I Wish alipelekwa hospitali hapa Kenya 🇰🇪 Nairobi Hospital to be checked Angepona instead of being flown all the way to Dar..Operation was not Necessary Mungu anawaona hao Madakitari they caused the Death of Marco Joseph Inauma Sana Anyway imetendeka .May his Soul Rest Peace.
True hata Agakhan hosp is best kutibu moyo .most patients operations zao hukuwa successful .poleni sana familia yake na zabron singers .kifo ni uchungu
Yote hayo tumwachie mungu.hata hao madaktar tusiwalaumu.operation wa moyo ndugu zanguni hata angepona asingeish muda mrefu.tuna ndugu yetu alifanyiwa na mpaka Leo hii hatupo nae.tumshukuru mungu kwa yote.hata ss mm kesho yetu hatuijui.poleni sana Wana familia mungu awatie nguvu kipindi hik kigumu.hata ss tulimpenda sana
Nchini Tanzania hakuna Ma-Daktari wazuri ukiumw aukipelekwahospitali ujijuwe unakwendakufa kupona ni asilimia 20 tu. Mr Tundu Lissu angelitibiwa Tanzania sasa hivi tungelimwita Marehemu .Lakini amekwendakutibia ulaya na amepona .
Heart surgery is very delicate,it's needs the best of the best surgeon to carry the operation and well equipped facility.God knows better.RIp Mwimbaji😭😭😭
Hamujui kitu madakitari wa Tanzania kuendeni huko mrudi mashuleni mmefanya kitu mbaya sna,ama mliongwa kumaliza muimbaji wetungemu ref Kenya,hata nalaumu pia wenye walimurudisha Tanzania eti atipiwe huko mbona hamukumuacha ati iwe huku kueyu Kenya ,na mlikua Kisumu pia kina specialist wa moyo tukampotezandugu wetu mzuri kua njia ka hiyo jamani,sjui ka ntasahau souti na sura yke,rip bro mungu anakujua vzuri sna.
Mungu awape faraja zake zinazo pita uwezo wa kibinadamu... but ako kwa mikono iliyo salama, Mungu hutukumbusha pia kupitia hili kwamba tuwasafiri... ila Mungu alipanga haya yote, asante Mungu kwa mda wote pamoja na Marco hapa duniani... hii ni transfer Marco akaimbe huko juu Mbinguni.. natushukuru kwamba hata hili Mungu atawapa faraja na litapita.. Mungu ametukumbusha tuko safarini basi tujichunguze tunaelekea vipi🇰🇪🙏❤
Tumezaliwa siku moja tutakufa siku moja muhimu ni kumuomba mwenyez mungu atujalie mwisho mwema msilaumu madaktar sana kwan kila mmoja ataondoka kwa sababu mwenyez mungu alopanga kifo kimeumbwa msiongee sana mkamkufuru mwenyez mungu inauma sana ila tumshukur mungu yote kwa yote innalilah wainalillah rajiun😭🙏
All is not lost,he is at the right time in the hands of GOD ,we are all passing by ,diferen time , diferent ours. im Evangelist Silvanos AKOMBO GOSPEL ARTIST FROM KENYA.
No operation these days: normaly this is done: Coronary stents are now used in nearly all angioplasty procedures. A stent is a tiny, expandable metal mesh coil. It's put into the newly opened area of the artery to help keep the artery from narrowing or closing again. Tissue will start to coat the stent like a layer of skin once the stent has been placed. Mume wangu alifanywa 2012 aliposikia uchungu huo.
Mbona mlimpeleka tazania na alikua Kenya,na Kenya Kuna mahosipitali mbona,mbona,nlitaka tu huyo muimbaji wetu aage Dunia,imeniuma sna kuliko wote ju nlikua nwapenda sna sauti yake na dadake,mi sio familia bt imeniuma sna,wakenya tumupenda sana na dadake jinzi walivio kua wakirudishana masauti zao ,tazania hakuna madakitari,n mafala sana,hao na uzembe wao ndio waliomua Jose wetu😭😭😭😭😭
I was So saddened and touched to hear of this sudden death of this dear servant of God...of the Zablon singers. I have been quiet ,in like wondering waaa, is it so? Am I hearing it well or seeing? He served God through music in a great and powerful way # Zablon singers It's not easy to be humanly possible. But I know, our father in Heaven who took Him home knows it, Words may not mean much dear brothers and sisters of Zablon singers,His family and larger family and the entire Nation and East Africa community. May our good Lord uphold you and encampass you this most difficult season.shalom.
