Kinacho niuma ni kauli ya kusema eti kama maisha magumu tuhame nchi mana kwamba sis hatuna haki kwenye nchi hii yani natamani sana na nyie muishi maisha tunayo ishi hata mwezi mmoja wengi wako wamezaliwa wazazi wao viongozi akiamka asubuhi chai anaita brek fast na alikuwa na kuingia kwenye uongozi mojkwamoja hajawahi ona hata tattoo wenzake wa hali ya chini wanavyo teseka afu mnampa ubunge dah nchi ifike mahali tubadilike jaman
Mwigulu mwehu wewe ni mwizi mwizi.Acha sisi tumechoka na uwizi wako ndo maana na mama yako ameruhusu mawaziri muibe kufuata urefu wa kamba zenu na mumevimbiwa .Nenda Mwigulu hatutaki hata kusikia sauti yako
Sijaelewa zaidi ya real time audit na compliance audit ambayo kwa sasa ni requirement ya kimataifa. Pili kusema Prof. Assad aliondolewa kwa zengwe ni mpya sana kwangu. Na inaashiria zaidi nazaria iliyopo ya cag kunyimwa uhuru ama uhuru wake kutegemea utashi wa mkaguliwa.
Kwa bunge hili na waziri wa fedha aina kama Mwigulu sioni Tanzania ikisonga mbele kiuchumi pamoja na kumsifia mama Samia Kama ametoa pesa zake mfukoni mwake
Nchi hii mkitaka iwe salama wafanyabiashara kwenye uongozi WA nchi wawekwe pembeni( conflicts of interest) nchi itazama, Azimio la Arusha wenye akili ya kuona mbele walijua hayo.
MH Sp Mwgulu Ana sema ukweli una mwambia Afute kauliyeke kwani kusema kweli kwenye Bumgelako ni dhambi?Lakini Wa Tanzaia wote wana jua kufukuzwa kwa Saad kulitokana na kusema kweli kwamba kuna Wizi Mkubwa
Atamfanyaje huyo anakula na mama, ameiba mpaka kachoka sasa anawatukana hivi mtamfanya nini mnanini kumzidi huyu, eti wabunge amumuwezi huyo muwekeeni mdomo muone kama kwenye kamati ya wabunge mtapita mwacheni huyo wa mama
Huyu bwana (Ng'wigulu Nchemba) nadhani ana tatizo la kisaikolojia, hana utulivu na ana-lack u - serousness katika jukumu lake la uwaziri wa fedha. Huyu nafasi hii ya uwaziri wa fedha haiwezi. Huyu arudishwe chamani huko akawe mfanya propaganda na uongo uongo. Utendaji ktk serikali ni lazima uzingatiape sheria, kanuni na taratibu hakuwezi. Lakini yeye anaonekana ni mtu asiye serious na majukumu yake. Anapenda siasa badala ya kutenda na kuisaidia nchi na wananchi kukua kiuchumi!
Rais wangu inatisha wizi huu umekisili huku barabara hatuna rami tunaugua tibii vumbi tu masika taabu kutoka ispii mbaka mafinga inauma kuona watu wanapiga hela tu