Тёмный

MWANAFUNZI ALIYEONGOZA TANZANIA ALIOMBA KUONANA na HAYATI MAGUFULI, RAIS SAMIA ATAJWA... 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 37 тыс.
50% 1

MWANAFUNZI ALIYEONGOZA TANZANIA ALIOMBA KUONANA na HAYATI MAGUFULI, RAIS SAMIA ATAJWA...
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) leo Jumamosi Oktoba 30, 2021 limetangaza matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba mwaka 2021 ambapo mwanafunzi aliyehitimu shule ya msingi St Anne Marie iliyopo mkoani Dar es Salaam, Eluleki Evaristo Haule limemtangaza ndiye aliyeibuka kinara katika matokeo ya mtihani ya Darasa la Saba 2021.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Опубликовано:

 

29 окт 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 38   
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 2 года назад
Akamuonee mamaetu janett
@dastanmhagama3482
@dastanmhagama3482 2 года назад
Ongera sana mwalimu mkuu nakuekewa sana ukopoa sana mungu akufanyie wepesi kwenye Mambo yako
@lucylyimo4575
@lucylyimo4575 2 года назад
Mungu Ni mwema kila wakatii na pongezi Sana kwa St Anna Maria academy nawapenda Sana najivuniaa kemila Wang kusoma St Anna maria
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 2 года назад
Mashaallah ongereni walimu na mwanafunzi nawengine wote msikate tamaa wote mpo vizur
@matatomlik1846
@matatomlik1846 2 года назад
Maashallah maashallah
@dorisedom7358
@dorisedom7358 2 года назад
Pongezi zangu ziende kwa wanafunzi wote Tanzania waliofaulu bila kujali nani amekuwa wa kwanza kitaifa.
@gradnessshitindishitindi4881
@gradnessshitindishitindi4881 2 года назад
Mungu msaidie na mwanangu piaa
@benedictojoseph8172
@benedictojoseph8172 2 года назад
St. Anne Marie on top,,!
@rahmarahma920
@rahmarahma920 2 года назад
Hongera mtoto mzuri
@anastaziasebastian2302
@anastaziasebastian2302 2 года назад
Hongereni sana.
@teddyhenry2579
@teddyhenry2579 2 года назад
Mungu mkubwa hongera mno mwalimu mkuu ulitujengea watoto wetu mazingira ya kujiamini ndio maana tulivyokuja kuwachukua baada ya mitihani kila unaemuuliza anakuambia ni wakawaida tusubiri matokeo
@deopatrice2578
@deopatrice2578 2 года назад
Hongera sana kwake
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 2 года назад
Mpelekeni akazuru kaburi LA mpendwa marehemu magufuli.
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 2 года назад
Masha Allah
@kiri5807
@kiri5807 2 года назад
matokeo yenyewe yakupangwa skuli bora zinachaguliwa wanalisha rushwa ili kibiashara itajikane na watu waje kwa wingi .
@sinevictor8462
@sinevictor8462 2 года назад
Ikiwezeka kwa kumpa moyo akamsalmu janet jpm
@hamisayusuph5966
@hamisayusuph5966 2 года назад
Hongereni sana walimu wote
@veronicathomas89
@veronicathomas89 2 года назад
Kweli Kochi sahihi no muhimu sana,hili kuna pahali limenigusa
@agiasaidi5294
@agiasaidi5294 2 года назад
MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH
@lelasalum555
@lelasalum555 2 года назад
Mashaalh
@nsiaelieza9568
@nsiaelieza9568 2 года назад
Mdomo unaumba. Tujifunze kujitamkia matamshi mema kama mwanafunzi huyu.
@mariganehemia6270
@mariganehemia6270 2 года назад
Nice
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 2 года назад
Ongera mwalm mkuu kwa usimamiz mzuri darasani
@stellangowi964
@stellangowi964 2 года назад
35
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 2 года назад
Natamani mwanangu nimlete hapo school ila dah sijajuw ada ni shingap
@donkabeho2375
@donkabeho2375 2 года назад
Ada bei gani jamani
@geraldomwai4405
@geraldomwai4405 2 года назад
Napongeza mwalimu mkuu kwajitiada
@simonikita8596
@simonikita8596 2 года назад
Uh
@nangeboy5313
@nangeboy5313 2 года назад
Nyie muoneni hivo tuu ila amechapwa fimbo mno darasani huyo
@worldtv9049
@worldtv9049 2 года назад
Nilidhan katoka kwenye Elimu bure,
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Magufuli ameshaondoka no more free
@seifmohamed836
@seifmohamed836 2 года назад
Corona shv tumuacheni Rais mwenyewe
@newgardentv6026
@newgardentv6026 2 года назад
Bei za ada zenu
@leticiakagoro1544
@leticiakagoro1544 2 года назад
2.4M kwa mwanafunz wa day primary
@newgardentv6026
@newgardentv6026 2 года назад
@@leticiakagoro1544 ni mwaka mzima au
@charleskhan7491
@charleskhan7491 2 года назад
Hi
@celyndavid5226
@celyndavid5226 2 года назад
Fafanueni kuhusu ada zenu ili nasi tuweze kuwaleta watoto wetu
@dorisedom7358
@dorisedom7358 2 года назад
Pongezi zangu ziende kwa wanafunzi wote Tanzania waliofaulu bila kujali nani amekuwa wa kwanza kitaifa.
Далее
КРЫЛЬЯ - ЗЕНИТ: все голы
01:00
Просмотров 94 тыс.