Тёмный

''SIKILIZA NIKUAMBIE MAKONDA - ILE PALE MUNENE NDIO MKOROFI'' - MZEE WA KIMASAI ASHTAKI KWA MAKONDA 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 203 тыс.
50% 1

''SIKILIZA NIKUAMBIE MAKONDA - ILE PALE MUNENE NDIO MKOROFI'' - MZEE WA KIMASAI ASHTAKI KWA MAKONDA
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

11 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 278   
@wilfredmoshi6507
@wilfredmoshi6507 Месяц назад
Wangapi wanasema anafaa kuwa waziri mkuu 2025 nipe like yako.
@joycemfuru4752
@joycemfuru4752 Месяц назад
mnapenda sana kisifia ni kazi yake na uwaziri hafai
@upendotarimo2965
@upendotarimo2965 Месяц назад
​@@joycemfuru4752Anafaa kuwa hata raisi maana ni kiboko ya wazulumaji, waonevu na wenye aleji na haki, ukwel kila anaemchukia makonda ni wasiopenda haki
@MtatiroMtatiro
@MtatiroMtatiro 8 дней назад
Awe raisitu pia aongoze miaka 20
@pillykinabo8722
@pillykinabo8722 Месяц назад
Kheri wapatanishi maana wataurithi ufalme wa Mungu. Hongera Makonda Mungu atakulipa
@user-ce9pr3zs6b
@user-ce9pr3zs6b Месяц назад
Her wapatanishi wataitwa wana wa Mungu, mtumishi asante❤❤.
@elizabethmgassa7243
@elizabethmgassa7243 Месяц назад
Heri wapatanishi maana hao wataitwa wana wa Mungu
@GodfreyNjau-bd6ui
@GodfreyNjau-bd6ui Месяц назад
Makonda watuu walimzarau na kubeza ilaaa uyuu janaaa yupoooo vizuri mnoooo
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌 mm sijamuelewa masai, Makonda kamwelewa vzr na kutatua hongeraa baba
@salumkarim69
@salumkarim69 Месяц назад
😂😂😂 shughuli wallahi
@nurdinismail8961
@nurdinismail8961 Месяц назад
😅😅😅
@cosmaskapwepwe7203
@cosmaskapwepwe7203 Месяц назад
Mimi mwenyew sikumuelewa hakiamungu.
@bakarizinga8556
@bakarizinga8556 Месяц назад
😂😂😂😂 wallah mm mwenyewe sijamuelewa pia😂😂
@macknonkibona2401
@macknonkibona2401 6 дней назад
kwenye hii kesi ndo nimeamini Makonda anaupeo mkubwa mana ameelewa kwa 100% kweli makonda kiboko
@jumaabubakar7368
@jumaabubakar7368 Месяц назад
Makonda mungu akupe afya njema na umri mrefu;ili akimaliza mama samia awamu zake wewe uwe raisi wawanyonge magu 2 ❤
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 Месяц назад
Amen 🙏
@nailaomar4810
@nailaomar4810 Месяц назад
Mashaallah makonda amepata malezi bora hongera mama makonda mungu akuhifadhi jembe❤
@user-km9xp9hr1l
@user-km9xp9hr1l Месяц назад
Ni baraka tu za Mungu zimemshukia makonda asilimia kubwa amelelewa na watu baki ndo maana ana huruma sana anazijua shida
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 9 дней назад
Yote tunayoyaona ni matokeo ya malezi Yake alipokuwa Mtoto.
@ProductionWinderBulyanhulu
@ProductionWinderBulyanhulu Месяц назад
Huyu Makonda ana maono makubwa sana. Mungu aendelee kumlinda.
@user-uw1fs5mj9l
@user-uw1fs5mj9l Месяц назад
Mimi ni mzaliwa wa Arusha,Ila kweli kabla ya makonda sijawahi kumjua mkuu wa mkoa wa Arusha, God bless Makonda
@user-ry8xf1no2s
@user-ry8xf1no2s Месяц назад
Mueshimiwa makonda Alha akuongoze
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 Месяц назад
Hongera sana Mhe Rais kwkumteuwa huyu Rc 👏
@HelenaMatiasi
@HelenaMatiasi Месяц назад
Mungu ni mwema sana, kafa makufuri kaibuka makonda, ila ni mtazamo wangu. Nisamehe lakini kwa wale ambao si waona mbali.
