Siasa ni mfumo wa uongozi katika jamii. Chama ni mapatano ya jamii fulani yenye mlengo unaoendana. Sikatai siasa kwa sababu hata kanisani au nyumbani tunaenda kwa utaratibu kwa sababu ni siasa. Ila nakataa kujiunga kwenye chama au jumuiya ambayo msingi wa kweli wa mioyo na maisha yao si haki bali kupata ulaji. Mkitenda haki nitawaunga mkono wewe au chama chako.
@@Mbarikiwa_Mwakipesile aya nimekuelewa,,baki msikilizaji wa siasa,,ila naamini haki hutafutwa kwenye kundi Fulani aijalishi ni kundi LA chama gani,,siasa ni maisha,,siasa haikwepeki,,
Anawahubiria watu, siasa inawahusu watu, maendeleo yanawahusu watu, haki inawahusu watu, mahubiri yanawahusu watu na mbingu inawahusu watu@@benjaminlijongwa3715
Ni vigumu sana chama cha siasa cha Kiafrika kuamini na kuishi katika haki tu na kikashinda. Zaidi ya hayo ni rahisi kuona mwenye haki akibadilishwa kuwa mwovu akijiunga na chama cha siasa kuliko yeye kuwabadilisha waovu.