Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Msukuma alipokua akichangia kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kwa mwaka 2023/2024 .
Jamani CCM yupo mtu na watu hatosheki na pesa na ni katili sana kama akiondoka huyo nchi itakuwa salama Tanzania IPO mfukoni mwake na sidhani kama alifurahia Raisi kwenda kwenye mualiko wa Chadema wa wakina mama
Upumbavu hapo kuna ulaji mkubwa. Nahisi msukuma una akili sana. Ila naamini ulitaka kusema dalasa la saba hatuna complication kuliko kusema hatuko active . You are too active . Wewe ni active sana.