Тёмный

MWENYEKITI AMVIMBIA LAIVU MAKONDA, CHEKI WALIVYOCHENJIANA MBELE YA WANANCHI 'NIFUNGE PINGU' 

Uhondo TV
Подписаться 605 тыс.
Просмотров 83 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

30 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 140   
@Robust78
@Robust78 3 месяца назад
Pole sana ndugu mwenyekiti. Hayo yanayokukuta nimatokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa yaliyopita. Ulipowekwa uliona raha sasa hivi utamu umekua shubiri.
@Mainda-q5b
@Mainda-q5b 3 месяца назад
Umenena vyema lakini nae hakuwa makini kwenye kiti chake
@Jey-zh9tk
@Jey-zh9tk 3 месяца назад
Uyo kaka apewe ulinz plz na ntamlipa bodyguard wake.
@mussaharun7257
@mussaharun7257 3 месяца назад
Ukiskia responsible citizen ndo huyu sasa
@sebastianmusyebi-yv1hm
@sebastianmusyebi-yv1hm 3 месяца назад
Mwenyekit labda alipita bila kupingwa hyu hata kaz hajui
@DottoMalago
@DottoMalago 3 месяца назад
Tatizo ni wananchi wenyewe,kufanya ushabiki kwenye kuchagua viongozi,bila kukumbuka kwamba,wanapomchagua kiongozi,wanachagua mtu anayewaamilia waishi vipi,ktk kipindi cha uongozi wake,sasa akiwa si mkweli au hajui anachokifanya,hasara ya miaka mitano,akiwa mchapakazi ni faida kwa miaka mitano,hivo unapofika wakati wa uchaguzi,tuache kuwa vipofu ghafla na tuache ushabiki wa kijinga,
@MjuniLaulian
@MjuniLaulian 3 месяца назад
Wewe unae sema tumpe urais unajitambua au maigizo Aya ndicho kipimo Cha urais wasiojukikana ukiwapa nchi matokeo yake nini
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 3 месяца назад
Huyu kama si Makonda basi ni chawa nene lakini lisilojitambua wala kuwatambua wengine. Hata hivyo, tangu urais ugeuke urahisi, hata kuku anauweza kwa sababu hakuna kuwajibika. Kama rais mzima anatetewa na chawa unategmea nini tena? Kama mazwazwa kama Mwigulu na PhD zao feki ndo washauri wakuu wa rais, untegemeani?
@deohank5995
@deohank5995 3 месяца назад
Nimeamini wananchi wa Tanzania siyo WAJINGA ni MUDA TU , hongera Mh. Makonda
@nicodemuswidambe5132
@nicodemuswidambe5132 3 месяца назад
Hii staili ya kuongoza kwa nchi hii ni ngumu. Hiki kitu kinatoka wapi?
@SalumAndallah
@SalumAndallah 3 месяца назад
Hongera mh Makonda ,Mungu Akuepushe na mabaya yote
@DorikasiMwakabela
@DorikasiMwakabela 3 месяца назад
Hiyo nikweli kabisa mtawala nimchungaji
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 3 месяца назад
Makonda analazimisha na kutaka sifa. Kwanini asitumie taratibu za kiofisi badala ya kujimwabafy? Bado anaishi kwenye zama za mwendazake ambaye naye alikuwa na mazabe yake. Hili jinga linamzuiaje mtu kuchukua fomu wakati ni haki ya kila mtanzania? Yeye alichukua fomu Kigamboni akachemsha pamoja na kuonywa lakini hakuzuiliwa. Makonda ni wa hovyo japo wengi wanamuona anafaa. Mteule wa rais anapata wapi mshipa kumzuia mtu kuchukua fomu? Kwanini huyu zwazwa anawaumiza wananchi kutaka kufanya kampeni baada ya muda unaoruhusiwa kisheria? Ona anavyojisifu na kuwatuhumu mambo ambayo hata hana ushahidi nayo. Samia amekuwa wa hovyo au asiyefuatilia hadi anakuwa na watu wa hovyo kama Makonda ambao walishavuruga wakati wa yule aliyewatengeneza.
