Watanzania niwaambieni huyu kijana wetu makonda ni zaidi ya hakimu nawaambieni angalieni maamuzi yake huyu ni mungu amjalie azidi kuwasaidia waonewaji ameni
Kama kila mtendaji kila wizara serikalini wangefanya kazi zao fair and square. Makonda hangekua anasumbuliwa na wananchi wenye matatizo. Hii inaonyesha kwamba watendaji wamefail kwa kiwango kikubwa. Ni mungu na viongozi wenye kumwogopa mungu kama kina makonda ndiyo watakaowasaidia wananchi hawa
Inamaana kapun ya matreckta ilichujua mkopo mkubwa wa matrakta kupitia viwanja vya watu masikini uwiiiiii kwahiyo TIB walimpatia huyo huyo Hujeee pesa nyingi kupitia hati za wanachama wa sacos jamani hii inch😢😢😢😢😢😢😢
Kikubwa nikufunga TAWI hakuna watalamu wanaojua kazi hiyo. Naa pia wazee warudishwe haki zao. Hawo watalamu wanafanya biashara Hela za watu kwa riba kwa watu wengine kwa mkataba wa miaka kazaa.