Тёмный

Msukuma alipuka tena Bungeni ashtukia upigaji DILI "Nani yupo nyuma ya huu mchezo" 

Mwananchi Digital
Подписаться 1 млн
Просмотров 101 тыс.
50% 1

Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Msukuma alipokua akichangia kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kwa mwaka 2023/2024 .

Опубликовано:

 

20 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 71   
@saimonilugwila6267
@saimonilugwila6267 Год назад
Hongera sana king msukuma Kwa kupata u Dk unatusemea vyema wananchi wako wa Kanda ya ziwa , msukuma karibu sana Jimbo la busanda ugombee ubunge 👍
@lubangompyalimi8922
@lubangompyalimi8922 Год назад
Mh.msukuma unanikosha sana kwa hoja za mashiko na pint natama kukuona usokwq uso tz inahitajo wabunge kama wewe. Na mh.mpina. VIVA msukuma
@georgedamas7097
@georgedamas7097 Год назад
Kazi nzuri sana Dr King Msukuma.
@lubangompyalimi8922
@lubangompyalimi8922 Год назад
Tz inahitaji wabunge kama wewe King MSUKUMA
@Kakamkubwa3564
@Kakamkubwa3564 Год назад
Dah wasukuma watu wa kweli sana aisee
@sifamanyori-kf9vq
@sifamanyori-kf9vq Год назад
Kunikaka yangu musafu nikambira rawasukuma vijini
@jamilmwinge3695
@jamilmwinge3695 Год назад
Mbunge mmoja tu.
@dmox8723
@dmox8723 Год назад
Na shabby
@georgedamas7097
@georgedamas7097 Год назад
Very smart.....
@GraceLadc-no2ig
@GraceLadc-no2ig Год назад
Msukuma congratulations
@wakembetajaphary6006
@wakembetajaphary6006 Год назад
Nan kaskia madaktar hatukimbii matatzo weka like twende sawa🎉😅😅😂
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 Год назад
Msukumu unaakili Sana .jimbo la Geita vijini wakupe ubunge maisha yako yote
@AndrwMaiko
@AndrwMaiko Год назад
Mhushimiwa msukuma nirikupenda sana nimengundua wewe magufuri hujamyendea haki ira mungu yupo naumia sana aisee
@japhetlinus3891
@japhetlinus3891 Год назад
Wabunge wachache Sana Kama DK MSUKUMA
@amanisewando529
@amanisewando529 Год назад
Msukuma na mpina pamoja na Shabiby ndio watetezi wa wanyonge wakisaidiwa Dk tulia
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 Год назад
Leo nimemuelewa uyu mwamba aje hapa city of gold Johannesburg tukae nae hapa news Cafee tule nae vzr na kunywa nae
@amanisewando529
@amanisewando529 Год назад
Nataka nikupe shahada nyingine mzee maana walio soma sio msaada kwetu
@serianjamal8254
@serianjamal8254 Год назад
Mh Msukuma umeongea points bila woga hata kugonga meza wameshindwa, yaani hiyo nchi viongozi ndio wala dili🤔🙄
@ElishadMayingu
@ElishadMayingu Год назад
Upo vizuri sana
@frankbalwetegile5655
@frankbalwetegile5655 Год назад
Haya maigizo yataendelea mpaka mnaonenaje bunge letu likawa la ccm daima Kama lilivyopitishwa 2020
@aboukibesh8356
@aboukibesh8356 Год назад
Msukuma Msukuma Msukuma
@sonekasonekatoroka5884
@sonekasonekatoroka5884 Год назад
Big up king msukuma yupo pamoja na wewe akupe nguvu 🙏
@lubangompyalimi8922
@lubangompyalimi8922 Год назад
Hoja za mashiko na point uko vizuri saaana.siyo wabunge wasomi wapigaji
@mwinyimatano9497
@mwinyimatano9497 Год назад
Huyo msukuma ndie mwenye phd ya kweli wengine ni makaratasi 2
@emanuelsamson-hq2jv
@emanuelsamson-hq2jv Год назад
Musukumaa bana weninomaa nduguyetuu
@kivuyolalashe4744
@kivuyolalashe4744 Год назад
Phd original ndio hii
@salumbujjo2320
@salumbujjo2320 Год назад
Darasa la saba ila inawashinda ma proffesa watu wenye uchungu na nchi hawa ndio ilitakiwa wawe mawaziri.
@mdedsm5522
@mdedsm5522 Год назад
Pale PhD ya heshima inapoishinda PhD ya darasani😂😂😂😂
@shihume256
@shihume256 Год назад
Huyu mtu ana akiri hana Elimu lakin ana Akiri...ikumbukwe sasahivi mambo mazuri yanatokana na akiri
@AmosBalugize
@AmosBalugize Год назад
Musukuma nakukubali sana
@Jack-t7b3w
@Jack-t7b3w Год назад
Dah msukuma
@MondeMabele
@MondeMabele Год назад
huyo dactar wa heshima mjanja sanaaaaaaaaa😀😀😀😀😀😀😀😀🤣🤣
@thomasraiton7760
@thomasraiton7760 Год назад
Mtalaam nimekuelewa sana daktari wetu, hawashibi wale jamaa waliozoea kula tangu enzi za upofu