@abuilmailma3534
@abuilmailma3534 Месяц назад
Watu wa wili wenye tafauti zao wakitafuta suruhisho nendeni kwa Makonda hakika atamaliza tafauti zenu kwa dakika 5 na musipo sikilizana basi nyie adi mwende kaburini hamtaelewana
@komanyomaduhu6123
@komanyomaduhu6123 Месяц назад
Bora nmsikilize makonda kuliko bunge la Tz
@MahaSaeed-hf3gs
@MahaSaeed-hf3gs Месяц назад
Nimekuunga mkono hiyooooo
@shadyahamad3724
@shadyahamad3724 15 дней назад
😅😅😅🙏🙏🙏👍
@allyrashid1085
@allyrashid1085 Месяц назад
Mashaallah makonda wewe kiongozi kila unapo wekwa unatusua baada ya mama chukuwa fom tuta kupa urais broo
@JosephFredrick-ev1tw
@JosephFredrick-ev1tw Месяц назад
You are more than a leader God bless you mheshimiwa Makonda❤
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt Месяц назад
Makonda ufunikwe na Damu ya Yesu
@israeluronu9958
@israeluronu9958 Месяц назад
Daaah kazi ngumu Kweli, kama hunaroho wa Mungu huezi.
@mataypanga5262
@mataypanga5262 Месяц назад
Inatakiwa roho ya shetani
@user-qq6zu3no4z
@user-qq6zu3no4z Месяц назад
This is explanation of the Name kiongozi huyu Bwana nizaidi ya neno kiongozi
@MaulidKomboza-wh2ki
@MaulidKomboza-wh2ki Месяц назад
Hivi mama samia haoni watendaji wengine wazuri safi Sana Kama mh Makonda !!!!!!!!!!!!?.
@jescaedwardkurumela4333
@jescaedwardkurumela4333 24 дня назад
Napenda unavyotatua migogoro. Roho wa Kristu azidi kukupa maarifa na hekima kwa ajili ya utukufu wake
@JumaBakari-eb3ft
@JumaBakari-eb3ft Месяц назад
makonda bonge la kiongoz hemu wengine tumuige huyu
@emmymshomi8893
@emmymshomi8893 Месяц назад
Ile munene . Wamasaai ukinenepaa umekwishaaa 😂😂😂
@LetciaAlto
@LetciaAlto 11 дней назад
😂😂😂😂
@fikirimwakibibi9383
@fikirimwakibibi9383 Месяц назад
Mungu ambariki mwanamke alikulea ktk njia ya haki,ili uje utetee haki za wanyonge Mungu akulinde na maadui wotee wasiopenda haki❤❤
@godfreynaisikyelaizer1760
@godfreynaisikyelaizer1760 Месяц назад
Mh Rc mungu akulinde na kukutunza daima wewe na familia yako
@MaulidKomboza-wh2ki
@MaulidKomboza-wh2ki Месяц назад
Hongera Sana Makonda Mungu akubariki SANA.
@MarbleBaswige
@MarbleBaswige Месяц назад
May the almighty God bless you honorable RC Makonda for being good leader
@francomwacha2262
@francomwacha2262 Месяц назад
Aisee anatumia hekima na c madaraka pekee.. maua chukua kaka nakupa 💐
@LittaMushi
@LittaMushi Месяц назад
Nakupenda Kaka...MUNGU akuweke miaka mingi Baba❤❤❤❤Mtetezi wa wanyonge.
