Si bure, naona una hamu ya kufokonyolewa jela maammayoo. Baadhi yenu mmeshazoea kuja huku wikiendi kufanya umalaya na kutuharibia haiba njema ya hiki kisiwa ndiyo maana mnatukana tukana hivyo.
Kupanda na kushuka kwa vitu si tatizo la serikali liangalie hata kwenye ngazi yako ya familia kama unayo ulipo anza kuolewa au kuowa na sasa ulivokuwa na familia kama huna angalia kwa jirani yako ,lakini hata nchi zenye uchumi mkubwa na maendeleo na masoko makubwa suala la kupanda na kushuka kwa bidhaaa ni dunia nzima,kuwa na ufikiri japo wako wewe kabla huja itafsiri serikali au nchi,price fluctuation is global issue
@@RashidHaroun-c2j Serikali inachangia kwa kiasi fulani kutokana na ushuru mkubwa. Sikatai kua dunia nzima lipo hilo tatizo. Ila na serikali inachangia.
Huyu mzee bakhresa anapenda sana kupandisha bidhaa zake hata vingamuz navyo anapandisha kila muda yaani imekua sio kuwasaidia wananchi Bali ni kuwakomoa tu maana hii nchi sijui vipi na hizi mamlaka nazo zinakaa kimya utafikiria kuna shea na hao watu yaani munatuumiza yaani ni hatari
Mafisadi wa Dunian ndo hawa asa kunawengine hali zao ngumu watasafr VP ajeni mambo yenu fwafikirieni na wenzenu kwavile nyinyi munajiweza kimaisha jaman inaliza kwakwelii😢
Yan kampuni za usafirishaji ni za Tanzania zinalipa kodi Tanzania Revenue Authority TRA kwa dola pesa ya kimarekani kwann wasilipe kwa shilingi??? Nauri anapandishiwa mwananchi moja ya sababu ni kampuni kulipa kwa dola! Kuna wasomi walienda shule wakaiacha shule huko huko wakarud na ujinga na ndio wanaotuongoza
maisha ni magumu sana jamani tuoneane huruma znz kila kitu ghali bado tena mna tupandishia ghalama juzi juzi ilipanda kutoka elf 25 mpk elf 30 leo tena mmepandisha hadi elf 35 aisee tutaanza kuogelea tu
Mimi ninachokitamani ata nauli iwe 80k ili lengo liwe kusiwe na muingiliano usio wa lazima baina ya hizi pande mbili. Kikubwa bei ya kutoka Zanzibar kwenda iwe kitonga wapate warudi makwao. Povu rukhsaaa tumechoka kuharibiwa Zanzibar
Yani MTU akikuangalia kwambalii anajua huna akili Ila akikusogelea karibu ndiyo anagundua huna akili kabisa kwanini mlicho nacho au sikuizi Zanzibar mnatengeneza magari au mnauza unga au mafuta au mcheell
millard ayo kuna vitu vinakera sana tena sana hawa watu wao wakishapanga vitu vyao huwa hawarudi nyuma kwanni unashindwa kuboji serikali inatozaje ushuru kwa dollarr n kuiacha tzs ambayo ni pesa yetu.kwnn.na pia kwann isione ni muda muafaka kutoa fursa kwa company zengine kuja ku invest hapa kwa manufaa ya sisi wanyonge
Kama ni ongezeko la bei ya mafuta vp kuhusu usafiri mwingine kama dala dala na boda boda mbn wao hawapandishi nauli bado ni zile zile pia nao wanapitia changamoto hiyo hiyo ya ongezeko la bei ya mafuta
Nao wapandishe kama wakihisi hawapati faida kila biashara inahitaji faida tunacho takiwa tu adapt tuwe tayari kupokea mabadiliko maisha ni mabadiliko ivi ni nani anaweza kuvaa hadi leo nguo aliyo nunuliwa alipo kuwa nursary school ?
Serikali Icontrol Kodi Zao Kwa maana mafuta sijuwi mambo ya ulipaji wao ndio wanasababisha Hali kuwa juu tajiri anachojuwa ukipandisha na yeye anapandisha anaeumia Ni Sisi raia.
