Daaaah! Machozi yamenitoka, nimeumia sana, watanzania sisi ni wamoja, ni ndugu, kwa nini kuumizana hivi? Mama Samia Mungu akupe hekima kama mfalme Suleiman uiongoze hii nchi. Tunakupenda sana mama Samia, kika siku tunakuombea Mungu akupe afya na hekima uliongoze hiki taifa letu la Tanzania
Being honest Makonda you are true and servant of God, I believe that you will still maintain and protect president magufuli's legacy, thank you so much man of God Makonda❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante Mungu kwa kutuletea zawadi hii ya kijana Mpole mnyenyekevu msikivu na mwenye umakini kijana wetu Paul Makonda Mungu akulinde akuzidishie miaka mingi
Mungu akushikilie Paul Makonda,,,, Afya njema akujalie ,,,, akusamehe ulipowahi kosea ,,, akupe fursa ya kutumika kwa ngumvu nyingi ,,, Mungu akuinue mpaka vilele vya juu,, uongozi ni kugusa hisia na hali za watu,,, Blessed abundantly my sencere prayer,,, Amen.
Binafsi namuona Magufuli ndani ya Makonda, kama dhamira yako iko hivyo kutokea ndani.mimi kama mtumishi wa Mungu,nakuombea Mungu akuinue siku moja uje kuiongoza nchi hii, maana haipingiki, kua Tanzania ilipofikia ,inahitaji Rais wa aina ya Magufuli na makonda.Mungu akulinde na kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa kwa jina la Yesu kristo, aaamen
Rais Samia kipekee nakupenda sana.hekima uliyoitumia kumteua Makonda kuwa Mwenezi na kuanza kuzunguka na kuona mambo yanayotendeka.ubarikiwe sana Mama.Na pia Makonda Mungu akulinde na kukutunza.
Asante sana mweshimiwa MAKONDA Mungu azidi kuku bariki pia aku ongezeye hekima nama arifa yaku tenda majukumu yako kwa ajili ya taifa la tanzania.ni ELIA SHABANI KING toka inji ya DRC CONGO
Niliwaaambiaa watu Tanzania inapendwa na Mungu...Asante mama Samia kumuona kijana huyu ...Paul Makonda kumleta Tena Kwa wananchi wote ili awasaidie...Mungu akulinde makonda
Na kubwa mmmmno ila mungu atamlipa hapa duniani na kesho ila mungu mpe umri mlefu makonda na waziri mkuu maana mama wanamdharau sana live bila kificho Allah ilinde nchi yangu 🤲
Kwanini mambo haya yanaendelea kufanyika katika maisha ya watanzania hawa!? Mh. Makonda una kazi ngumu sana. Mungu akutunze, na maadui zako wapeperushwe.
makonda tunakuomba ukawe rais wa awamu ijayo tunakuombea tu mwenyez mungu awe pamoja nawe pamoja na viongozi wote mungu awabariki samia tunakupenda sana
Mungu akutunze akupe afy njema maisha marefu kizaz chako kiepushwe na mabaya yote Mimi ni mwananchi wako tu naitwa mama irene wa mto wa mbu ninamuomba mungu akuzingire kila utakapo kwenda
Mungu kujalie makonda akuna mkuu wamkoa tanzania mdano wamakonda mungu akuweke itokee sikumoja ukahamuriwa na raisi ujetanga tanga kumeoza tanga nishida sinalakusema mungu akusimamie
Jamani nimejikuta machozi tu yananitoka. Nyie viongozi ambao hamtendi haki kwa wananchi wetu hayo machozi wanayolia hakika siku moja yatalipwa.Muogopeni Mungu.
Haijawahi kutokea Kiongozi wa Juu kufanya anayoyafanya Rais Samia na nauhakika atayafanyia kazi mengi ambayo Makonda anayapata machungu ya Wananchi . Hongera Mh.Rais Samia Hongera Mwenezi Makonda.
Makonda jamani Mungu akubariki sana miye siko mutanzania lakini unanifurahisha ohhhhhh Makonda muzulisana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Mungu akupe mbinguni
Pole kwahuyo jamaa kwakukwatwa namapanga pole kwaote waliopoteza Ndugu zao kutokana nahilo tukio ,pia pongezi kwamakonda kwamoyo alionao mungu azidi kumpa maisha malefu yenye baraka ,baviongozi wengine waige mfano huo
Siku zote huwa nasema kwamba Uongozi ni Karama kutoka kwa Mungu. Na yeyote mwenye karama hiyo huyaona yale ambayo wengine hawayaoni. Mungu akulinde Katibu mwenezi wa chama cha CCM Paul Makonda.
hii video imenitoa machozi sana watu wanateseka makonda yawezekana uteuliwa na mungu kwa ajili ya wanyonge wa nchi hii pambana kwa ajili ya taifa la wanyonge
Jamani asee Mungu atusaidie kweli nimeamini mwenye haki haachwi. Mungu ni muaminifu na amesema neno lake halirudi bure akikuambia nitakutetea anamaanishaa