@damianjeremia3821
@damianjeremia3821 3 месяца назад
Wewe uko idara gani au ulishawahi kuongoza hata mtaa
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 3 месяца назад
@@damianjeremia3821 Onglea tunayemuongelea. Mie umeniingizaje. Mie ni mtaaluma wa kawaida tu aishiye ughaibuni na nina safu kwenye gazeti la Mwananchi kila jumatano
@Gloria-vh5bz
@Gloria-vh5bz 3 месяца назад
WENYE akili Kubwa Km yako wachache sn watanzania wepesi kusahau kuwa HUYU wanaemuita mukombozi wao ndio moja ya Watu wasiojulikana waliotoa ROHO nyingi zisizona hatia ,Leo hii wanasahau kwa maigizo haya
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 3 месяца назад
@@Gloria-vh5bz Nakubaliana nawe kuwa ni criminal wa kawaida japo sikubaliani nawe kusema watanzania wanasahau wakati wewe nami ni watanzania hao hao.
@BukuruBahizi-go3fi
@BukuruBahizi-go3fi 3 месяца назад
Huyu nikati yawala haki zawatu ndiyomana anamuona makonda wetu kua anatumia ubabe kutatua kero hasa eti alipandizwa tabia za MAGU ndug makonda piga kz
@barikiringo6311
@barikiringo6311 3 месяца назад
System ya Magufuli ya kupitishwa viongozi bila kupingwa
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 3 месяца назад
Ndo shida
@obednyagani506
@obednyagani506 3 месяца назад
Mtoa kero apewe cheo
@harunarashid6404
@harunarashid6404 3 месяца назад
😂😂😂mwenyekiti kauguwa
@Robust78
@Robust78 3 месяца назад
Mifumo yetu ya usimamizi wa kazi na rasilimali haufanyi kazi inabidi sasa tufanye kazi kwa kutumia mikutano ya hadhara. Nani kawaweka hao watumishi wanaolalamikiwa? Hivi kwa staili hii tutafika kweli?
@MabulaMboje-yp1xb
@MabulaMboje-yp1xb 3 месяца назад
Tunamuomba poo Makonda aje kutumikia mkoa wa geita
@MolelyMolely-h5r
@MolelyMolely-h5r 3 месяца назад
Ila jamaa mtoa hoja nae anapenda sifa jamn😂😂
@kichenjewillian5720
@kichenjewillian5720 3 месяца назад
Anajiaminisha sana...bila kujua hawa ni watu.
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 3 месяца назад
Mama kapanik huu mchezo hautaki hasira 😊😊
@najmanuru2021
@najmanuru2021 3 месяца назад
Wala hajapanic maana anaevidence na title mkononi ilikua haina haja hata yakuongea wametesewa miaka 30 alafu huyu jamaa sio mwenyekiti ni raia na nimuongo yy aitwe kama nani wakati mwenyekiti na diwani ndo wasisimiamia zoezi yakutoa godown na mkuu wa wilaya ndo aliamuru itolewe sasa yy kama nani alitaka aitwe
@leokamil6284
@leokamil6284 3 месяца назад
​@@najmanuru2021Mkuu wa Mkoa amebasse kwenye kufurahisha wananchi wenye visasi na yeye kaungana nao badili ya utawala wa sheria na haki.Mama anasema nyumba ni ya Kaka yake hasikilizwi kwa sababu ya kufurahisha watu wenye chuki .Huo sio uongozi
