Тёмный

DUH! MAKONDA AFUNGUKA KUNUNUA KESI YA WAZEE WANAOSHIKILIWA NYUMBA ZAO na BENKI - "HAWADAIWI" 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 76 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 76   
@AbdulAmir-p7v
@AbdulAmir-p7v 4 месяца назад
Munguakujarie Makonda Amin Mabaria Wasahuziafrika Tunapijasaruti Munguakuweke Duniani Amin🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️♥️☝🏿☝🏿🤘🤘🤘🇿🇦🤘🇹🇿🙏🙏🙏☝🏿
@kutailass6671
@kutailass6671 3 месяца назад
😂😂😂😂 kama kuna mtu hakuelewa mapema hii comment kama mimi, aseme tu ukweli😅
@emmymshomi8893
@emmymshomi8893 4 месяца назад
Elimu ina umuhimu mzeee yupo vizuri sana . Ukishindwa kujieleza nchii hii haki inapoteaa shwaaaa
@joycemmassi5046
@joycemmassi5046 3 месяца назад
Hongera sana Makonda kazi yako si bure, neno linasema " HERI WALIO WAPATANISHI MAANA HAO WATAITWA WANA WA MUNGU" Pambana baba Tunaiuimbea sana
@OscarGregorymosha
@OscarGregorymosha 3 месяца назад
Makonda nakuombea Sana Bwana Yesu Akufunike kwa dam yake Majangili wasikuone
@paullala9338
@paullala9338 4 месяца назад
Mungu ibarik tanzania, mungu ibarik afrika, mungu mbariki makonda
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 4 месяца назад
Hivi mkuu wa mkoa wa dodoma yupooooo jamman mbona dododma twadhukumiwatuuu lakin kimyaaaaaaaaa
@RehemaMkumbo-of5jo
@RehemaMkumbo-of5jo 3 месяца назад
Uko vzr,hakika yesu hata uacha mguu wako unaswe atakulinda kila uendako
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 3 месяца назад
My mentor. Mungu nipee nafasi niweze ku deal na watu wa aina hii
@MartinLaban
@MartinLaban 3 месяца назад
Naomba siku moja uwe mkuu wa inchi turudishe heshima tena Duniani
@FundiKadege
@FundiKadege 3 месяца назад
Makonda mungu akubariki chapa kazi tuko nawe
@AngelaZakeo
@AngelaZakeo 3 месяца назад
Rais ajae Paul makonda mungu atusaidie uishi miaka mingi watanzania tunapenda kusikilizwa kero zetu na zitatuliwe
@CharlesKalisa-p1g
@CharlesKalisa-p1g 3 месяца назад
Dah! Makonda unajua kuwanyosha ❤❤❤
@AzaeliMbise
@AzaeliMbise 3 месяца назад
Makonda asante sana kwa kusimamia haki za watu vizuri.
@EmmanuelMagai-z3x
@EmmanuelMagai-z3x 3 месяца назад
❤Nakupnda ❤❤ makonda!! Chukua Fomu ya Urais
@GeraldMkono
@GeraldMkono 3 месяца назад
Kaka Mimi nakupenda san mungu akupe maisha marefu kaka makonda mungu akulidee
@SolomonElias-df4vk
@SolomonElias-df4vk 3 месяца назад
Makonda mungu akurehem sana katika huongoz 25:02
@IsmailChuwa-hz2ls
@IsmailChuwa-hz2ls 3 месяца назад
Watanzania niwaambieni huyu kijana wetu makonda ni zaidi ya hakimu nawaambieni angalieni maamuzi yake huyu ni mungu amjalie azidi kuwasaidia waonewaji ameni
@GeraldMkono
@GeraldMkono 3 месяца назад
Jpm hongera san
@Dennoh-s6i
@Dennoh-s6i 28 дней назад
Makonde saidia wnanchi wpate haki❤
@ismailchami358
@ismailchami358 4 месяца назад
Mungu akubariki Kaka yangu Makonda
@songeza
@songeza 4 месяца назад
RC pole kaza Buti uko vzuri dah ungewekwa wakati ule makamo ungekua rais dah nafasi Bado ipo
@rosetippe
@rosetippe 2 месяца назад
Why your not presida aka Rais heshima kwako kaka
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 3 месяца назад
Kama kila mtendaji kila wizara serikalini wangefanya kazi zao fair and square. Makonda hangekua anasumbuliwa na wananchi wenye matatizo. Hii inaonyesha kwamba watendaji wamefail kwa kiwango kikubwa. Ni mungu na viongozi wenye kumwogopa mungu kama kina makonda ndiyo watakaowasaidia wananchi hawa
@samanyaswai
@samanyaswai 3 месяца назад
Kweli Uongozi Ni Wito Huu Ndo Wito Sasa. Pambana Kiongoz MUNGU Yu Upande Wako.
