I love pastor Daniel Mgogo, he preach the true gospel which brings salvation to people. For sure, I real admire him but I don't wants to hear that receive cars or money from other preacher but if am lazy I can't get anything
Daniel Mgogo more life🙏 na kwamba yeye ni comedian it's okay coz iyo iko ndani yake na anacheza na vichwa vya kisasa ndo maana injili yake si ya kupokea na haboi,anakomboa walio potea inampasa aendane nao ata Yesu alipingwa,Daniel chapa injili komboa akili za watu injili yako hata dini za upande wa pili wanaipenda uchagui hubagui huna baya usiogope fanta kazi ya bwana tunakuombea🙏🙏
Imani pasipo na kazi imekufa. Tuwe na imani tuchanganye na kazi..Hata Yesu hakupendwa Kwa hivyo Pst Mgogo continue the Good work Man of God,we need more of you guys
Mchungaji mgogo ni comedy. Anahubiri kutumia vichekesho. Kama alivyo masanja. Pokea gari, pokea nyumba ni baraka anatoa mchungaji. Kwenye biashara yako Mungu akubariki upokee gari. Mzee wa upako yupo vizuri sana kwenye mahubiri. Namfaham ni smart mzee wa upako chief
Mzee wa upako ana swaggy za kitapeli.unapokea ktoka wapi?? Hayo maokoto ni ya kutoka kwa maskini alf unajifurisha kwa kuwatapeli...fanya kazi mungu alunyooshee mambo yako
Mzee wa upako umeongea kwa busara sana. Wakristo wako wengi na tusihukumiane. Hao wanaokashifu na kukosoa wengine ni kujiona kuwa wao wako sahihi zaidi. Kila mmoja aamini Imani yake. Usijione kuwa yako ni sahihi zaidi. Mimi mkatoliki na naheshimu ya wenzangu. Tukipingana na kukashifiana ni Ubinafsi sisi wote ni mwili wa Kristu.
Mzee Wa Upako wa kiganga. Ni wa hovyo sana huyu. Bora sijawa na ndugu wa kunitia aibu kama hawa. Hajui hata biblia. Nilikua namwelewa sana ila kabla sijaanza kumskiliza ila nilivyoanza kumskiliza nimemuona hovyo sana😢😢😢😢😢 Daniel Mbogo ❤. Alaf mchungaji wa kweli na wa uongo hapa utamjua tu. Mbona maji na mafuta vimejitenga.😅😅😅
Daniel mgogo all the way 🙏🙏the bible says nitaenda kuibariki kazi ya mikono yako kumanisha utajiri upo mikononi mwetu .hawa wa kutuambia receive receive uongo mtupu hao ni kungoja tuwape hela😂😂
Hatukatai miujiza Mungu ufanya! Na Mungu ufanya akitaka,wala si sarakasi zakumlazimisha.iyo yakupokea pokea kwani munakuwa waganga? Biblia imasema asietumika asile.pia nitaibariki kazi ya mikono yako.Mgogo injili iko sawa!
Wengine ni wahuni wanaotumia jina la Mungu. Asante YEHOVA-Mungu kwa kuwa upo na unaendelea kuwepo ili kuwapepeta wahuni wote na kuwaengua katika kundi la wacha Mungu.
Unajua sana Mzee Wa Upako. Ni mchungaji pekee unayeweza kukemea na kupongeza bila kujali ni nani. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu endelea kuikomboa jamii.
Issue ya mafuta na maji ni nzuri tu. Mfano wewe una watu milioni moja hao wote utawafikiaje? Bariki maji yageuze kuwa upako wape watu Mungu atajua atakavyowatendea. Na watu wanaokuja kumtafuta mungu wengine siyo wakristo yeye kaja apone. Sasa mtu kama huyo aliyezunguka kila mahali kutafuta uponyaji akapewa maji yakamponya. Hawezi kuondoka hapo kwenye madhabahu ataendelea kujifunza neno. Nafikiri nikimfikiria yesu issue ya wale samaki na mkate akawalisha watu wote wale. Wale samaki na mkate hawakuwa samaki na mkate wa kawaida. Waligeuzwa ikawa chakula cha kiroho. Hivyo kila mmoja aliyekula mkate na samaki yule aliyabadili maisha yake. Leo mwamposa ana keki ya upako. Watu wanashangaa. Ni zana ya kiroho. Ile siyo keki kama keki. Ni keki iliyobadilishwa ndio maana watu wengine wakila keki hiyo mambo ya ajabu yanawatokea. Watu wanalishwa vitu kichawi. Hivyo vitu utafikiri vitatoka kwa njia gani? Na mtu huyo hajui habari za yesu? Unaposikia injili ina nguvu, ni lazima iendane namiujiza hapo Mungu anajihithirisha
Watu wafanye kazi Mungu ataibariki kazi ya mikono Yao,sasa Hawa wanauza mafuta ya upako !neno la Mungu ama dam ya yesu ilimwagika Kwa sh ngapi ,tujihadhari na manabii wa uongo ,yesu ana meli ,mabasi ama jeshi .
