Kabla hatujaanza kuwa upande wowote,kwanza tujiulize maswali yafuatayo 1.kama shehe alikuwa na taarifa kuwa mke wake anatongozwa na mwenyekiti alichukua hatua gani? Kwann aliendelea kumruhusu aingie nyumbn kwake anavyotaka? 2.kama mwenyekiti alifumaniwa gest na mke wa mtu,huyo aliyemfumania kwann asimshike na kumpeleka polisi hapo hapo? 3.kama kwel anatembea na wake zawatu kwann wananchi wanasisitiza aachie ngaz badala ya kutoa ushahidi ili apelekwe polisi? NB:watanzania tuwe makini kwenye mambo kama haya,mara nyingi yanatuingiza matatizoni dunian na mbinguni pia
Kama ushawai ishi kijijini ayo maswali ataa usingeuliza.. Kiufupi kijijini mwenyekiti na kama raisii anafanya chochote kutokana na watu kutojitambua na kuelimikaa .. Tofaut na uku mjin
@@samwelimoshi5614 aah wanawake akili zetu tunazijua wenyewe. Ukitaka mmeo avamiwe na maharamia ya kike we waambie tu kuwa amejaaliwa 🍆🍆 utaona balaa lake
Hizi ni maada za kipumbavu na nyie watu wa social media, ingekuwa anawabaka hapo sawa tulipashwa kupewa hizi taarifa, lakin tatzo ni hao wanawake wameridhia wenyewe, nadhani hao wanawake wapimwe akili, waume pia ni tatzo, huwezi simama katika halaiki kulia na kueleza ujinga huo, kama mke ni malaya get rid of her hata mtume Paulo ameweka wazi hilo. Huyo mwenyekiti naye aachie ngazi, huwezi kupewa kazi ya serikali wakati ni malaya na haujiheshimu, ni utovu wa nidhamu!.
@@husseinsalimmaula4254 atakama lakini makosa sioya mwenye kiti kwasabu lazma ilikua kuna kuahidiana ntakupa hii ntakufanyia hii na mwanamke nimtu anatamaa msalitii ibilisi 🤣🤣🤣👈
Kabisa hao wanawake sio wa Aminifu kwenye ndoa zao wanaume ni watu wa kujaribu jaribu sasa tena wanawake wengine wakiguswa twende mtihani wallahy wanawake tunashindwa kuhifadhi tupu zetu mwenyekiti ndio nao wanawake ndio wanawake tunajitahidini kuhifadhi tupu zetu huu ni mtihani Allah atuhifadhi na vizazi vyetu
*Nyie Masheikh inaelekea mnaimani ndogo Sana mtu kma huyo muda wote huo anafanya ujinga mnamuangalia tu wakati DUA MNAZO?harafu wanakuja watu wanasema wanasubilia utaratibu utaratibu gani hpo?Dawa nikumkalia kitako tu utaratibu utafuata Baada ya kumaliza msiba*
Allah atuongoze kwakweli, sasa imamu mwenyewe haelewi, hivi aliekwambia uislamu umeruhusu ukiwa haupo mwanaume aingie tu nyumban kwako ivi ivi hata Kama ni rafiki yako vipi ni nan. tumeacha mafundisho sahihi ya Allah sasa yanatutokea pua ni, Allah atupe salama.
Hakuna Urafiki Wa Namna Hiyo Haupo Abisa. Yote Ulikuwa Unayajua Nakisha Unasema Alikuwa Rafikiyako Kipenzi. Uduyuthi Mtupu. Mazingira Umeyatengeza Mwenyewe.
Kweli kabisa,kwan mwanamke akitongozwa wakati anajua kaolewa au ana mume kwann akubali?maamuzi yapo kwa mwanamke mwenyewe,hakuna mwanaume anayeweza kumbaka mtu mzima labda mtoto maana unakuta hajui chochote,lakini mtu mzima.anakua anajua anachofanya,wanamsingizia mw/kt tuu bure,wanawake nishida jamanii khaaa!
NIAIBU SANA KWAKIONGOZI ASIYE JITAMBUA ...MWANANCHI KUWA NAMAAMUZI SAHIHI WEWE NDIE ULIE MPA HIYO NAFASI ...ONDOA TENA NAADHABU KALIII SANA JUU YAKE ...MSICHUKULIE POA MAISHA NI FAMILIA
Ck zote mwanamme anaumia kusikia mkewe ananyanduliwa na mwanamme mwenzake ndo hapo mpaka wanalia machozi Ila yeye akifanya hivyoo mwanamke anakaa kwa unyonge kuugulia maumivu na mwanamme anatembea kifua mbele ni huzuni kwa kweli..
Mm si MTanzania lkn haya maneno hayaingii akilini mnaochapiwa wake zenu mmfeli kama wanaume naona ni siasa tu hii alafu masheikhe mkumbuke kuna kesho kiama
yaani unamlilia mwanamke aliyeamua kumpa utamu mtu mwingine, WANAWAKE mbona wengi Sana, piga chini hupendwi, MWENYEKITI PELEKA MOTO, WAPELEKEE MOTO wao si ndio wamekubali, siyo watoto hao
Yaani ww achatuu,wanawake wengine nishida tupu,kwenda waende wenyewe wasingizie mw/kt?mbona wanaume kutongoza ndio hulka yao?hata akizeeka,akili kichwani.kukubali au kukataa na mnaheshimiana kama kawaida.
