Unaziba hoja zilizopo mezani kwa kisingizio cha mpina jibu hoja zake kwa sasa yale ya mpina na nyavu yalipita. Kama unauchungu na sisi watanzania fanya VAT iwe mauzo bilioni moja kuliko kutukimbiza na mauzo ya million Mia moja
Acha kutuzuga mwigulu ss watu wa kanda ya ziwa tunamkubali mpina sababu saidia sana kuongezeka kwa samaki katika maziwa yetu hata ss wenye uwezo wa chini tulimudu kununua kitoweo cha samaki lakini leo hii samaki kwenye maziwa yetu wamepingua kwa sababu mambo yamerudi kama zamani mwendo wa uvuvi haramu harafu unamsema vibaya mpina kwa lipi acha hizo mwigulu jibu hoja za mpina
Leo kaona ka point mpina katereza sasa ndo anaogerea kama bata mzinga😂😂😂😂Kama msomi mwenye phd huwezi kukaa kusemea kaneno kamoja kwenye point mia za mtu
dah huyu jamaa amejua kujificha kwa mama, hebu jaribu kumjibu Mpina kwa maswali aliyokuwa anakuuliza maana wewe unalalamika tu , yaniungejua tunavyomuelewa Mpina hatausinge mpakazia hivyo maana wew ndo kilusi wa Nchi hii na genge lako Ila Mungu anawaona na Watanzania tunawaona
Mpina kabila gani? Magufuli alisema,alimtafuta waziri Chizi wa uvuvi,ndio akampata Mpina,akaanza kuchoma nyavu, kupima samaki hata bunge lilipigwa faini. Leo amedhulumu ardhi ya watu morogoro.
Acha ngonjera, nyavu haram haziruhusiw nchin kulingana na mujibu wa katiba yetu, kasome ujikumbushe acha kutetea ujinga pia acha kujificha kwenye kivur cha rais
Mwigulu hapa naona akili yako inaanza kuchambua pumba na mchele ongera ila ujue gendere wa biashara ni hawa vijana wa TRA tafadhali wakemee wasije wakarudia tena wakome