Umesema vyema wajina ndo mana mimi sijataka kucomment maneno meng coz kimsingi wa biblia kuwanenea vibaya watumish ni dhambi na laana maana yesu ndo mwenye uweza wa kuhukumu pekeake.
Hawa wamewafanya watu wategemee mafuta na maji badala ya kumtafuta Mungu,mtu hajifunzi juu ya Mungu hata hana muda wa sala kazi ni kuamini Upako.huyo Mzee wa Upako maswali anashindwa kuyajibu.
Mgogo🔥🔥🔥🔥 nikiboko yao anawafumbua macho walio lala na wanao pigwa hakika mahubiri ya kweli yanasimama daima sio poke nyumba pokea pesa nani kazisahau 🏃🏃🏃
Mzee wa Upako uko sahihi ni kweli Petro Alifanya kazi ya kuvua samaki usiku kucha lakini hakupata kitu kwa sababu hakuwa na Yesu lakini alipomkubali Yesu baraka zikamuingia na kufanikiwa kupata samaki wengi hivyo kufanya kazi bila Yesu kufanikiwa ni ngumu unapoombewa pokea gari bila kufanya kazi bila yesu ni kazi bure
So intelligent and knows what he's doing.... congratulations Mzee wa upako....God bless you so much....we need to appreciate each other's religion and opinions... it's all about perceptive and people's minds...
I do not remember any instance where Rev Mgogo or Rev Hananja had mentioned names of other preachers. What they are doing is to rebuke sinful actions with strongest possible terms of which every serious Christian should do. You can not appreciate an opinion inclined to sin and still remain Christian. Of course you can do that in some political issues since politicians have made it appear as if there is no absolute truth; to them sin is a relative term and that is where the idea of appreciating others' sinful opinions comes in.
Uchumi wa Tanzani uko chini ya matajiri 10 wakubwa. na sio wakristo! Mchungaji mgogo yuko sahihi sana. Hakuna maendeleo, hakuna kutajirika kwa upako na maombi na kufunga na kunene kwa lugha wala kukoroma kwa lugha. Tena injili za hivi ndio zinazalisha maskini wengi. Haya ninyesheni aliyefungua biashara baada ya kuombewa...
Amen, Imani nikuwa na uhakika na hasa km unamjua unaye muamini,kila mtu na karama Mungu aliyo muitia,simama na kumsikiliza Roho Mtakatifu anavyo kuongoza,sisi ni mwili wa Kristo. Ni mekuelewa👍🏽🙏
Mi naona Mgogo Yuko Vizuri kwani Mahubili ya kitapeli yapo na tumeyaona Tena hata kipindi kile Mzee wa Upako alitumia Mahubili yanamna hiyo ambayo kayazungumzia Pastor Mugogo
Wachungaji kama hawa ni matabei tuu ,,ukitambua makosa yako tubu mungu ni mwenye rehema😢atakusamehe ,rudu kwa yesu hubiri injili ya kweli, achana na nguvu za kipepo na hizo Pete za chicho ni uchawimtupu
Pamoja na watumishi wa Mungu wakubaliane tu kwamba ili ufanikiwe fanya kazi ndy upate siyo kushinda makanisani hiyo hela ni ya mizimu Mungu ktk maanfiko hakusema muende kupokea vitu bila kutumika Hata enzi za zamani kipindi cha Musa watu walifanya kazi Acheni kuwachanganya watu kwa mahubir potovu Mbinguni hakuna madhehemu bali ni kumwabudu Mungu ktk roho na kweli
9 Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni. 10 Wala msiitwe viongozi; maana kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo. 11 Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu. 13 Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnawafungia watu ufalme wa mbinguni; ninyi wenyewe hamwingii, wala wanaoingia hamwaachi waingie. Mtu akishakwenda kinyume na Biblia anatumika na roho wa shetani msidanganyike.