Hii dunia hakuna kazi isiyo na lawama,, kikubwa ni kufanya kwa moyo ukiamini hakuna wa kukulipa zaidi ya Mungu..mnawalaumu madaktari lkn kuna mambo mengine yapo juu ya fahamu za binadamu
Kupasuliwa kifua kabisa mhh ni changamoto hata marco sema tu ana imani sana ndo ulomlinda mpk akakubali lakin vingine mh bora ufe hvyohvyo kuliko kwenda kuchnjwachinjwa hvyo aisee
Ukimsikiliza Daktari vizuri huna mahali pa kutoa lawama kabisa na Sijaona kucheka kwa namna yoyote ya kubeza msiba kwa Dr. R.I.P gone too soon Mungu awe mfariji mkuu wa familia
Hata kama wangempa referral kwenda mbali ikiwa Mungu ametuwekea mipaka ambayo mwanadamu hawezi kuivuka.wko waliyopelekwa mbali lkn hawakurudi wazima,hivyo badala ya kulaum tushukru kwa yote ingawa ni ngumu kulipokea kwa ndugu zakee.nafikri haya yaliyotokea ndiyo mapenzi ya BWANA.
Uhifadhiwe vizur au vibaya ukishakifa umekufa haisaidii chochote la msingi umejiandaaje katika safari yako ya kuondoka hapa duniani cku yako ya mwisho? Tuombeane mwisho mwema polen wote tulioguswa na msiba huu mzito R.I.P Marco
Madaktari wa sasa wachache wanawito wengine ni pumba nakumbuka mwaka jana nilitaka kurudiwa sindano nikakata nililalamika walipogundua walimsimamisha kazi uzembe upo
Sasa niyo hiyo mmemfanyia operation amepona hata nyinyi madaktari mwe makini binadamu si kama engine yagari in shot we live once so once you are handling human being be careful hatukaki hiyo mahojiano ju haisaidii kwa sasa
🤔🤔🤔 mmm kuna maswali mengi sana?? Katika hichi kifo mwenye ufahamu afahamu' kwanini asiangwe na kuagwa watu wanamtizama usoni 'eti kaharibika sana'pili kwanini wa harakishe mazishi' kama hakuna mchezo mchafu unao endelea ila 👉👉 nyie 'mungu anawaona mliomfanyia mwenzenu hivi' na nyinyi mapua yenu yameinamia chini' nanyi mtafuata Msijisaulishe 'kazi kuwachukua watu misukule'kukatisha maisha ya wenzenu ole wenu siku zenu zaja
Wewe unabooa Sana madakitari walifanya Kazi yao vizuri Mimi nilifanyiwa na nikatoka operation hilichukua masaa 12 na sio masaaa 5 Kazi ya dakitari sio kama yako kwani Kenya ndio nini wacha kutuletea upumbavu
Tumshukuru Mungu kwa kila jambo wakati wake uliokusudiwa na Mungu ulikuwa umewadia, hata angepelekwa wapi kusudi la Mungu lingetimia. Tusirahumu sana tuiombee familia Mungu awatie nguvu ya kulipokea
Mimi pia Mme wangu alikataa kuweka sahihi Mimi nikifa asilaumu Mme wangu alikataa wakasign madaktari na Mimi mwenye.niliingia kwenye chumba cha upasuaji Sana mbili nilirudishwa hodi alfajili ya saa Kumi na moja ndio nikazinduka.kuna kupona au kufa na kupona huwa Ni Mungu tu anasimama
Ninaomba tunaocoment tusiwalaumu madaktari, wanafanya kazi kubwa sana. Tusiwakatishe tamaa kwa lawama. Wapo wengi wanaotibiwa na kupona na wapo wanaotibiwa wanafariki kulingana na hali ya mgonjwa.
Maneno nmengi yameogelewa uko Tanzania tangu afe,,ili kusema mwili umeariba sana cwezi amini Mimi,hakuna kosa la dactari apo,nmidomo mumeeka sana ju mmekosa LA kuogea enyi waogeaji
Mbona tunasingizia madaktari lkn? Kama kifo kimefika kimefika hata madaktari wafanye nini, ulikua moyo hauezi work bila operation hata afanyeje lets understand first the system of the heart.. Tumshukuru mungu kwa kila hali na kwa kila jambo tusisingizie kifo hiyo ni mipango ya mungu