Atakuwa ana ukimwi huyo wakapime afya alafu muwatunze wake zenu na muwapige kipara vizuri waache kutoka nje mwenyekiti anawapa hela hao ndomaana wanamfata🤣🤣😂😂😂🤣🤣😂😂
Hivi ninyi watani zangu WAHA mmekwama wapi, hamtoshi kwa wake zenu au🤷🏼♀️🙆🏼♀️? Na nyie watani wangu wa kike mnakwama wapi, jitahidini kupigana na hilo jinamizi la upopo bawa, PEPO LIKO KAZINI, MUOMBENI SANA MUNGU!!
Jamani hao wanawake kwani wamebakwa si watu wazima ,,hadi kufikia hatua ya kuwavua nguo wame zao alafu bila aibu mnaongelea maswala ya watu wazima na akili zao na kurusha kwenye mitandao ya jamii
Kwaushaur wangu,,,,,lifatiliwe z Swalahil ktk vyombo vya Sheria,,,,ikibainika nikwel tuhma hizo anahusika nazo Sheria ifate mkondo,,,,,,ikiwa sikwel bas abadilishwe eneo lakaz,,,,,hapo aje mwingine,kwasalama yake
hamuangalii mpaka mwisho mnaanza kuongea upumbavu.. hivi huyo imamu hamumsikii anavyosema kuwa yeye alikuwa hayupo akamlazimisha mke wake akamfanya kilazima au hamna maskio? analazimisha mapenz anafanya nao nyie hamsikii au
Imamu mpumbavu haijawahi kutokea dini gani inaruhusu rafiki yako aende kwako bila ww kuwepo au kumpeleka rafiki kwako na si muharamu wako Mufti wa tz wapen training hawa hawajui hata dini duuh subhana kifo
Duuh inatia hasira san Yan hapo kama angekuwa mzee wetu baba yetu kiongoz wetu mkiumbe cha mungu mtu wawatu yan hapo hapo lazima angefanya maamuzi ndy au hapan. Daaaaaah eeh mungu uliemchukua mtetez wawanjonge muhifadhi huy kiumbe wako pahara pazuri🙏🙏 😭😭😭
Hata kama sii mawe yan mtu 1 kwel aumize akili Kijiji kizima Yan huyu anabahat san.nikumfuata nakumgeuza kama mke boya huyu alafu unamchukua video kabisa unaanza kusambaza uone kama hatokimbia mwenyewe
Mnajifedhehesha. Tatizo la kunyeshewa si la mvua bali la mnyeshewaji. Ukose mwavuli ukose na koti? Vipi dua nazo zimeisha? Zinamshindwa mwenyekiti? Mtu anakamatwa guest na mke wako, shida ni yeye au mkeo? Sio vibaya aondolewe, lakini tatizo siyo hilo. Mama ashikwe asipige kelele? Hv mmeona huyo ndg anavyogiza kilio? Imamu asiyejua albadiri vipi naye? Kuna walakini.
Tanzania ndoa hamna siku hizi, wanawake malaya na wanaume malaya ni kawaida sana kutombana na wake za watu , wanawake wanajifanya wasiri , wapole wanapenda waume zao ila nje wanachepuka kama zote.
Hao wanawake nimatahila mpaka wanamkubalia, Mwenyekiti anakosa ndio ila hao wanawake wamekuwa wajinga kwa kiasi kikubwa. Dawa ya huyo Mwenyekiti nikushughulikiwa kijamii Wanaume wote hao wanasumbuliwa na mjinga mmoja?
Ashughulikiwe kwa kosa lipi sasa kwani aliwabaka si wamependa wenyewe na wameifuta gesti wenyewe.😐😐😐 Umalaya wao ndio maana wameliwa Mwenyekiti hana kosa hapo.
Hao WANAWAKE ndio MBUZI kabisa yaani wewe mke wa mtu unaanzaje kumvulia nguo mwanaume mwingine ilimhali wewe ni mke wa MTU ? na MTU mzima habakwi buana hao wanawake ni malayaaaaaa mbwa kabisa 😠
Wanaume nyie ni wapumbavu sana. Mnalia kama watoto, kama mkewako katongozwa na katoa naniliu yake jua ww ndo mwenye shida ,alafu Tafuten pesa wazeee muwatulize wake zenu , pia peleken moto. Sio mnalialia tu kwa kamera hapa
@@geofreymsengi9971 usiseme ivyo aingii akilini kujilaisisha uko vipi mtu mwenyewe bora Ata angekua handsom basi mtu mwenyewe yupo yupo tu kujilaisisha uko vipe
Ila hapo nilichokiona kosa siyo mwenye kiti kosa wake zenu kwani wangekataa walivyotongozwa wangepunguza kitu,kwa hiyo ilikuwa haina haja yakuandamana na kulia hadharani nyie mngedili na wake zenu,kwani hata wakimtoa madarakani mtaani hapiti
Kama anatumia madawa je? 😬😬😬😬😬😬 maana kuna watu wanatumia mizizi demu anashtukia kaliwa na anaanza kujuta alimkubalije? Japo wapo wanawake wengine wanapenda michezo hiyo na wengine wakisikia hayo watataka wakamjaribu.