Тёмный
No video :(

WAZIRI MKUU MAJALIWA AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI na MWEKA HAZINA, WAJICHANGANYA FEDHA za SERIKALI 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 37 тыс.
50% 1

WAZIRI MKUU MAJALIWA AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI na MWEKA HAZINA, WAJICHANGANYA FEDHA za SERIKALI
amemuagiza Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Kigoma, Steven Mafiga afanye haraka kuwachunguza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, Bi. Zainab Mbunda na Mweka Hazina wa Wilaya hiyo, Bw. Majjid Mabanga ili kubaini ni kwa nini miradi haiendi wakati fedha zilishatolewa kitambo.
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

20 сен 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 116   
@globaltv_online
@globaltv_online 10 месяцев назад
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@franknjau5578
@franknjau5578 10 месяцев назад
Mungu azidi kukutetea mh. PM. Watanzania tunataka utendaji wa namna hii.
@florencemeza6540
@florencemeza6540 10 месяцев назад
Tume miss hii kitu yaani waziri mkuu nakupenda saaaana 2025 ndo Rais wetu
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 10 месяцев назад
Hapa na mkumbuka Hayati Magufuli
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 10 месяцев назад
Sidhani
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 10 месяцев назад
Hawawezi kump nchi mafisadi wale,wanajua wakimpa huyu ni zaidi ya magufuli
@florencemeza6540
@florencemeza6540 10 месяцев назад
@@magrethmbangama1199 eti ehe tuingie kwenhe maombi
@mukhtaribura6159
@mukhtaribura6159 10 месяцев назад
Wewe waziri mkuu acha kutumbua wadogo tumbua na vigogo sio wadogo tumbuwa wote wanaiba mali ya umma..kama vile ,mkamba,mchemba,na wengineo tumbua
@samsonkihwele6544
@samsonkihwele6544 10 месяцев назад
Kazi ya raisi sio waziri mkuu kutumbua
@thomastemu3332
@thomastemu3332 10 месяцев назад
Makamba ndo Papa kabisa hafai
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 10 месяцев назад
Kama Kuna mtu ninayempenda ni mwl majaliwa nakupenda bure
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 10 месяцев назад
Mbona wezi CAG hawakufukuzwa makosa ni yenu huko juu mnawaonea tu hawa wa chini hamna lolote mtoke kwenye ofisi za umma wote hamfai MACCM
@Muganyizi
@Muganyizi 10 месяцев назад
Mbwa wew
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 10 месяцев назад
@@Muganyizi bora niwe mbwa kwa kusema ukweli kuliko kuwa binadamu asiejali utu na Watanzania na tabia ya mbwa kama ukivyoniita ni kulinda sasa wacha nilinde na ni kulinde hata wewe watanzania mnadanganyika haraka mno ujinga wetu ndio mtaji wao, mbwa nawapenda na rafiki kwa binadamu kwangu sio tusi ni cheo umenipa
@yonaalmasy8158
@yonaalmasy8158 10 месяцев назад
Mungu akubaliki waziri mkuuu mm ni chadema lakin unanivutia utendaji wako mkuu
@michaelkimweri1074
@michaelkimweri1074 10 месяцев назад
Pole waziri mkuu tunakukubali,sana
@mtundipaul5748
@mtundipaul5748 29 дней назад
Ondoka now hao waziri wetu m mungu akupe afya njema tu
@mohammedalghannami3150
@mohammedalghannami3150 10 месяцев назад
Kassim Majaaliwa, Rais Mzalendo ajae wa Tanzania
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 10 месяцев назад
Lakini tambueni hiyo ndio kazi ya Waziri Mkuu Mtendaji Mkuu wa Serekali hivyo yeye ndio anatakiwa mara kwa mara afwatilie hayo sio kazi ya Rais
@mohammedalghannami3150
@mohammedalghannami3150 10 месяцев назад
@@abuumuhammad7133 kweli kwahakika wote wanamuakilisha Rais ila Majaliwa anaonekana ni mtii mzuri zaidi Kwa Mama, na ana uchungu na nchi yetu
@user-od9cf7lp9v
@user-od9cf7lp9v 10 месяцев назад
Waziri mkuu hawezi kuibua changamot za Kila wizara na mambo yake lazim wasaidiz walioaminiw wawe watendandaji,,, Kam msingi ukiharibika mweny haki atafanya nn
@bakarirajabu3783
@bakarirajabu3783 10 месяцев назад
MH WILAYA YETU YA UVINZA HATUNA VIONGOZI MZEE VIONGOZI HOTE NI WEZI MZEE WANAKUCHOSHA TU HAO SWENKA HOTE NDANI
@ankoanko-zz7it
@ankoanko-zz7it 10 месяцев назад
Jionee mwenyewe mkuu
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 5 месяцев назад
Yaaani😭😭😭😭😭
@michaelkimweri1074
@michaelkimweri1074 10 месяцев назад
Mama amekataa mabango,yalikua yanafichua Siri hizi,sasa waziri wetu mkuu anapata shida Bure,pole waziri wetu mkuu.