@najmanuru2021
@najmanuru2021 3 месяца назад
@@leokamil6284 kabisa alafu huyu jama ni mdogo kwa huyu mama na sio mzaliwa wa kisongo kahamia miaka ya juz sasa historia ya kiwanja cha watu unaingiliaje wakati wanatitle ya 1958 hapo yule mzee abel nae anadai kiwanja ambao hawa hawa viongozi wamechukua ndo angefaa kumuelezea ukweli wa eneo ya hao kina mama anawajua vizur lkn sio huyo kijana yani muongo kweli
@shabanikavula1304
@shabanikavula1304 3 месяца назад
​@@leokamil6284uko kamili
@shabanikavula1304
@shabanikavula1304 3 месяца назад
Uko kamili
@StephaniAkaro
@StephaniAkaro 17 дней назад
Huyu mwananchi mbona ni noma? Apewe KAZI tena mwenyekiti wa Kijiji ni cheo kidogo apewe kazi
@Mainda-q5b
@Mainda-q5b 3 месяца назад
Huyu mtoa kero apewe maua yake jamani
@Mainda-q5b
@Mainda-q5b 3 месяца назад
Sana tu
@Mainda-q5b
@Mainda-q5b 3 месяца назад
Apewe uenyekiti wa kijiji sasa
@mussaharun7257
@mussaharun7257 3 месяца назад
Leadership is not about age, is about wisdom
@SarahMpwehuka
@SarahMpwehuka 3 месяца назад
Huyu mwenyekiti hana tofauti na mwenyekiti wetu ukienda akuandikie hati anamuita mtoto wake ndio anaandika hajui kusoma wala kuandika na ukienda unashida pesa mbele 😂😂😂 magu hapo alituweza
@ShababuShababu-bh6sx
@ShababuShababu-bh6sx 3 месяца назад
Wapi huko mdau kwani hata kwetu yupo kusoma hawezi kabisa.
@Mamagracious799
@Mamagracious799 3 месяца назад
😂😂 ni huzuni kwakweli 😢
@barikiringo6311
@barikiringo6311 3 месяца назад
Mwananchi huyo ana haki ya kuwa mwanaharakati na diyo kiongozi! Akiwa kiongozi atapumbazwa
@sundayndabaga9837
@sundayndabaga9837 3 месяца назад
Uyu mwananchi ana DATA hatar,,, anafaa kuwa Chairman wa local government project development
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 3 месяца назад
😅😅😅😅😅
@Samuel-ky7qb
@Samuel-ky7qb 2 месяца назад
Haki ya wanyonge mungu na akulinde upewe nafasi ya juu sn tunakupenda sn makonda
@spiderelexander9977
@spiderelexander9977 3 месяца назад
Waliopita bila kupingwa matokeo yake ndo hayo
@Mainda-q5b
@Mainda-q5b 3 месяца назад
Makonda oyeeeeeee
@Juke995
@Juke995 3 месяца назад
Mie ningekuwa mwenye kiti ningezimia tu 😂😂😂😂😂😂😂
@ErickMsolwa
@ErickMsolwa 2 месяца назад
Siy kuzimia2 unawez kufaa hapo ha😂😂😂
@salumhajji5274
@salumhajji5274 21 день назад
Nimecheka kijinga coment yako
@robertempire9542
@robertempire9542 3 месяца назад
Kweli kwa style hii tutafika tu Mana spana ikikugonga unapewa na huduma ya kwanza... Makonda piga kazi❤
@rithaurassa
@rithaurassa 3 месяца назад
Mheshimiwa RC MAKONDA huyu. Mama ni mwuongo.Wasomali wamevamia kwasababu wa uwezo wapigwe nyundo haowameingilia eneo la Soko.
