viwanja vya Posta jiijini Dar es Salaam.
Leo Mwakinyo umeongea kimichezo na kiukomavu zaidi Maashallah .Endelea hivyo, acha maneno na majibu magumu. Wakati wa ubinadam, ujamaa na uzalendo kuwa hivyo. Utafika mbali sana ndugu. Be blessed.
Mwakinyo nishamkosoaga sana juu ya kauli zake akihojiwa Leo Nampongeza sana juu ya mahojiano yake ameongea kikubwa kikomavu zaidi akiendelea hivi atavutia wengi na kujiheshimisha zaidi hata waliokuwa wanampinga watamkubali big up ngumi sio uadui ni mchezo tena hatari kuna kila sababu mabondia kupendana na kuheshimiana.