@mustaphersamson6174
@mustaphersamson6174 10 месяцев назад
DUHHHHHHHHHH, MBONA KIZUNGUMKUTI??????,
@KhamisHaji-pw4jo
@KhamisHaji-pw4jo 10 месяцев назад
Good 👍👍👍👍
@KhamisHaji-pw4jo
@KhamisHaji-pw4jo 10 месяцев назад
Good
@martinbarua9962
@martinbarua9962 10 месяцев назад
Namkubali sana kassim majaliwa😂😂
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 5 месяцев назад
Duuu na leo kimeumana tena😂😂
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 10 месяцев назад
Mtu anazembea hapa, na kuiba hapa mnamuhamisha idara, tutafika kweli, ??? Watu wanapewa mihela hawajui hata matumiz,
@PLAYPROGAMING568K
@PLAYPROGAMING568K 10 месяцев назад
Ni kweli ukihamisha hamisha ugonjwa uko palepale ni kuondoa ondoa haswa wa chini ondoa mpaka messenger anajifanya ndiyo anaulizwa ati hii inafanyanini ?na au huyo hapa panahudumiwa na nani ?au mgambo ni anampa maelezo yule aliyeletwa yaani kutoka chini mpaka juu ni muozo tafuta waliyosoma wako wengi University of Dar es salaam wanatafuta kazi ,hawa imelemaa hawafuatili na wala hawasomi karasi yoyote wanayoletewa
@nenolauzima5281
@nenolauzima5281 10 месяцев назад
Haya mambo tumeyamiss sana...
@user-cc4jk1ll5v
@user-cc4jk1ll5v Месяц назад
Wezi hao chunguza huwezijiamlia fungu lakitukinginenakupeleka kwingine Tanzania ni shidaaaaaaaa
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 10 месяцев назад
Daaaaah inasikitisha sana
@directorabiero340
@directorabiero340 Месяц назад
Upo kwenye hako
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 5 месяцев назад
Subiri. Subiri. Ngoooja. Taraatibu😂😂😂😂
@leylasaid9641
@leylasaid9641 10 месяцев назад
MPK WAFUATWETUATWE HAWAJITUMI-WATUMBULIWE WAPO WASOMI WENGI HAWANA KAZI.HAWAONI AIBU MPK WAZIRI MKUU AFUATILIE
@user-wc8qm1lk7n
@user-wc8qm1lk7n 2 месяца назад
Waziri Mkuu maeneo yote yanengwe
@HashimYahaya-hd3zm
@HashimYahaya-hd3zm Месяц назад
Naomba niurize kwamagufuri wizi mbona ukuwa ivi shida awa watumishi wana mashindano yakupata mari mara majumba mazuri mara magari mara magesti yani nitatizo nyerere wara hakujirimbikizia mari
@user-ii4zj1jm6v
@user-ii4zj1jm6v 9 месяцев назад
Hapa kazi tu fanya kazi baba
@mukhtaribura6159
@mukhtaribura6159 10 месяцев назад
Tumbua pia mawaziri wako mpka sasa watanzania awapati umeme na maji
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 10 месяцев назад
Timua viongozi wote wanaohusika na umeme
@idyjumanne9796
@idyjumanne9796 10 месяцев назад
Wezi ao wamekula Ela zetu za walipa Kodi na tozo zetu ss Kodi nyngi walaji wachache
@zuberigangisa2075
@zuberigangisa2075 10 месяцев назад
Kazi zao hao ni kutengeneza migogoro tu kwenye halimashauri zetu
@BIGSTONE-lb9po
@BIGSTONE-lb9po 10 месяцев назад
Kwambali namuhona JPM.NGOMBEYA URAHISI BABA CASSIM MAJALIWA.