@jayblack4313
@jayblack4313 Месяц назад
May Allah bless you kaka
@sabrinaandrew4245
@sabrinaandrew4245 Месяц назад
Mwenyezi mungu akubariki Mh mkuu wa mkoa.Utavuka hapo kwenda viwango vingine🎉🎉🎉🎉🎉❤
@user-mr3qg9iq5k
@user-mr3qg9iq5k Месяц назад
😢 Mungu akulinde Mkuu unasaidia wanyinge unatatua matatizo kama Mfalme Suleman
@georgedamas7097
@georgedamas7097 Месяц назад
RC Paul Makonda omba Sana hekima... Mungu akupe hekima zaidi ya mfalme Suleiman.
@nancygitonga3282
@nancygitonga3282 Месяц назад
Nakuheshimu sana Mhesh Makonda God bless you for the good work
@neemamollel6057
@neemamollel6057 Месяц назад
Mungu tulindie uyu mwamba wetu. Mlinde bure Mungu wangu❤
@annamushi1057
@annamushi1057 Месяц назад
Mama ulimlea vema makonda popote ulipo ongera mama
@user-yl4ud7gr8s
@user-yl4ud7gr8s Месяц назад
Nakuombea maisha marefu kiongozi una hekima ya sulemani Mungu akutunze
@halimamasai2234
@halimamasai2234 Месяц назад
Makonda mungu akupe afya njema na maisha marefu inshaallah
@gaudencemhagama7216
@gaudencemhagama7216 Месяц назад
Makonda ni 🔥
@jumannemagawa5095
@jumannemagawa5095 Месяц назад
Muheshimiwa makonda naomba mwenyez mungu aendelee kukulinda kwa kazi kubw unayo ifanya.
@emanuelavaleriani8646
@emanuelavaleriani8646 Месяц назад
Baraza la kata lilifanya hata mama yangu kudhulumiwa, na mama yang alifariki. Lakini tumemwachia Mungu. Hakuna haki ya mjane itapotea.
@betricemainoya4176
@betricemainoya4176 Месяц назад
Baraza la kata ndio baya duniani
@marthadaffi6171
@marthadaffi6171 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂
@gilberthanjovu6340
@gilberthanjovu6340 Месяц назад
Mnooo na wazee wake wa barazaa
@anthonytido
@anthonytido Месяц назад
Mungu akulinde
@jumaabubakar7368
@jumaabubakar7368 Месяц назад
Mimi namuomba mama samia azidi kumsapoti makonda kwani kijana nimchapa kazi kwerii
@hurumamlowe6320
@hurumamlowe6320 Месяц назад
Makonda you are the best
@mrhekimasuleiman3884
@mrhekimasuleiman3884 Месяц назад
haki ndio kitu Cha msingi, na sio magari majumba na pesa! hivo ni fahari ya macho tu. Mkuu wa mkoa Yuko sawa sana sana!! Mimi napenda haki na nimemuona hana ujanjaujanja yuko straight forward.
@godfreymokoki1027
@godfreymokoki1027 Месяц назад
Makonda, HONGERA. Mgogoro wa familia kumbe chanzo ni MASHEMEJI NA MAWIFI ambao hawahusiki ila wanateka dada na kaka kwa kuchochea/kuanzisha mgogoro na kukwepa suluhu kwa mbinu ya KUMTEKA NYARA MAMA/BIBI na mali zake zone kwa kuishi nae.