@LightnessBosco
@LightnessBosco 3 месяца назад
Makonda MUNGU akuweke miaka mingi mno nimempenda huyu baba kuongea san tn kwa ujasili mno
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 4 месяца назад
Daah asee 😢😢 kusema kweli ina sikitisha 😢
@rehemanifasha5524
@rehemanifasha5524 4 месяца назад
Sana
@Isackhamka
@Isackhamka 3 месяца назад
acha tukupe utetezi wawa nyonge 😭😭😭😭👏
@musicheals1545
@musicheals1545 4 месяца назад
nonsense, mna mute nini sasa hiyo sauti
@IsmailChuwa-hz2ls
@IsmailChuwa-hz2ls 3 месяца назад
Huyu makonda ni nikama marehemu magifuli kabisa anafanya vizuri
@marymremi1051
@marymremi1051 29 дней назад
Tanzania inawatu wa ajabu hawathamini maisha ya watu wengine
@IsmailChuwa-hz2ls
@IsmailChuwa-hz2ls 3 месяца назад
Makonda mungu akubariki
@Gracedori
@Gracedori 2 месяца назад
Secos toa kadi za wananchiiiiii, na waache kuchezea vichwa vya watu
@samuelmiryango3524
@samuelmiryango3524 3 месяца назад
Tatizo makonda uwezikuwa rais mabebero watakuuwa maana hawampendi mtu kama wew
@sylvanjosam3402
@sylvanjosam3402 4 месяца назад
Wazee wa hivo ukienda nawo mahakmani wanakuacha ndani 😂
@chire4574
@chire4574 4 месяца назад
Iyo uwa inakuja najina ya kampuni halafu ww ndo unabadilisha
@deocharles9840
@deocharles9840 3 месяца назад
Kazikazin tumepata mtu,Asante Mungu
@MussaissaBukagile
@MussaissaBukagile 3 месяца назад
Ongereni mkoa wa Arusha kwa kumpata kiongozi bora
@susananyasani6526
@susananyasani6526 4 месяца назад
Mheshimiwa Makonda huwo ni Wizi wa Fedha kutoka kwa Wananchi wanyonge asante
@alexsambia3046
@alexsambia3046 4 месяца назад
Mzee mngu akujalie umri mrefuu zaidi nimekupnda bure
@JeanBaptisteBasumingera
@JeanBaptisteBasumingera 3 месяца назад
Data zangu zote zinaishia kwa makonda from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 4 месяца назад
Inamaana kapun ya matreckta ilichujua mkopo mkubwa wa matrakta kupitia viwanja vya watu masikini uwiiiiii kwahiyo TIB walimpatia huyo huyo Hujeee pesa nyingi kupitia hati za wanachama wa sacos jamani hii inch😢😢😢😢😢😢😢
@nicksonmusa3457
@nicksonmusa3457 4 месяца назад
Veepee tena hiyoo sautii wasafii mnaficha nn
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa 4 месяца назад
Bando letu cjuiii yapojeeee haya
@bukharyally
@bukharyally 4 месяца назад
Mheshimiwa makonda pole ila wengi wanaumiuzwa sana
@WitnessChristian-t7i
@WitnessChristian-t7i 4 месяца назад
Mtetezi wa haki za wanyonge Mungu akutunze.