Zanzibar ni nchi ya utalii na sio kioa mmoja aje Zanzibar wale wenye uwezo ndio waingie Zanzibar wengine sio lazima kwenda kama hujajipanga kisawa sawa
Wanapiga kelele kutoa elfu 30 kwenda nchi nyengine wakati wenzetu wanatoa dola elfu kuja zanzibar na wakija wanaenjoi na kucheka tujifunzeni kuchuma na kutumia uzuri unakuja kutokana na gharama wenzetu nchi zao zinapendeza kwa kutowa kodi nyingi bila malalamiko bika shuruti
Ni vyema kaa serikali,kukusanya kodi kwa shilingi badala ya dola maana inakwaza. Kwa hotels ok maana mapato yao hutoza kwa hio dola au fedha nyengine za kigeni. Kla kwa biashara hizi za Boti waliangalie hili.
Hawa sio wafanya biashara ni wanyonyaji tu na hii yote sababu ni usafiri wa majini ingekua ni barabara isingefika hata elfu5 na hizi serikali zetu zimekaa kimya tu na hii hali mbaya ya maisha ya watu ikifika miaka2 watafanya elfu40
Huyu mama anaetoa report ya serekali boya sana yaani unkuj hpa kutoa report ya serekeli rate ya dola ya zamani untoa ya bank ya leo untoa bei ya mtaani wakt ili difference ionekane kubwa..bas jua sasa dola sio 2850 bali ni 2740 usipotoshe
KUNA WATU HAWAUTAKI MUUNGANO SASA WANALALAMIKA NINI?! TENA WENGINE UTASIKIA OOOH HATUWATAKIII... TANGANYIKA INAUZWAAA, LAKINI KILA WIKIENDI WAPO NUNGWI WANAFOKONYOLEWA HOVYO NA MAPIDIDI WA ULAYA!! NAULI IKIPANDA SI NDIYO UZURI HUKU HUKU KULE KULE, KILA MMOJA ATULIZE MAKALIO KTK ARDHI YAKE!!
Dola imeshuka na mafuta yameshuka bei kwann mtupandiahie gharama za usafiri mbona abiria ni wengi na hela 30000 ni kubwa sana kwa muda mwa mwendo wa masaa 1.5 ni mchache
Sio kesi wa bara wabakie Bara na wa zanziber wapakie uko maaana unanunua kitu zanziber bei nzuri kikifika dar es Salam ushuru wake ni Sawa na kununua kipya 😢
Huo wote ni unyonyaji wasipoandisha bei watoto wa wakubwa walio kazini watalipwa nini,lazima waongeze bei,wametoka kuongeza kwenye umeme sasahivi kwenye usafiri wa baharini kesho watembea kwa moguu watambiwa walipe kodi ya kutembea,tutakufa huku tiikiulizana lini tutalipa kodi ya kufa.
Hizi boti nauli yake ingetakiwa kua 15000 tuu sehem ya lisaa limoja 35000 kila wakijiamulia wanapandisha bei kwan nyie serikali si mnunue vyombo vyenu mbn au kisa nyie mnapanda ndege sna
Fikra mgando izo na wala usitegemee ivi wewe kila ukikua unapungua matumizi au unaongezeka matumizi tatizo letu tulijengewa shule tujifunze tuondokane na ujinga wengi walisoma wapate kazi lakini bado tumebaki na ujinga
Jamani ndugu zangu watanzania nikweli maisha magumu ilasio kilakitu kuilalamikia selikali maisha nimagumu Dunia nzima harafu Razima tuelewe na kutambua hakuna Rais au kiongizi yoyote Tunaweza mchakua useme atakuja kukufanyia maisha mepesi Huyo hajawahi zaliwa katka hiidunia kikubwa tuongezetu nguvu yakupambana na maisha nakunua vilevitu vyaumuhimu kumguza anasa navituambavyohavina msingi
Unapo kwenda Kununua vitu kwenye soko la dunia nchi isiyo ya kwako lazima utumie dola mafuta hatununui kibiti au morogoro au shengejuu au mtambwe lazima dola itumie
Utawara wa samia wa kisenge sana wanaongeza bei hovyo na makod ya kisenge kuriko kuongeza mishahara watu na kuwapa hajira uyo mbwa sana nataman hatoke ata reo kengo uyo raisi gan asienauruma na wananchi mnajichukuria tu hatua mikononi wengewe izo pesa mnazo kopa mnafanyia nn?
Doller rate 2850 hii ni kujilinda na hoja Kwa sababu dollar bank IPO chini ya 2750 half kwanin walipe Kodi TRA Kwa doller wakati BOT wanakataza miamala ya doller kwa ndani ya nchi ktk kulipa Kodi