@MichaelMawenya
@MichaelMawenya Год назад
Namkubali sana huyu muheshimiwa
@jiweg-unit5408
@jiweg-unit5408 Год назад
Nchi yetu Yaan dah we Acha unaweza hata ukasema Bora hata kinuke siku moja yaani lnasikitisha sana
@theonaskalyalya9109
@theonaskalyalya9109 Год назад
Chanzo ni serikali na Sheria zake
@MartinMakoye-f8t
@MartinMakoye-f8t 10 месяцев назад
@johnsimfukwe8511
@johnsimfukwe8511 Год назад
Du, points
@SamsonMadilu
@SamsonMadilu Месяц назад
Safi sana rais ajae uwe zaidi ya magufuri😂😂
@frenkferecian6215
@frenkferecian6215 Год назад
Wabunge wa mkoa wote wa geita msukuma2 ndo tunamuona akichangia bungeni wengine mnaogopaga kuongea bungeni? Au walienda vilaza2
@faridubakana6733
@faridubakana6733 Год назад
Msukuma dua na sala zangu zipo nawe mheshimiwa
@AbrahamSekuza
@AbrahamSekuza Год назад
Jamani CCM yupo mtu na watu hatosheki na pesa na ni katili sana kama akiondoka huyo nchi itakuwa salama Tanzania IPO mfukoni mwake na sidhani kama alifurahia Raisi kwenda kwenye mualiko wa Chadema wa wakina mama
@victorjames3730
@victorjames3730 Год назад
Musukuma kichwa sana
@neema-q9d
@neema-q9d Год назад
Jamani kakayangu msukuma unaonaje ukigombea urais 025?nakukubalisana
@ReitusNkondo-ud9mb
@ReitusNkondo-ud9mb Год назад
Hicho kipachi tuu mungu akulinde Dr msukuma
@kalamamzee6669
@kalamamzee6669 Год назад
Waau,bunge la tanzania ni bure bila msukuma, msukuma hoyeee
@KisameMabula-r6e
@KisameMabula-r6e Месяц назад
Ahamuna otewanakaz isipokuwa kipanji
@sonekasonekatoroka5884
@sonekasonekatoroka5884 Год назад
Tunakupongeza pia mweshimiwa msukuma
@TrustSanga-pj1rp
@TrustSanga-pj1rp Год назад
HUKU SONGWE UFUTA HATULUHUSIWI KUPELEKA MBEYA JAMANI
@JackMwita-ve8dj
@JackMwita-ve8dj 9 дней назад
Hata kama siku ni nyingi tangu uongee haya maneno hakika lazima upewe maua Yako msukuma umenena
@akibasimba9486
@akibasimba9486 Год назад
Kikao cha wafanya biashara mushsra
@allynguzo2805
@allynguzo2805 Год назад
Aaaa usifilisike 🤣🤣🤣🤣
@dakihamaluta4159
@dakihamaluta4159 Год назад
Sio sili msukuma anaongea lugha nyepes Kila mtu anaelew kuzid ata hao wanaojiita ma Dr
@SamsonMadilu
@SamsonMadilu Месяц назад
Safe Rais ajae😂😂 😂
@jaromeedward781
@jaromeedward781 Год назад
Commando wa ukweli anaongea ukweli
@SalomeSululu-be5wg
@SalomeSululu-be5wg Год назад
Duu ama kwel serikal wapo wanaoeelewa unyonge wetu lakin hawana namna
@ChidoBoy-pm8pf
@ChidoBoy-pm8pf Год назад
mzukuma hatukuelewi
@ChidoBoy-pm8pf
@ChidoBoy-pm8pf Год назад
sio kwel msukuma ndio wale wale tuuh
@davidmkwawi8825
@davidmkwawi8825 Год назад
Tukipata wabunge kama huyu mtani wngu 10tu ccm itanyooka
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 Год назад
MSUKUMA hao jamaa ukiwagusa wanakudandia
@bedykedy3428
@bedykedy3428 Год назад
Huyu msukuma Mungu amtunze asee
@erickabel6201
@erickabel6201 Год назад
Kafanana na magufuri😢
@dmox8723
@dmox8723 Год назад
Msukuma ana phd ya akili wengne phd za makaratasi
@JonathanCrizant
@JonathanCrizant Год назад
😅
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 Год назад
MSUKUMA uko poa huyo mdandia nyuma asikutishe
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 Год назад
Upumbavu hapo kuna ulaji mkubwa. Nahisi msukuma una akili sana. Ila naamini ulitaka kusema dalasa la saba hatuna complication kuliko kusema hatuko active . You are too active . Wewe ni active sana.
@luhanyamipawantobi6888
@luhanyamipawantobi6888 Год назад
Tarifa zanini c msubiri muda wenu wakuchangia
@KisameMabula-r6e
@KisameMabula-r6e Месяц назад
Andda kitongo
@georgedamas7097
@georgedamas7097 Год назад
Kazi nzuri sana Dr King Msukuma.
@ElishadMayingu
@ElishadMayingu Год назад
Upo vizuri sana
Далее
Mbunge wa Mbogwe  amwaga  machozi bungeni
11:31
Просмотров 133 тыс.
10 CHALLENGE ⚽️ CELINE vs MICHIEL vs BRAM
0:59
Просмотров 2,9 млн
MWANAFUNZI MTUKUTU (PART 2)
15:24
Просмотров 2,7 млн
AMINI SIO YEYE VITUKO VYA STEVE MWEUSI
10:42
Просмотров 464 тыс.