@jasiriasili3694
@jasiriasili3694 10 месяцев назад
Njoo na ilemela mwishimiwwa waziri mkuu huyu mkurigenzi kalia pesa ya maji😊
@mukhtaribura6159
@mukhtaribura6159 10 месяцев назад
Hao wanafundishwa na akina makamba ndio walimu wa kula rushwa..
@thomastemu3332
@thomastemu3332 10 месяцев назад
Ndiyoooo 😢 kabisa
@eliannko
@eliannko 10 месяцев назад
Cheki lile jizi lililo Vaa shati la kijani
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 10 месяцев назад
Mhuuuuuuuu pole ded
@user-cc4jk1ll5v
@user-cc4jk1ll5v Месяц назад
Bb hapo hakuna fedha
@user-rs4vz2vt9z
@user-rs4vz2vt9z 10 месяцев назад
Naomba namba yako muheshimiwa.this is voice of Gog.
@deoprosper556
@deoprosper556 10 месяцев назад
Hayo mabilioni tajwa mpk kichwa chaniuma
@user-cc4jk1ll5v
@user-cc4jk1ll5v Месяц назад
Wamekulaaaaaaaaaaaaaaa
@naturelle1097
@naturelle1097 10 месяцев назад
Watu wazima hawa kweli???? Yatumbulie mbali!!! Kisha wanunuliwe ma probox na sio V8. Hata kujieleza hawezi itabidi utembeze bakora this is too much!!
@thomaskwibonelwa9240
@thomaskwibonelwa9240 10 месяцев назад
Kupeana vyeo kwa misingi ya udini italiangamiza taifa. Mkurugenzi anaonekana kilaza.
@abi-onlinetv4181
@abi-onlinetv4181 10 месяцев назад
We ndo kilaza tena Sana. Hapo kuna dalili gani ya udini au umeropoka tu. Makalio yako.
@thomaskwibonelwa9240
@thomaskwibonelwa9240 10 месяцев назад
@@abi-onlinetv4181 vaa miwani uone kilaza alie teuliwa.
@Hussein-qq2uy
@Hussein-qq2uy 10 месяцев назад
Wewe Thomas ndio mdini tena hufai kabisa Acha chuki zako za kijinga na za ajabu ajabu,,,,kwa taarifa yako huo ushungi aliovaa mkurugenzi ndio ustaarabu na ndio heshima ya mwanamke ,,,,,,,,mdini mkubwa weee
@user-xx8jx6tb7d
@user-xx8jx6tb7d 10 месяцев назад
Kwanin wakipewa hela wanakaa nazo kwa muda wote huo, wanatakiwa wakipewa hela wapangiwe mda wakuitumia na pia kila kitu kiende kwa hesabu
@mweyaiddy
@mweyaiddy 5 месяцев назад
Mzee wangu nakuelewa but kwa xx huna nguvu ya kuongea km ulivyo kua nyuma 3yrs
@zuberigangisa2075
@zuberigangisa2075 10 месяцев назад
Hayo matatizo ya halimashauli hata Namtumbo yanasumbua sana kiongozi
@user-cc4jk1ll5v
@user-cc4jk1ll5v Месяц назад
Waziri mkuu haondio wasomi aliwafukuza lasaba lasabawalikuwanaweledi sana nawaaminifu kuliko hao wasomi sasakikowapi nchihiii nishidaaaaaaa
@karimmunis8302
@karimmunis8302 10 месяцев назад
Tatizo ni huyo bibi hapo juu ndo anaturudisha nyuma mambo hayaendi ,na bi mkuubwq yupi tu kupaka hina
@zachariathomas9980
@zachariathomas9980 10 месяцев назад
Hivi huyo mzee alikuwa amezuiliwa au
@florencemeza6540
@florencemeza6540 10 месяцев назад
Mkurugenzi wa hovyooo saana ni kilaza kabisaa
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 10 месяцев назад
Mhuuuuuuuu nanyi mnabeba hata ambao hawayajui mambo ya halmashauri hayo sasa
@hamadmakame6040
@hamadmakame6040 10 месяцев назад
HUYU NDIO TUNAE MUHITAJI SAASA
@NsobiLema-wq9vh
@NsobiLema-wq9vh 10 месяцев назад
Mweshimiwa ungekuja hata mbarali tunateseka umeme unakatwa mpka jumapili
@zuberigangisa2075
@zuberigangisa2075 10 месяцев назад
Wakurugenzi hao vibaka kiongozi
@zainul-hassanhussein