@khatrarage4445
@khatrarage4445 3 месяца назад
Nani alie kuambia wasomali wamevamia eneo la soko wakati hati ipo kabla y kuweka soko wao wameuza eneo la soko ss wakangangania eneo la watu acha zarau kama hujui
@najmanuru2021
@najmanuru2021 3 месяца назад
Kama muongo mbona makonda asiwafukuze coz anajua wanahati milikii kwanzia 1958
@ErickMsolwa
@ErickMsolwa 2 месяца назад
Huy apewe umwenyekiti anafaa anataarifa muhim san
@awazimwanshuli5250
@awazimwanshuli5250 3 месяца назад
Uyooo jamaa anavisa vyake kwa uyoo mama,mama kesha SEMA ana hati ya eneo saxa iweje anaulzwa maswal ya kumpankisha
@najmanuru2021
@najmanuru2021 3 месяца назад
Kweli kabisa ata hawampii nafasi yakujibu vzuri
@leokamil6284
@leokamil6284 3 месяца назад
Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe nashangaa hata Mkuu wa Mkoa hataki kumsikiliza kwa kufurahisha wanakijiji walio changanya chuki za kipato. Amemwambia Mkuu wa Mkoa kuwa hiyo mali ni ya urithi na kwamba Kaka yake ndio mwenye upande ulozidi.Nilitegemea Mkuu huyo angemuita muhusika hata Ofisini kwake ili ampe kauli ya kuvunja matokeo yake anamuamuru asiyehusika infact yeye anabasse kwenye chuki za wananchi ili awafurahishe anaamua kumkandamiza Raia mmoja hiyo sio njia sahihi ya uongozi bali ni uongozi wa visasi
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 2 месяца назад
Mwenyekiti hana akili mwizi tu huyo
@salumhajji5274
@salumhajji5274 21 день назад
Mungu akulinde makonda big up
@GervasBuchenja
@GervasBuchenja 2 месяца назад
Je! Huyu mama aliebomoa gara chakula na la msaada
@TerryFozzy
@TerryFozzy 2 месяца назад
Hizi kesi hizi unaweza pasua kichwa
@NewadyNzuyu
@NewadyNzuyu 3 месяца назад
Uje na uku kwet makonda iringaa
@DottoSaidy-wc9nn
@DottoSaidy-wc9nn 2 месяца назад
Kazi ipo kulachumaicho
@ElizabethMungo
@ElizabethMungo 2 месяца назад
Hapo kny fomu uongo ni haki ya kikatiba
@obednyagani506
@obednyagani506 3 месяца назад
Magodaoni yote ya enzi za Nyerere mengi sana yameuzwa
@MgondeMgonde
@MgondeMgonde 2 месяца назад
Makonda njoo Tabora
@jamesmaneno2281
@jamesmaneno2281 3 месяца назад
Uyo Mzee alie ongea apo apewe cheo kichwa sana
@najmanuru2021
@najmanuru2021 3 месяца назад
Cheo gani cha kuongea uwongo kuhusu kina mama wawatu walioteseka kupata haki yao miaka 30
@spiderelexander9977
@spiderelexander9977 3 месяца назад
Makonda piga kazi tunakuombeab Mungu atakuongoza
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob 3 месяца назад
Huyu muibua Hoja ndiyo anatakiwa awe Mwenyekiti.
@Zainab_salat
@Zainab_salat 3 месяца назад
Kweli😂😂😂😂
@abelritte1808
@abelritte1808 3 месяца назад
Huyo hamna kitu
@evanskabende3357
@evanskabende3357 3 месяца назад
Anafaa
@najmanuru2021
@najmanuru2021 3 месяца назад
Muongo huyo
@DottoSaidy-wc9nn
@DottoSaidy-wc9nn 2 месяца назад
Mamausipaniki bwananendapolepole
@musaamos2431
@musaamos2431 3 месяца назад
Ilitakiwa mwenyewekiti akimbie😂😂😂
@LovenessKimario-i3x
@LovenessKimario-i3x 3 месяца назад
Mm kama mwananchi cheo cha mwenyekiti apewe huyu jama a
@najmanuru2021
@najmanuru2021 3 месяца назад
Muongo huyu kwenye vingine katunga
@joshuason557
@joshuason557 3 месяца назад
Uyo mwanainchi apewe uwongozi ,anaweza 👏🏿✌🏿🇺🇬
@BenithaAron
@BenithaAron 3 месяца назад
Kabisa yuko moto daaaa
@geofreymilinga2965
@geofreymilinga2965 3 месяца назад
Mwananchi mtata kweli kweli
@KimeshwaAlakara
@KimeshwaAlakara 2 месяца назад
