Nilijuwa niko peke yangu mwenye shauku ya kumuona Mch.Mbarikiwa Mwakipesile akiwa MP(Member of Parliament),naamini ipo siku atakuwa kama atajaaliwa uhai na afya njema,ikibidi awe Mr.President.
Wakiwa kumi bungeni lzima linyooke huku m mbarikiwa. Tundu lisu. Heche.myika.sugu. pambaru. Abdu nondo.mwanamapiduzi. mbowe. Mpina. Nawegine wengi lazima haki iwepo.mwisho rais mwabukusi.madereka.kibatara.na wengine nchi lazima iwe na haki
"Tochi ya Mlinzi" kweli hakukosea! alijua kabisa kwamba ulisema 'Allah wakbar' Ukiwa na malengo ya kukubaliwa na Waislamu pia. Kwa malengo ya kisiasa Sasa imekuwa wazi unatamani Kuingia kwenye Siasa 😂😂 Nenda lakini usituharibie Imani Katika Kristo na kupotosha Neno.
Kama hakukosea kwa nini hajajibu? Yule kijana ana akili. Alipoona nimemuwekea Clip yote alitambua kuwa alikurupuka kumkabili Mbarikiwa. Amewaacha misukule mnashangilia kupewa pumba
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Kumbe wewe huna akili. Mpuuzi. Amekuhitaji mfanye mdahalo UMEKIMBIA. NENDA KWENYE CHANNEL YAKE. AMEKWAMBIA UMJIBU ILI MFANYE MDAHALO LAKINI WEWE NDIO HUJAMJIBU MPAKA LEO 😂😂 KILA MTU ANAKUSHANGAA MBARIKIWA
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Huyo Tochi ya Mlinzi nakumbuka alikuja kutufundisha MAKUMIRA UNIVERSITY Somo la Imani, jamaa ana Nguvu za Mungu. Yaani huku anafundisha watu kwenye Viti wakawa wanatetemeka na Vilio😢😢😢😢 Ukumbi wote ukawa na Vilio mpaka akshindwa kuendelea kufundisha. Dah sintasahau hiyo Siku Katika maisha yangu Kuna dada alikuwa anatatizo la Pumu alikuwa anavaa kifaa Fulani, Siku hiyohiyo akatupa kile kifaa
@@Mbarikiwa_Mwakipesile mbona ulimsifia Cassiani baada ya Tochi ya Mlinzi Kukushugulikia? Ulimuwahi Cassiani Ili naye asione Ili asikuseme si ndiyo ? We Kijana una matatizo sana. KUBALI mdahalo na Tochi ya Mlinzi hutakaa usahau.
@Mbarikiwa_Mwakipesile Alafu wewe pia ni kijana kabisa, una miaka 40. Pia Wala hajatazama hiyo Link uliyomuwekea. Alishasema hakuna Neno linatosha wewe kujitetea Kwa Ujinga uliotaja kwahiyo hajaona haja ya kutazama Upotofu wako na hiyo Misukule yako uliyoipanga humo ndani@@Mbarikiwa_Mwakipesile
Yaaani ccm wakiona hivi wanaumia balaa BABA SONGA MBELE HUNA SILAHA ILA UNA MUNGU NA HAKI INAKUSHUHUDIA KABISA MBARIKIWA NI JITU LINALOOGOPESHA WAOVU WATAELEWA TU
Hakuna MTU awezaye kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati moja ,jua mchungaji unaendelea kutokomea kabisaaa ! Mtumikie Bwana mungu wako tu na ya kaisari mpeni kaisari ya Mungu mpeni Mungu !
Roho ya Daniel wa bibilia ipo ndani ya Mchungaji mbarikiwa,nina imani Mungu cku moja atamweka katika ngazi ya juu ya Maamuzi ndani ya hii serikali ya Tanzania