Hapo hamna injili ya kweli, wakristo tusomemeni maandiko vizuri na tumwombo roho mtakatifu atuwezeshe kuelewa hayupo mhubiri wa kweli atakae kana amri kumi za MUNGU
Mimi sioni shida iko wapi kuuza yale mafuta shida ni jinsi wewe utakavyo yachukulia chukuwa neno la Mungu omba sawa na neno hilo ukimdai Mungu imeandikwa Yakobo 5:14 mtu wa kwenu hawezi na awaite wazee wakanisa wamuombee na wmpake mafuta nk naye atapata afya wote wanaotumia mafuta ya upako sijawahi ona wakitumia mafuta bila neno lazima watakuppa neno mungu atusaidie
Baba mzee wa upako yuko sawa sana ana hekima ya hali ya juu.Haya mambo ya huduma yanahitaji kiwango cha uelewa wa kiroho na hekima.Kwakua watu wako kwenye ibada na tamko la kupokea ni tendo la imani kama sehemu ya ibada mtu anakua anapokea katika ulimwengu wa roho kabla hayajatokea katika ulimwengu wa mwili.Biblia inasema yote tuyaombayo kwa imani tuamini ya kua tumeyapokea na yamekua .
Wote ni watumishi wa mungu ,mgogo anatufundisha namna ya kuishi ukiwa kwa ndoa.mzee wa upako anatufundisha imani kulingana na vile amejieleza.kwa hivyo wote wako sawa wote
Kwa ukweli mgogo endelea kutupa mawe tufunguke akili, hiyo injili ya mwaka wa maokoto hapana biblia inasema tutafute ufalme wa Mungu na mali Mungu atatupa kwa kufanya kazi. Kumbukumbu 28.1ff
Vua hiyo Pete ya kishetani ama Bora usicganganye Mungu na mungu wenu anaejifuchia ndani ya jina la Yesu, tu awajua wote mliojiunga chamani mtoke msiwadanganye watu
Huyu mwongo, Biblia ina sema : usiongeze ao kupungiza atuambiye tu : wapi imeandikwa kwa biblia : pokea gari, nyumba, .... Iandikwe hivo tu Huyu mwongo kabisa
Mgogo Hana neno ni comedian kweli yaaan watu watacheka lkn kuingia mbinguni ngumu sana...hatumiiiii neno na Mungu hulitazama neno apate kulitimiza...mgogo atumie neno zaidi km zamani
Wewe hujawahi kumsikiliza Pastor Mgogo akihubiri injili ya Mungu, vile vi clip vya mafundisho ya ndoa na familia vinavyo postiwa ndo unafikiri ni mafundisho yake yote. Achana na mawazo mgando na mahubili ya kitapeli ya kupokea vitu ambavyo huja tafuta.
@@happynathan8226 wewe hujamfahmu mgogo wa mitandaoni namfahamu sana kuliko unavyodhani....akili mgando ni wewe hapo unayetaka mawazo yako yafanane na wengine ...kwani wao hawakosei hawatokagi nje ya msatari hembu tulia ama vipi soma neno likuondoe mawazo ya ndio Kwa Kila kitu ...mtu yeyote anaweza kutoka nje ya mstari lkn akisoma hivi comments anajitathimini ..nyie ndo watu mnao penda kusifiawa au kusifia Kila kitu...Mimi pakukosoa nakosoa pakusifia nasifia ....Jaribu kuchuja vitu alafu usipende kuita watu maneno magumu ooooh mgando usiowaju
Atabariki kazi za mikono yetu haya mambo yakusubilia muujiza na hawafanyi kazi tunakua na Taifa la watu wavivu sana tangu mwanadam wa kwanza alipoumbwa alipewa kazi za kufanya Hivyo tufanye
Amebarikiwa na Bwana zaidi ya kubArikiwa kwake materials nimeongea, ampingae simwambii amkubali ila minamkubali, pia mafuta ya upako ni biashara naungana namgogo, alafu hiyo kauli yachifu kusema eti nicomedi misimuungi mkono injili yakweli mgogo hafichi,Mungu ampe maisha malefu aendelee kufundisha wengine wjae malaria,,,, ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Zaburi 127:1-2 [1]BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure. (A Song of degrees for Solomon.) Except the LORD build the house, they labour in vain that build it: except the LORD keep the city, the watchman waketh but in vain. [2]Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi. It is vain for you to rise up early, to sit up late, to eat the bread of sorrows: for so he giveth his beloved sleep.