Makonda oyeeeeeeeeee
@anethmollel6564
@anethmollel6564 3 месяца назад
Ahsante kaka Makonda wewe ni mwanga wa jamii
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 3 месяца назад
Brother auna point mama ana title
@ConfusedBloomingFlower-wv1gf
@ConfusedBloomingFlower-wv1gf 2 месяца назад
Makonda hoyeeeee
@BoisDonkoil-rk8lr
@BoisDonkoil-rk8lr 3 месяца назад
Inanifunza kuwa ukitumia nguvu, siku moja ipo siku itatolewa kwa nguvu hiyo hiyo,,, Mungu atusaidie tusiwe wakujipenda kwa kujisahau🇰🇪
@Felix-e6t4m
@Felix-e6t4m 2 месяца назад
asante sana ndugu yangu waambie hao wajue ya kwamba CCM ni wezi wakubwa waache upuuzi kujifanya miungu makonda yeye ni boya ametumwa na Samia kumfanyia kampeni wachambue. kama. karanga wananchi masikini takukuru pia niwezi wacha mizengwe makonda usimsumbue mwenyekiti wakijiji unajifanya dereva saana wachana. mwenyekiti wetu apewe haki zetu zote wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu zote watanganyika tulinde tanzanaiti yetu msilale Tanzania walio wengi vijana wapewe mashamba wajiajiri kuliko kuajiriwa na waarabu tumekataa kuporwa na wezi wachache mwsho wao umefika
@SUFIANIMKOMWA
@SUFIANIMKOMWA 3 месяца назад
Wasomalia Wana tabu
@mussaharun7257
@mussaharun7257 3 месяца назад
Jamaa ana D ya Civics
@puerypatrick6166
@puerypatrick6166 2 месяца назад
Kwakwel, jmaaa anajua uraia viZr sna
@diegoshanga8184
@diegoshanga8184 3 месяца назад
Risasi au bunduki nikuvurugwa!!
@bettyjimmy9007
@bettyjimmy9007 3 месяца назад
Uled yuko wap
@samwelgeay8103
@samwelgeay8103 2 месяца назад
Makonda bigab Sana Endelea kutenda haki Mungu akutie nguvu amina
@noahkapindo
@noahkapindo 2 месяца назад
Hongera makonda hii nchi kero ni nyingi mno kwa wananch
@victoriaMwashiuya
@victoriaMwashiuya 3 месяца назад
Ninashida na hela
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob 3 месяца назад
Huyu jamaa anaposema apigwe pini anaelewa kweli😂😂😂
@BethaKIBONA
@BethaKIBONA 3 месяца назад
Haelewi huyo japo yupo Sasa
@kichenjewillian5720
@kichenjewillian5720 3 месяца назад
😅😅
@sylverbutamanya8588
@sylverbutamanya8588 3 месяца назад
Huyu jamaa ajengewe Sanam hapo kijijini
@najmanuru2021
@najmanuru2021 3 месяца назад
Sanamu yakupewa rushwa kusema uwongo au ?
@editorlais5185
@editorlais5185 3 месяца назад
Mwenyekiti hajuy Kazi zake
@jumaigoti7541
@jumaigoti7541 3 месяца назад
Huyo mama anaonekana ni k8buri Cha pesa
@leokamil6284
@leokamil6284 3 месяца назад
Umewahi kuzungukwa na wasio na uwezo wa kulingana?huwa ni hivi mwenye nacho huumizwa na asienacho kwa kigezo cha kuwa anacho hivyo anaonekana anajigamba.Kifupi usiombee uzungukwe na wato waliokuwa hawalingani kipato na wewe utajuta
@najmanuru2021
@najmanuru2021 3 месяца назад
Wala hana pesa ulizeni na fatilieni ukwel kabla yakushutumu mtu kama angekua na pesa inakuaje yy ndugu zake wameteseka miaka 30 bila kupata haki yao pka magufuli ndo wakapata swali rahisi sana hilo jiulize magufuli alikua mtetea haki ndo maana wakapewa eneo Lao ww unamskiliza huyu jama anvisa vyake ametumwa kusema uongo
@SAIDIMUKSIN-iy2op
@SAIDIMUKSIN-iy2op 3 месяца назад
Uenyekiti w nn kazi isiyo na malipo
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 3 месяца назад
Wenyeviti wanapata pesa mno tofauti na unavyofikili ndugu, kuna jamaa yangu M/kiti mpaka kanunua na Prado na majumba anajenga kwa kasi kubwa sana.