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 3 месяца назад
Mh. Kazi ipo .makonda tukuombee sana
@Ladha_ya_Mashairi
@Ladha_ya_Mashairi 4 месяца назад
Wasaf mnazingua saut vp wazeee mnatunyima raha
@PartySekemi
@PartySekemi 4 месяца назад
Mheshimiwa rais wa mkoa Fanya mambo watu wakanyagane si wameona yesu
@eliathomas8446
@eliathomas8446 4 месяца назад
Roho mbaya tuu kwani wewe inakuhusu nn?
@rosetippe
@rosetippe 2 месяца назад
Not true.... Km ni sakos lazima wote waliope wote ...
@AllberthaIgango
@AllberthaIgango Месяц назад
Waweke ndani kidogo mh
@bukharyally
@bukharyally 4 месяца назад
T.i.b.amkamate sacos .wazee hawana kesi
@RajabuHussein-to7jz
@RajabuHussein-to7jz 3 месяца назад
Natamani makonda Aje morogoro
@MartinLaban
@MartinLaban 3 месяца назад
Bando mi sitakubali kuishiwa kwa kumsikiliza makonda
@joojombi2341
@joojombi2341 2 месяца назад
Sauti mbna mchoko jmny
@MasokaNihatu
@MasokaNihatu 3 дня назад
Makonda nimwamba kwelikweli
@PaulShija-r4g
@PaulShija-r4g 4 месяца назад
Naona chawa wa makonda yupo pembeni
@chriskudilla5355
@chriskudilla5355 4 месяца назад
Piga kazi mkuu
@AminaTanzania
@AminaTanzania 3 месяца назад
Makonda ndoo mangufuri wa piri anawanyoosha wajanjawajanja
@OfficialTadeo
@OfficialTadeo 4 месяца назад
Mama huyu mtu apewe uwazili tu
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg 3 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg 3 месяца назад
Makoda oyeeeee
@monicachacha455
@monicachacha455 3 месяца назад
makonda chapa kazi
@ryangratius623
@ryangratius623 3 месяца назад
Huyo dada anacheka tu
@ShabanKarim-tv3vn
@ShabanKarim-tv3vn 4 месяца назад
Wewe unasitahili kuwa raisi waici
@husseinidd5751
@husseinidd5751 4 месяца назад
Afisa ushirika yuko vyema,Anajiamini
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 3 месяца назад
🤔🤔🤔🤔🤔
@jamesk2212
@jamesk2212 3 месяца назад
Maana ya rc kwa kefu nini
@emmailakozimana8257
@emmailakozimana8257 3 месяца назад
Regional Commissioner
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 4 месяца назад
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@martinamahenge4476
@martinamahenge4476 4 месяца назад
Blood hell 😅😅😅
@OmbeniZavalla
@OmbeniZavalla 2 месяца назад
.
@Christophermagesa1985
@Christophermagesa1985 3 месяца назад
Wasafi nyie ni wajinga yaan mnakata badhii ya maneno!
@PeterMaseko-m6s
@PeterMaseko-m6s 4 месяца назад
Kikubwa nikufunga TAWI hakuna watalamu wanaojua kazi hiyo. Naa pia wazee warudishwe haki zao. Hawo watalamu wanafanya biashara Hela za watu kwa riba kwa watu wengine kwa mkataba wa miaka kazaa.
Далее
BAKWATA: Mwiba mzito kwa Waislam Tanzania
43:19
Просмотров 10 тыс.
TENZI ZA ROHONI - Usinipite mwokozi
6:46
Просмотров 2,6 млн