@zainul-hassanhussein 10 месяцев назад
Wanamuhuju Our President Her Excellency SAMIA SULUHU HASSAN.Accountability
@ramadhanisalum7476
@ramadhanisalum7476 10 месяцев назад
manawaonwa bwana nyinyi mbona mnakwiba alafu manonea hao CCM HAITUFAI BWANA HATUATAKI TENA
@user-cc4jk1ll5v
@user-cc4jk1ll5v Месяц назад
Hazipoooooooo hizofeha
@barikimohammed
@barikimohammed 10 месяцев назад
Naukiwakuta bar hao hatukai nao maboss wakula pesa zetu
@RehaniKharidi-st4oe
@RehaniKharidi-st4oe 10 месяцев назад
Raisi ajae hataari Sana mama anamajembe
@mbmbwana
@mbmbwana 10 месяцев назад
PM
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 Месяц назад
Mwananchi anawaangalia tu mnavobwabwaja hapo ipo siku yenu
@WilbertDede-qp6gs
@WilbertDede-qp6gs 10 месяцев назад
Wasimamizi ngazi ya wilaya na mkoa mbona hawaajibishwi
@denisyohana8104
@denisyohana8104 10 месяцев назад
naombeni basi na mimi nafasi nijaribu ,mbona naweza simamia vizuri sana ..
@thomastemu3332
@thomastemu3332 10 месяцев назад
Hahaaa hela tamu.unaweza kujisahau
@eliannko
@eliannko 10 месяцев назад
Majizi wanazozana mtu ukisha kuwa ccm ni mwizi
@KhamisBoss
@KhamisBoss 20 дней назад
Shida wanaoiba pesa nying mnawacha
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 10 месяцев назад
Watumishi huwa wanahamishwa saaana huenda wote hapo wameyakuta hayo mauza uza
@kagoyemwambal9061
@kagoyemwambal9061 10 месяцев назад
Wezi hao peleka jela tumechoka
@fredyfile623
@fredyfile623 10 месяцев назад
Sishangai bcz hayo ndo madhara ya kupita bila kupingwa wangechaguliwa kwa haki wangesimamia hayo vizuri lakini wooote ni ccm hivyo wamefumbwa macho.
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 10 месяцев назад
Wezi Wezi Wezi Wezi mjomba kassimu watakuloga hao
@naturelle1097
@naturelle1097 10 месяцев назад
Washindwe kwa Jina La Yesu!!!
@princeofhulabula
@princeofhulabula 10 месяцев назад
mMWERA HUYO huko lindi ndiko uchawi ulikozaliwa.
@zainabwage4658
@zainabwage4658 10 месяцев назад
Mpk apite wazir mkuu ndipo aone ayo duh
@michaelkimweri1074
@michaelkimweri1074 10 месяцев назад
Magu alieanyoosha Hawa,Sasa wamerudi kwa Kasi kwaajili ya kulindana,kilamoja anakula urefu WA kambayake .....
@justerissaya9165
@justerissaya9165 25 дней назад
Tatizo fixzd account mheshmiwa na tamko
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 10 месяцев назад
Nchi hii inapigwa kila kona, sababu ya viongozi wazembe na dhaifu. Mjiuzulu tu wote, wachumia matumbo tupu
@thomastemu3332
@thomastemu3332 10 месяцев назад
Hawafai watumbuliwe hao
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 10 месяцев назад
MKURUGENZI Mpumbavu saana huyu. Tumbua Wote
@elihurumanada4874
@elihurumanada4874 10 месяцев назад
Fukuza mkuu wa mkoa Kigoma na mkuu wa wilaya kwasababu ni aibu kubwa kwa waziri mkuu kuibia uozo
@cleophacephelician6739
@cleophacephelician6739 10 месяцев назад
HIYO HAIKIBALIKI, RAIS WETU ANATAFUTA PESA SOTE NI MASHAHIDI, ALAFU WATU WACHACHE WALIOPEWA DHAMANA WANASHINDWA KUTEKELEZA MIRADI NA WANANCHI WANAENDELEA KUPATA SHIDA, TUNAOMBA HATA KAMA PESA HAWAJAILA, KWA KOSA TU LA KUCHELEWWSHA MIRADI, WAWAJIBISHWE!?