@attupeleamon3133
@attupeleamon3133 Месяц назад
Nakuelewa sana Makonda .. Mungu azidi kukulinda
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Месяц назад
😂😂😂😂 Makonda bwana eti Ileee ilee ile iko wapi ileee😂😂
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt Месяц назад
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha 🤣🤣🤣🤣🤣
@RizikiRiziki-bp6dx
@RizikiRiziki-bp6dx Месяц назад
😂😂😂😂😂MUNGU AMLINDE MAKONDA WETU
@oscarcharles9624
@oscarcharles9624 Месяц назад
ile ile iko wap😂😂😂😂😂
@jokhajj
@jokhajj Месяц назад
😂😂😂😂😂
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Месяц назад
Wanamuonea bibi yetu😢😢
@asheryngaiti5549
@asheryngaiti5549 Месяц назад
Makonda tunaomba uwaambie wa mitandao watupunguzie gharama za bando maana hatuwezi kukaa bila kupitia you tube kuona unachokifanya Bro nakupenda napenda maamuzi unayoyafanya naomba niwe mdogo wako wa hiari
@LetciaAlto
@LetciaAlto 11 дней назад
😂😂😂❤❤❤
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises 18 дней назад
mh makonda, mimi no laiya wa 🇲🇿 lakini nafuatilia sana mkutano yako,hakika unastair kuwa presidente ❤makonda
@naomelizabeth4325
@naomelizabeth4325 Месяц назад
Makonda u are a sweet vibe... Following u closely from Nairobi Kenya .. King Solomon of our day
@agathasungura5047
@agathasungura5047 Месяц назад
My komando love you maamuzi ya busara hongera sana
@NdeshaPaul-uz9bw
@NdeshaPaul-uz9bw 29 дней назад
Makonda ubarikiwe sana. Heri wenye kupennda amani maana wataitwa wana wa Mungu. Umri wako ni mdogo lakini unawazidivwaliokuzidi. Uishi hivyohivyo usibadilike mwenye kuleta amani
@rosemaryhamilton5700
@rosemaryhamilton5700 Месяц назад
Yaani hadi naogopa watu wema kama hawa Yesu tutunzie vizazi vipone
@rahmarama5669
@rahmarama5669 Месяц назад
Maneno ya Ki Mungu yaan Makonda Uishi mnoooo❤
@oswaldtemba2770
@oswaldtemba2770 Месяц назад
Hivi watangulizi wako huwa hawaoni hizi shida za wananchi
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 Месяц назад
Do they even care??Kiongozi inabidi awe mbunifu
@Winnfrida-sx3in
@Winnfrida-sx3in 25 дней назад
Mashaallah makonda mkombozi wa wanyonge
@samsonkingdom-xc8cg
@samsonkingdom-xc8cg Месяц назад
Makonda mungu akulinde🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@babalao910
@babalao910 Месяц назад
Hivi wakuu wengine wa mkoa huwa mnafanyaga nn? Mnakula mshahara wa mama bure tu, sio vizuri mtahukumiwa one day
@fransiscajohn4373
@fransiscajohn4373 Месяц назад
Mh: makonda mungu akulinde kwa kazi nzuri kweli mungu anamakusudi kukuleta Arusha
@robertjoseph8830
@robertjoseph8830 Месяц назад
Big up makonda
@SariaNkya
@SariaNkya Месяц назад
You're wise in God's important roles.
@janethjonas1700
@janethjonas1700 Месяц назад
Sisi wamasai tuko short and clear
@mollelemanuel4659
@mollelemanuel4659 Месяц назад
Mungu Muumba naomba kwa upendo wako umtunze kiongozi wetu Makondo na Viongozi wote watenda Haki
@mustafamandindi6434
@mustafamandindi6434 Месяц назад
Muheshimiwa mungu akubaliki kwa busala ulikua nayo
@frankbeatus9194
@frankbeatus9194 Месяц назад
Duuuh mh makonda ni geneous sana yaani hii masai ameongea hakuna kitu mimi ameelewa lakini mheshimiwa ameelewa na kero imetatuliwa
@georgemhalla8853
@georgemhalla8853 Месяц назад
Yaani we ndo mimi
@SuperCamle
@SuperCamle Месяц назад
Kitu ninachpkifurahia sana kwa Makonda ni Busara katika kuyakabili mambo. Ninakusikiliza Makonda kila siku kwenye gari, umekuwa ndio nyimbo zangu za Enjili. Mungu akubariki sana Rais wetu Mtarajiwa!