@zeelamipango
@zeelamipango 3 месяца назад
😂😂😂😂
@kemmymartine4884
@kemmymartine4884 3 месяца назад
😂ila wananch ni wagumu hahah
@MegaAlexison
@MegaAlexison 3 месяца назад
Wasomalia hawo
@Zainab_salat
@Zainab_salat 3 месяца назад
Na nani? Mm ni msomali na nimezaliwa Tanzania😮😮😮😮😮😮, unasemaje?
@najmanuru2021
@najmanuru2021 3 месяца назад
Kwahyo akiwa msomali kazaliwa tz shida nini
@najmanuru2021
@najmanuru2021 3 месяца назад
Na wanahaki 💯 maana eneo ni Lao tangu 1958
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 месяца назад
Msomali ana haki ya kuishi hapa Tanganyika kama wewe mi ni mslomali nimezaliwa Arusha je mi sio raia, acha ubaguzi
@najmanuru2021
@najmanuru2021 3 месяца назад
@@MiriamAbdallah kweli kabisa embu muambie maana kule Somalia wapo watu wa tanga walipelekwa na wanaishi paka Leo wala hawatukaniwi lakini huku kutwa kututaja wasomali wasomali
@JumaLugome
@JumaLugome 3 месяца назад
Mm
@JuliusHatari
@JuliusHatari 3 месяца назад
Duh
@iddimiraji6551
@iddimiraji6551 3 месяца назад
Wishoo boy they halaaaaaa
@nurukacharia6838
@nurukacharia6838 3 месяца назад
He
@Robust78
@Robust78 3 месяца назад
Mwenyekiti mlimweka wenyewe sasa tena mnamsulubisha hadharani
@EmmaPonera
@EmmaPonera 3 месяца назад
Amesulibishwa au yameletwa malalamiko Kwa hiyo unataka akae kimya
@thomassalvatory8303
@thomassalvatory8303 3 месяца назад
serikali mkinyanganywa kitu mnakuwa wakali kama wamechukua chao nyinyi ni only 1.5m mbona mnakuwa wakali
@najmanuru2021
@najmanuru2021 3 месяца назад
Sindio hapo yani wao wamenyanganywa na serekali eneo Lao miaka 30 Leo yao 1.5 ni hatua moja ya unalalamika kwa rc mkuki kwa nguruwe kwa bindamu mchungu tena wangetakiwa hawa kina mama walipwe fidia yakuteseka miaka 30
@leokamil6284
@leokamil6284 3 месяца назад
Point
@leokamil6284
@leokamil6284 3 месяца назад
Asante na kuna sehemu nyingi walinyanganya na hawajalipa fidia
@WadiHaji-d6w
@WadiHaji-d6w 3 месяца назад
Huyu tumpe uraisi anafaa sana tu
@addymsola4625
@addymsola4625 3 месяца назад
Makonda safi bwana nimekukubali kaka
@barikimollel7890
@barikimollel7890 3 месяца назад
Spana+Spana+Spana
@abidandastanmaliyatabu1373
@abidandastanmaliyatabu1373 3 месяца назад
Wanyoshe, makonda MUNGU akuinue ktk taifa hili
@JuliasiSatoti
@JuliasiSatoti 3 месяца назад
Baba makonda vanya kasi ya Mungu usiogope
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 3 месяца назад
Full spana DADEKI....Makonda❤..spana na Matibabu
@RamsonOmmy-ie2um
@RamsonOmmy-ie2um 3 месяца назад
makoñda anakazingumu sana
@BeatriceKitembe-gs9si
@BeatriceKitembe-gs9si 3 месяца назад
Mungu atazidi kukuinua.... Zidi kutenda haki Mungu azidi kukutunza na kukulinda 🙏
@gabrielzakaria2810
@gabrielzakaria2810 3 месяца назад
We makonda ni zawad toka kwa mungu kwanz una huruma hicho kitendo cha kumwambia mwenyekiti atibiwe ni heshima kubwa umeonyesha kwa wananchi
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 3 месяца назад
Unajua maana ya zawadi au uchawa na ujinga vinakusumbua?
Далее
Как открыть багажник?
00:36
Просмотров 12 тыс.