@florencemeza6540
@florencemeza6540 10 месяцев назад
Ingekuwa enzk za JPM WOTE MNGEFUKUZWA wananchi wanacheka wanajua kinachoendelea
@saudmohammed3390
@saudmohammed3390 10 месяцев назад
Tatizo wizi mtupu hakuna mawazo ya kujenga watu wanataka kuuza
@stephanokanyika6321
@stephanokanyika6321 10 месяцев назад
LABDA NDIO MSIMAMO WA SERIKALI KWA NINI WASITUMBULIWE WANASIMAMISHWA TU
@eleutermhumba347
@eleutermhumba347 10 месяцев назад
Viongozi acheni kulalamika ,chukueni hatua acheni bwebwe.
@sembuakimbosho3319
@sembuakimbosho3319 10 месяцев назад
Kimenuka
@shabanipanya1033
@shabanipanya1033 10 месяцев назад
Sasa hii itasaidia nini wakati nchi haina raisi ni kelele tu za bure
@Jandugu
@Jandugu 10 месяцев назад
CCM naifananisha na nyumba yenye panya waswahili alisema paka akitoka panya hutawala paka wa ccm alikuwa Magufuli kwa hiyo mapanya wanachezea mishahara yao na pesa za miradi ya maendeleo. Pia sio kila anae lia eti ana majonzi Wala sio kila anaepiga kelele amekasirika wengine ni furaha na mzaha . sijawahi kuona sabuni na uchafu vikakaa pamoja . Kapigiwa pasi fupi fupi kashindwa kukaba muweka hazina kasema pesa hakuna uchunguzi wa nini paka akitoka panya hutawala.
@mtundipaul5748
@mtundipaul5748 29 дней назад
Hahahaha wanyoshe hao ndo wezi wasumbufu wanakwamisha miradi viongozi wanaonekana hawafai 7bu za wajinga wachache tu
@Fundi12345
@Fundi12345 10 месяцев назад
Waziri hawa watu hawana uwezo wa kusimamia hawajitambui tandika vimbo hera kama zimeperekwa mama huyo anatesa watanzania
@zegelibilishanga6047
@zegelibilishanga6047 10 месяцев назад
Mhulumie inatosha hiyo ngonjera Atakufiako bure mama ashaumia
@victorsanga2229
@victorsanga2229 10 месяцев назад
Makosa ni rais mwenywe namna anawapata wateule wake, vijana wa CCM si wawajibikaji wakutupwa. Aache kuchagua kwa vigezo vya uchama
@saynabmohammed6263
@saynabmohammed6263 10 месяцев назад
Wazir unamuuliza lin Kate mbelelea je wewe wazir lin ulienda kufatilia
@shadrackmohamedi8765
@shadrackmohamedi8765 10 месяцев назад
Sasa Wazir atatembelea sehemu zote kweli?
@bakarirajabu3783
@bakarirajabu3783 10 месяцев назад
Wilaya ya wajinga hii mzee kila mtu ni mungu mtu kz tunayo bila maombi na dua hatuponi
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 10 месяцев назад
Jamani viongoz ifike sasa mahali muwe mnafukuza aina ya wezi na wazembe , hawa, tumechoka. Fukuzeni , ajirini wengine
@fredyfile623
@fredyfile623 10 месяцев назад
Sishangai bcz hayo ndo madhara ya kupita bila kupingwa wangechaguliwa kwa haki wangesimamia hayo vizuri lakini wooote ni ccm hivyo wamefumbwa macho.
Далее
Qora Gelik
00:26
Просмотров 420 тыс.
Sevinch Ismoilova - Xayollarim 18-Avgust 19:00 Premera
00:19
Муж на час 😂
00:37
Просмотров 931 тыс.
Редакция. News: 129-я неделя
49:53
Просмотров 2 млн
Qora Gelik
00:26
Просмотров 420 тыс.