@uwimanadady6563
@uwimanadady6563 25 дней назад
Ubarikiwe Makonda
@neemasalema1546
@neemasalema1546 Месяц назад
Heri wapatanishi kwa kweli
@SamweliHozza
@SamweliHozza Месяц назад
Huyu jamaaa Ana spirit ya maamuzi bora na sahihi
@emanuelavaleriani8646
@emanuelavaleriani8646 Месяц назад
Ni kweli
@elisantejosen
@elisantejosen Месяц назад
Mimi muheshimiwa Makonda
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 Месяц назад
Hapa,inatakiwa hekima ya selumani
@christopherdenistesha3480
@christopherdenistesha3480 Месяц назад
Mhe Makonda Mungu akubariki sana. Unafanya kazi ngumu lakini yenye Baraka Sana.
@RehemaJonas-yj7ed
@RehemaJonas-yj7ed Месяц назад
Dada ongera kwakujieleza nilijua utatuangusha😂😂 kumbe upo ghado ado
@CecyGeorge-vx9uc
@CecyGeorge-vx9uc Месяц назад
Makonda kakangu Mungu akulinde damu ya Yesu ikuzingire kila sehemu
@priverabrahams9323
@priverabrahams9323 Месяц назад
Paul
@Code_22
@Code_22 Месяц назад
Why between my camera ur passing....!!!!
@AugustinoHaule-ff2lp
@AugustinoHaule-ff2lp Месяц назад
Good man
@SariaNkya
@SariaNkya Месяц назад
God is a provider.
@ReginaSandy-kw7tr
@ReginaSandy-kw7tr Месяц назад
Mungu akubariki sana mh makonda
@gilberthanjovu6340
@gilberthanjovu6340 Месяц назад
Makonda Mungu akulinde kila iitwapo leo
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 Месяц назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@kindolevitalis1754
@kindolevitalis1754 Месяц назад
Hee! Kumbe waliokufa nafsi zao Huna zinarudi na kuwaingia Walton hai, na kufanya mambò yale yaliyokuwa yanafanywa na Marehemu , kana kwamba Marehemu amefufuka, naona sura ya hayati aliyependa haki ya wanyonge isidhurumiwe, ubarikiwe sana mheshimiwa Paul makonda, unatuduwaza watanzania, kwa yale unayowafanyia watanzania wanyonge , wewe unafraid kuwa kiongozi mkubwa zaidi ya hivyo ulivyo sasa, wewe ni mtumishi wa mungu wa kweli,
@josephsisa8139
@josephsisa8139 Месяц назад
Hongera sana muheshi wa
@AfroKibuga
@AfroKibuga Месяц назад
Alafu Kuna mijitu haimoendi makonda 😢😢
@donathasimon9292
@donathasimon9292 24 дня назад
Mheshimia mimi kwako kura yangu ni NDIO 💃
@DorahMkonyi
@DorahMkonyi Месяц назад
Mungu aendelee kukusimamiaa daima uongoze taifa vema
@user-ce9pr3zs6b
@user-ce9pr3zs6b Месяц назад
Nakukubali mwamba. ❤❤❤
@user-yj3gy4jc1t
@user-yj3gy4jc1t Месяц назад
Makonda Mungu akupe maisha marefu
@mgonasipapune1383
@mgonasipapune1383 Месяц назад
Mungu wa Mbinguni akutunze Mheshimiwa Makonda
@obedilizer3412
@obedilizer3412 Месяц назад
Mungu akupatie hekima zaidi dah!
@BenedictMadaha
@BenedictMadaha Месяц назад
Hongera San bro mungu aendelee kukuongoz kweny msimamo huo huo
@MossesMollel-yv7uz
@MossesMollel-yv7uz Месяц назад
Sawa mama mueleze
@lusane_village_maasai_home
@lusane_village_maasai_home Месяц назад
😊😊
@honomaria7279
@honomaria7279 Месяц назад
Watu wa Mungu huongea ya Mungu
@user-pb4rn2tj4q
@user-pb4rn2tj4q Месяц назад
Busala sana
@LetciaAlto
@LetciaAlto 11 дней назад
❤❤❤❤
@raimajimoto1122
@raimajimoto1122 Месяц назад
Makonda ninja basi
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Месяц назад
Aisee
Далее
Самое Романтичное Видео ❤️
00:16